< Nehemia 12 >
1 Hawa wafuatao walikuwa makuhani na Walawi ambao walirudi na Zerubabeli mwana wa Shealtieli pamoja na Yeshua: Seraya, Yeremia, Ezra,
Og disse ere Præsterne og Leviterne, som droge op med Serubabel, Sealthiels Søn, og Jesua: Seraja, Jeremia, Esra,
2 Amaria, Maluki, Hatushi,
Amaria, Malluk, Hattus,
3 Shekania, Rehumu, Meremothi,
Sekanja, Rehum, Meremoth,
5 Miyamini, Moadia, Bilga,
Mijamin, Maadja, Bilga,
6 Shemaya, Yoyaribu, Yedaya,
Semaja og Jojarib, Jedaja,
7 Salu, Amoki, Hilkia na Yedaya. Hawa walikuwa viongozi wa makuhani na wenzao wakati wa Yeshua.
Sallu, Amok, Hilkia, Jedaja; disse vare Øverster for Præsterne og deres Brødre i Jesuas Dage.
8 Walawi walikuwa Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda, na pia Matania, ambaye pamoja na wenzake, alikuwa kiongozi wa nyimbo za shukrani.
Men Leviterne vare: Jesua, Binnuj, Kadmiel, Serebja, Juda, Matthanja; han og hans Brødre forestode Lovsangen.
9 Bakbukia na Uni, wenzao, walisimama mkabala nao wakati wa ibada.
Og Bakbukja og Unni, deres Brødre, holdt Vagt tillige med dem.
10 Yeshua alikuwa baba wa Yoyakimu, Yoyakimu alikuwa baba wa Eliashibu, Eliashibu alikuwa baba wa Yoyada,
Og Jesua avlede Jojakim, og Jojakim avlede Eliasib, og Eliasib avlede Jojada,
11 Yoyada alikuwa baba wa Yonathani, na Yonathani alikuwa baba wa Yadua.
og Jojada avlede Jonathan, og Jonathan avlede Jaddua.
12 Katika siku za Yoyakimu, kulikuwa na wakuu wa jamaa za kikuhani: wa jamaa ya Seraya, Meraya; wa jamaa ya Yeremia, Hanania;
Og Præster, Øverster for Fædrenehusene, vare i Jojakims Dage: Af Seraja Meraja, af Jeremia Hanania,
13 wa jamaa ya Ezra, Meshulamu; wa jamaa ya Amaria, Yehohanani;
af Esra Mesullam, af Amaria Johanan,
14 wa jamaa ya Maluki, Yonathani; wa jamaa ya Shebania, Yosefu;
af Meluku Jonathan, af Sebanja Josef,
15 wa jamaa ya Harimu, Adna; wa jamaa ya Meremothi, Helkai;
af Harim Adna, af Merajoth Helkaj,
16 wa jamaa ya Ido, Zekaria; wa jamaa ya Ginethoni, Meshulamu;
af Iddo Sakaria, af Ginthon Mesullam,
17 wa jamaa ya Abiya, Zikri; wa jamaa ya Miniamini na ya Maazia, Piltai;
af Abia Sikri, af Mijamin, af Moadja Pilthaj,
18 wa jamaa ya Bilgai, Shamua; wa jamaa ya Shemaya, Yehonathani;
af Bilga Sammua, af Semaja Jonathan,
19 wa jamaa ya Yoyaribu, Matenai; wa jamaa ya Yedaya, Uzi;
af Jojarib Matnaj, af Jedaja Ussi,
20 wa jamaa ya Salu, Kalai; wa jamaa ya Amoki, Eberi;
af Sallaj Kallaj, af Amok Eber,
21 wa jamaa ya Hilkia, Hashabia; wa jamaa ya Yedaya, Nethaneli.
af Hilkia Hasabja, af Jedaja Nethaneel.
22 Wakuu wa jamaa za Walawi katika siku za Eliashibu, Yoyada, Yohanani na Yadua, pia wale jamaa za makuhani, waliandikishwa wakati wa utawala wa Dario, Mwajemi.
Blandt Leviterne bleve i Eliasibs, Jojadas og Johanans og Jadduas Dage Øversterne for Fædrenehusene opskrevne, saa og iblandt Præsterne indtil Perseren Darius's Regering.
23 Wakuu wa jamaa miongoni mwa wazao wa Lawi hadi wakati wa Yohanani mwana wa Eliashibu waliandikishwa katika kitabu cha kumbukumbu.
Levi Børn, Øversterne for Fædrenehusene, bleve opskrevne i Krønikebogen, og det indtil Johanans, Eliasibs Søns, Dage.
