< Nehemia 6 >

1 Habari zilipofika kwa Sanbalati, Tobia, Geshemu Mwarabu, na adui zetu wengine kwamba nimejenga tena ukuta na hakuna nafasi iliyobakia ndani mwake, ingawa mpaka wakati huo sikuwa nimeweka milango kwenye malango,
Agora quando foi relatado a Sanballat, Tobiah, Geshem o Árabe, e ao resto de nossos inimigos que eu tinha construído o muro, e que não havia nenhuma brecha nele (embora até aquele momento eu não tivesse colocado as portas nos portões),
2 Sanbalati na Geshemu wakanitumia ujumbe huu: “Njoo, tukutane katika mojawapo ya vijiji katika nchi tambarare ya Ono.” Lakini walikuwa wakikusudia kunidhuru.
Sanballat e Geshem mandaram para mim, dizendo: “Venha! Vamos nos reunir nas aldeias da planície de Ono”. Mas eles tinham a intenção de me prejudicar.
3 Kwa hiyo niliwatuma wajumbe kwao na majibu haya: “Kazi ninayoifanya ni kubwa sana, siwezi kuja. Kwa nini niiache kazi isimame nije kwenu?”
Enviei mensageiros para eles, dizendo: “Estou fazendo um grande trabalho, de modo que não posso descer”. Por que o trabalho deveria parar enquanto eu o deixo e descer até você”?
4 Mara nne walinitumia ujumbe wa namna iyo hiyo, na kila mara niliwapa jibu lile lile.
They me enviou quatro vezes assim; e eu lhes respondi da mesma forma.
5 Basi, mara ya tano, Sanbalati akamtuma msaidizi wake kwangu akiwa na ujumbe wa aina ile ile, naye alikuwa amechukua mkononi mwake barua isiyofungwa,
Então Sanballat me enviou seu servo da mesma forma pela quinta vez com uma carta aberta na mão,
6 iliyokuwa imeandikwa: “Habari imeenezwa miongoni mwa mataifa, naye Geshemu anasema kwamba ni kweli, kuwa wewe na Wayahudi mnafanya hila ya kuasi, ndiyo sababu mnajenga ukuta. Zaidi ya hayo, kufuatana na taarifa hizi, karibuni utakuwa mfalme wao,
na qual estava escrito: “É relatado entre as nações, e Gashmu o diz, que você e os judeus pretendem se rebelar”. Por causa disso, vocês estão construindo o muro. Você seria o rei deles, de acordo com estas palavras”.
7 na hata umewateua manabii wafanye tangazo hili kukuhusu wewe huko Yerusalemu: ‘Yuko mfalme katika Yuda!’ Sasa taarifa hii itarudishwa kwa mfalme. Basi njoo, tufanye shauri pamoja.”
Você também designou profetas para proclamá-lo em Jerusalém, dizendo: “Há um rei em Judá! Agora será relatado ao rei de acordo com estas palavras. Venha agora, portanto, e vamos nos aconselhar juntos”.
8 Nilimpelekea jibu hili: “Hakuna jambo kama hilo unalosema linalofanyika. Unalitunga tu kwenye kichwa chako.”
Então enviei a ele, dizendo: “Não existem tais coisas feitas como você diz, mas você as imagina do seu próprio coração”.
9 Wote walikuwa wakijaribu kutuogopesha, wakifikiri hivi: “Mikono ya watu italegea kiasi kwamba hawataweza kufanya kazi, nayo haitakamilika.” Lakini niliomba, “Ee Mungu, sasa nitie mikono yangu nguvu.”
Pois todos eles nos teriam feito temer, dizendo: “Suas mãos ficarão enfraquecidas do trabalho, que não seja feito”. Mas agora, fortaleçam minhas mãos.
10 Siku moja nilikwenda nyumbani kwa Shemaya mwana wa Delaya, mwana wa Mehetabeli, ambaye alikuwa amefungwa ndani ya nyumba yake. Akasema, “Tukutane katika nyumba ya Mungu, ndani ya Hekalu, na tufunge milango ya Hekalu, kwa sababu watu wanakuja kukuua. Naam, wanakuja usiku kukuua.”
Fui à casa de Semaías, filho de Delaías, filho de Mehetabel, que estava fechado em sua casa; e ele disse: “Encontremo-nos na casa de Deus, dentro do templo, e fechemos as portas do templo, pois eles virão para matá-lo”. Sim, na noite eles virão para matar você”.
11 Lakini nikasema, “Je, mtu kama mimi akimbie? Au mtu kama mimi aende Hekaluni kuokoa maisha yake? Sitakwenda!”
Eu disse: “Deve um homem como eu fugir? Quem, sendo como eu, entraria no templo para salvar sua vida? Eu não vou entrar”.
12 Nilitambua kwamba Mungu hakumtuma, bali alitabiri dhidi yangu kwa sababu Tobia na Sanbalati walikuwa wamemwajiri.
Eu discernia, e eis que Deus não o havia enviado, mas ele pronunciou esta profecia contra mim. Tobias e Sanballat o haviam contratado.
13 Alikuwa ameajiriwa kunitisha ili kwa kufanya jambo hili nitende dhambi, kisha waweze kuniharibia jina langu na kuniaibisha.
Ele foi contratado para que eu tivesse medo, o fizesse e pecasse, e para que eles pudessem ter material para um relatório maligno, para que eles me reprovassem.
14 Ee Mungu wangu, wakumbuke Tobia na Sanbalati kwa sababu ya yale waliyotenda. Pia kumbuka nabii mke Noadia na manabii wengine ambao wamekuwa wakijaribu kunitisha.
“Lembre-se, meu Deus, Tobias e Sambalate de acordo com estas suas obras, e também a profetisa Noadiah e os demais profetas que me teriam colocado em temor”.
15 Basi ukuta ukakamilika siku ya ishirini na tano mwezi wa Eluli, kazi ambayo ilichukua siku hamsini na mbili.
So o muro foi terminado no vigésimo quinto dia de Elul, em cinqüenta e dois dias.
16 Adui zetu wote waliposikia kuhusu hili, mataifa yote yaliyotuzunguka yakaogopa na kupoteza ujasiri, kwa sababu yalitambua kuwa kazi hii imefanyika kwa msaada wa Mungu wetu.
Quando todos os nossos inimigos ouviram falar disso, todas as nações que estavam ao nosso redor ficaram com medo e perderam a confiança; pois perceberam que este trabalho era feito por nosso Deus.
17 Pia katika siku hizo wakuu wa Yuda walikuwa wakituma barua nyingi kwa Tobia, nayo majibu yaliyotoka kwa Tobia yaliendelea kuwajia.
Além disso, naqueles dias, os nobres de Judá enviaram muitas cartas a Tobias, e as cartas de Tobias chegaram até eles.
18 Kwa kuwa watu wengi katika Yuda walikuwa wamemwapia Tobia, kwani alikuwa mkwewe Shekania mwana wa Ara, na Yehohanani mwanawe alikuwa amemwoa binti wa Meshulamu mwana wa Berekia.
Pois havia muitos em Judá que lhe juraram porque ele era genro de Shecaniah, filho de Ará; e seu filho Jehohananan havia levado a filha de Mesulão, filho de Berequias, como esposa.
19 Zaidi ya hayo, walikuwa wakiniarifu jinsi Tobia alivyo mtu mwema, nao walimwambia kila kitu nilichosema. Naye Tobia alituma barua za kunitisha.
Também falaram de suas boas ações diante de mim, e relataram minhas palavras a ele. Tobias enviou cartas para me colocar em medo.

< Nehemia 6 >