< Nehemia 2 >

1 Katika mwezi wa Nisani mwaka wa ishirini wa utawala wa Mfalme Artashasta, wakati divai ilipoletwa kwake, niliichukua na kumpa mfalme. Sikuwahi kuonekana mwenye huzuni mbele yake kabla ya hapo.
Oubi biyadu uduli, eso afaega hina bagade Adasegesisi da ea diasuga ha: i naha esaloba, na da waini ema gaguli misini iasu. Na da da: i dioiwane esalebe ba: i. Be e da musa: na hou amo ganodini fofagi hame ba: i.
2 Basi mfalme akaniuliza, “Kwa nini uso wako unaonekana una huzuni wakati wewe si mgonjwa? Jambo hili si kitu kingine bali ni huzuni ya moyo.” Niliogopa sana,
Amaiba: le, e da nama amane adole ba: i, “Di da abuliba: le da: i dioiwane ba: sala: ? Di da oloi hame. Amaiba: le di da hahawane hame ganabela: ?” Na da ea sia: nababeba: le, fofogadigi.
3 lakini nikamwambia mfalme, “Mfalme na aishi milele! Kwa nini uso wangu usiwe na huzuni wakati mji walipozikwa baba zangu umebaki magofu, na malango yake yameteketezwa kwa moto?”
Na da ema bu adole i, “Hina bagade! Di eso huluane esalalalumu da defea. Moilai bai bagade amo ganodini na aowalali da bogole uli dogoi, amo da mugululi, wadela: lesi dagoi diala amola ea logo ga: su da laluga nei dagoi. Amaiba: le, na da da: i dioi.”
4 Mfalme akaniambia, “Je, haja yako ni gani?” Ndipo nikaomba kwa Mungu wa mbinguni,
Hina bagade da bu adole ba: i, “Di da adi hanai ganabela: ?” Na da Gode Hebene ganodini esala Ema sia: ne gadole,
5 na nikamjibu mfalme, “Kama ikimpendeza mfalme, na kama mtumishi wako amepata kibali machoni pake, anitume kule mji wa Yuda, mahali baba zangu walipozikwa, ili niweze kuujenga upya.”
ema amane sia: i, “Di da na hahawane ba: sea amola na edegesu amo nama imunusa: dawa: sea, defea, na da Yuda soge ganodini moilaiga na aowalali da uli dogoi, amoga amo moilai mugului bu gagumusa: masa: ne, na logo doasima.”
6 Kisha mfalme, na malkia akiwa ameketi karibu naye, akaniuliza, “Safari yako itachukua muda gani, nawe utarudi lini?” Ilimpendeza mfalme kunituma, kwa hiyo nikapanga muda.
Hina bagade ea uda da e dafulili esalebe ba: i. Adasegesisi da na edegei amo hahawane nabi. E da nama amane adole ba: i, “Di da habowali asili esaloma: bela: ? Amola habogala buhagima: bela: ?” Na da na hou hamomu ema adole i.
7 Pia nikamwambia, “Kama ikimpendeza mfalme, naomba nipewe barua kwa watawala wa Ngʼambo ya Frati, ili wanipe ulinzi mpaka nifike Yuda.
Amalalu, na da ema eno adole ba: i amo, e da Iufala: idisi Guma: dini Soge eagene ouligisu dunu ilima meloa dedene nama imunusa: edegei. Amo meloa ganodini, e da amo dunuma, na da Yuda sogega masa: ne logo doasima: ne e da sia: mu, na edegei.
8 Naomba nipewe barua nipeleke kwa Asafu, mtunzaji wa msitu wa mfalme, ili anipe miti ya kutengeneza boriti kwa ajili ya malango ya ngome ya Hekalu, na ukuta wa mji, na makao yangu nitakapoishi.” Kwa kuwa mkono wenye neema wa Mungu wangu ulikuwa juu yangu, mfalme akanijalia ombi langu.
Na meloa dedei eno edegei. Amo da hina bagade ea ifa iwila ouligisu dunu A: isa: fema dedene ima: ne, na edegei. Amo meloa ganodini, e da A: isa: fe amoma e da ifa amo da logo ga: su gagoi dobea amo da Debolo diasu sisiga: sa, moilai bai bagade gagoi dobea amola diasu amo ganodini na da esalumu amo huluane gaguma: ne, e da amo nama ima: ne A: isa: fema adoma: ne, na da edegei. Gode da na noga: le fidibiba: le, na edegei huluane, hina bagade da nama i dagoi.
9 Basi nilienda kwa watawala wa Ngʼambo ya Frati na kuwapa barua za mfalme. Pia mfalme alikuwa ametuma maafisa wa jeshi na askari wapanda farasi pamoja nami.
Adasegesisi da dadi gagui ouligisu dunu amola dadi gagui dunu gilisisu hosi amoga fila heda: i dunu, amo na fidila asunasi. Na da asili, Iufala: idisi Guma: dini Sogega doaga: i. Amalalu, na da hina bagade ea meloa dedei amo eagene ouligisu dunuma i.
10 Sanbalati Mhoroni na Tobia afisa Mwamoni waliposikia juu ya jambo hili, waliudhika sana kwamba amekuja mtu kuinua ustawi wa Waisraeli.
Be eagene dunu ea dio amo Sa: naba: la: de (e da moilai Bede Houlone amoga esalu) amola Doubaia (A: mone soge eagene ouligisu dunu) ela da dunu da Isala: ili dunu fidimusa: misi, amo sia: nababeba: le, mi hanai galu.
