< Nehemia 3 >
1 Eliashibu kuhani mkuu na makuhani wenzake walikwenda kufanya kazi na kulijenga upya Lango la Kondoo. Waliliweka wakfu na kuweka milango mahali pake, wakajenga hadi kufikia Mnara wa Mia, ambao waliuweka wakfu hadi Mnara wa Hananeli.
Hiche jou chun thempulen Eliashib leh thempu dangho chun Kelngoi Kelkot chu asemphauvin ahi; hitichun asemjou phat’un athensouvin, chuleh akot jouse jong asutoh un, Jakhat Insang kiti chan geiyin asa phauvin, achaisoh phat’un athenso’vin chuin Hananel Insung geipeh in asa phauvin ahi.
2 Watu wa Yeriko wakajenga sehemu zilizopakana nao, naye Zakuri mwana wa Imri akajenga karibu nao.
Jericho khopi a konna hung mipiten amaho bang chun na atongun chuban’in Imri chapa Zakkur in atongin ahi.
3 Lango la Samaki lilijengwa upya na wana wa Hasenaa. Waliweka boriti zake, na wakaweka milango yake na makomeo na nondo.
Hassenaah chapaten Ngapi Kelkot geiyin asauvin ahi; Chule amahon ajol jong ajam’un, akot jouse jong asuto’uvin, chule kopja le thih jol ho jong asutoh un ahi.
4 Meremothi mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, alikarabati sehemu iliyofuatia. Baada yake Meshulamu mwana wa Berekia, mwana wa Meshezabeli, alifanya ukarabati na aliyemfuatia ni Sadoki mwana wa Baana.
Hiche banna pal chu Hakkoz tupa Uriah chapa Meremoth in asemphan ahi. Chule ama ban’a hin Meshezabel tupa Berekiah chapa Meshullam in asempha in ahi. Chujongle ama banin Baana chapa Zadok in asemin ahi.
5 Sehemu iliyofuatia ilikarabatiwa na watu kutoka Tekoa, lakini wakuu wao walikataa kufanya kazi chini ya wasimamizi wao.
Hiche ban in Tekoa kona hung mipite hin alamkai houvin hiche natoh na a vaihom hotoh atoh khom nomlou vangun ahung semphauvin ahi.
6 Lango la Yeshana lilikarabatiwa na Yoyada mwana wa Pasea, na Meshulamu mwana wa Besodeya. Waliweka boriti zake, na wakaweka milango, makomeo na nondo.
Chule Khopi Kelkot luichu Paseah chapa Joiada leh Besodeiah chapa Meshullam in asempha lhon in ahi. Chule amahon ajol ajam’un, akot ho atungdoh’un, chule kopja ho le thih jol ho jouse jong asutoh un ahi.
7 Karibu nao ukarabati ulifanywa na watu kutoka Gibeoni na Mispa, yaani Melati Mgibeoni, na Yadoni Mmeronothi, sehemu hizi zikiwa chini ya mamlaka ya mtawala wa Ngʼambo ya Frati.
Amaho banin Gibeon a kon in Milatiah, Meronoth a konin Jadon, chule Gibeon mipite Mizpah a kon a hung mipiten Eupharates lhum lam gamvaipo pa chenna mun gei asemphauvin ahi.
8 Uzieli mwana wa Harhaya, mmoja wa masonara, alikarabati sehemu iliyofuatia, naye Hanania mmoja wa watengenezaji marashi akakarabati sehemu iliyofuatia. Walitengeneza Yerusalemu mpaka kufikia Ukuta Mpana.
Chule hiche bana hin sanakhenga pang Harhai’ah chapa Uzziel in ana semphan ahi; chule ama ban a hin thaonam twi sema pang Hananiah in ana semphan, chule amaho hin Jerusalem kulpi pal lenpa geiyin anasem phauvin ahi.
9 Refaya mwana wa Huri, mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, alikarabati sehemu iliyofuatia.
Chule amaho bana pal sempha a panga chu Jerusalem gamkai akehkhat chunga lamkaiya pang Hur chapa Rephai’ah ana hi.
10 Kupakana na sehemu hii, Yedaya mwana wa Harumafu alikarabati sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba yake, naye Hatushi mwana wa Hashabnea akakarabati sehemu iliyofuatia.
Amaho bana hin Harumaph chapa Jedai’ah kitipa hin in kotmai lam chu ana semphan; chuleh ama bana chun Hashabneiah chapa Hattush chun asemphan ahi.
