< Nehemia 10 >

1 Wale waliotia muhuri walikuwa: Nehemia mtawala, mwana wa Hakalia. Sedekia,
Signatores autem fuerunt, Nehemias, Athersatha filius Hachelai, et Sedecias,
2 Seraya, Azaria, Yeremia,
Saraias, Azarias, Ieremias,
3 Pashuri, Amaria, Malkiya,
Pheshur, Amarias, Melchias,
4 Hatushi, Shebania, Maluki,
Hattus, Sebenia, Melluch,
5 Harimu, Meremothi, Obadia,
Harem, Merimuth, Obdias,
6 Danieli, Ginethoni, Baruku,
Daniel, Genthon, Baruch,
7 Meshulamu, Abiya, Miyamini,
Mosollam, Abia, Miamin,
8 Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa ndio waliokuwa makuhani.
Maazia, Belgai, Semeia: hi sacerdotes.
9 Walawi: Yeshua mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli,
Porro Levitæ, Iosue filius Azaniæ, Bennui de filiis Henadad, Cedmihel,
10 na wenzao: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,
et fratres eorum, Sebenia, Odaia, Celita, Phalaia, Hanan,
11 Mika, Rehobu, Hashabia,
Micha, Rohob, Hasebia,
12 Zakuri, Sherebia, Shebania,
Zachur, Serebia, Sabania,
13 Hodia, Bani na Beninu.
Odaia, Bani, Baninu.
14 Viongozi wa watu: Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,
Capita populi, Pharos, Phahathmoab, Ælam, Zethu, Bani,
15 Buni, Azgadi, Bebai,
Bonni, Azgad, Bebai,
16 Adoniya, Bigwai, Adini,
Adonia, Begoai, Adin,
17 Ateri, Hezekia, Azuri,
Ater, Hezecia, Azur,
18 Hodia, Hashumu, Besai,
Odaia, Hasum, Besai,
19 Harifu, Anathothi, Nebai,
Hareph, Anathoth, Nebai,
20 Magpiashi, Meshulamu, Heziri,
Megphias, Mosollam, Hazir,
21 Meshezabeli, Sadoki, Yadua,
Mesizabel, Sadoc, Ieddua,
22 Pelatia, Hanani, Anaya,
Pheltia, Hanan, Anaia,
23 Hoshea, Hanania, Hashubu,
Osee, Hanania, Hasub,
24 Haloheshi, Pilha, Shobeki,
Alohes, Phalea, Sobec,
25 Rehumu, Hashabna, Maaseya,
Rehum, Hasebna, Maasia,
26 Ahiya, Hanani, Anani,
Echaia, Hanan, Anan,
27 Maluki, Harimu na Baana.
Melluch, Haran, Baana:
28 “Watu wengine wote, wakiwa ni makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji, watumishi wa Hekalu, na wale wote waliojitenga na mataifa jirani kwa ajili ya Sheria ya Mungu, pamoja na wake zao na wana wao na binti zao wote waliokuwa na uwezo wa kufahamu,
et reliqui de populo, Sacerdotes, Levitæ, ianitores, et cantores, Nathinæi, et omnes qui se separaverunt de populis terrarum ad legem Dei, uxores eorum, filii eorum, et filiæ eorum,
29 basi hawa wote wanajiunga na ndugu zao na wakuu wao, na kujifunga kwa laana na kwa kiapo kufuata Sheria ya Mungu iliyotolewa kupitia kwa Mose mtumishi wa Mungu, na kutii kwa uangalifu amri zote, maagizo na sheria za Bwana, Bwana wetu.
omnes qui poterant sapere spondentes pro fratribus suis, optimates eorum, et qui veniebant ad pollicendum, et iurandum ut ambularent in lege Dei, quam dederat in manu Moysi servi Dei, ut facerent et custodirent universa mandata Domini Dei nostri, et iudicia eius et ceremonias eius,
30 “Tunaahidi kutowaoza binti zetu kwa watu wanaotuzunguka, wala kuwaoza wana wetu binti zao.
et ut non daremus filias nostras populo terræ, et filias eorum non acciperemus filiis nostris.
31 “Wakati mataifa jirani waletapo bidhaa zao au nafaka kuuza siku ya Sabato, hatutazinunua kutoka kwao siku ya Sabato, wala siku nyingine yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba, tutaacha kuilima ardhi na tutafuta madeni yote.
