< Nehemia 11 >

1 Basi viongozi wa watu walikaa Yerusalemu, nao watu wale wengine walipiga kura ili kuleta mtu mmoja kati ya watu kumi aje kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, nao wengine tisa waliobaki wakae katika miji yao wenyewe.
Et les chefs du peuple habitaient à Jérusalem: et le reste du peuple jeta le sort pour qu’un sur dix vienne habiter à Jérusalem, la ville sainte, et que les neuf [autres] parties [demeurent] dans les villes.
2 Watu waliwasifu wale wote waliojitolea kuishi Yerusalemu.
Et le peuple bénit tous les hommes qui s’offrirent volontairement pour habiter à Jérusalem.
3 Hawa ndio viongozi wa majimbo waliokuja kuishi Yerusalemu (baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa Hekalu, na wazao wa watumishi wa Solomoni waliendelea kuishi katika miji ya Yuda, kila mmoja katika milki yake mwenyewe katika miji mbalimbali,
Or ce sont ici les chefs de la province qui habitèrent à Jérusalem; mais, dans les villes de Juda, habitèrent, chacun dans sa possession, dans leurs villes, Israël, les sacrificateurs, et les lévites, et les Nethiniens, et les fils des serviteurs de Salomon.
4 ambapo watu wengine kutoka Yuda na Benyamini waliishi Yerusalemu). Kutoka wazao wa Yuda: Athaya mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mzao wa Peresi.
Et à Jérusalem habitèrent des fils de Juda, et des fils de Benjamin. – Des fils de Juda: Athaïa, fils d’Ozias, fils de Zacharie, fils d’Amaria, fils de Shephatia, fils de Mahalaleël, d’entre les fils de Pérets;
5 Naye Maaseya mwana wa Baruku, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zekaria, mzao wa Mshiloni.
et Maascéïa, fils de Baruc, fils de Col-Hozé, fils de Hazaïa, fils d’Adaïa, fils de Joïarib, fils de Zacharie, d’entre les Shilonites.
6 Wazao wa Peresi walioishi Yerusalemu walikuwa 468, watu wenye uwezo.
Tous les fils de Pérets qui habitèrent à Jérusalem: 468 hommes vaillants.
7 Kutoka wazao wa Benyamini: Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseya, mwana wa Ithieli, mwana wa Yeshaya
– Et ce sont ici les fils de Benjamin: Sallu, fils de Meshullam, fils de Joëd, fils de Pedaïa, fils de Kolaïa, fils de Maascéïa, fils d’Ithiel, fils d’Ésaïe;
8 na wafuasi wake, Gabai na Salai watu 928.
et après lui, Gabbaï, Sallaï: 928;
9 Yoeli mwana wa Zikri alikuwa afisa wao mkuu, naye Yuda mwana wa Hasenua alikuwa msimamizi juu ya Mtaa wa Pili katika mji.
et Joël, fils de Zicri, était préposé sur eux, et Juda, fils d’Hassenua, en second, sur la ville.
10 Kutoka makuhani: Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini,
Des sacrificateurs: Jedahia, [fils de] Joïarib, Jakin;
11 Seraya mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu, msimamizi katika nyumba ya Mungu,
Seraïa, fils de Hilkija, fils de Meshullam, fils de Tsadok, fils de Meraïoth, fils d’Akhitub, prince de la maison de Dieu;
12 pamoja na wenzao waliofanya kazi hekaluni: watu 822. Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amsi, mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya,
et leurs frères qui faisaient les travaux de la maison: 822. Et Adaïa, fils de Jerokham, fils de Pelalia, fils d’Amtsi, fils de Zacharie, fils de Pashkhur, fils de Malkija,
13 na wenzao, waliokuwa viongozi wa jamaa: watu 242. Amashisai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri,
et ses frères, chefs des pères: 242. Et Amassaï, fils d’Azareël, fils d’Akhzaï, fils de Meshillémoth, fils d’Immer;
14 na wenzao waliokuwa wenye uwezo: watu 128. Afisa wao mkuu alikuwa Zabdieli mwana wa Hagedolimu.
et leurs frères, hommes forts et vaillants: 128; et Zabdiel, fils de Guedolim, était préposé sur eux.
15 Kutoka Walawi: Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni;
Et des lévites: Shemahia, fils de Hashub, fils d’Azrikam, fils de Hashabia, fils de Bunni;
16 Shabethai na Yozabadi, viongozi wawili wa Walawi, ambao walisimamia kazi za nje za nyumba ya Mungu;
et Shabthaï et Jozabad, d’entre les chefs des lévites, [préposés] sur l’ouvrage extérieur de la maison de Dieu;
17 Matania mwana wa Mika, mwana wa Zabdi, mwana wa Asafu, kiongozi aliyeongoza kutoa shukrani na maombi; Bakbukia aliyekuwa msaidizi wake kati ya wenzake; na Abda mwana wa Shamua, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.
et Matthania, fils de Michée, fils de Zabdi, fils d’Asaph, le chef, qui entonnait la louange à la prière, et Bakbukia, le second d’entre ses frères, et Abda, fils de Shammua, fils de Galal, fils de Jeduthun.
