< Nehemia 10 >

1 Wale waliotia muhuri walikuwa: Nehemia mtawala, mwana wa Hakalia. Sedekia,
Sinetöidyissä asiakirjoissa ovat nämä nimet: Nehemia, Hakaljan poika, maaherra, ja Sidkia,
2 Seraya, Azaria, Yeremia,
Seraja, Asarja, Jeremia,
3 Pashuri, Amaria, Malkiya,
Pashur, Amarja, Malkia,
4 Hatushi, Shebania, Maluki,
Hattus, Sebanja, Malluk,
5 Harimu, Meremothi, Obadia,
Haarim, Meremot, Obadja,
6 Danieli, Ginethoni, Baruku,
Daniel, Ginneton, Baaruk,
7 Meshulamu, Abiya, Miyamini,
Mesullam, Abia, Miijamin,
8 Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa ndio waliokuwa makuhani.
Maasja, Bilgai ja Semaja-nämä ovat pappeja.
9 Walawi: Yeshua mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli,
Leeviläisiä ovat: Jeesua, Asanjan poika, Binnui, Heenadadin jälkeläinen, Kadmiel
10 na wenzao: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,
ja heidän veljensä Sebanja, Hoodia, Kelita, Pelaja, Haanan,
11 Mika, Rehobu, Hashabia,
Miika, Rehob, Hasabja,
12 Zakuri, Sherebia, Shebania,
Sakkur, Seerebja, Sebanja,
13 Hodia, Bani na Beninu.
Hoodia, Baani ja Beninu.
14 Viongozi wa watu: Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,
Kansan päämiehiä ovat: Paros, Pahat-Mooab, Eelam, Sattu, Baani,
15 Buni, Azgadi, Bebai,
Bunni, Asgad, Beebai,
16 Adoniya, Bigwai, Adini,
Adonia, Bigvai, Aadin,
17 Ateri, Hezekia, Azuri,
Aater, Hiskia, Assur,
18 Hodia, Hashumu, Besai,
Hoodia, Haasum, Beesai,
19 Harifu, Anathothi, Nebai,
Haarif, Anatot, Nuubai,
20 Magpiashi, Meshulamu, Heziri,
Magpias, Mesullam, Heesir,
21 Meshezabeli, Sadoki, Yadua,
Mesesabel, Saadok, Jaddua,
22 Pelatia, Hanani, Anaya,
Pelatja, Haanan, Anaja,
23 Hoshea, Hanania, Hashubu,
Hoosea, Hananja, Hassub,
24 Haloheshi, Pilha, Shobeki,
Loohes, Pilha, Soobek,
25 Rehumu, Hashabna, Maaseya,
Rehum, Hasabna, Maaseja,
26 Ahiya, Hanani, Anani,
Ahia, Haanan, Aanan,
27 Maluki, Harimu na Baana.
Malluk, Haarim ja Baana.
28 “Watu wengine wote, wakiwa ni makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji, watumishi wa Hekalu, na wale wote waliojitenga na mataifa jirani kwa ajili ya Sheria ya Mungu, pamoja na wake zao na wana wao na binti zao wote waliokuwa na uwezo wa kufahamu,
Ja muu kansa, papit, leeviläiset, ovenvartijat, veisaajat, temppelipalvelijat ja kaikki, jotka ovat eristäytyneet pakanallisista kansoista Jumalan lain puolelle, sekä heidän vaimonsa, poikansa ja tyttärensä, kaikki, jotka pystyvät sen ymmärtämään,
29 basi hawa wote wanajiunga na ndugu zao na wakuu wao, na kujifunga kwa laana na kwa kiapo kufuata Sheria ya Mungu iliyotolewa kupitia kwa Mose mtumishi wa Mungu, na kutii kwa uangalifu amri zote, maagizo na sheria za Bwana, Bwana wetu.
liittyvät ylhäisiin veljiinsä, tulevat valalle ja vannovat vaeltavansa Jumalan lain mukaan, joka on annettu Jumalan palvelijan Mooseksen kautta, ja noudattavansa ja seuraavansa kaikkia Herran, meidän Herramme, käskyjä, oikeuksia ja säädöksiä.
30 “Tunaahidi kutowaoza binti zetu kwa watu wanaotuzunguka, wala kuwaoza wana wetu binti zao.
Me emme anna tyttäriämme maan kansoille emmekä ota heidän tyttäriänsä pojillemme vaimoiksi.
31 “Wakati mataifa jirani waletapo bidhaa zao au nafaka kuuza siku ya Sabato, hatutazinunua kutoka kwao siku ya Sabato, wala siku nyingine yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba, tutaacha kuilima ardhi na tutafuta madeni yote.
