< Nehemia 6 >
1 Habari zilipofika kwa Sanbalati, Tobia, Geshemu Mwarabu, na adui zetu wengine kwamba nimejenga tena ukuta na hakuna nafasi iliyobakia ndani mwake, ingawa mpaka wakati huo sikuwa nimeweka milango kwenye malango,
and to be like/as as which to hear: hear to/for Sanballat and Tobiah and to/for Geshem [the] Arabian and to/for remainder enemy our for to build [obj] [the] wall and not to remain in/on/with her breach also till [the] time [the] he/she/it door not to stand: stand in/on/with gate
2 Sanbalati na Geshemu wakanitumia ujumbe huu: “Njoo, tukutane katika mojawapo ya vijiji katika nchi tambarare ya Ono.” Lakini walikuwa wakikusudia kunidhuru.
and to send: depart Sanballat and Geshem to(wards) me to/for to say to go: come! [emph?] and to appoint together in/on/with Hakkephirim in/on/with valley Ono and they(masc.) to devise: devise to/for to make: do to/for me distress: harm
3 Kwa hiyo niliwatuma wajumbe kwao na majibu haya: “Kazi ninayoifanya ni kubwa sana, siwezi kuja. Kwa nini niiache kazi isimame nije kwenu?”
and to send: depart [emph?] upon them messenger to/for to say work great: large I to make: do and not be able to/for to go down to/for what? to cease [the] work like/as as which to slacken her and to go down to(wards) you
4 Mara nne walinitumia ujumbe wa namna iyo hiyo, na kila mara niliwapa jibu lile lile.
and to send: depart to(wards) me like/as Chronicles [the] this four beat and to return: reply [obj] them like/as Chronicles [the] this
5 Basi, mara ya tano, Sanbalati akamtuma msaidizi wake kwangu akiwa na ujumbe wa aina ile ile, naye alikuwa amechukua mkononi mwake barua isiyofungwa,
and to send: depart to(wards) me Sanballat like/as Chronicles [the] this beat fifth [obj] youth his and letter to open in/on/with hand his
6 iliyokuwa imeandikwa: “Habari imeenezwa miongoni mwa mataifa, naye Geshemu anasema kwamba ni kweli, kuwa wewe na Wayahudi mnafanya hila ya kuasi, ndiyo sababu mnajenga ukuta. Zaidi ya hayo, kufuatana na taarifa hizi, karibuni utakuwa mfalme wao,
to write in/on/with her in/on/with nation to hear: proclaim and Geshem to say you(m. s.) and [the] Jew to devise: devise to/for to rebel upon so you(m. s.) to build [the] wall and you(m. s.) to be to/for them to/for king like/as word [the] these
7 na hata umewateua manabii wafanye tangazo hili kukuhusu wewe huko Yerusalemu: ‘Yuko mfalme katika Yuda!’ Sasa taarifa hii itarudishwa kwa mfalme. Basi njoo, tufanye shauri pamoja.”
and also prophet to stand: stand to/for to call: call out upon you in/on/with Jerusalem to/for to say king in/on/with Judah and now to hear: hear to/for king like/as word [the] these and now to go: come! [emph?] and to advise together
8 Nilimpelekea jibu hili: “Hakuna jambo kama hilo unalosema linalofanyika. Unalitunga tu kwenye kichwa chako.”
and to send: depart [emph?] to(wards) him to/for to say not to be like/as word: thing [the] these which you(m. s.) to say for from heart your you(m. s.) to devise them
9 Wote walikuwa wakijaribu kutuogopesha, wakifikiri hivi: “Mikono ya watu italegea kiasi kwamba hawataweza kufanya kazi, nayo haitakamilika.” Lakini niliomba, “Ee Mungu, sasa nitie mikono yangu nguvu.”
