< Nehemia 3 >
1 Eliashibu kuhani mkuu na makuhani wenzake walikwenda kufanya kazi na kulijenga upya Lango la Kondoo. Waliliweka wakfu na kuweka milango mahali pake, wakajenga hadi kufikia Mnara wa Mia, ambao waliuweka wakfu hadi Mnara wa Hananeli.
I usta Elijasiv poglavar sveštenièki i braæa njegova sveštenici i zidaše vrata ovèija, i osvetiše ih i metnuše im krila, i osvetiše ih do kule Meje, do kule Ananeilove.
2 Watu wa Yeriko wakajenga sehemu zilizopakana nao, naye Zakuri mwana wa Imri akajenga karibu nao.
A do njega zidaše Jerihonjani, a do njih zida Zahur sin Imrijev;
3 Lango la Samaki lilijengwa upya na wana wa Hasenaa. Waliweka boriti zake, na wakaweka milango yake na makomeo na nondo.
A vrata riblja zidaše sinovi Asenajini, oni ih pobrvnaše i metnuše krila i brave i prijevornice.
4 Meremothi mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, alikarabati sehemu iliyofuatia. Baada yake Meshulamu mwana wa Berekia, mwana wa Meshezabeli, alifanya ukarabati na aliyemfuatia ni Sadoki mwana wa Baana.
A do njih opravlja Merimot sin Urije sina Akosova; a do njih opravlja Mesulam sin Varahije sina Mesizaveilova; a do njih opravlja Sadok sin Vanin.
5 Sehemu iliyofuatia ilikarabatiwa na watu kutoka Tekoa, lakini wakuu wao walikataa kufanya kazi chini ya wasimamizi wao.
A do njih opravljaše Tekojani, ali poglavice njihove ne saviše vrata svojega na službu Gospodu svojemu.
6 Lango la Yeshana lilikarabatiwa na Yoyada mwana wa Pasea, na Meshulamu mwana wa Besodeya. Waliweka boriti zake, na wakaweka milango, makomeo na nondo.
A stara vrata opravlja Jodaj sin Fasejin i Mesulam sin Vesodijin, oni ih pobrvnaše i metnuše krila i brave i prijevornice.
7 Karibu nao ukarabati ulifanywa na watu kutoka Gibeoni na Mispa, yaani Melati Mgibeoni, na Yadoni Mmeronothi, sehemu hizi zikiwa chini ya mamlaka ya mtawala wa Ngʼambo ya Frati.
A do njih opravljaše Melatija Gavaonjanin i Jadon Meronjanin, ljudi iz Gavaona i iz Mispe do stolice kneza s ove strane rijeke.
8 Uzieli mwana wa Harhaya, mmoja wa masonara, alikarabati sehemu iliyofuatia, naye Hanania mmoja wa watengenezaji marashi akakarabati sehemu iliyofuatia. Walitengeneza Yerusalemu mpaka kufikia Ukuta Mpana.
Do njih opravlja Uzilo sin Arahijin zlatar; a do njega opravlja Ananija sin apotekarski. I ostaviše Jerusalim do širokoga zida.
9 Refaya mwana wa Huri, mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, alikarabati sehemu iliyofuatia.
A do njih opravlja Refaja sin Orov poglavar nad polovinom kraja Jerusalimskoga.
10 Kupakana na sehemu hii, Yedaya mwana wa Harumafu alikarabati sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba yake, naye Hatushi mwana wa Hashabnea akakarabati sehemu iliyofuatia.
A do njih opravlja Jedaja sin Arumafov prema svojoj kuæi, a do njega opravlja Hatus sin Asavnijin.
11 Malkiya mwana wa Harimu, na Hashubu mwana wa Pahath-Moabu walikarabati sehemu nyingine pamoja na Mnara wa Matanuru.
Toliko opravlja Malhija sin Harimov i Asuv sin Fat-Moavov i kulu kod peæi.
