< Nehemia 3 >

1 Eliashibu kuhani mkuu na makuhani wenzake walikwenda kufanya kazi na kulijenga upya Lango la Kondoo. Waliliweka wakfu na kuweka milango mahali pake, wakajenga hadi kufikia Mnara wa Mia, ambao waliuweka wakfu hadi Mnara wa Hananeli.
Ilia da Yelusaleme gagoi dobea mugului, agoane bu gagoi. Gobele Salasu ouligisu dunu Ilaiasibi, da Sibi Logo Ga: su amo bu hahamone ga: si. Ilia da amo logo ga: su modale ligiagale, ilia sogebi amoga bugisi dagoi. Ilia gagoi dobea amo da Diasu Gado Gagagula Heda: i ea dio ‘100’ amoga asili, Diasu Gado Gagagula Heda: i eno amo ea dio da “Hana: niele”, amoga doaga: i. Amo gagoi dobea ilia da dagole, Gode Ea hawa: hamomusa: gini modale ligiagai.
2 Watu wa Yeriko wakajenga sehemu zilizopakana nao, naye Zakuri mwana wa Imri akajenga karibu nao.
Gagoi dobea eno feadili legei amo Yeligou dunu da gagoi. Amola, eno feadili legei amo Imilai ea mano Sa: ge da gagoi.
3 Lango la Samaki lilijengwa upya na wana wa Hasenaa. Waliweka boriti zake, na wakaweka milango yake na makomeo na nondo.
Menabo Logo Ga: su amo Ha: sina: ia ea fi da hahamone ga: si. Ilia da dudu dawalo amola ga: su legelalu, logo amo logo ga: su noga: le ga: ma: ne amola hahamoi dagoi.
4 Meremothi mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, alikarabati sehemu iliyofuatia. Baada yake Meshulamu mwana wa Berekia, mwana wa Meshezabeli, alifanya ukarabati na aliyemfuatia ni Sadoki mwana wa Baana.
Melimode (Iulaia egefe amola Ha: gose ea aowa) da feadili legei eno amo gagoi. Amola Misiala: me (Belegaia egefe amola Misiesabele ea aowa) da eno feadili legei gagoi. Amola Sa: idoge (Ba: iana egefe) da feadili legei eno gagoi.
5 Sehemu iliyofuatia ilikarabatiwa na watu kutoka Tekoa, lakini wakuu wao walikataa kufanya kazi chini ya wasimamizi wao.
Degoua moilai dunu da feadili legei eno gagoi. Be moilai mimogo dunu da ilima ilegei hawa: hamosu hamomu higaiba: le, ilia da hame hamosu.
6 Lango la Yeshana lilikarabatiwa na Yoyada mwana wa Pasea, na Meshulamu mwana wa Besodeya. Waliweka boriti zake, na wakaweka milango, makomeo na nondo.
Yoiada (Basia egefe) amola Misiala: me (Besoudia egefe) da Yesiana Logo Ga: su bu hahamone ga: si. Ilia da dudu dawalo amola ga: su legelalu, amo logo ga: su noga: le ga: ma: ne hahamoi.
7 Karibu nao ukarabati ulifanywa na watu kutoka Gibeoni na Mispa, yaani Melati Mgibeoni, na Yadoni Mmeronothi, sehemu hizi zikiwa chini ya mamlaka ya mtawala wa Ngʼambo ya Frati.
Meladaia (Gibione moilai dunu), Ya: idone (Melinode moilai dunu), Gibione moilai dunu amola Misiba moilai dunu da feadili legei eno gagole, asili, Guma: dini Iufala: idisi eagene ouligisu dunu amo ea diasuga doaga: i.
8 Uzieli mwana wa Harhaya, mmoja wa masonara, alikarabati sehemu iliyofuatia, naye Hanania mmoja wa watengenezaji marashi akakarabati sehemu iliyofuatia. Walitengeneza Yerusalemu mpaka kufikia Ukuta Mpana.
Asaiele (Hahaia, gouli hahamosu dunu, amo egefe) da feadili legei eno gagoi. Ha: nanaia (gabusiga: manoma hamosu dunu) da feadili legei eno gagole, asili, Ba: de Gagoi Dobea amoga doaga: i.
9 Refaya mwana wa Huri, mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, alikarabati sehemu iliyofuatia.
Lifa: ya (He, amo da Yelusaleme soge la: idi eagene ouligisu dunu esala, amo egefe) da feadili legei eno gagoi.
10 Kupakana na sehemu hii, Yedaya mwana wa Harumafu alikarabati sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba yake, naye Hatushi mwana wa Hashabnea akakarabati sehemu iliyofuatia.
Yeda: ia (Haloumafe egefe) da feadili legei eno gagoi. E da ea diasu gadenene gagosu. Ha: dase (Ha: sia: baniaia egefe) da feadili legei eno gagoi.
11 Malkiya mwana wa Harimu, na Hashubu mwana wa Pahath-Moabu walikarabati sehemu nyingine pamoja na Mnara wa Matanuru.
Ma: legaia (Ha: ilime egefe) amola Ha: siabe (Ba: iha: de Moua: be egefe) da feadili legei eno gagoi. Amola ela da gado gagagula heda: i Gobele Nasu Diasu gagui dagoi.
12 Shalumu mwana wa Haloheshi, mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, alikarabati sehemu iliyofuatia akisaidiwa na binti zake.
Sia: lame da Ha: louhesie (e da Yelusaleme moilai la: idi amoga ouligisu esalu) amo egefe. E da feadili legei eno gagoi. Ea uda mano ilia da ea hawa: hamosu fidisu.
13 Lango la Bondeni lilikarabatiwa na Hanuni na wakazi wa Zanoa. Walilijenga upya, na kuweka milango yake na makomeo na nondo mahali pake. Pia walikarabati ukuta wenye urefu wa mita 450 hadi Lango la Samadi.
Ha: inane amola Sanoua moilai dunu da Fago Logo Ga: su gagui. Ilia da logo ga: su legelalu, amola liligi amo noga: le ga: ma: ne legei. Amola ilia da gagoi dobea hahamonanu, 440mida asili, Isu Logo Ga: su amoga doaga: i.
14 Lango la Samadi lilikarabatiwa na Malkiya mwana wa Rekabu, mtawala wa wilaya ya Beth-Hakeremu. Alilijenga upya, na kuweka milango yake, na makomeo na nondo.
Ma: legaia da Liga: be (e da Bede Ha: gileme Soge amo ganodini ouligisu esalu) amo egefe. E da Isu Logo Ga: su bu gagui. E da logo ga: su legelalu, amola liligi amo noga: le ga: ma: ne legei.
15 Lango la Chemchemi lilikarabatiwa na Shalumu mwana wa Kolhoze, mtawala wa wilaya ya Mispa. Alilijenga upya, akaliezeka na kuweka milango yake, na makomeo na nondo mahali pake. Pia alikarabati ukuta wa Bwawa la Siloamu karibu na Bustani ya Mfalme, hadi kwenye ngazi zinazoshuka kutoka Mji wa Daudi.
Sia: lame da Golohouse (e da Misiba soge ouligisu esalu) egefe esalu. E da Hano Bubuga: su Logo Ga: su bu gagui. E da logo holei dedebole, logo ga: su legelalu, amola liligi amo noga: le ga: ma: ne legei. Sila Hano Wayabo gadenene amola hina bagade ea ifabi gadenene, e da feadili legei gagole, asili, fa: gu amo da Da: ibidi Moilaiga heda: su amoga doaga: su.
16 Baada yake, Nehemia mwana wa Azbuki, mtawala wa nusu ya wilaya ya Beth-Suri, alikarabati kufikia mkabala na makaburi ya Daudi, mpaka kwenye bwawa lililotengenezwa, na kufikia Nyumba ya Mashujaa.
