< Nehemia 11 >

1 Basi viongozi wa watu walikaa Yerusalemu, nao watu wale wengine walipiga kura ili kuleta mtu mmoja kati ya watu kumi aje kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, nao wengine tisa waliobaki wakae katika miji yao wenyewe.
Isala: ili ouligisu dunu da Yelusaleme moilai amo ganodini fisu. Isala: ili dunu eno da sosogo fi nabuane amo ganodini, fi afadafa da Yelusaleme ganodini fima: ne ululuasu adoba: su ilegesu hou amoga sosogo fi ilegei. Be eno sosogo fi hame ilegei da eno moilaiga fima: ne ilia sia: i.
2 Watu waliwasifu wale wote waliojitolea kuishi Yerusalemu.
Dunu huluane da nowa dunu eno da Yelusaleme moilai amo ganodini fimusa: sia: i, ilima nodosu.
3 Hawa ndio viongozi wa majimbo waliokuja kuishi Yerusalemu (baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa Hekalu, na wazao wa watumishi wa Solomoni waliendelea kuishi katika miji ya Yuda, kila mmoja katika milki yake mwenyewe katika miji mbalimbali,
Eno moilai amo ganodini, Isala: ili dunu, uda, gobele salasu dunu, Lifai dunu, Debolo hawa: hamosu dunu amola Soloumane ea hawa: hamosu dunu iligaga fi ilia da ilia sogebidafa amo ilia moilaidafa amo ganodini esalebe ba: i. Bisilua agoai dunu da Yelusaleme moilai Yuda soge ganodini esalebe ba: i, amo ilia dio da hagudu dedei,
4 ambapo watu wengine kutoka Yuda na Benyamini waliishi Yerusalemu). Kutoka wazao wa Yuda: Athaya mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mzao wa Peresi.
Yuda fi dunuA: daia (Yesaia egefe amola Segalaia ea aowa). Ea aowalali dunu eno mogili da A: malaia, Siefadaia amola Maha: ilaliele. Huluane da Yuda egefe Bilese amo egaga fi.
5 Naye Maaseya mwana wa Baruku, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zekaria, mzao wa Mshiloni.
Ma: iasia (Belage egefe amola Golehouse ea aowa). Ea aowalali dunu eno mogili da Hasa: ia, Ada: iya, Yoialibe amola Segalaia. Huluane da Yuda egefe Sila amo egaga fi.
6 Wazao wa Peresi walioishi Yerusalemu walikuwa 468, watu wenye uwezo.
Bilese egaga fi bisili agoane ba: i dunu Yelusaleme moilai ganodini, ilia idi da 468 agoane ba: i.
7 Kutoka wazao wa Benyamini: Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseya, mwana wa Ithieli, mwana wa Yeshaya
Bediamini fi dunu, Sa: la: iai (Misiala: me egefe amola Youede ea aowa). Ea aowalali eno mogili da Bida: iya, Goula: ia, Ma: iasia, Idiele amola Yisa: ia.
8 na wafuasi wake, Gabai na Salai watu 928.
Ga: ba: iai amola Sa: la: iai. (Ilia da Sa: la: iai ea sosogo fi agoai galebe.) Bediamini fi dunu huluane Yelusaleme moilaiga fifilasu ilia idi da 928 agoane.
9 Yoeli mwana wa Zikri alikuwa afisa wao mkuu, naye Yuda mwana wa Hasenua alikuwa msimamizi juu ya Mtaa wa Pili katika mji.
Ilia ouligisu da Youele (Sigalai egefe). Amola Yuda (Ha: siniua egefe) da moilai amo ganodini eagene ouligisu ea afoha agoane ba: i.
10 Kutoka makuhani: Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini,
Gobele Salasu dunu, Yeda: ia (Yoialibe egefe) amola Ya: igini.
11 Seraya mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu, msimamizi katika nyumba ya Mungu,
Sila: ia (Hiligaia egefe amola Misiala: me ea aowa). Ea aowalali eno mogili da Sa: idoge, Mila: iode amola Ahaidabe (e da gobele salasu ouligisu dunu esalu).
12 pamoja na wenzao waliofanya kazi hekaluni: watu 822. Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amsi, mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya,
Amo fi huluane da Debolo diasuga hawa: hamoma: ne, ilia idi da 822 agoane. Amola Ada: iya (Yilouha: me egefe amola Belalaia ea aowa). Ea aowalali eno mogili da A: masai, Segalaia, Ba: sie amola Ma: legaia.
13 na wenzao, waliokuwa viongozi wa jamaa: watu 242. Amashisai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri,
Amo sosogo fi ouligisu dunu huluane ilia idi da242 agoane. Amalalu, Amasia: iai (Asa: iliele egefe amola Aha: isai ea aowa). Ea aowalali eno mogili da Misilimode amola Ime.
14 na wenzao waliokuwa wenye uwezo: watu 128. Afisa wao mkuu alikuwa Zabdieli mwana wa Hagedolimu.
Amo fi ganodini, bisili dadi gagui dunu ilia idi 128 agoane ba: i. Ilia ouligisu dunu da bisili sosogo fi afae amo ganodini esalu. Ea dio amo da Sa: badiele.
15 Kutoka Walawi: Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni;
Lifai dunuSiema: ia (Ha: siabe egefe amola A: seliga: me ea aowa). Ea aowalali eno mogili da Ha: siabaia amola Banai.
16 Shabethai na Yozabadi, viongozi wawili wa Walawi, ambao walisimamia kazi za nje za nyumba ya Mungu;
Sia: bidai amola Yosaba: de da Debolo gadili hawa: hamosu ouligisu.
