< Nehemia 10 >
1 Wale waliotia muhuri walikuwa: Nehemia mtawala, mwana wa Hakalia. Sedekia,
Un uz tā apzieģelētā stāvēja: Nehemija, tas zemes soģis, Hakalijas dēls, un Cedeķija,
2 Seraya, Azaria, Yeremia,
Seraja, Azarija, Jeremija,
3 Pashuri, Amaria, Malkiya,
Pašhurs, Amarija, Malhija,
4 Hatushi, Shebania, Maluki,
Hatus, Šebanija, Maluks,
5 Harimu, Meremothi, Obadia,
Harims, Merimots, Obadija,
6 Danieli, Ginethoni, Baruku,
Daniēls, Ģintuns, Bāruks,
7 Meshulamu, Abiya, Miyamini,
Mešulams, Abija, Mejamins,
8 Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa ndio waliokuwa makuhani.
Maāzgus, Bilgajus, Šemaja: šie bija priesteri.
9 Walawi: Yeshua mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli,
Un leviti: Ješuūs, Azanijas dēls, Binujus no EnHadada bērniem, Kadmiēls,
10 na wenzao: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,
Un viņu brāļi Šebanija, Hodija, Kelitus, Pelaja, Hanans,
11 Mika, Rehobu, Hashabia,
Miha, Reūbs, Hašabija,
12 Zakuri, Sherebia, Shebania,
Zakurs, Šerebija. Šebanija,
13 Hodia, Bani na Beninu.
Hodija, Banus, Beninus.
14 Viongozi wa watu: Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,
Tie ļaužu virsnieki: Pareūs, PaātMoabs, Elams, Zatus, Banus.
16 Adoniya, Bigwai, Adini,
Adonija, Bigvājus, Adins,
17 Ateri, Hezekia, Azuri,
Aters, Hizkija, Azurs,
18 Hodia, Hashumu, Besai,
Hodija, Hašums, Becajus,
19 Harifu, Anathothi, Nebai,
Harips, Anatots, Nebajus,
20 Magpiashi, Meshulamu, Heziri,
Magpijas, Mešulams, Hezirs,
21 Meshezabeli, Sadoki, Yadua,
Mešezabeēls, Cadoks, Jaduūs,
22 Pelatia, Hanani, Anaya,
Platija, Hanans, Anaja,
23 Hoshea, Hanania, Hashubu,
Hošeja, Hananija, Hašubs,
24 Haloheshi, Pilha, Shobeki,
Haloūs, Pilka, Šobeks,
25 Rehumu, Hashabna, Maaseya,
Rehums, Hašabnus, Maāseja.
27 Maluki, Harimu na Baana.
Maluks, Harims, Baēnus.
28 “Watu wengine wote, wakiwa ni makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji, watumishi wa Hekalu, na wale wote waliojitenga na mataifa jirani kwa ajili ya Sheria ya Mungu, pamoja na wake zao na wana wao na binti zao wote waliokuwa na uwezo wa kufahamu,
Un tie citi ļaudis, priesteri, leviti, vārtu sargi, dziedātāji, Dieva nama kalpotāji un visi, kas bija atšķīrušies no tiem pagāniem tanīs zemēs uz Dieva bauslības pusi, viņu dēli un viņu meitas, visi prātīgie un mācītie ļaudis,
29 basi hawa wote wanajiunga na ndugu zao na wakuu wao, na kujifunga kwa laana na kwa kiapo kufuata Sheria ya Mungu iliyotolewa kupitia kwa Mose mtumishi wa Mungu, na kutii kwa uangalifu amri zote, maagizo na sheria za Bwana, Bwana wetu.
Šie turējās pie saviem brāļiem, tiem virsniekiem, un svēti apsolījās un zvērēja, staigāt Dieva bauslībā, kas caur Mozu, Dieva kalpu, dota, un turēt un darīt Tā Kunga, mūsu Dieva, baušļus un Viņa tiesas un Viņa likumus.
30 “Tunaahidi kutowaoza binti zetu kwa watu wanaotuzunguka, wala kuwaoza wana wetu binti zao.
Un ka mēs negribam dot savas meitas tiem zemes ļaudīm, nedz ņemt viņu meitas saviem dēliem.
31 “Wakati mataifa jirani waletapo bidhaa zao au nafaka kuuza siku ya Sabato, hatutazinunua kutoka kwao siku ya Sabato, wala siku nyingine yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba, tutaacha kuilima ardhi na tutafuta madeni yote.