Nihemaia da A: sabage (e da Bedese la: idi amoga ouligisu esalu) da feadili legei eno gagole asili, Da: ibidi ea bogoi gele gelabo, hano wayabo amola dadi gagui dunu ilia diasu amoga doaga: i.
17 Baada yake, ukarabati ulifanywa na Walawi chini ya uongozi wa Rehumu mwana wa Bani. Aliyefuatia ni Hashabia, mtawala wa nusu ya wilaya ya Keila, aliyekarabati sehemu ya wilaya yake.
Lifai dunu hagudu dedei da eno feadili legei mogili gagosu. Lihame (Ba: inai egefe) da feadili legei eno gagoi. Ha: siabaia (e da Giaila soge la: idi mogili ouligisu) da ea soge dunu ilia hawa: hamosu ilegei hifa hamoi. E da feadili legei eno gagoi.
18 Baada yake, ukarabati ulifanywa na ndugu zao chini ya usimamizi wa Binui mwana wa Henadadi, mtawala wa nusu hiyo ingine ya wilaya ya Keila.
Ba: fa: iai da Henadede (e da Giaila soge la: idi eno amoga ouligisu esalu) egefe esalu. E da feadili legei eno gagoi.
19 Baada yao, Ezeri mwana wa Yeshua, mtawala wa Mispa, alikarabati sehemu nyingine, kuanzia ile sehemu inayotazamana na mwinuko wa kuelekea kwenye ghala la kuhifadhia silaha, mpaka kwenye pembe ya ukuta.
Ise da Yesua (e da Misiba soge ouligisu dunu) amo egefe esalu. E da feadili legei amo gegesu liligi ligisisu diasu midadi dialu amo gagole, asili, gagoi dobea ea halowa: i sogebi amoga doaga: i.
20 Baada yake, Baruku mwana wa Zakai alikarabati kwa bidii sehemu nyingine kuanzia ile pembe, mpaka kwenye lango la nyumba ya Eliashibu kuhani mkuu.
Belage (Sa: ba: iai egefe) da eno feadili legei amo gagole, asili, amo gobele salasu Ouligisu dunu Ilaiasibi ea diasuga doaga: i.
21 Kupakana naye, Meremothi mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, alikarabati sehemu nyingine, kuanzia penye lango la nyumba ya Eliashibu mpaka mwisho wake.
Melimode (Iulaia egefe amola Ha: gose ea aowa) e da eno feadili legei gagole, asili, Ilaiasibi ea diasu la: idi enoga doaga: i.
22 Baada yake, ukarabati ulifanywa na makuhani waliotoka eneo lililouzunguka mji.
Gobele salasu dunu ilia dio haguduga dedei amo da gagoi dobea feadili legei eno mogili gagoi. Gobele salasu dunu amo da Yelusaleme moilai gadenene esalu, da feadili legei mogili gagoi.
23 Baada yao Benyamini na Hashubu walikarabati mbele ya nyumba zao, na baada yao Azaria mwana wa Maaseya, mwana wa Anania alifanya ukarabati kando ya nyumba yake.
Bediamini amola Ha: siabe da feadili legei afae gagoi. Amo gagoi dobea da ela diasuga midadi lelebe ba: i.
24 Baada yake, Binui mwana wa Henadadi alikarabati sehemu nyingine, kuanzia kwenye nyumba ya Azaria mpaka kwenye pembe ya ukuta.
Binuai (Henadede egefe) da eno feadili legei gagoi. Ea gagoi da A: salaia ea diasu fisili, gagoi dobea sisigagala: i amoga doaga: i.