18 Jumla ya Walawi waliokaa katika mji mtakatifu walikuwa watu 284.
Tous les lévites dans la ville sainte: 284.
19 Mabawabu: Akubu, Talmoni na wenzao, waliolinda malango: watu 172.
Et les portiers, Akkub, Talmon, et leurs frères, qui étaient de garde aux portes, 172.
20 Waisraeli waliosalia, pamoja na makuhani na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda, kila mmoja katika urithi wa baba yake.
Et le reste d’Israël, les sacrificateurs, [et] les lévites, [habitèrent] dans toutes les villes de Juda, chacun dans son héritage.
21 Watumishi wa Hekalu waliishi katika kilima cha Ofeli. Siha na Gishpa walikuwa wasimamizi wao.
Et les Nethiniens habitèrent Ophel; et Tsikha et Guishpa étaient [préposés] sur les Nethiniens.
22 Afisa mkuu wa Walawi huko Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika. Uzi alikuwa mmoja wa wazao wa Asafu, waliokuwa waimbaji wenye kuwajibika kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu.
Et celui qui était préposé sur les lévites à Jérusalem était Uzzi, fils de Bani, fils de Hashabia, fils de Matthania, fils de Michée, des fils d’Asaph, les chantres pour l’œuvre de la maison de Dieu.
23 Waimbaji walikuwa chini ya amri za mfalme, ambazo pia ziliratibu shughuli zao za kila siku.
Car c’était le commandement du roi à leur égard, et il y avait un fixe pour les chantres, pour chaque jour ce qu’il fallait.
24 Pethahia mwana wa Meshezabeli, mmoja wa wazao wa Zera mwana wa Yuda, alikuwa mwakilishi wa mfalme katika mambo yote kuhusu mahusiano na watu.
Et Pethakhia, fils de Meshézabeël, des fils de Zérakh, fils de Juda, était auprès du roi pour toutes les affaires du peuple.
25 Kuhusu vijiji na mashamba yake, baadhi ya watu wa Yuda waliishi Kiriath-Arba na makazi yaliyokizunguka, katika Diboni na makazi yake, katika Yekabzeeli na vijiji vyake,
Et pour ce qui est des hameaux de leurs campagnes, [quelques-uns] des fils de Juda habitèrent à Kiriath-Arba et dans les villages de son ressort, et à Dibon et dans les villages de son ressort, et à Jekabtsëel et dans ses hameaux,
26 katika Yeshua, katika Molada, katika Beth-Peleti,
et à Jéshua, et à Molada, et à Beth-Péleth,
27 katika Hasar-Shuali, katika Beer-Sheba na makazi yake,
et à Hatsar-Shual, et à Beër-Shéba et dans les villages de son ressort,
28 katika Siklagi, katika Mekona na makazi yake,
et à Tsiklag, et à Mecona et dans les villages de son ressort,
29 katika En-Rimoni, katika Sora, katika Yarmuthi,
et à En-Rimmon, et à Tsorha, et à Jarmuth,
30 Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, katika Lakishi na mashamba yake, na katika Azeka na makazi yake. Hivyo walikuwa wakiishi kuanzia Beer-Sheba mpaka Bonde la Hinomu.
Zanoakh, Adullam et leurs hameaux, Lakis et ses campagnes, Azéka et les villages de son ressort; et ils demeurèrent depuis Beër-Shéba jusqu’à la vallée de Hinnom.
31 Wazao wa Wabenyamini kutoka Geba waliishi Mikmashi, Aiya, Betheli na makazi yake,
Et les fils de Benjamin [s’établirent], depuis Guéba, [à] Micmash, et Aïa, et Béthel et les villages de son ressort,
32 katika Anathothi, Nobu na Anania,
Anathoth, Nob, Anania,
33 katika Hazori, Rama na Gitaimu,
Hatsor, Rama, Guitthaïm,
34 katika Hadidi, Seboimu na Nebalati,
Hadid, Tseboïm, Neballath,
35 katika Lodi na Ono, na katika Bonde la Mafundi.
Lod et Ono, la vallée des artisans.
36 Baadhi ya makundi ya Walawi wa Yuda waliishi huko Benyamini.
Et d’entre les Lévites, il y eut des divisions de Juda [qui s’établirent] en Benjamin.

< Nehemia 11 >