< Nehemia 4 >

1 Sanbalati aliposikia kwamba tulikuwa tunajenga ukuta upya, alikasirika na akawa na uchungu sana. Aliwadhihaki Wayahudi
and to be like/as as which to hear: hear Sanballat for we to build [obj] [the] wall and to be incensed to/for him and to provoke to multiply and to mock upon [the] Jew
2 mbele ya rafiki zake na jeshi la Samaria, akisema, “Hawa Wayahudi wanyonge wanafanya nini? Je, wataweza kuurudishia ukuta wao? Je, watatoa dhabihu? Je, wataweza kumaliza kuujenga kwa siku moja? Je, wataweza kufufua mawe kutoka malundo ya vifusi yaliyoungua hivyo?”
and to say to/for face brother: compatriot his and strength: soldiers Samaria and to say what? [the] Jew [the] weak to make: do to leave: release to/for them to sacrifice to end: finish in/on/with day to live [obj] [the] stone from heap [the] dust and they(masc.) to burn
3 Tobia Mwamoni aliyekuwa upande wake akasema, “Wanachokijenga, hata kama mbweha angepanda juu yake, huo ukuta wao wa mawe angeliubomoa!”
and Tobiah [the] Ammon beside him and to say also which they(masc.) to build if to ascend: rise fox and to break through wall stone their
4 Ee Mungu wetu, utusikie, kwa kuwa tumedharauliwa. Warudishie matukano yao kwenye vichwa vyao wenyewe. Uwatoe ili wawe nyara katika nchi ya waliowateka.
to hear: hear God our for to be contempt and to return: return reproach their to(wards) head their and to give: give them to/for plunder in/on/with land: country/planet captive
5 Usiusitiri uovu wao, wala usifute dhambi zao mbele zako, kwa kuwa wamewatukana wajenzi mbele.
and not to cover upon iniquity: guilt their and sin their from to/for face: before your not to wipe for to provoke to/for before [the] to build
6 Basi tuliujenga upya ukuta mpaka wote ukafikia nusu ya kimo chake, kwa kuwa watu walifanya kazi kwa moyo wote.
and to build [obj] [the] wall and to conspire all [the] wall till half her and to be heart to/for people to/for to make: do
7 Lakini wakati Sanbalati, Tobia, Waarabu, Waamoni na watu wa Ashdodi waliposikia kuwa ukarabati wa kuta za Yerusalemu ulikuwa umeendelea na mianya ilikuwa inazibwa, walikasirika sana.
and to be like/as as which to hear: hear Sanballat and Tobiah and [the] Arabian and [the] Ammon and [the] Ashdod for to ascend: rise health to/for wall Jerusalem for to profane/begin: begin [the] to break through to/for to close and to be incensed to/for them much
8 Wote walifanya shauri pamoja kuja kupigana dhidi ya Yerusalemu, na kuchochea machafuko dhidi yake.
and to conspire all their together to/for to come (in): come to/for to fight in/on/with Jerusalem and to/for to make: do to/for him error
9 Lakini tulimwomba Mungu wetu, na tukaweka ulinzi usiku na mchana kupambana na tishio hili.
and to pray to(wards) God our and to stand: stand custody upon them by day and night from face: because their
10 Wakati ule ule, watu wa Yuda wakasema, “Nguvu za wafanyakazi zinapungua, nacho kifusi ni kingi mno, kiasi kwamba hatuwezi kuujenga upya ukuta.”
and to say Judah to stumble strength [the] burden and [the] dust to multiply and we not be able to/for to build in/on/with wall
11 Pia adui zetu walisema, “Kabla hawajajua au kutuona, tutakuwa palepale katikati yao, na tutawaua na kuikomesha hiyo kazi.”
and to say enemy our not to know and not to see: see till which to come (in): come to(wards) midst their and to kill them and to cease [obj] [the] work
12 Kisha Wayahudi ambao waliishi karibu nao walikuja zaidi ya mara kumi na kutuambia, “Popote mtakapoelekea, watatushambulia.”
and to be like/as as which to come (in): come [the] Jew [the] to dwell beside them and to say to/for us ten beat from all [the] place which to return: return upon us
13 Kwa hiyo nikaweka baadhi ya watu nyuma ya sehemu za chini za ukuta kwenye sehemu zilizo wazi, nikawaweka kufuatana na jamaa zao, wakiwa na panga, mikuki na pinde zao.
