< Nehemia 10 >

1 Wale waliotia muhuri walikuwa: Nehemia mtawala, mwana wa Hakalia. Sedekia,
Na zapečaćenoj ispravi su bili: namjesnik Nehemija, sin Hakalijin, i Sidkija,
2 Seraya, Azaria, Yeremia,
Seraja, Azarja, Jeremija,
3 Pashuri, Amaria, Malkiya,
Pašhur, Amarja, Malkija,
4 Hatushi, Shebania, Maluki,
Hatuš, Šebanija, Maluk,
5 Harimu, Meremothi, Obadia,
Harim, Meremot, Obadja,
6 Danieli, Ginethoni, Baruku,
Daniel, Gineton, Baruk,
7 Meshulamu, Abiya, Miyamini,
Mešulam, Abija, Mijamin,
8 Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa ndio waliokuwa makuhani.
Maazja, Bilgaj, Šemaja - to su svećenici.
9 Walawi: Yeshua mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli,
Zatim leviti: Ješua, sin Azanijin, Binuj, od sinova Henadadovih - