< Nehemia 2 >

1 Katika mwezi wa Nisani mwaka wa ishirini wa utawala wa Mfalme Artashasta, wakati divai ilipoletwa kwake, niliichukua na kumpa mfalme. Sikuwahi kuonekana mwenye huzuni mbele yake kabla ya hapo.
and to be in/on/with month Nisan year twenty to/for Artaxerxes [the] king wine to/for face: before his and to lift: raise [obj] [the] wine and to give: give [emph?] to/for king and not to be bad: harmful to/for face: before his
2 Basi mfalme akaniuliza, “Kwa nini uso wako unaonekana una huzuni wakati wewe si mgonjwa? Jambo hili si kitu kingine bali ni huzuni ya moyo.” Niliogopa sana,
and to say to/for me [the] king why? face your bad: harmful and you(m. s.) nothing you be weak: ill nothing this for if: except evil heart and to fear to multiply much
3 lakini nikamwambia mfalme, “Mfalme na aishi milele! Kwa nini uso wangu usiwe na huzuni wakati mji walipozikwa baba zangu umebaki magofu, na malango yake yameteketezwa kwa moto?”
and to say to/for king [the] king to/for forever: enduring to live why? not be evil face my which [the] city place grave father my desolate and gate her to eat in/on/with fire
4 Mfalme akaniambia, “Je, haja yako ni gani?” Ndipo nikaomba kwa Mungu wa mbinguni,
and to say to/for me [the] king upon what? this you(m. s.) to seek and to pray to(wards) God [the] heaven
5 na nikamjibu mfalme, “Kama ikimpendeza mfalme, na kama mtumishi wako amepata kibali machoni pake, anitume kule mji wa Yuda, mahali baba zangu walipozikwa, ili niweze kuujenga upya.”
and to say to/for king if upon [the] king pleasant and if be good servant/slave your to/for face: before your which to send: depart me to(wards) Judah to(wards) city grave father my and to build her
6 Kisha mfalme, na malkia akiwa ameketi karibu naye, akaniuliza, “Safari yako itachukua muda gani, nawe utarudi lini?” Ilimpendeza mfalme kunituma, kwa hiyo nikapanga muda.
and to say to/for me [the] king and [the] queen to dwell beside him till how to be journey your and how to return: return and be good to/for face of [the] king and to send: depart me and to give: give [emph?] to/for him time
7 Pia nikamwambia, “Kama ikimpendeza mfalme, naomba nipewe barua kwa watawala wa Ngʼambo ya Frati, ili wanipe ulinzi mpaka nifike Yuda.
and to say to/for king if upon [the] king pleasant letter to give: give to/for me upon governor side: beside [the] River which to pass me till which to come (in): come to(wards) Judah
8 Naomba nipewe barua nipeleke kwa Asafu, mtunzaji wa msitu wa mfalme, ili anipe miti ya kutengeneza boriti kwa ajili ya malango ya ngome ya Hekalu, na ukuta wa mji, na makao yangu nitakapoishi.” Kwa kuwa mkono wenye neema wa Mungu wangu ulikuwa juu yangu, mfalme akanijalia ombi langu.
and letter to(wards) Asaph to keep: guard [the] park which to/for king which to give: give to/for me tree: wood to/for to lay beams [obj] gate [the] palace which to/for house: home and to/for wall [the] city and to/for house: home which to come (in): come to(wards) him and to give: give to/for me [the] king like/as hand: power God my [the] pleasant upon me
9 Basi nilienda kwa watawala wa Ngʼambo ya Frati na kuwapa barua za mfalme. Pia mfalme alikuwa ametuma maafisa wa jeshi na askari wapanda farasi pamoja nami.
and to come (in): come to(wards) governor side: beside [the] River and to give: give [emph?] to/for them [obj] letter [the] king and to send: depart with me [the] king ruler strength: soldiers and horseman
10 Sanbalati Mhoroni na Tobia afisa Mwamoni waliposikia juu ya jambo hili, waliudhika sana kwamba amekuja mtu kuinua ustawi wa Waisraeli.
and to hear: hear Sanballat [the] Horonite and Tobiah [the] servant/slave [the] Ammon and be evil to/for them distress: evil great: large which to come (in): come man to/for to seek welfare to/for son: descendant/people Israel
11 Nilienda Yerusalemu, na baada ya kukaa huko siku tatu,
and to come (in): come to(wards) Jerusalem and to be there day three
12 nikaondoka wakati wa usiku pamoja na watu wachache. Sikuwa nimemwambia mtu yeyote kile ambacho Mungu wangu alikuwa ameweka moyoni mwangu kufanya kwa ajili ya Yerusalemu. Hapakuwepo na mnyama yeyote pamoja nami isipokuwa yule niliyekuwa nimempanda.
and to arise: rise night I and human little with me and not to tell to/for man what? God my to give: put to(wards) heart my to/for to make: do to/for Jerusalem and animal nothing with me that if: except if: except [the] animal which I to ride in/on/with her
13 Nikatoka nje usiku kupitia Lango la Bondeni, kuelekea Kisima cha Joka na Lango la Samadi, nikikagua kuta za Yerusalemu zilizokuwa zimebomolewa, na malango yake yaliyokuwa yameteketezwa kwa moto.
and to come out: come [emph?] in/on/with gate [the] Valley (Gate) night and to(wards) face: before Fountain of Dragon and to(wards) gate [the] Dung (Gate) and to be to inspect in/on/with wall Jerusalem which (they(masc.) to break through *Q(K)*) and gate her to eat in/on/with fire
14 Kisha nikaelekea mpaka Lango la Chemchemi na Bwawa la Mfalme, lakini hapakuwepo nafasi ya kutosha kwa ajili ya mnyama wangu kupita,
and to pass to(wards) gate [the] Fountain (Gate) and to(wards) (Shelah) Pool [the] King's and nothing place to/for animal to/for to pass underneath: under me
15 kwa hiyo nikapandia bondeni usiku nikikagua ukuta. Mwishoni nikarudi na kuingia tena kupitia Lango la Bondeni.
and to be to ascend: rise in/on/with torrent: valley night and to be to inspect in/on/with wall and to return: return and to come (in): come in/on/with gate [the] Valley (Gate) and to return: return
16 Maafisa hawakujua nilikokwenda wala nilichokuwa nikifanya, kwa sababu mpaka sasa nilikuwa bado sijasema lolote kwa Wayahudi, wala makuhani, wala wakuu, wala maafisa, wala mtu yeyote ambaye angefanya kazi.
and [the] ruler not to know where? to go: went and what? I to make: do and to/for Jew and to/for priest and to/for noble and to/for ruler and to/for remainder to make: do [the] work till so not to tell
17 Ndipo nilipowaambia, “Mnaona taabu tuliyo nayo: Yerusalemu imebaki magofu na malango yake yameteketezwa kwa moto. Njooni tujenge upya ukuta wa Yerusalemu, nasi hatutakuwa tena katika aibu hii.”
and to say to(wards) them you(m. p.) to see: see [the] distress: harm which we in/on/with her which Jerusalem desolate and gate her to kindle in/on/with fire to go: come! and to build [obj] wall Jerusalem and not to be still reproach
18 Pia niliwaambia kuhusu mkono wenye neema wa Mungu wangu uliokuwa juu yangu, na kile mfalme alichokuwa ameniambia. Wakajibu, “Haya! Tuanze kujenga tena.” Kwa hiyo wakaanza kazi hii njema.
and to tell to/for them [obj] hand: power God my which he/she/it pleasant upon me and also word [the] king which to say to/for me and to say to arise: rise and to build and to strengthen: strengthen hand their to/for welfare
19 Lakini Sanbalati Mhoroni, Tobia afisa Mwamoni, na Geshemu Mwarabu waliposikia kuhusu jambo hili, walitudhihaki na kutucheka. Wakauliza, “Ni nini hiki mnachokifanya? Je, mnaasi dhidi ya mfalme?”
and to hear: hear Sanballat [the] Horonite and Tobiah [the] servant/slave [the] Ammon and Geshem [the] Arabian and to mock to/for us and to despise upon us and to say what? [the] word: thing [the] this which you(m. p.) to make: do upon [the] king you(m. p.) to rebel
20 Nikawajibu kwa kusema, “Mungu wa mbinguni atatufanikisha. Sisi watumishi wake tutaanza kujenga upya, lakini kwenu ninyi, hamna sehemu wala dai lolote wala kumbukumbu la haki katika Yerusalemu.”
and to return: reply [obj] them word and to say to/for them God [the] heaven he/she/it to prosper to/for us and we servant/slave his to arise: rise and to build and to/for you nothing portion and righteousness and memorial in/on/with Jerusalem

< Nehemia 2 >