< Nehemia 7 >
1 Baada ya ukuta kukamilika kujengwa upya na nikaweka milango, mabawabu wa lango, waimbaji, na Walawi waliteuliwa.
And it was just when it had been rebuilt the wall and I had set up the doors and they had been appointed the gatekeepers and the singers and the Levites.
2 Nikamweka Hanani ndugu yangu kuwa kiongozi wa Yerusalemu, pamoja na Hanania jemadari wa ngome, kwa kuwa alikuwa mtu mwadilifu na mwenye kumcha Mungu kuliko watu wengine.
And I appointed Hanani brother my and Hananiah [the] commander of the citadel over Jerusalem for he [was] like a man of faithfulness and fearing God more than many [people].
3 Nikawaambia, “Malango ya Yerusalemu yasifunguliwe mpaka jua litakapokuwa limepanda. Walinzi wa malango wakiwa bado kwenye zamu, waamuru wafunge milango na waweke makomeo. Pia wateueni wenyeji wa Yerusalemu wawe walinzi, kila mmoja kwenye lindo lake, na wengine karibu na nyumba zao wenyewe.”
(And I said *Q(K)*) to them not they will be opened [the] gates of Jerusalem until is hot the sun and until they [are] standing guard let them shut the doors and bolt [them] and appoint guards of [the] inhabitants of Jerusalem someone at guard post his and someone before house his.
4 Mji ulikuwa mkubwa, tena wenye nafasi nyingi, lakini walikuwepo watu wachache ndani yake, nazo nyumba zilikuwa bado ni magofu.
And the city [was] broad of both hands and large and the people [were] few in [the] midst of it and not houses [were] rebuilt.
5 Hivyo Mungu wangu akaweka moyoni mwangu kuwakusanya wakuu, maafisa na watu wa kawaida kwa ajili ya kuorodheshwa kulingana na jamaa zao. Nilikuta orodha ya vizazi ya wale waliokuwa wa kwanza kurudi toka utumwani. Haya ndiyo niliyokuta yameandikwa humo:
And he put God my into heart my and I assembled! the nobles and the officials and the people to have themselves enrolled and I found [the] document of the genealogy the [ones who] came up at the first and I found [was] written in it.
6 Hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
These - [are] [the] children of the province who came up from [the] captivity of the exile[s] whom he had taken into exile Nebuchadnezzar [the] king of Babylon and they returned to Jerusalem and to Judah each one to own city his.
7 wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispereti, Bigwai, Nehumu na Baana): Orodha ya wanaume wa Israeli ilikuwa:
Who came with Zerubbabel Jeshua Nehemiah Azariah Raamiah Nahamani Mordecai Bilshan Mispereth Bigvai Nehum Baanah [the] number of [the] men of [the] people of Israel.
[the] descendants of Parosh two thousand one hundred and seventy and two.
[the] descendants of Shephatiah three hundred seventy and two.
[the] descendants of Arah six hundred fifty and two.
11 wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,818
[the] descendants of Pahath-Moab of [the] descendants of Jeshua and Joab two thousand and eight hundred eight-teen.
[the] descendants of Elam one thousand two hundred fifty and four.
[the] descendants of Zattu eight hundred forty and five.
[the] descendants of Zaccai seven hundred and sixty.
[the] descendants of Binnui six hundred forty and eight.
[the] descendants of Bebai six hundred twenty and eight.
[the] descendants of Azgad two thousand three hundred twenty and two.
18 wazao wa Adonikamu 667
[the] descendants of Adonikam six hundred sixty and seven.
[the] descendants of Bigvai two thousand sixty and seven.
[the] descendants of Adin six hundred fifty and five.
21 wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
[the] descendants of Ater of Hezekiah ninety and eight.
[the] descendants of Hashum three hundred twenty and eight.
[the] descendants of Bezai three hundred twenty and four.
[the] descendants of Hariph one hundred two [plus] ten.
[the] descendants of Gibeon ninety and five.
26 watu wa Bethlehemu na Netofa 188
[the] men of Beth-lehem and Netophah one hundred eighty and eight.
[the] men of Anathoth one hundred twenty and eight.
28 watu wa Beth-Azmawethi 42
[the] men of Beth Azmaveth forty and two.
29 watu wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
[the] men of Kiriath Jearim Kephirah and Beeroth seven hundred forty and three.
30 watu wa Rama na Geba 621
[the] men of Ramah and Geba six hundred twenty and one.
[the] men of Micmash one hundred and twenty and two.
32 watu wa Betheli na Ai 123
[the] men of Beth-el and Ai one hundred twenty and three.
[the] men of Nebo [the] other fifty and two.
[the] descendants of Elam [the] other one thousand two hundred fifty and four.
[the] descendants of Harim three hundred and twenty.
[the] descendants of Jericho three hundred forty and five.
37 wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 721
[the] descendants of Lod Hadid and Ono seven hundred and twenty and one.
[the] descendants of Senaah three thousand nine hundred and thirty.
39 Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
The priests [the] descendants of Jedaiah of [the] house of Jeshua nine hundred seventy and three.
[the] descendants of Immer one thousand fifty and two.
41 wazao wa Pashuri 1,247
[the] descendants of Pashhur one thousand two hundred forty and seven.
[the] descendants of Harim one thousand seven-teen.
