< Nehemia 11 >

1 Basi viongozi wa watu walikaa Yerusalemu, nao watu wale wengine walipiga kura ili kuleta mtu mmoja kati ya watu kumi aje kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, nao wengine tisa waliobaki wakae katika miji yao wenyewe.
Un tie ļaužu virsnieki dzīvoja Jeruzālemē, bet tie citi ļaudis mesloja, ka pa vienam no desmit būs nākt un dzīvot Jeruzālemē, tai svētā pilsētā, un deviņiem tais citās pilsētās.
2 Watu waliwasifu wale wote waliojitolea kuishi Yerusalemu.
Un tie ļaudis svētīja visus, kas ar labu prātu apņēmās Jeruzālemē dzīvot.
3 Hawa ndio viongozi wa majimbo waliokuja kuishi Yerusalemu (baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa Hekalu, na wazao wa watumishi wa Solomoni waliendelea kuishi katika miji ya Yuda, kila mmoja katika milki yake mwenyewe katika miji mbalimbali,
Un šie ir tie valsts virsnieki, kas Jeruzālemē dzīvoja. Bet pa Jūda pilsētām dzīvoja ikviens savā iemantotā tiesā, savās pilsētās, Israēlieši, priesteri un leviti un Dieva nama kalpotāji un Salamana kalpu bērni.
4 ambapo watu wengine kutoka Yuda na Benyamini waliishi Yerusalemu). Kutoka wazao wa Yuda: Athaya mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mzao wa Peresi.
Un Jeruzālemē dzīvoja no Jūda bērniem un no Benjamina bērniem. No Jūda bērniem: Ataja, Uzijas dēls, tas bija Zaharijas, tas Amarijas, tas Šefatijas, tas Mahalaleēļa dēls, no Pereca bērniem,
5 Naye Maaseya mwana wa Baruku, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zekaria, mzao wa Mshiloni.
Un Maāseja, Bāruka dēls, tas bija Kol-Hozus, tas Hazajas, tas Adajas, tas Jojariba, tas Zaharijas, tas Šilonus dēls.
6 Wazao wa Peresi walioishi Yerusalemu walikuwa 468, watu wenye uwezo.
Visu Pereca bērnu, kas Jeruzālemē dzīvoja, bija četrsimt sešdesmit astoņi stipri vīri.
7 Kutoka wazao wa Benyamini: Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseya, mwana wa Ithieli, mwana wa Yeshaya
Un šie ir Benjamina bērni: Sallus, Mešulama dēls, tas bija Joēda, tas Pedajas, tas Kolajas, tas Maāsejas, tas Itiēļa, tas Ješajas dēls.
8 na wafuasi wake, Gabai na Salai watu 928.
Un pēc tā Gabajs un Sallajus, deviņsimt divdesmit astoņi.
9 Yoeli mwana wa Zikri alikuwa afisa wao mkuu, naye Yuda mwana wa Hasenua alikuwa msimamizi juu ya Mtaa wa Pili katika mji.
Un Joēls, Zihrus dēls, bija uzraugs pār tiem, un Jūda, Senuūs dēls, bija otrs pilsētas valdnieks.
10 Kutoka makuhani: Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini,
Un no priesteriem: Jedaja, Jojariba dēls, Jaķins.
11 Seraya mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu, msimamizi katika nyumba ya Mungu,
Seraja, Hilķijas dēls, - tas bija Mešulama, tas Cadoka, tas Merajota, tas Ahitoba dēls, - tas bija Dieva nama virsnieks,
12 pamoja na wenzao waliofanya kazi hekaluni: watu 822. Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amsi, mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya,
Un viņu brāļi, kas to darbu namā darīja, to bija astoņsimt divdesmit divi. Un Adaja, Jeroama dēls, tas bija Pelalijas, tas Amaca, tas Zaharijas, tas Pašhura, tas Malhijas dēls,
13 na wenzao, waliokuwa viongozi wa jamaa: watu 242. Amashisai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri,
Un viņa brāļi, cilts virsnieki, to bija divsimt četrdesmit divi. Un Amasajus, Azareēļa dēls, - tas bija Akuzajus, tas Mešilamota, tas Imera dēls,
14 na wenzao waliokuwa wenye uwezo: watu 128. Afisa wao mkuu alikuwa Zabdieli mwana wa Hagedolimu.
Un viņa brāļi, stipri vīri, to bija simts divdesmit astoņi, Un tas uzraugs pār tiem bija Zabdiēls, Ģedolima dēls.
15 Kutoka Walawi: Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni;
Un no levitiem: Šemaja, Hašuba dēls, tas bija Azrikama, tas Hašabijas, tas Bunus dēls,
16 Shabethai na Yozabadi, viongozi wawili wa Walawi, ambao walisimamia kazi za nje za nyumba ya Mungu;
Un Šabetajus un Jozabads no levitu virsniekiem pār to darbu Dieva nama ārpusē.