Me emme osta sapattina tai pyhäpäivänä maan kansoilta, jos ne tuovat kauppatavaraa tai viljaa mitä tahansa kaupaksi sapattina. Me jätämme joka seitsemäntenä vuotena maan lepäämään ja kaikki saatavat velkomatta.
32 “Tunakubali wajibu wa kutimiza amri za kutoa theluthi ya shekeli kila mwaka kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu:
Me sitoudumme suorittamaan vuodessa kolmannes-sekelin palvelusta varten Jumalamme temppelissä:
33 Kwa ajili ya mikate ya Wonyesho, kwa ajili ya sadaka za kawaida za nafaka na sadaka za kuteketezwa, kwa ajili ya sadaka za siku za Sabato, Sikukuu za Mwandamo wa Mwezi na sikukuu nyingine zilizoamriwa, kwa ajili ya sadaka takatifu, kwa ajili ya sadaka za dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, na kwa ajili ya kazi zote za nyumba ya Mungu wetu.
näkyleipiin, jokapäiväiseen ruokauhriin ja jokapäiväiseen polttouhriin, uhreihin sapatteina ja uudenkuun päivinä, juhlauhreihin ja pyhiin lahjoihin, syntiuhreihin sovituksen toimittamiseksi Israelille ja kaikkeen, mikä meidän Jumalamme temppelissä toimitettava on.
34 “Sisi makuhani, Walawi na watu, tumepiga kura kuamua kuwa kila mmoja wa jamaa zetu lazima alete katika nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati maalum kila mwaka mchango wa kuni za kukokea moto katika madhabahu ya Bwana Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika Sheria.
Me, papit, leeviläiset ja kansa, olemme heittäneet arpaa uhrilahjahalkojen tuomisesta perhekunnittain Jumalamme temppeliin määräaikoina joka vuosi, poltettaviksi Herran, meidän Jumalamme, alttarilla, niinkuin laissa on kirjoitettuna.
35 “Pia tunachukua wajibu wa kuleta malimbuko ya mazao yetu na matunda ya kwanza ya kila mti wa matunda katika nyumba ya Bwana kila mwaka.
Me sitoudumme tuomaan maamme uutiset ja kaikkinaisten hedelmäpuiden uutiset joka vuosi Herran temppeliin
36 “Kama pia ilivyoandikwa katika Sheria, tutawaleta wazaliwa wetu wa kwanza wa kiume, na wa mifugo yetu, yaani wa ngʼombe wetu na wa makundi yetu ya kondoo na mbuzi, katika nyumba ya Mungu wetu, kwa ajili ya makuhani wanaohudumu huko.
sekä esikoiset pojistamme ja karjastamme, niinkuin laissa on kirjoitettuna, ja tuomaan raavaittemme ja lampaittemme esikoiset Jumalamme temppeliin, papeille, jotka toimittavat virkaansa meidän Jumalamme temppelissä.
37 “Zaidi ya hayo, tutaleta katika ghala za nyumba ya Mungu wetu, kwa makuhani, vyakula vya kwanza vya mashamba yetu, sadaka zetu za nafaka, matunda ya miti yetu yote, divai yetu mpya na mafuta. Nasi tutaleta zaka za mazao yetu kwa Walawi, kwa kuwa Walawi ndio ambao hukusanya zaka katika miji yote tunakofanya kazi.
Me tuomme parhaat jyvärouheemme ja antimemme, parhaat kaikkinaisten puiden hedelmät, parhaan viinin ja öljyn papeille, Jumalamme temppelin kammioihin, ja maamme kymmenykset leeviläisille. Leeviläiset itse kantavat kymmenykset kaikista kaupungeista, missä meillä on maanviljelystä.
38 Kuhani atokanaye na uzao wa Aroni atashirikiana na Walawi wakati wanapopokea zaka, nao Walawi itawapasa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu katika ghala za hazina.
Ja papin, Aaronin pojan, tulee olla leeviläisten kanssa, heidän kantaessaan kymmenyksiä, ja leeviläisten tulee viedä kymmenykset kymmenyksistä meidän Jumalamme temppeliin, varastohuoneen kammioihin.
39 Watu wa Israeli pamoja na Walawi itawapasa kuleta michango yao ya nafaka, divai mpya na mafuta katika vyumba vya ghala, mahali vifaa vya mahali patakatifu vinapohifadhiwa, na wanapokaa makuhani wanaohudumu, na mabawabu na waimbaji. “Hatutaacha kuijali nyumba ya Mungu wetu.”
Sillä israelilaisten ja leeviläisten on vietävä anti jyvistä, viinistä ja öljystä näihin kammioihin, joissa pyhäkön kalut ja virkaansa toimittavat papit, ovenvartijat ja veisaajat ovat. Me emme laiminlyö Jumalamme temppeliä."

< Nehemia 10 >