24 Viongozi wa Walawi walikuwa: Hashabia, Sherebia, Yeshua mwana wa Kadmieli na wenzao, waliosimama mkabala nao kusifu na kushukuru, sehemu moja ikipokezana na nyingine kama ilivyoagizwa na Daudi mtu wa Mungu.
Og Leviternes Øverster vare: Hasabja, Serebja og Jesua, Kadmiels Søn, og deres Brødre vare tillige med dem for at love og at takke efter Davids den Guds Mands Befaling, den ene Vagt saavel som den anden.
25 Mabawabu waliokuwa wakilinda kwenye malango ya ghala ni: Matania, Bakbukia, Obadia, Meshulamu, Talmoni na Akubu.
Matthanja og Bakbukja, Obadja, Mesullam, Thaimon og Akku, de havde Vagt som Portnere ved Skatkamrene i Portene.
26 Walihudumu siku za Yoyakimu mwana wa Yeshua, mwana wa Yosadaki, na katika siku za mtawala Nehemia, na za Ezra kuhani na mwandishi.
Disse levede i Jojakims, Jesuas Søns, Dage, hans, som var en Søn af Jozadak, og i Fyrsten Nehemias og i Præsten Esras, den skriftlærdes, Dage.
27 Wakati wa kuwekwa wakfu ukuta wa Yerusalemu, Walawi walitafutwa kule walikokuwa wakiishi, nao wakaletwa Yerusalemu kuadhimisha kwa shangwe huko kuweka wakfu kwa nyimbo za shukrani na kwa uimbaji wakitumia matoazi, vinubi na zeze.
Og til Murenes Indvielse i Jerusalem opsøgte de Leviterne fra alle deres Steder for at føre dem til Jerusalem, at holde Indvielsen med Glæde og med Taksigelser og med Sang, Cymbler, Psaltre og Harper.
28 Pia waimbaji walikusanywa pamoja kutoka maeneo yaliyozunguka Yerusalemu, kutoka vijiji vya Wanetofathi,
Og Sangernes Børn samledes, baade fra Omegnen trindt omkring Jerusalem og fra Netofatiternes Landsbyer
29 kutoka Beth-Gilgali, na kutoka eneo la Geba na Azmawethi, kwa kuwa waimbaji walikuwa wamejijengea vijiji kuzunguka Yerusalemu.
og fra Gilgals Hus og fra Markerne ved Geba og Asmaveth; thi Sangerne havde bygget sig Landsbyer trindt omkring Jerusalem.
30 Wakati makuhani na Walawi walipokuwa wamekwisha kujitakasa kwa kufuatana na desturi, waliwatakasa watu, malango na ukuta.
Og Præsterne og Leviterne rensede sig, og de rensede Folket og Portene og Muren.
31 Niliwaagiza viongozi wa Yuda wapande juu ya ukuta. Pia niliagiza makundi mawili makubwa ya waimbaji waimbe nyimbo za kumshukuru Mungu. Kundi moja lilipanda juu ya ukuta upande wa kuume, kuelekea Lango la Samadi.
Og jeg lod Judas Fyrster opstige paa Muren, og jeg beskikkede to store Taksigelseskor og Optog: Det ene gik til den højre Side oven paa Muren til Møgporten,
32 Hoshaya na nusu ya viongozi wa Yuda wakawafuata,
og Hosaja og Halvdelen af Judas Fyrster gik efter dem,
33 pamoja na Azaria, Ezra, Meshulamu,
og Asaria, Esra og Mesullam,
34 Yuda, Benyamini, Shemaya, Yeremia,
Juda og Benjamin og Semaja og Jeremia
35 pamoja na baadhi ya makuhani wenye tarumbeta, na pia walikuwa na Zekaria mwana wa Yonathani, mwana wa Shemaya, mwana wa Matania, mwana wa Mikaya, mwana wa Zakuri, mwana wa Asafu,
og nogle af Præsternes Børn med Basuner: Sakaria, en Søn af Jonathan, som var en Søn af Semaja, som var en Søn af Matthanja, en Søn af Mikaja, en Søn af Sakur, en Søn af Asaf;
36 pamoja na wenzake, Shemaya, Azareli, Milalai, Gilalai, Maai, Nethaneli, Yuda na Hanani, wakiwa na vyombo vya uimbaji, kama ilivyoagizwa na Daudi mtu wa Mungu. Mwandishi Ezra aliongoza maandamano.
og hans Brødre: Semaja og Asareel, Milalaj, Gilalaj, Maaj, Nethaneel og Juda, Hanani, med Davids, Guds Mands, Sanginstrumenter; og Esra, den skriftlærde, foran dem.
37 Kwenye Lango la Chemchemi waliendelea moja kwa moja mpaka kwenye ngazi za Mji wa Daudi, kwenye mwinuko wa ukuta, na kupitia juu ya nyumba ya Daudi mpaka kwenye Lango la Maji upande wa mashariki.