Populi quoque terræ, qui important venalia, et omnia ad usum, per diem Sabbati ut vendant, non accipiemus ab eis in Sabbato et in die sanctificato. Et dimittemus annum septimum, et exactionem universæ manus.
32 “Tunakubali wajibu wa kutimiza amri za kutoa theluthi ya shekeli kila mwaka kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu:
Et statuemus super nos præcepta, ut demus tertiam partem sicli per annum ad opus domus Dei nostri,
33 Kwa ajili ya mikate ya Wonyesho, kwa ajili ya sadaka za kawaida za nafaka na sadaka za kuteketezwa, kwa ajili ya sadaka za siku za Sabato, Sikukuu za Mwandamo wa Mwezi na sikukuu nyingine zilizoamriwa, kwa ajili ya sadaka takatifu, kwa ajili ya sadaka za dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, na kwa ajili ya kazi zote za nyumba ya Mungu wetu.
ad panes propositionis, et ad sacrificium sempiternum, et in holocaustum sempiternum in Sabbatis, in calendis, in sollemnitatibus, et in sanctificatis, et pro peccato: ut exoretur pro Israel, et in omnem usum domus Dei nostri.
34 “Sisi makuhani, Walawi na watu, tumepiga kura kuamua kuwa kila mmoja wa jamaa zetu lazima alete katika nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati maalum kila mwaka mchango wa kuni za kukokea moto katika madhabahu ya Bwana Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika Sheria.
Sortes ergo misimus super oblationem lignorum inter Sacerdotes, et Levitas, et populum, ut inferrentur in domum Dei nostri per domos patrum nostrorum, per tempora, a temporibus anni usque ad annum: ut arderent super altare Domini Dei nostri, sicut scriptum est in lege Moysi:
35 “Pia tunachukua wajibu wa kuleta malimbuko ya mazao yetu na matunda ya kwanza ya kila mti wa matunda katika nyumba ya Bwana kila mwaka.
et ut afferremus primogenita terræ nostræ, et primitiva universi fructus omnis ligni, ab anno in annum, in domo Domini.
36 “Kama pia ilivyoandikwa katika Sheria, tutawaleta wazaliwa wetu wa kwanza wa kiume, na wa mifugo yetu, yaani wa ngʼombe wetu na wa makundi yetu ya kondoo na mbuzi, katika nyumba ya Mungu wetu, kwa ajili ya makuhani wanaohudumu huko.
Et primitiva filiorum nostrorum, et pecorum nostrorum, sicut sciptum est in lege, et primitiva boum nostrorum, et ovium nostrarum, ut offerrentur in domo Dei nostri, Sacerdotibus qui ministrant in domo Dei nostri:
37 “Zaidi ya hayo, tutaleta katika ghala za nyumba ya Mungu wetu, kwa makuhani, vyakula vya kwanza vya mashamba yetu, sadaka zetu za nafaka, matunda ya miti yetu yote, divai yetu mpya na mafuta. Nasi tutaleta zaka za mazao yetu kwa Walawi, kwa kuwa Walawi ndio ambao hukusanya zaka katika miji yote tunakofanya kazi.
et primitias ciborum nostrorum, et libaminum nostrorum, et poma omnis ligni, vindemiæ quoque et olei afferemus Sacerdotibus ad gazophylacium Dei nostri, et decimam partem terræ nostræ Levitis. Ipsi Levitæ decimas accipient ex omnibus civitatibus operum nostrorum.
38 Kuhani atokanaye na uzao wa Aroni atashirikiana na Walawi wakati wanapopokea zaka, nao Walawi itawapasa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu katika ghala za hazina.
Erit autem Sacerdos filius Aaron cum Levitis in decimis Levitarum, et Levitæ offerent decimam partem decimæ suæ in domo Dei nostri, ad gazophylacium in domum thesauri.
39 Watu wa Israeli pamoja na Walawi itawapasa kuleta michango yao ya nafaka, divai mpya na mafuta katika vyumba vya ghala, mahali vifaa vya mahali patakatifu vinapohifadhiwa, na wanapokaa makuhani wanaohudumu, na mabawabu na waimbaji. “Hatutaacha kuijali nyumba ya Mungu wetu.”
Ad gazophylacium enim deportabunt filii Israel, et filii Levi primitias frumenti, vini, et olei: et ibi erunt vasa sanctificata, et Sacerdotes, et cantores, et ianitores, et ministri, et non dimittemus domum Dei nostri.

< Nehemia 10 >