< Nehemia 11 >

1 Basi viongozi wa watu walikaa Yerusalemu, nao watu wale wengine walipiga kura ili kuleta mtu mmoja kati ya watu kumi aje kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, nao wengine tisa waliobaki wakae katika miji yao wenyewe.
Mwet kol elos oakwuki in Jerusalem, ac mwet saya elos susfa in sulela sie sou inmasrlon sou singoul nukewa in som ac wi muta in siti mutal Jerusalem. A sou lula nukewa elos muta in siti srisrik ac siti lulap saya.
2 Watu waliwasifu wale wote waliojitolea kuishi Yerusalemu.
Mwet uh kaksakin pac kutena mwet saya ma sifacna lungse muta in Jerusalem.
3 Hawa ndio viongozi wa majimbo waliokuja kuishi Yerusalemu (baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa Hekalu, na wazao wa watumishi wa Solomoni waliendelea kuishi katika miji ya Yuda, kila mmoja katika milki yake mwenyewe katika miji mbalimbali,
In siti srisrik ac siti lulap saya ah, mwet Israel, mwet tol, mwet Levi, mwet orekma lun Tempul, ac mwet in sou lun mwet kulansap lal Solomon, elos muta yen selos sifacna in siti selos sifacna. Pa inge inen mwet kol ke kais sie ipin acn lun Judah su muta in Jerusalem:
4 ambapo watu wengine kutoka Yuda na Benyamini waliishi Yerusalemu). Kutoka wazao wa Yuda: Athaya mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mzao wa Peresi.
[Mwet in sruf lun Judah]: Athaiah, wen natul Uzziah, wen natul Zechariah. Mwet matu saya in sou lal pa Amariah, Shephatiah, ac Mahalalel, su fwilin tulik natul Perez, wen natul Judah.
5 Naye Maaseya mwana wa Baruku, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zekaria, mzao wa Mshiloni.
Maaseiah, wen natul Baruch, wen natul Colhozeh. Mwet matu saya in sou lal pa Hazaiah, Adaiah, Joiarib, ac Zechariah, su fwilin tulik natul Shelah, wen natul Judah.
6 Wazao wa Peresi walioishi Yerusalemu walikuwa 468, watu wenye uwezo.
Mwet pulaik angfoko onngoul oalkosr sin fwilin tulik natul Perez, elos muta in Jerusalem.
7 Kutoka wazao wa Benyamini: Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseya, mwana wa Ithieli, mwana wa Yeshaya
[Mwet in sruf lun Benjamin]: Sallu, wen natul Meshullam, wen natul Joed. Mwet matu saya in sou lal pa Pedaiah, Kolaiah, Maaseiah, Ithiel, ac Jeshaiah.
8 na wafuasi wake, Gabai na Salai watu 928.
Gabbai ac Sallai, sou fototo nu sel Sallu. Pisen mwet Benjamin nukewa su muta in Jerusalem pa eufoko longoul oalkosr.
9 Yoeli mwana wa Zikri alikuwa afisa wao mkuu, naye Yuda mwana wa Hasenua alikuwa msimamizi juu ya Mtaa wa Pili katika mji.
Joel, wen natul Zichri, pa mwet kol lalos, ac Judah, wen natul Hassenuah, pa akluo yal in kol siti sac.
10 Kutoka makuhani: Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini,
[Mwet Tol]: Jedaiah, wen natul Joiarib, ac Jachin.
11 Seraya mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu, msimamizi katika nyumba ya Mungu,
Seraiah, wen natul Hilkiah, wen natul Meshullam. Mwet matu saya in sou lal pa Zadok, Meraioth, ac Ahitub, su Mwet Tol Fulat.
12 pamoja na wenzao waliofanya kazi hekaluni: watu 822. Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amsi, mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya,
Inmasrlon sou se inge, mwet oalfoko longoul luo pa kulansap in Tempul. Adaiah, wen natul Jeroham, wen natul Pelaliah. Mwet matu saya in sou lal pa Amzi, Zechariah, Pashhur, ac Malchijah.
13 na wenzao, waliokuwa viongozi wa jamaa: watu 242. Amashisai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri,
Mwet luofoko angngaul luo in sou lulap se inge elos sifen sou. Amashsai, wen natul Azarel, wen natul Ahzai. Mwet matu saya in sou lal pa Meshillemoth ac Immer.
14 na wenzao waliokuwa wenye uwezo: watu 128. Afisa wao mkuu alikuwa Zabdieli mwana wa Hagedolimu.
Mwet siofok longoul oalkosr in sou se inge elos mwet mweun pulaik. Mwet kol lalos pa Zabdiel, wen nutin sie sou pwengpeng.
15 Kutoka Walawi: Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni;
[Mwet Levi]: Shemaiah, wen natul Hasshub, wen natul Azrikam. Mwet matu saya in sou lal pa Hashabiah ac Bunni.
16 Shabethai na Yozabadi, viongozi wawili wa Walawi, ambao walisimamia kazi za nje za nyumba ya Mungu;
Shabbethai ac Jozabad, mwet Levi eteyuk ac elos pa liaung orekma likin Tempul.
17 Matania mwana wa Mika, mwana wa Zabdi, mwana wa Asafu, kiongozi aliyeongoza kutoa shukrani na maombi; Bakbukia aliyekuwa msaidizi wake kati ya wenzake; na Abda mwana wa Shamua, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.
Mattaniah, wen natul Mica, wen natul Zabdi, sie mwet in fita lal Asaph. El kol mwet on lun Tempul ke elos alullul ke pre in sang kulo. Bakbukiah, su mwet kasru lal Mattaniah. Abda, wen natul Shammua, wen natul Galal, sie mwet in fwilin tulik natul Jeduthun.
18 Jumla ya Walawi waliokaa katika mji mtakatifu walikuwa watu 284.
Pisen mwet Levi nukewa su muta in siti mutal Jerusalem pa luofoko oalngoul akosr.
19 Mabawabu: Akubu, Talmoni na wenzao, waliolinda malango: watu 172.
[Mwet topang ke mutunoa lun Tempul]: Akkub, Talmon, ac mwet wialos, elos mwet siofok itngoul luo nufon.
20 Waisraeli waliosalia, pamoja na makuhani na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda, kila mmoja katika urithi wa baba yake.
Mwet lula sin mwet Israel, ac mwet lula sin mwet tol ac mwet Levi, elos muta yen selos sifacna in siti srisrik ac siti lulap saya in Judah.
21 Watumishi wa Hekalu waliishi katika kilima cha Ofeli. Siha na Gishpa walikuwa wasimamizi wao.
Mwet orekma lun Tempul elos muta ke ipin acn se Jerusalem pangpang Ophel, ac orekma ye kolyuk lal Ziha ac Gishpa.
22 Afisa mkuu wa Walawi huko Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika. Uzi alikuwa mmoja wa wazao wa Asafu, waliokuwa waimbaji wenye kuwajibika kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu.
Mwet se ma liyaung mwet Levi su muta in Jerusalem pa Uzzi, wen natul Bani, wen natul Hashabiah. Mwet matu saya in sou lal pa Mattaniah ac Mica, ac el ma in sou lulap lun Asaph. Sou se inge pa fosrngakin on ke pacl in alu ke Tempul.
23 Waimbaji walikuwa chini ya amri za mfalme, ambazo pia ziliratibu shughuli zao za kila siku.
Oasr oakwuk fulat orekla tuh kais sie sou in kol on ke Tempul ke kais sie len.
24 Pethahia mwana wa Meshezabeli, mmoja wa wazao wa Zera mwana wa Yuda, alikuwa mwakilishi wa mfalme katika mambo yote kuhusu mahusiano na watu.
Pethahiah, wen natul Meshezabel, in sou lal Zerah ac sruf lun Judah, el mwet aolyen mwet Jew nu sin tokosra Persia.
25 Kuhusu vijiji na mashamba yake, baadhi ya watu wa Yuda waliishi Kiriath-Arba na makazi yaliyokizunguka, katika Diboni na makazi yake, katika Yekabzeeli na vijiji vyake,
Pus mwet muta ke acn apkuran nu ke ima lalos. Elos su ma in sruf lal Judah muta Kiriath Arba, Dibon, ac Jekabzeel, ac ke inkul ma oan apkuran nu ke acn inge.
26 katika Yeshua, katika Molada, katika Beth-Peleti,
Elos oayapa muta in siti lun Jeshua, Moladah, Bethpelet,
27 katika Hasar-Shuali, katika Beer-Sheba na makazi yake,
ac Hazarshual, ac in Beersheba ac inkul ma rauneak acn we.
28 katika Siklagi, katika Mekona na makazi yake,
Elos muta in siti Ziklag, ac in Meconah ac inkul ma apkuran nu Meconah,
29 katika En-Rimoni, katika Sora, katika Yarmuthi,
in Enrimmon, Zorah, Jarmuth,
30 Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, katika Lakishi na mashamba yake, na katika Azeka na makazi yake. Hivyo walikuwa wakiishi kuanzia Beer-Sheba mpaka Bonde la Hinomu.
Zanoah, Adullam, ac inkul ma apkuran nu ke acn inge. Elos muta in Lachish ac ke ima ma apkuran nu we, ac in Azekah ac inkul ma rauneak. Kalmac pa mwet Judah elos muta ke acn inmasrlon Beersheba layen eir nwe ke Infahlfal Hinnom layen epang.
31 Wazao wa Wabenyamini kutoka Geba waliishi Mikmashi, Aiya, Betheli na makazi yake,
Mwet in sruf lun Benjamin elos muta in Geba, Michmash, Ai, Bethel, ac inkul ma apkuran nu we,
32 katika Anathothi, Nobu na Anania,
Anathoth, Nob, Anaiah,
33 katika Hazori, Rama na Gitaimu,
Hazor, Ramah, Gittaim,
34 katika Hadidi, Seboimu na Nebalati,
Hadid, Zeboim, Neballat,
35 katika Lodi na Ono, na katika Bonde la Mafundi.
Lod, ac Ono, ac ke Infahlfal lun Mwet Tufahl.
36 Baadhi ya makundi ya Walawi wa Yuda waliishi huko Benyamini.
Kutu u lun mwet Levi su tuh muta in acn lun Judah mokleyukla elos in muta yurin mwet Benjamin.

< Nehemia 11 >