11 Nilienda Yerusalemu, na baada ya kukaa huko siku tatu,
Na da baligili asili, Yelusalemega doaga: i. Eso udiana ouesalu,
12 nikaondoka wakati wa usiku pamoja na watu wachache. Sikuwa nimemwambia mtu yeyote kile ambacho Mungu wangu alikuwa ameweka moyoni mwangu kufanya kwa ajili ya Yerusalemu. Hapakuwepo na mnyama yeyote pamoja nami isipokuwa yule niliyekuwa nimempanda.
Gode da nama Yelusaleme moilai amo fidima: ne sia: i, amo na dunu enoma hame adoi. Be gasimogoa, na da wa: legadole amola na fidisu dunu mogili oule asili, soge abodemusa: asi. Ohe afae amo dougi amoga na fila heda: i, ninia da amo fawane oule asi.
13 Nikatoka nje usiku kupitia Lango la Bondeni, kuelekea Kisima cha Joka na Lango la Samadi, nikikagua kuta za Yerusalemu zilizokuwa zimebomolewa, na malango yake yaliyokuwa yameteketezwa kwa moto.
Be amo gasi da mae hagili dialobawane, na da moilai fisili, gagoi dobea logo ga: su amo ea dio da Fago Ga: su amoga guma: dini golili, gadili asili, Da: la: gone Hano bubuga: su amo baligili, Isu Salasu Logo Ga: su amoga doaga: i. Na da ahoana ba: loba, moilai gagoi dobea amo mugului amola logo ga: su laluga nei dagoi ba: i.
14 Kisha nikaelekea mpaka Lango la Chemchemi na Bwawa la Mfalme, lakini hapakuwepo nafasi ya kutosha kwa ajili ya mnyama wangu kupita,
Amalalu, moilai ea eso mabe la: ididili, na da ganogoe (north) asili, Hano Bubuga: su Logo Ga: su amoga asili, hina bagade Wayabo amoga doaga: i. Be isu bagade dialebeba: le, dougi amoga na fila heda: i, da logo hame ba: beba: le, masunu gogolei.
15 kwa hiyo nikapandia bondeni usiku nikikagua ukuta. Mwishoni nikarudi na kuingia tena kupitia Lango la Bondeni.
Amaiba: le, na da Gidalone Fago amoga asili, gagoi dobea amo boba: la asi. Amalalu, na da buhagili, na musa: asi logoga amodili asili, Fago Logo Ga: su amoga moilaiga golili sa: i.
16 Maafisa hawakujua nilikokwenda wala nilichokuwa nikifanya, kwa sababu mpaka sasa nilikuwa bado sijasema lolote kwa Wayahudi, wala makuhani, wala wakuu, wala maafisa, wala mtu yeyote ambaye angefanya kazi.
Yelusaleme eagene dunu amo ilia da na da habi asi, amola adi hamonana, ilia hame dawa: i. Amola na da na na: iyado Yu dunu, gobele salasu dunu amola hina dunu eno dunu ilia fa: no hawa: hamoma: ne amoma hame adosu.
17 Ndipo nilipowaambia, “Mnaona taabu tuliyo nayo: Yerusalemu imebaki magofu na malango yake yameteketezwa kwa moto. Njooni tujenge upya ukuta wa Yerusalemu, nasi hatutakuwa tena katika aibu hii.”
Be wali na da ilima amane sia: i, “Yelusaleme moilai da mugului dagoiba: le, amola ea logo ga: su da wadela: lesi dagoiba: le, ninia se bagade naba. Ninia da amo gogosiasu fisili, gagoi dobea mugului bu gagomu da defea.”
18 Pia niliwaambia kuhusu mkono wenye neema wa Mungu wangu uliokuwa juu yangu, na kile mfalme alichokuwa ameniambia. Wakajibu, “Haya! Tuanze kujenga tena.” Kwa hiyo wakaanza kazi hii njema.
Amola Gode da na noga: le fidi amola hina bagade da nama asigiba: le fidi, nama na hanaiga hamoma: ne sia: i, amo amola na da ilima olelei. Amo sia: nababeba: le, ilia da amane nodone sia: i, “Ninia da bu buga: le muni hawa: hamola: di!” Amola ilia amo hawa: hamomusa: , liligi momagele ouesalu.
19 Lakini Sanbalati Mhoroni, Tobia afisa Mwamoni, na Geshemu Mwarabu waliposikia kuhusu jambo hili, walitudhihaki na kutucheka. Wakauliza, “Ni nini hiki mnachokifanya? Je, mnaasi dhidi ya mfalme?”
Be Sa: naba: la: de, Doubaia amola A: la: be dunu ea dio amo Giseme ilia da ninia hawa: hamomusa: sia: sa: i nabaloba, ilia da niniba: le oufesega: lu, amane sia: i, “Dia hamobe go da adi dawa: bela: ? Di da eagene hina bagade ea sia: mae nabawane, ema odoga: sala: ?”
20 Nikawajibu kwa kusema, “Mungu wa mbinguni atatufanikisha. Sisi watumishi wake tutaanza kujenga upya, lakini kwenu ninyi, hamna sehemu wala dai lolote wala kumbukumbu la haki katika Yerusalemu.”
Be na da bu adole i, “Hebene Gode da ninima gasa defele imunu. Ninia da Ea hawa: hamosu dunu. Amaiba: le, ninia da amo hawa: hamosu muni hamomu. Be Yelusaleme moilai amo ganodini, soge da dilima hame ilegei. Amola Isala: ili dunu ilia hou dilia hame dawa:”

< Nehemia 2 >