< Nehemia 13 >

1 Siku hiyo, Kitabu cha Mose kilisomwa kwa sauti kuu, na watu wote wakasikia. Humo ilionekana imeandikwa kwamba hakuna Mwamoni wala Mmoabu atakayeruhusiwa katika kusanyiko la watu wa Mungu,
Esela amola gobele salasu dunu da Mousese ea Sema amo Isala: ili dunu ilima idilaloba, ilia da sema afae ba: i dagoi. Amo da A: mone fi dunu amola Moua: be fi dunu da wali amola hobea eso huluanedafa amo Gode Ea fi dunu ilima da hamedafa madelagimu.
2 kwa sababu hawakuwalaki Waisraeli kwa chakula na maji. Badala yake walimwajiri Balaamu kuwalaani (lakini hata hivyo Mungu wetu aligeuza laana kuwa baraka).
Bai A: mone amola Moua: be fi dunu ilia da Isala: ili dunu da Idibidi soge amoga fisili masa: ne, logoga ahoanoba, ilima ha: i manu amola hano hame i. Be amo hou baligili, ilia da Ba: ila: me amo e da Isala: ili dunuma gagabusu aligima: ne hamomusa: , ema muni i. Be ninia Gode da amo gagabusu aligi sinidigili, bu Isala: ili fi dunu dogolegele hahawane fidima: ne, Ba: ila: me ea lafidili sia: i.
3 Watu waliposikia sheria hii, waliwatenga watu wote wasio Waisraeli waliokuwa wa uzao wa kigeni.
Isala: ili dunu da amo sema idibi nabaloba, ilia ga fi dunu ilia fi amoga mae gilisima: ne ilegele sia: i.
4 Kabla ya hili, kuhani Eliashibu alikuwa amewekwa kuwa msimamizi wa vyumba vya ghala ya nyumba ya Mungu wetu. Alikuwa na uhusiano wa karibu na Tobia,
Gobele salasu dunu Ilaiasibi da Debolo modale ligisisu diasu ouligisu. E da eso bagohame Doubaia amo hahawane ba: i.
5 naye alikuwa amempa Tobia chumba kikubwa ambacho mwanzo kilikuwa kikitumika kuweka sadaka za nafaka, uvumba na vyombo vya Hekalu, pamoja na zaka za nafaka, divai mpya na mafuta waliyoagizwa Waisraeli kwa ajili ya Walawi, waimbaji na mabawabu wa lango, pamoja na matoleo kwa makuhani.
Debolo modale ligisisu amo ganodini, sesei afae bagade ba: i. Amo sesei da iasu liligi amo gagoma, gabusiga: manoma, Debolo hawa: hamosu liligi, amola liligi amo gobele salasu dunuma i amola ‘daide’ (gagoma, waini hano amola olife susuligi) amo da Lifai dunu amola Debolo gesami hea: su dunu amola Debolo sosodo aligisu dunu ilima iasu, amo liligi ligisima: ne amo sesei da ilegei dagoi. Be Ilaiasibi da amo sesei Doubaia amo ganodini esaloma: ne iasu.
6 Lakini wakati haya yote yalipokuwa yakitendeka, sikuwa Yerusalemu, kwa kuwa katika mwaka wa thelathini na mbili wa utawala wa Artashasta mfalme wa Babeli nilikuwa nimerudi kwa mfalme. Baadaye nilimwomba ruhusa,
Amo hou hamonanoba, na da Yelusaleme moilai amo ganodini hame esalebe ba: i. Bai Adasegesisi ea Ba: bilone ouligisu ode 32 amoga, na da ema sia: sia: ne iasu ima: ne, ema buhagi. Na da ouesalu, amalalu e da na Yuda sogega bu masa: ne logo doasi.
7 nikarudi Yerusalemu. Hapo niligundua jambo la uovu alilofanya Eliashibu kwa kumpa Tobia chumba katika nyua za nyumba ya Mungu.
Na da Yelusaleme moilaiga buhagili, Ilaiasibi da Doubaia ema Debolo sesei ia dagoi ba: beba: le, bagadewane fofogadigi.