11 Malkiya mwana wa Harimu, na Hashubu mwana wa Pahath-Moabu walikarabati sehemu nyingine pamoja na Mnara wa Matanuru.
Hiche bana hin Harim chapa Malkijah leh Pahath-moab chapa Hasshub in munchom banglai khat toh meilhum chung insang chung geiyin asempha lhonin ahi.
12 Shalumu mwana wa Haloheshi, mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, alikarabati sehemu iliyofuatia akisaidiwa na binti zake.
Hallohesh chapa Shallum leh achanuten abanchu asem phauvin ahi; chule amahi Jerusalem gamkai akeh khat chunga lamkai ahiye.
13 Lango la Bondeni lilikarabatiwa na Hanuni na wakazi wa Zanoa. Walilijenga upya, na kuweka milango yake na makomeo na nondo mahali pake. Pia walikarabati ukuta wenye urefu wa mita 450 hadi Lango la Samadi.
Chule phaicham kelkot chu Hannun lamkai na in Zanoah mipiten ana semphauvin ahi, chule amahon akot ho atung doh’un, chujongle kopja ho le thih jol ho geiyin asutoh’un ahi. Chuleh palchu tong sangkhat le ja-nga gei Ehkul Kelkot chan geiyin ana semphauvin ahi.
14 Lango la Samadi lilikarabatiwa na Malkiya mwana wa Rekabu, mtawala wa wilaya ya Beth-Hakeremu. Alilijenga upya, na kuweka milango yake, na makomeo na nondo.
Chule Ehkul Kelkot chu Beth-hakkerem gamkaiya lamkaiya pang Recab chapa Malkijah in asem phan; chule aman akotho atung doh in kopja ho le thih ho geiyin asutoh in ahi.
15 Lango la Chemchemi lilikarabatiwa na Shalumu mwana wa Kolhoze, mtawala wa wilaya ya Mispa. Alilijenga upya, akaliezeka na kuweka milango yake, na makomeo na nondo mahali pake. Pia alikarabati ukuta wa Bwawa la Siloamu karibu na Bustani ya Mfalme, hadi kwenye ngazi zinazoshuka kutoka Mji wa Daudi.
Mizpah gamkaiya lamkai Kol-hozeh chapa Shallum chun Twisam putna kelkot chu asemphan, chule aman achung akhun, akot ho jong atungdoh in chuleh kopja ho le thih ho geiyin asutoh in ahi. Hiche bana chun lengpa hon kom Siloam twikul pal chu asemphan chule apal chu David khopia kona kidosuh kalbi geichun asemphan ahi.
16 Baada yake, Nehemia mwana wa Azbuki, mtawala wa nusu ya wilaya ya Beth-Suri, alikarabati kufikia mkabala na makaburi ya Daudi, mpaka kwenye bwawa lililotengenezwa, na kufikia Nyumba ya Mashujaa.
Hiche banna hin Bethzur gamkai akeh khat chunga lamkaiya pang Azbuk chapa Nehemiah in asemphan ahi; chule aman David insung mite lhantoh kigalsai twikul chuleh galhat ho inmun chan geiyin asemphan ahi.
17 Baada yake, ukarabati ulifanywa na Walawi chini ya uongozi wa Rehumu mwana wa Bani. Aliyefuatia ni Hashabia, mtawala wa nusu ya wilaya ya Keila, aliyekarabati sehemu ya wilaya yake.
Chule hiche banna hin Bani chapa Rehum lamkai nan Levite phabep khat in ana semphauvin; chule hiche banna hin Keilah gamkai akeh khat chunga lamkaipa Hashabi’ah lamkai nan ana semphauvin ahi.
18 Baada yake, ukarabati ulifanywa na ndugu zao chini ya usimamizi wa Binui mwana wa Henadadi, mtawala wa nusu hiyo ingine ya wilaya ya Keila.
Hiche banna hin Keilah gamkai akeh khat chunga lamkaiya pang Henadad chapa Binnui lamkai nan agamsung mite nana semphauvin ahi.
19 Baada yao, Ezeri mwana wa Yeshua, mtawala wa Mispa, alikarabati sehemu nyingine, kuanzia ile sehemu inayotazamana na mwinuko wa kuelekea kwenye ghala la kuhifadhia silaha, mpaka kwenye pembe ya ukuta.
Amaho banna Mizpah lamkai, Jeshua chapa Ezer hin pal ningkoi kom, manchah ho kikoina lang se se chu asem phan ahi.
20 Baada yake, Baruku mwana wa Zakai alikarabati kwa bidii sehemu nyingine kuanzia ile pembe, mpaka kwenye lango la nyumba ya Eliashibu kuhani mkuu.
Ama banna Zabbai chapa Baruch in thempulen Eliashib in kot ninga pat’in aninglang khat geiyin asemphan ahi.