12 Shalumu mwana wa Haloheshi, mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, alikarabati sehemu iliyofuatia akisaidiwa na binti zake.
A do njega opravlja Salum sin Loisov, poglavar nad polovinom kraja Jerusalimskoga sa kæerima svojim.
13 Lango la Bondeni lilikarabatiwa na Hanuni na wakazi wa Zanoa. Walilijenga upya, na kuweka milango yake na makomeo na nondo mahali pake. Pia walikarabati ukuta wenye urefu wa mita 450 hadi Lango la Samadi.
Vrata dolinska opravlja Anun sa stanovnicima Zanojskim; oni ih sagradiše i metnuše krila i brave i prijevornice, i tisuæu lakata zida do gnojnijeh vrata.
14 Lango la Samadi lilikarabatiwa na Malkiya mwana wa Rekabu, mtawala wa wilaya ya Beth-Hakeremu. Alilijenga upya, na kuweka milango yake, na makomeo na nondo.
A gnojna vrata opravlja Malhija sin Rihavov poglavar nad krajem Vet-Keremskim, on ih sagradi i metnu krila i brave i prijevornice.
15 Lango la Chemchemi lilikarabatiwa na Shalumu mwana wa Kolhoze, mtawala wa wilaya ya Mispa. Alilijenga upya, akaliezeka na kuweka milango yake, na makomeo na nondo mahali pake. Pia alikarabati ukuta wa Bwawa la Siloamu karibu na Bustani ya Mfalme, hadi kwenye ngazi zinazoshuka kutoka Mji wa Daudi.
A vrata izvorska opravlja Salum sin Hol-Ozin, poglavar nad krajem u Mispi, on ih sagradi i pokri i metnu im krila i brave i prijevornice; i zid kod banje Siloamske od vrta careva do basamaka koji slaze iz grada Davidova.
16 Baada yake, Nehemia mwana wa Azbuki, mtawala wa nusu ya wilaya ya Beth-Suri, alikarabati kufikia mkabala na makaburi ya Daudi, mpaka kwenye bwawa lililotengenezwa, na kufikia Nyumba ya Mashujaa.
Za njim opravlja Nemija sin Azvukov poglavar nad polovinom kraja Vet-Surskoga do prema grobovima Davidovijem i do jezera naèinjenoga i do kuæe junaèke.
17 Baada yake, ukarabati ulifanywa na Walawi chini ya uongozi wa Rehumu mwana wa Bani. Aliyefuatia ni Hashabia, mtawala wa nusu ya wilaya ya Keila, aliyekarabati sehemu ya wilaya yake.
Za njim opravljaše Leviti, Reum sin Vanijev, a do njega opravlja Asavija poglavar nad polovinom kraja Keilskoga sa svojim krajem.
18 Baada yake, ukarabati ulifanywa na ndugu zao chini ya usimamizi wa Binui mwana wa Henadadi, mtawala wa nusu hiyo ingine ya wilaya ya Keila.
Za njim opravljaše braæa njihova, Vavaj sin Inadadov poglavar nad polovinom kraja Keilskoga.
19 Baada yao, Ezeri mwana wa Yeshua, mtawala wa Mispa, alikarabati sehemu nyingine, kuanzia ile sehemu inayotazamana na mwinuko wa kuelekea kwenye ghala la kuhifadhia silaha, mpaka kwenye pembe ya ukuta.
A do njega opravlja Eser sin Isusov poglavar od Mispe toliko prema mjestu kuda se ide k riznici na uglu.
20 Baada yake, Baruku mwana wa Zakai alikarabati kwa bidii sehemu nyingine kuanzia ile pembe, mpaka kwenye lango la nyumba ya Eliashibu kuhani mkuu.
Za njim razgorjevši se Varuh sin Zavajev opravlja toliko od ugla do vrata od kuæe Elijasiva poglavara sveštenièkoga.