8 Nilikasirika sana na nikavitupa nje vyombo vyote vya Tobia.
Na da ougi bagade ba: i. Na da Doubaia ea liligi gadili galagai.
9 Nilitoa amri kutakasa vyumba, kisha nikavirudisha vifaa vya nyumba ya Mungu, pamoja na sadaka za nafaka na uvumba.
Na da hawa: hamosu dunuma ilia da amo Debolo sesei Gode Ea sema defele noga: le dodofema: ne sia: i. Bai ledo bagade galebeba: le, Debolo hawa: hamosu liligi, gagoma iasu amola gabusiga: manoma bu legemu da hamedei. Be ilia da amo liligi dodofei dagoiba: le, bu legei.
10 Pia niligundua kuwa mafungu yaliyopangwa kupewa Walawi hawakuwa wamepewa, nao Walawi wote na waimbaji waliowajibika kwa huduma walikuwa wamerudi katika mashamba yao.
Amola na da nabi amo Debolo gesami hea: su dunu amola Lifai dunu mogili da Yelusaleme moilai fisili, ilia ifabi amoga buhagi dagoi. Bai dunu da ilia ha: i manu amola labe defele ilima hame iasu.
11 Basi niliwakemea maafisa na kuwauliza, “Kwa nini nyumba ya Mungu imepuuzwa?” Kisha niliwaita pamoja na kuwaweka kwenye nafasi zao.
Ouligisu dunu da Debolo diasu noga: le hame ouligibiba: le, na da ilima gagabole sia: i. Amola na da Lifai dunu amola Debolo gesami hea: su dunu amo huluane Debolo diasuga bu oule misini, ilima bu hawa: hamoma: ne sia: i.
12 Yuda wote walileta zaka za nafaka, divai mpya na mafuta kwenye ghala.
Amalalu, Isala: ili dunu da bu ilia gagoma, waini amola olife susuligi amo ‘daide’ huluane ilia da Debolo modale ligisisu sesei amoga bu gaguli misi.
13 Nikamweka kuhani Shelemia, mwandishi Sadoki, na Mlawi aliyeitwa Pedaya kuwa wasimamizi wa ghala, na kumfanya Hanani mwana wa Zakuri, mwana wa Matania kuwa msaidizi wao, kwa sababu watu hawa walionekana kuwa waaminifu. Walipewa wajibu wa kugawa mahitaji kwa ndugu zao.
Amola na da hagudu dedei dunu amo modale ligisisu diasuga ouligimusa: ilegei dagoi, amo, gobele salasu dunu Sielemaia, sema dawa: su dunu Sa: idoge amola Lifai dunu Bida: ia. Amola ilia fidisu dunu Ha: ina: ne (Sa: ge ea mano amola Ma: danaia ea aowa) amo na da ilegei. Amo dunu ilia hou da moloiba: le, ilia da liligi mae wamolale, ilia na: iyado hawa: hamosu dunuma imunu, na da dawa: i galu.
14 Ee Mungu wangu, unikumbuke kwa hili, wala usifute kile nilichokifanya kwa uaminifu kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu na kwa ajili ya huduma yake.
‘Na Gode! Dawa: ma! Na da Dia Debolo amola Dima nodone sia: ne gadosu hou bagade fidima: ne hamoi. Amo Di ba: ma!’
15 Siku hizo nikaona watu katika Yuda wakikanyaga mashinikizo ya divai siku ya Sabato na kuleta nafaka wakiwapakiza punda, pamoja na divai, zabibu, tini na aina nyingine za mizigo. Nao walikuwa wakileta haya yote Yerusalemu siku ya Sabato. Kwa hiyo niliwaonya dhidi ya kuuza vyakula siku hiyo.
Amo esoga na da Yuda fi dunu Sa: bade esoga hawa: hamonanebe ba: i. Mogili ilia da waini hano lama: ne, waini fage ososa: gisu. Mogili da gagoma, waini, figi fage amola liligi eno amo ilia dougi da: iya lidili legelalebe, na da ba: i. Ilia da amo liligi Yelusaleme moilai bai bagadega gaguli masusa: dawa: i. Na da ilima Sa: bade eso amoga liligi mae bidi lama: ne sisane sia: i.