17 Matania mwana wa Mika, mwana wa Zabdi, mwana wa Asafu, kiongozi aliyeongoza kutoa shukrani na maombi; Bakbukia aliyekuwa msaidizi wake kati ya wenzake; na Abda mwana wa Shamua, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.
Un Matanija, Mihas dēls, tas bija Zabdus, tas Asafa dēls, tas bija tas pirmais, kas pie Dieva lūgšanas uzņēma to slavas dziesmu. Un Bakbuķijus bija tas otrais no saviem brāļiem, un Abdus, Šamuūs dēls, tas bija Galala, tas Jedutuna dēls.
18 Jumla ya Walawi waliokaa katika mji mtakatifu walikuwa watu 284.
Visu levitu tai svētā pilsētā bija divsimt astoņdesmit četri.
19 Mabawabu: Akubu, Talmoni na wenzao, waliolinda malango: watu 172.
Un vārtu sargi: Akubs, Talmons un viņu brāļi, kas vārtus sargāja; to bija simts septiņdesmit divi.
20 Waisraeli waliosalia, pamoja na makuhani na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda, kila mmoja katika urithi wa baba yake.
Bet tie citi no Israēla, no priesteriem un levitiem, bija pa visām Jūda pilsētām, ikviens savā īpašumā.
21 Watumishi wa Hekalu waliishi katika kilima cha Ofeli. Siha na Gishpa walikuwa wasimamizi wao.
Un tie Dieva nama kalpotāji dzīvoja Ofelā, un Cikus un Ģišpus bija pār Dieva nama kalpotājiem.
22 Afisa mkuu wa Walawi huko Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika. Uzi alikuwa mmoja wa wazao wa Asafu, waliokuwa waimbaji wenye kuwajibika kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu.
Un levitu uzraugs Jeruzālemē bija Uzus, Banus dēls, tas bija Hašabijas, tas Matanijas, tas Mihas dēls, no Asafa bērniem, kas bija dziedātāji pie Dieva nama kalpošanas.
23 Waimbaji walikuwa chini ya amri za mfalme, ambazo pia ziliratibu shughuli zao za kila siku.
Jo ķēniņa pavēle tiem bija dota un skaidrs nolikums tiem dziedātājiem, kas ikkatrai dienai krīt.
24 Pethahia mwana wa Meshezabeli, mmoja wa wazao wa Zera mwana wa Yuda, alikuwa mwakilishi wa mfalme katika mambo yote kuhusu mahusiano na watu.
Un Petahja, Mešezabeēla dēls, no Zerus, Jūda dēla, bērniem, bija pie ķēniņa rokas visās ļaužu lietās.
25 Kuhusu vijiji na mashamba yake, baadhi ya watu wa Yuda waliishi Kiriath-Arba na makazi yaliyokizunguka, katika Diboni na makazi yake, katika Yekabzeeli na vijiji vyake,
Un pa ciemiem uz saviem tīrumiem dzīvoja no Jūda bērniem KiriatArbā un viņas apgabalā, un Dibonā un viņas apgabalā, un Jekabceēlā un viņas ciemos,
26 katika Yeshua, katika Molada, katika Beth-Peleti,
Un Ješuā un Moladā un BePeletā
27 katika Hasar-Shuali, katika Beer-Sheba na makazi yake,
Un HacarŠualā un Bēršebā un viņas apgabalā,
28 katika Siklagi, katika Mekona na makazi yake,
Un Ciklagā un Makonā un viņas apgabalā,
29 katika En-Rimoni, katika Sora, katika Yarmuthi,
Un EnRimonā un Caregā un Jeremutā
30 Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, katika Lakishi na mashamba yake, na katika Azeka na makazi yake. Hivyo walikuwa wakiishi kuanzia Beer-Sheba mpaka Bonde la Hinomu.
Un Zanoā, Adulamā un viņas ciemos, Laķisā un viņas tīrumos, Azekā un viņas apgabalā. Un tie apmetās no Bēršebas līdz Inoma ielejai.
31 Wazao wa Wabenyamini kutoka Geba waliishi Mikmashi, Aiya, Betheli na makazi yake,
Bet Benjamina bērni no Gabas dzīvoja Mihmasā un Ajā un Bētelē un viņas apgabalā.
32 katika Anathothi, Nobu na Anania,
Anatotā, Nobā, Ananijā,
33 katika Hazori, Rama na Gitaimu,
Hacorā, Rāmā, Ģitaīmā,
34 katika Hadidi, Seboimu na Nebalati,
Hadadā, Ceboīmā, Nebalatā,
35 katika Lodi na Ono, na katika Bonde la Mafundi.
Lodā un Onā, tai amatnieku ielejā.
36 Baadhi ya makundi ya Walawi wa Yuda waliishi huko Benyamini.
Un no levitiem, kam daļa bija Jūdā, kādi dzīvoja iekš Benjamina.

< Nehemia 11 >