Og over Kildeporten og ligefrem for sig stege de op paa Trapperne til Davids Stad, ad Opgangen til Muren, hen op til Davids Hus, og indtil Vandporten imod Østen.
38 Kundi la pili la waimbaji lilielekea upande wa kushoto. Niliwafuata juu ya ukuta, pamoja na nusu ya watu kupitia Mnara wa Tanuru mpaka kwenye Ukuta Mpana,
Og det andet Taksigelseskor gik i modsat Retning, og jeg efter det, og Halvdelen af Folket oven paa Muren, hen op til Ovntaarnet og indtil den brede Mur
39 juu ya Lango la Efraimu, Lango la Yeshana, Lango la Samaki, Mnara wa Hananeli, na Mnara wa Mia, mpaka kwenye Lango la Kondoo. Walipofika kwenye Lango la Ulinzi wakasimama.
og over Efraims Port og over den gamle Port og over Fiskeporten og forbi Hananeels Taarn og Meas Taarn og indtil Faareporten; og de bleve staaende ved Vagtens Port.
40 Kisha yale makundi mawili ya waimbaji yaliyoshukuru yakachukua nafasi zao katika nyumba ya Mungu. Nami pia nikafanya hivyo, pamoja na nusu ya maafisa,
Saa stode da de to Taksigelseskor ved Guds Hus og jeg og Halvdelen af Forstanderne med mig,
41 na makuhani wafuatao: Eliakimu, Maaseya, Miniamini, Mikaya, Elioenai, Zekaria na Hanania wakiwa na tarumbeta zao,
og Præsterne: Eliakim, Maeseja, Minjamin, Mikaja, Elioenaj, Sakaria, Hanania, med Basunerne,
42 na pia Maaseya, Shemaya, Eleazari, Uzi, Yehohanani, Malkiya, Elamu na Ezeri. Makundi haya yaliimba chini ya uongozi wa Yezrahia.
og Maeseja og Semaja og Eleasar og Ussi og Johanan og Malkia og Elam og Eser. Og Sangerne lode sig høre, og Jesraja var Formand.
43 Siku hiyo watu walitoa dhabihu nyingi, wakishangilia kwa sababu Mungu aliwapa furaha kuu. Wanawake na watoto walishangilia pia. Sauti ya kushangilia huko Yerusalemu iliweza kusikika mbali sana.
Og de ofrede paa den samme Dag store Ofre og vare glade; thi Gud havde glædet dem med en stor Glæde, og endogsaa Kvinderne og Børnene glædede sig, saa at Jerusalems Glæde blev hørt indtil langt borte.
44 Wakati huo watu walichaguliwa kuwa wasimamizi wa vyumba vya ghala kwa ajili ya matoleo, malimbuko na zaka. Kutoka kwenye yale mashamba yaliyozunguka miji walipaswa walete kwenye ghala mafungu kama sheria ilivyoamuru kwa ajili ya makuhani na Walawi, kwa kuwa Yuda alifurahishwa na huduma ya makuhani na Walawi.
Og paa den samme Dag bleve Mænd beskikkede over Forraadskamrene, for Offergaverne, for Førstegrøden og for Tienderne, til at samle i dem af Agrene ved Stæderne de lovbestemte Dele til Præsterne og Leviterne; thi Juda havde Glæde over Præsterne og over Leviterne, som stode i deres Tjeneste.
45 Walifanya ibada ya Mungu wao na ibada ya utakaso, nao waimbaji na walinzi wa lango wakafanya hivyo pia, kufuatana na amri za Daudi na Solomoni mwanawe.
Og de toge Vare paa, hvad der var at varetage for deres Gud, og paa, hvad der var at varetage for Renselsen; og Sangerne og Portnerne vare der efter Davids og hans Søn Salomos Befaling.
46 Muda mrefu uliopita, katika siku za Daudi na Asafu, walikuwepo viongozi wa waimbaji na wa nyimbo za sifa na za kumshukuru Mungu.
Thi i Davids og i Asafs Dage, fra fordums Tid var der Øverster for Sangerne og Lovsangen og Taksigelserne til Gud.
47 Kwa hiyo katika siku za Zerubabeli na za Nehemia, Israeli wote walitoa mafungu kila siku kwa ajili ya waimbaji na mabawabu. Pia walitenga fungu kwa ajili ya Walawi wengine, nao Walawi walitenga fungu kwa ajili ya wazao wa Aroni.
Men al Israel gav Sangerne og Portnerne Underhold i Serubabels Dage og Nehemias Dage, hvad de skulde have til hver Dag, og de helligede det til Leviterne, og Leviterne helligede det til Arons Sønner.