16 Watu kutoka Tiro waliokuwa wakiishi Yerusalemu walileta samaki na aina nyingi za bidhaa na kuziuza Yerusalemu siku ya Sabato kwa watu wa Yuda.
Dunu eno da musa: Daia moilaiga esalu, ilia da Yelusaleme amo ganodini esalebe ba: i. Ilia da menabo amola liligi eno bagohame amo Sa: bade esoga Yu dunuma bidi lama: ne, Yelusaleme moilai bai bagadega gaguli masu.
17 Niliwakemea wakuu wa Yuda na kuwaambia, “Ni uovu gani huu mnaofanya wa kuinajisi siku ya Sabato?
Na da Yu ouligisu dunuma gagabole amane sia: i, “Dilia da wadela: le hamonana. Dilia da hadigi Sa: bade eso amo wadela: sa.
18 Je, baba zenu hawakufanya mambo kama haya, hata wakamsababisha Mungu wetu kuleta maafa haya yote juu yetu na juu ya mji huu? Sasa bado mnazidi kuchochea ghadhabu yake dhidi ya Israeli kwa kuinajisi Sabato.”
Amo baiga Gode da musa: Yelusaleme moilai bai bagade wadela: lesi dagoi amola dilia aowalali ilima se dabe bagade iasu. Be dilia da Gode da Isala: ili dunuma bu ougima: ne, Sa: bade eso wadela: sa,” na gagabole sia: i.
19 Wakati vivuli vya jioni vilipoangukia juu ya malango ya Yerusalemu kabla ya Sabato, niliamuru milango ifungwe, wala isifunguliwe mpaka Sabato iishe. Nikawaweka baadhi ya watu wangu mwenyewe kwenye malango ili pasiwepo mzigo utakaoingizwa ndani siku ya Sabato.
Amaiba: le, Sa: bade eso huluane da muni, daeya agoane, ilia da moilai logo ga: sima: ne na da sia: i. Amalalu, Sa: bade eso da dagobeba: le fawane bu doasima: ne sia: i. Na da na hawa: hamosu dunu mogili ilia logo ga: su sosodo aligima: ne sia: i. Dunu da Sa: bade eso amoga liligi ganodini mae gaguli misa: ne, agoane hamoi.
20 Mara moja au mbili wachuuzi na wauzaji wa bidhaa za aina zote walilala usiku nje ya mji wa Yerusalemu.
Eso afae afae bidi lasu dunu mogili da Falaida: i gasi amoga moilai gagoi amoga gadili esalebe ba: i.
21 Lakini niliwaonya na kuwaambia, “Kwa nini mnalala karibu na ukuta? Kama mkifanya hivi tena, nitawaadhibu.” Kuanzia wakati ule hawakuja tena siku ya Sabato.
Na da ilima sisasu amane olelei, “Dilia da abuliba: le hahabe misa: ne ouligisala: ? Dilia amo hou bu hamosea, na da dilima doagala: musa: misunu.” Amalalu, ilia da Sa: bade esoga bu hame misi.
22 Kisha nikawaamuru Walawi kujitakasa na kwenda kulinda malango ili kutunza Sabato iwe takatifu. Ee Mungu wangu, unikumbuke kwa ajili ya hili pia, nawe unionyeshe wema wako sawasawa na upendo wako mkuu.
Na da Lifai dunuma amo ilia da ilia ledo hou dodofelalu, Sa: bade eso mae wadela: ma: ne, ilia da logo ga: su amo sosodo aligima: ne sia: i. Gode! Amo amola dawa: ma! Di da asigi bagadeba: le, na gaga: ma.
23 Zaidi ya hayo, niliona Wayahudi waliokuwa wameoa wanawake kutoka Ashdodi, Amoni na Moabu.
Amola amo esoga, Yu dunu mogili ilia da A: siedode, A:mone amola Moua: be soge amodili uda lai dagoi, na nabi.