and to stand: put from lower to/for place from after to/for wall (in/on/with bare *Q(K)*) and to stand: put [obj] [the] people to/for family with sword their spear their and bow their
14 Baada ya kuona hali ilivyo, nikasimama na kuwaambia wakuu, maafisa na wengine wote, “Msiwaogope. Mkumbukeni Bwana, ambaye ni mkuu mwenye kuogofya. Piganeni kwa ajili ya ndugu zenu, wana wenu na binti zenu, wake zenu na nyumba zenu.”
and to see: see and to arise: rise and to say to(wards) [the] noble and to(wards) [the] ruler and to(wards) remainder [the] people not to fear from face of their [obj] Lord [the] great: large and [the] to fear: revere to remember and to fight upon brother: compatriot your son: child your and daughter your woman: wife your and house: home your
15 Adui zetu waliposikia kwamba tumetambua hila yao, na kwamba Mungu amevuruga shauri lao, sote tulirudi kwenye ukuta, kila mmoja kwenye kazi yake.
and to be like/as as which to hear: hear enemy our for to know to/for us and to break [the] God [obj] counsel their (and to return: return *Q(k)*) all our to(wards) [the] wall man: anyone to(wards) work his
16 Kuanzia siku ile na kuendelea, nusu ya watu wangu walifanya kazi ya ujenzi, na nusu nyingine wakashika mikuki, ngao, pinde na dirii. Maafisa walijipanga nyuma ya watu wote wa Yuda
and to be from [the] day [the] he/she/it half youth my to make: do in/on/with work and half their to strengthen: hold and [the] spear [the] shield and [the] bow and [the] armor and [the] ruler after all house: household Judah
17 waliokuwa wakijenga ukuta. Wale waliobeba vifaa vya ujenzi walifanya kazi yao kwa mkono mmoja, na kushika silaha kwa mkono mwingine,
[the] to build in/on/with wall and [the] to lift: bear in/on/with burden to lift in/on/with one hand his to make: do in/on/with work and one to strengthen: hold [the] missile
18 na kila mjenzi alijifunga upanga wake upande mmoja akiwa anafanya kazi. Lakini mtu wa kupiga baragumu alikaa pamoja nami.
and [the] to build man: anyone sword his to bind upon loin his and to build and [the] to blow in/on/with trumpet beside me
19 Kisha nikawaambia wakuu, maafisa na watu wengine wote, “Kazi hii ni kubwa na imeenea sehemu kubwa, nasi tumetawanyika kila mmoja akiwa mbali na mwenzake juu ya ukuta.
and to say to(wards) [the] noble and to(wards) [the] ruler and to(wards) remainder [the] people [the] work to multiply and broad: wide and we to separate upon [the] wall distant man: anyone from brother: compatriot his
20 Popote mtakaposikia sauti ya baragumu, jiungeni nasi huko. Mungu wetu atatupigania!”
in/on/with place which to hear: hear [obj] voice: sound [the] trumpet there [to] to gather to(wards) us God our to fight to/for us
21 Basi tuliendelea na kazi, nusu ya watu wakishikilia mikuki, kuanzia mawio ya jua hadi nyota zilipoonekana.
and we to make: do in/on/with work and half their to strengthen: hold in/on/with spear from to ascend: dawn [the] dawn till to come out: come [the] star
22 Wakati huo pia niliwaambia watu, “Kila mtu na msaidizi wake wakae ndani ya Yerusalemu wakati wa usiku, ili waweze kutumika kama walinzi wakati wa usiku, na kufanya kazi wakati wa mchana.”
also in/on/with time [the] he/she/it to say to/for people man: anyone and youth his to lodge in/on/with midst Jerusalem and to be to/for us [the] night custody and [the] day work
23 Mimi, wala ndugu zangu, wala watu wangu, wala walinzi waliokuwa pamoja nami hatukuvua nguo zetu. Kila mmoja alikuwa na silaha yake, hata alipokwenda kuchota maji.
and nothing I and brother: compatriot my and youth my and human [the] custody which after me nothing we to strip garment our man: anyone missile his [the] water

< Nehemia 4 >