Un kad tie zemes ļaudis preces un visādu labību atvedīs svētā dienā pārdot, ka mēs no tiem negribam ņemt svētā dienā vai kādos citos svētkos, un ka mēs septīto gadu gribam turēt par vaļas gadu un atlaist visādu nastu.
32 “Tunakubali wajibu wa kutimiza amri za kutoa theluthi ya shekeli kila mwaka kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu:
Un tad mēs iecēlām sev bausli, ka ik gadus gribam dot viena sēķeļa trešo daļu sava Dieva nama kalpošanai,
33 Kwa ajili ya mikate ya Wonyesho, kwa ajili ya sadaka za kawaida za nafaka na sadaka za kuteketezwa, kwa ajili ya sadaka za siku za Sabato, Sikukuu za Mwandamo wa Mwezi na sikukuu nyingine zilizoamriwa, kwa ajili ya sadaka takatifu, kwa ajili ya sadaka za dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, na kwa ajili ya kazi zote za nyumba ya Mungu wetu.
Tām priekšliekamām maizēm un tam nemitējamam ēdamam upurim un tam nemitējamam dedzināmam upurim svētdienās, jaunos mēnešos un svētkos, tām svētām dāvanām un tiem grēku upuriem, Israēli salīdzināt, un visiem darbiem mūsu Dieva namā.
34 “Sisi makuhani, Walawi na watu, tumepiga kura kuamua kuwa kila mmoja wa jamaa zetu lazima alete katika nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati maalum kila mwaka mchango wa kuni za kukokea moto katika madhabahu ya Bwana Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika Sheria.
Un mēs, priesteri, leviti un tie ļaudis metām meslus par malkas došanu, kas bija pievedama pie mūsu Dieva nama, pēc mūsu tēvu namiem ik gadus savā laikā, dedzināt uz Tā Kunga, mūsu Dieva, altāra, kā tas bauslībā rakstīts;
35 “Pia tunachukua wajibu wa kuleta malimbuko ya mazao yetu na matunda ya kwanza ya kila mti wa matunda katika nyumba ya Bwana kila mwaka.
Un ka arī savas zemes pirmajus un visu augļu pirmajus no visādiem kokiem gribam ik gadus nest uz Tā Kunga namu,
36 “Kama pia ilivyoandikwa katika Sheria, tutawaleta wazaliwa wetu wa kwanza wa kiume, na wa mifugo yetu, yaani wa ngʼombe wetu na wa makundi yetu ya kondoo na mbuzi, katika nyumba ya Mungu wetu, kwa ajili ya makuhani wanaohudumu huko.
Un savus pirmdzimušos dēlus un lopus, tā kā tas bauslībā rakstīts; un ka mēs savus pirmdzimušos vēršus un sīkos lopus gribam novest uz sava Dieva namu tiem priesteriem, kas mūsu Dieva namā kalpo;
37 “Zaidi ya hayo, tutaleta katika ghala za nyumba ya Mungu wetu, kwa makuhani, vyakula vya kwanza vya mashamba yetu, sadaka zetu za nafaka, matunda ya miti yetu yote, divai yetu mpya na mafuta. Nasi tutaleta zaka za mazao yetu kwa Walawi, kwa kuwa Walawi ndio ambao hukusanya zaka katika miji yote tunakofanya kazi.
Un ka tos pirmajus no savas mīklas un no saviem cilājamiem upuriem un visādu koku augļus, vīnu un eļļu gribam nest tiem priesteriem sava Dieva nama kambaros, un desmito tiesu no savas zemes tiem levitiem, un ka šie leviti to desmito tiesu dabū visās pilsētās, kur zemi kopjam.
38 Kuhani atokanaye na uzao wa Aroni atashirikiana na Walawi wakati wanapopokea zaka, nao Walawi itawapasa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu katika ghala za hazina.
Un ka priesterim no Ārona bērniem būs būt pie tiem levitiem, kad leviti to desmito tiesu dabū, un levitiem būs to desmito tiesu no (saviem) desmitiem nest augšām mūsu Dieva nama mantu kambaros.
39 Watu wa Israeli pamoja na Walawi itawapasa kuleta michango yao ya nafaka, divai mpya na mafuta katika vyumba vya ghala, mahali vifaa vya mahali patakatifu vinapohifadhiwa, na wanapokaa makuhani wanaohudumu, na mabawabu na waimbaji. “Hatutaacha kuijali nyumba ya Mungu wetu.”
Jo Israēla bērniem un Levja bērniem cilājamo upuri, labību, vīnu un eļļu būs nest tanīs kambaros, kur arī svētās vietas trauki ir un tie priesteri, kas tur kalpo, un vārtu sargi un dziedātāji, ka mēs sava Dieva nama neatstājam.