24 Nusu ya watoto wao walizungumza lugha ya Kiashidodi au lugha ya watu wengine, bali hawakuweza kuzungumza Kiyahudi.
Ilia mano mogili da A: siedode sia: o ga fi sia: fawane sia: su. Ilia da ninia Isala: ili sia: hame dawa: i galu.
25 Niliwakemea na kuwalaani. Niliwapiga baadhi ya watu na kungʼoa nywele zao. Niliwaapisha kwa jina la Mungu na kusema: “Msiwaoze binti zenu kwa wana wao, wala binti zao wasiolewe na wana wenu wala ninyi wenyewe.
Na da amo dunuma gagabole sia: i. Na da Gode da ilima gagabusu aligima: ne sia: i. Na da ili fasu amola ilia dialuma hinabo golole fasi. Amalalu, na da sia: beba: le, ilia da Gode Ea Dioba: le, ilia amola ilia mano da ga fi uda eno hamedafa lamu ilegele sia: i.
26 Je, Solomoni hakutenda dhambi kwa sababu ya wanawake wa namna hiyo? Miongoni mwa mataifa mengi hapakuwepo mfalme kama yeye. Alipendwa na Mungu wake. Naye Mungu alimweka kuwa mfalme juu ya Israeli yote, lakini hata yeye, wanawake wa mataifa mengine walimfanya atende dhambi.
Na amane sia: i. “Hina bagade Soloumane da ga fi uda laiba: le, wadela: le bagade hamosu. Soloumane da fifi asi gala huluane ilia hina bagade baligi dagoi. Gode da e dogolegeiba: le, e Isala: ili soge huluane ouligima: ne, hina bagade hamoi. Be e da dafane, wadela: le hamoi dagoi.
27 Je, tulazimike sasa kusikia kwamba ninyi pia mmefanya uovu huu mkubwa na kutokuwa waaminifu kwa Mungu wetu kwa kuoa wanawake wa kigeni?”
Amaiba: le, ninia da dilia hou defele, Gode Ea sia: mae nabawane ga fi uda lamu da defeala: ? Defea hame mabu!”
28 Mmoja wa wana wa Yoyada mwana wa Eliashibu kuhani mkuu alikuwa mkwewe Sanbalati Mhoroni. Nami nilimfukuza mbele yangu.
Yoiada da gobele salasu Ouligisu Ilaiasibi, amo ea mano esalu. Be Yoiada egefe afae da Sa: naba: la: de (ea moilai da Bede Houlone) amo ea uda mano lai. Amaiba: le, na da Yoiada ema Yelusaleme moilai fisili masa: ne sia: i. Amola e da mugululi asi.
29 Ee Mungu wangu, uwakumbuke, kwa sababu wamenajisi ukuhani, na agano la kikuhani na la Walawi.
Hina Gode! Dawa: ma! Amo dunu ilia da gobele salasu hou ilegei amo wadela: lesi dagoi amola gousa: su di da Lifai amola gobele salasu dunu ilima hamoi, amo wadela: lesi.
30 Kwa hiyo niliwatakasa makuhani na Walawi kutokana na chochote kilichokuwa cha kigeni, na kuwapa wajibu, kila mmoja katika kazi yake.
Na da Isala: ili dunu hadigi ba: ma: ne, ledo hou amola liligi huluane fadegai. Lifai amola gobele salasu dunu ilia hawa: hamosu noga: le dawa: ma: ne, na da ilia hawa: hamosu sema dedei.
31 Pia nilihakikisha kwamba matoleo ya kuni yaliletwa kwa wakati unaopaswa, na malimbuko kwa wakati wake. Ee Mungu wangu, unikumbuke, unitendee mema.
Na da lalu ifa amo Godema gobele salasu hamoma: ne, amo ilia da eso ilegei amoga gaguli misa: ne sia: i. Amola dunu huluane da ilia bisili fai gagoma amola ifa fage gaguli misa: ne sia: i. Hina Gode! Amo na hou huluane dawa: ma! Amola nama hahawane hamoma: ne ilegema! Sia: ama dagoi

< Nehemia 13 >