21 Kupakana naye, Meremothi mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, alikarabati sehemu nyingine, kuanzia penye lango la nyumba ya Eliashibu mpaka mwisho wake.
Za njim opravlja Merimot sin Urije sina Akosova toliko od vrata kuæe Elijasivove do kraja kuæe Elijasivove.
22 Baada yake, ukarabati ulifanywa na makuhani waliotoka eneo lililouzunguka mji.
A za njim opravljaše sveštenici koji življahu u ravnici.
23 Baada yao Benyamini na Hashubu walikarabati mbele ya nyumba zao, na baada yao Azaria mwana wa Maaseya, mwana wa Anania alifanya ukarabati kando ya nyumba yake.
Za njima opravlja Venijamin i Asuv prema svojim kuæama; a za njima opravlja Azarija sin Masije sina Ananijina uz svoju kuæu.
24 Baada yake, Binui mwana wa Henadadi alikarabati sehemu nyingine, kuanzia kwenye nyumba ya Azaria mpaka kwenye pembe ya ukuta.
Za njim opravlja Vinuj sin Inadadov toliko od kuæe Azarijine do savitka i do ugla.
25 Naye Palali, mwana wa Uzai alijenga sehemu iliyokuwa mkabala na pembe ya ukuta, mpaka kwenye mnara wa juu ambao unajitokeza kuanzia kwenye jumba la kifalme, kando ya ua wa walinzi. Baada yake, Pedaya mwana wa Paroshi,
Falal sin Uzajev opravlja prema savitku i prema kuli koja se izdiže iz gornjega doma careva kod trijema tamnièkoga; za njim Fedaja sin Farosov;
26 na watumishi wa Hekalu walioishi juu ya kilima cha Ofeli walikarabati hadi kufikia mkabala na Lango la Maji, kuelekea mashariki na ule mnara uliojitokeza.
I Netineji koji življahu u Ofilu, do prema vratima vodenijem na istok i kuli visokoj;
27 Baada yao, watu wa Tekoa walikarabati sehemu nyingine, kuanzia mnara mkubwa utokezao hadi ukuta wa Ofeli.
Za njima opravljaše Tekojani toliko prema velikoj kuli visokoj do zida Ofilskoga;
28 Makuhani walifanya ukarabati juu ya Lango la Farasi, kila mmoja mbele ya nyumba yake.
Od vrata konjskih opravljaše sveštenici svaki prema svojoj kuæi;
29 Baada yao, Sadoki mwana wa Imeri alifanya ukarabati mkabala na nyumba yake. Baada yake, Shemaya mwana wa Shekania, mlinzi wa Lango la Mashariki, alifanya ukarabati.
Za njima opravlja Sadok sin Imirov prema svojoj kuæi; a za njim opravlja Semaja sin Sehanijin èuvar vrata istoènijeh;
30 Baada yake, Hanania mwana wa Shelemia, na Hanuni mwana wa sita wa Salafu walikarabati sehemu nyingine. Baada yao, Meshulamu mwana wa Berekia alikarabati sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba zake za kuishi.
Za njim opravlja Ananija sin Selemijin i Anun šesti sin Salafov, toliko; za njima opravlja Mesulam sin Varahijin prema svojoj klijeti;
31 Baada yake Malkiya, mmoja wa masonara, alifanya ukarabati mpaka kwenye nyumba za watumishi wa Hekalu na wafanyabiashara, mkabala na Lango la Ukaguzi, hadi kufikia chumba kilicho juu ya pembe.
Za njim opravlja Malhija sin zlatarev do kuæe Netinejske i trgovaèke prema vratima Mifkadskim do uzbrdice na uglu;
32 Masonara na wafanyabiashara walifanya ukarabati kutoka chumba kilichoko juu ya pembe hadi Lango la Kondoo.
A izmeðu uzbrdice na uglu i ovèjih vrata opravljaše zlatari i trgovci.