43 Walawi: wazao wa Yeshua (kupitia Kadmieli kupitia jamaa ya Hodavia) 74
The Levites [the] descendants of Jeshua of Kadmiel of [the] descendants of Hodaviah seventy and four.
44 Waimbaji: wazao wa Asafu 148
The singers [the] descendants of Asaph one hundred forty and eight.
45 Mabawabu wa malango: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 138
The gatekeepers [the] descendants of Shallum [the] descendants of Ater [the] descendants of Talmon [the] descendants of Akkub [the] descendants of Hatita [the] descendants of Shobai one hundred thirty and eight.
46 Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
The temple servants [the] descendants of Ziha [the] descendants of Hasupha [the] descendants of Tabbaoth.
47 wazao wa Kerosi, Sia, Padoni,
[the] descendants of Keros [the] descendants of Sia [the] descendants of Padon.
48 wazao wa Lebana, Hagaba, Shalmai,
[the] descendants of Lebanah [the] descendants of Hagabah [the] descendants of Shalmai.
49 wazao wa Hanani, Gideli, Gahari,
[the] descendants of Hanan [the] descendants of Giddel [the] descendants of Gahar.
50 wazao wa Reaya, Resini, Nekoda,
[the] descendants of Reaiah [the] descendants of Rezin [the] descendants of Nekoda.
51 wazao wa Gazamu, Uza, Pasea,
[the] descendants of Gazzam [the] descendants of Uzzah [the] descendants of Paseah.
52 wazao wa Besai, Meunimu, Nefusimu,
[the] descendants of Besai [the] descendants of Meunim [the] descendants of (Nephissim. *Q(K)*)
53 wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
[the] descendants of Bakbuk [the] descendants of Hakupha [the] descendants of Harhur.
54 wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
[the] descendants of Bazluth [the] descendants of Mehida [the] descendants of Harsha.
55 wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
[the] descendants of Barkos [the] descendants of Sisera [the] descendants of Temah.
56 wazao wa Nesia na Hatifa.
[the] descendants of Neziah [the] descendants of Hatipha.
57 Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Soferethi, Perida,
[the] descendants of [the] servants of Solomon [the] descendants of Sotai [the] descendants of Sophereth [the] descendants of Perida.
58 wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
[the] descendants of Jaala [the] descendants of Darkon [the] descendants of Giddel.
59 wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Amoni.
[the] descendants of Shephatiah [the] descendants of Hattil [the] descendants of Pokereth-Hazzebaim [the] descendants of Amon.
60 Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
All the temple servants and [the] descendants of [the] servants of Solomon three hundred ninety and two.
61 Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
And these [are] the [ones who] came up from Tel Melah Tel Harsha Kerub Addon and Immer and not they were able to declare [the] house of ancestors their and offspring their if [were] from Israel they.
62 wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 642
[the] descendants of Delaiah [the] descendants of Tobiah [the] descendants of Nekoda six hundred and forty and two.
63 Na kutoka miongoni mwa makuhani: wazao wa Hobaya, Hakosi na Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
And of the priests [the] descendants of Hobaiah [the] descendants of Hakkoz [the] descendants of Barzillai who he had taken one of [the] daughters of Barzillai the Gileadite wife and he was called on name their.
64 Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani, kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
These they sought document their who had had themselves enrolled and not it was found and they were defiled from the priesthood.
65 Kwa hiyo, mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
And he said the governor to them that not they will eat any of [the] holy thing of the holy things until will arise the priest to Urim and Thummim.
66 Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
All the assembly as one four ten thousand two thousand three hundred and sixty.
67 tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 245.
Besides male servants their and female servants their these [were] seven thousand three hundred thirty and seven and [belonged] to them male singers and female singers two hundred
68 Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245
(horses their seven hundred thirty and six mules their two hundred *R*) and forty and five.
69 ngamia 435 na punda 6,720.
Camels four hundred thirty and five. Donkeys six thousand seven hundred and twenty.
70 Baadhi ya viongozi wa jamaa walichangia kazi ya ujenzi. Mtawala alikabidhi kwenye hazina darkoni 1,000 za dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 kwa ajili ya makuhani.
And some of [the] end of [the] leaders of the fathers they gave for the work the governor he gave to the treasury gold drachmas one thousand bowls fifty garments of priests thirty and five hundred.
71 Baadhi ya viongozi wa jamaa walikabidhi kwenye hazina darkoni 20,000 za dhahabu, na mane 2,200 za fedha kwa ajili ya kazi hiyo.
And some of [the] leaders of the fathers they gave to [the] treasury of the work gold drachmas two ten thousands and silver minas two thousand and two hundred.
72 Jumla ya matoleo ya watu wengine yalikuwa ni darkoni 20,000 za dhahabu, mane 2,000 za fedha, na mavazi sitini na saba ya makuhani.
And [that] which they gave [the] remainder of the people [was] gold drachmas two ten thousand and silver minas two thousand and tunics of priests sixty and seven.
73 Makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji na watumishi wa Hekalu, pamoja na baadhi ya watu wengine na Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao wenyewe. Ilipotimia miezi saba, nao Waisraeli wakiwa tayari wanaishi katika miji yao,
And they dwelt the priests and the Levites and the gatekeepers and the singers and some of the people and the temple servants and all Israel in own cities their and it arrived the month seventh and [the] people of Israel [were] in cities their.