21 Kupakana naye, Meremothi mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, alikarabati sehemu nyingine, kuanzia penye lango la nyumba ya Eliashibu mpaka mwisho wake.
Chule ama nunga hin Hakkoz chapa Uriah chapa Meremoth chun Eliashib in kot na konin aninglang khat geiyin asem phan ahi.
22 Baada yake, ukarabati ulifanywa na makuhani waliotoka eneo lililouzunguka mji.
Ama banna hin thempu hole phaicham a cheng hon asem phauvin ahi.
23 Baada yao Benyamini na Hashubu walikarabati mbele ya nyumba zao, na baada yao Azaria mwana wa Maaseya, mwana wa Anania alifanya ukarabati kando ya nyumba yake.
Amaho ban ah hin Benjamin leh Hesshub amani toh kigalsai ja um chu asempha lhonin ahi; chule amani banna chun Ananiah chapoa Maasei’ah chapa Azariah chun ama inkom chu asemphan ahi.
24 Baada yake, Binui mwana wa Henadadi alikarabati sehemu nyingine, kuanzia kwenye nyumba ya Azaria mpaka kwenye pembe ya ukuta.
Ama banna hin Henadad chapa Binnui chun Azariah inkoma pat aningkoi gei palgol chom khat chu asemphan ahi.
25 Naye Palali, mwana wa Uzai alijenga sehemu iliyokuwa mkabala na pembe ya ukuta, mpaka kwenye mnara wa juu ambao unajitokeza kuanzia kwenye jumba la kifalme, kando ya ua wa walinzi. Baada yake, Pedaya mwana wa Paroshi,
Uzai chapa Palal chun agal langkhat in ningkoi lai chule insang laitah toh kigalsai lai, chule lengpa indan chung nung, in vengtup ho panna indan laitah chu asemphan ahi; chule ama bantah a hin Parosh chapa Pedai’ah leh;
26 na watumishi wa Hekalu walioishi juu ya kilima cha Ofeli walikarabati hadi kufikia mkabala na Lango la Maji, kuelekea mashariki na ule mnara uliojitokeza.
Ophel vum'a cheng houin lhacha a pang hotoh twi kelkot gal nisolam insang toh kimai ngat laichu asemphauvin ahi.
27 Baada yao, watu wa Tekoa walikarabati sehemu nyingine, kuanzia mnara mkubwa utokezao hadi ukuta wa Ofeli.
Hiche jouchun Tekoah mipiho ahung’uvin insang thupitah a kitung doh gal Ophel pal geiyin mun chom khat ahung semphauvin ahi.
28 Makuhani walifanya ukarabati juu ya Lango la Farasi, kila mmoja mbele ya nyumba yake.
Chule Sakol Kelkot chung chu thempu hon asem phauvin ahi; chule amaho khat cheh chun ama in toh kigal sai cheh chu asem phauvin ahi.
29 Baada yao, Sadoki mwana wa Imeri alifanya ukarabati mkabala na nyumba yake. Baada yake, Shemaya mwana wa Shekania, mlinzi wa Lango la Mashariki, alifanya ukarabati.
Abanchu Immer chapa Zadok chun ama in toh kigalsai akotmai laitah mun phabep chu asemphan, chule ama banchun solang kelkot ngahpa Shecaniah chapa Shemai’ah chun asemphan ahi.
30 Baada yake, Hanania mwana wa Shelemia, na Hanuni mwana wa sita wa Salafu walikarabati sehemu nyingine. Baada yao, Meshulamu mwana wa Berekia alikarabati sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba zake za kuishi.
Hiche banchu Shelemiah chapa Hananiah leh Zalaph chapa agup channa Hanun chun munchom lai khat asempha lhonin, alangkhat a Berekiah chapa Meshullam in ama chenna inmun gal a palchu asemphan ahi.
31 Baada yake Malkiya, mmoja wa masonara, alifanya ukarabati mpaka kwenye nyumba za watumishi wa Hekalu na wafanyabiashara, mkabala na Lango la Ukaguzi, hadi kufikia chumba kilicho juu ya pembe.
Sana kheng ho lah a mikhat Malkijah kitipa chun Houin lhacha hole kivei ho umna in changei kelkot ngah ho gal lang changei a pal chu agenphan ahi; hiche ban jongchun anunglam indan chung geiyin asembe in ahi.
32 Masonara na wafanyabiashara walifanya ukarabati kutoka chumba kilichoko juu ya pembe hadi Lango la Kondoo.
Sana khenga pang adang hole kivei miho chun kelngoi kotpi ningkoiya konchun pal chu ahin semphauvin ahi.