17 Matania mwana wa Mika, mwana wa Zabdi, mwana wa Asafu, kiongozi aliyeongoza kutoa shukrani na maombi; Bakbukia aliyekuwa msaidizi wake kati ya wenzake; na Abda mwana wa Shamua, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.
Ma: danaia (Maiga egefe amola Sa: badai ea aowa). Sa: badai ea siba ada da A: isa: fe. E da Debolo gesami hea: su dunu ilia da Godema sia: ne gadoloba, amola gesami hea: loba, e da ili ouligisu. Eno da Ba: gabiugaia (Ma: danaia ea fidisu dunu) amola A: bada (Sia: miua egefe amola Ga: ila: le ea aowa). Ga: ila: le da Yediudane egaga fi dunu esalu.
18 Jumla ya Walawi waliokaa katika mji mtakatifu walikuwa watu 284.
Lifai dunu huluane da Yelusaleme hadigi moilaiga fifi lasu ilia idi da284agoane.
19 Mabawabu: Akubu, Talmoni na wenzao, waliolinda malango: watu 172.
Debolo sosodo aligisu dunu. A: gabe amola Da: lamone elea sosogo fi. Huluane ilia idi da 172 agoane.
20 Waisraeli waliosalia, pamoja na makuhani na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda, kila mmoja katika urithi wa baba yake.
Isala: ili dunu eno huluane, eno gobele salasu dunu mogili amola eno Lifai dunu mogili, ilia da ilila: sogebi eno moilai Yuda soge ganodini gala amoga fi.
21 Watumishi wa Hekalu waliishi katika kilima cha Ofeli. Siha na Gishpa walikuwa wasimamizi wao.
Debolo hawa: hamosu dunu da Yelusaleme moilai amo ganodini sogebi ea dio amo Oufele amo ganodini esalebe ba: i. Ilia ouligisu dunu aduna ela dio da Saiha amola Gisiba.
22 Afisa mkuu wa Walawi huko Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika. Uzi alikuwa mmoja wa wazao wa Asafu, waliokuwa waimbaji wenye kuwajibika kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu.
Lifai dunu ilia ouligisu dunu, e da Yelusaleme moilai ganodini esala. Ea dio amo da Asai (Ba: inai egefe amola Ha: siabaia ea aowa). Ea aowalali eno mogili da Ma: danaia amola Maiga. Ea fi da A: isa: fe (ea fi da Debolo gesami hea: su hou ouligisu.)
23 Waimbaji walikuwa chini ya amri za mfalme, ambazo pia ziliratibu shughuli zao za kila siku.
Ilia da fi afae eso afaega amola fi eno eso enoga, sema dedei defele gesami hea: su Debolo ganodini ouligisu.
24 Pethahia mwana wa Meshezabeli, mmoja wa wazao wa Zera mwana wa Yuda, alikuwa mwakilishi wa mfalme katika mambo yote kuhusu mahusiano na watu.
Bedahaia (e da Misiesabele egefe amola ea sosogo fi da Sila amo Yuda fi amo ganodini). E da Isala: ili fi huluane, ilia da Besia eagene gaso amoma fofada: loba, ilia alofele fofada: su dunu ba: i.
25 Kuhusu vijiji na mashamba yake, baadhi ya watu wa Yuda waliishi Kiriath-Arba na makazi yaliyokizunguka, katika Diboni na makazi yake, katika Yekabzeeli na vijiji vyake,
Dunu bagohame da moilai amo ilia ifabi gadenene dialu amo ganodini fifi lasu. Yuda fi dunu da moilai Gilia: de Aba, Daibone amola Yiga: besiele moilai fonobahadi amo gadenene dialu.
26 katika Yeshua, katika Molada, katika Beth-Peleti,
Amola ilia da moilai bai bagade eno amo ganodini esalu. Amo da Yesua, Molada, Bedefilede,
27 katika Hasar-Shuali, katika Beer-Sheba na makazi yake,
Ha: sa Siuale, Biasiba, Sigila: ge, Migouna, Enelimone, Soula, Yamade, Sanoua, Adala: me, amola moilai fonobahadi amo moilai sisiga: le dialu. Ilia da La: igisi moilai amola ifabi amo da La: igisi gadenene dialu, amola Asiga amola moilai fonobahadi amo sisiga: le dialu, amo ganodini esalu. Yuda fi dunu huluane da soge amo ea ga (south) alalo da Biasiba amola Hinome Fago da ea eno ga (north) alalo, amo ganodini esalu.
28 katika Siklagi, katika Mekona na makazi yake,
29 katika En-Rimoni, katika Sora, katika Yarmuthi,
30 Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, katika Lakishi na mashamba yake, na katika Azeka na makazi yake. Hivyo walikuwa wakiishi kuanzia Beer-Sheba mpaka Bonde la Hinomu.
31 Wazao wa Wabenyamini kutoka Geba waliishi Mikmashi, Aiya, Betheli na makazi yake,
Bediamini fi dunu da amo hagudu dedei moilai amo ganodini fifi lasu, amo, Giba, Migema: se, A:iai, Bedele, A:nadode, Noube, A:nanaia, Ha: iso, La: ima, Gida: ime, Ha: idide, Siboime, Niba: la: de, Lode, amola Ounou, ilia da Loboga Liligi Noga: le Hahamosu Dunu Fago amo ganodini amola fifi lalusu.
32 katika Anathothi, Nobu na Anania,
33 katika Hazori, Rama na Gitaimu,
34 katika Hadidi, Seboimu na Nebalati,
35 katika Lodi na Ono, na katika Bonde la Mafundi.
36 Baadhi ya makundi ya Walawi wa Yuda waliishi huko Benyamini.
Amola ilia da Lifai fi mogili, amo da musa: Yuda soge ganodini esalu, ilia da wali Bediamini dunu fi ganodini esalumusa: , ilegei dagoi.

< Nehemia 11 >