25 Naye Palali, mwana wa Uzai alijenga sehemu iliyokuwa mkabala na pembe ya ukuta, mpaka kwenye mnara wa juu ambao unajitokeza kuanzia kwenye jumba la kifalme, kando ya ua wa walinzi. Baada yake, Pedaya mwana wa Paroshi,
Ba: ila: le (Iusai egefe) da eno feadili legei gagoi. Ea gagoi da gagoi dobea sisigagala: i amola hina bagade ea diasuga gado gagagula heda: i diasu sogebi sosodo aligisu dunu ilia gagoi dobea gadenene amoga asili, gagosu. Bida: ia (Ba: ilose egefe) da eno feadili legei gagoi. Amo gagoi dobea da eso mabe la: idi amoga asili, sogebi amo da Hano Logo Ga: su gadenene amola diasu gado gagagula heda: i amo ganodini sosodo aligisu dunu da Debolo diasu ouligisu, amo sogebiga doaga: i. (Amo sogebi da moilai sogebi ea dio amo Oufele amo gadenene dialu. Debolo hawa: hamosu dunu da Oufele sogebi amo ganodini esalebe ba: i.)
26 na watumishi wa Hekalu walioishi juu ya kilima cha Ofeli walikarabati hadi kufikia mkabala na Lango la Maji, kuelekea mashariki na ule mnara uliojitokeza.
27 Baada yao, watu wa Tekoa walikarabati sehemu nyingine, kuanzia mnara mkubwa utokezao hadi ukuta wa Ofeli.
Degoua moilai dunu da musa: feadili legei afadafa hamoi dagoi. Be ilia da feadili legei eno gagoi. Amo da diasu gado gagagula heda: i (Debolo sosodo aligisu diasu) amoga asili, gagoi dobea amo Oufele sogebi amo gadenene amoga doaga: i.
28 Makuhani walifanya ukarabati juu ya Lango la Farasi, kila mmoja mbele ya nyumba yake.
Gobele salasu dunu gilisisu afae da eno feadili legei gagoi. Amo da Hosi Logo Ga: su fisili, ganogoe asi. Gobele salasu dunu afae afae da hina: diasu midadi gagosu.
29 Baada yao, Sadoki mwana wa Imeri alifanya ukarabati mkabala na nyumba yake. Baada yake, Shemaya mwana wa Shekania, mlinzi wa Lango la Mashariki, alifanya ukarabati.
Sa: idoge (Ime egefe) da eno feadili legei amo hina: diasuga midadi gagoi. Amola Siema: ia (Sieganaia, Eso Mabe Logo Ga: su ouligisu dunu, amo egefe) da eno feadili legei gagoi.
30 Baada yake, Hanania mwana wa Shelemia, na Hanuni mwana wa sita wa Salafu walikarabati sehemu nyingine. Baada yao, Meshulamu mwana wa Berekia alikarabati sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba zake za kuishi.
Ha: nanaia (Sielemaia egefe) amola Ha: inane (Sa: ila: fe ea mano gafeyale lai) da eno feadili legei. Ilia da musa: eno feadili legei amo gagoi. Misiala: me (Belegaia egefe) da eno feadili legei gagoi. Amo da hina: diasu midadi ba: i.
31 Baada yake Malkiya, mmoja wa masonara, alifanya ukarabati mpaka kwenye nyumba za watumishi wa Hekalu na wafanyabiashara, mkabala na Lango la Ukaguzi, hadi kufikia chumba kilicho juu ya pembe.
Ma: legaia (e da gouli liligi hahamosu dunu) da feadili legei e gagoi. Ea gagoi da asili, diasu afae, amo da Mifiga: de Logo Ga: su sesei da gagoi dobea sisigagala: i gado da: iya gagui amola diasu amo da Debolo hawa: hamosu dunu amola bidi lasu dunu amo ganodini esalebe ba: i, ea gagoi da amoga doaga: i.
32 Masonara na wafanyabiashara walifanya ukarabati kutoka chumba kilichoko juu ya pembe hadi Lango la Kondoo.
Gouli liligi hahamosu dunu amola bidi lasu dunu da feadili legei gagoi dobea dagomusa: , gagoi dagoi. Ilia gagoi da gagoi sisigagala: i sesei fisili, Sibi Logo Ga: su amoga doaga: i.

< Nehemia 3 >