for all their to fear [obj] us to/for to say to slacken hand their from [the] work and not to make: do and now to strengthen: strengthen [obj] hand my
10 Siku moja nilikwenda nyumbani kwa Shemaya mwana wa Delaya, mwana wa Mehetabeli, ambaye alikuwa amefungwa ndani ya nyumba yake. Akasema, “Tukutane katika nyumba ya Mungu, ndani ya Hekalu, na tufunge milango ya Hekalu, kwa sababu watu wanakuja kukuua. Naam, wanakuja usiku kukuua.”
and I to come (in): come house: home Shemaiah son: child Delaiah son: child Mehetabel and he/she/it to restrain and to say to appoint to(wards) house: temple [the] God to(wards) midst [the] temple and to shut door [the] temple for to come (in): come to/for to kill you and night to come (in): come to/for to kill you
11 Lakini nikasema, “Je, mtu kama mimi akimbie? Au mtu kama mimi aende Hekaluni kuokoa maisha yake? Sitakwenda!”
and to say [emph?] man like me to flee and who? like me which to come (in): come to(wards) [the] temple and to live not to come (in): come
12 Nilitambua kwamba Mungu hakumtuma, bali alitabiri dhidi yangu kwa sababu Tobia na Sanbalati walikuwa wamemwajiri.
and to recognize [emph?] and behold not God to send: depart him for [the] prophecy to speak: promise upon me and Tobiah and Sanballat to hire him
13 Alikuwa ameajiriwa kunitisha ili kwa kufanya jambo hili nitende dhambi, kisha waweze kuniharibia jina langu na kuniaibisha.
because to hire he/she/it because to fear and to make: do so and to sin and to be to/for them to/for name bad: harmful because to taunt me
14 Ee Mungu wangu, wakumbuke Tobia na Sanbalati kwa sababu ya yale waliyotenda. Pia kumbuka nabii mke Noadia na manabii wengine ambao wamekuwa wakijaribu kunitisha.
to remember [emph?] God my to/for Tobiah and to/for Sanballat like/as deed his these and also to/for Noadiah [the] prophetess and to/for remainder [the] prophet which to be to fear [obj] me
15 Basi ukuta ukakamilika siku ya ishirini na tano mwezi wa Eluli, kazi ambayo ilichukua siku hamsini na mbili.
and to complete [the] wall in/on/with twenty and five to/for Elul to/for fifty and two day
16 Adui zetu wote waliposikia kuhusu hili, mataifa yote yaliyotuzunguka yakaogopa na kupoteza ujasiri, kwa sababu yalitambua kuwa kazi hii imefanyika kwa msaada wa Mungu wetu.
and to be like/as as which to hear: hear all enemy our and to fear all [the] nation which around us and to fall: fall much in/on/with eye: appearance their and to know for from with God our to make: do [the] work [the] this
17 Pia katika siku hizo wakuu wa Yuda walikuwa wakituma barua nyingi kwa Tobia, nayo majibu yaliyotoka kwa Tobia yaliendelea kuwajia.
also in/on/with day [the] they(masc.) to multiply noble Judah letter their to go: send upon Tobiah and which to/for Tobiah to come (in): come to(wards) them
18 Kwa kuwa watu wengi katika Yuda walikuwa wamemwapia Tobia, kwani alikuwa mkwewe Shekania mwana wa Ara, na Yehohanani mwanawe alikuwa amemwoa binti wa Meshulamu mwana wa Berekia.
for many in/on/with Judah master: owning oath to/for him for son-in-law he/she/it to/for Shecaniah son: child Arah and Jehohanan son: child his to take: marry [obj] daughter Meshullam son: child Berechiah
19 Zaidi ya hayo, walikuwa wakiniarifu jinsi Tobia alivyo mtu mwema, nao walimwambia kila kitu nilichosema. Naye Tobia alituma barua za kunitisha.
also welfare his to be to say to/for face: before my and word my to be to come out: speak to/for him letter to send: depart Tobiah to/for to fear me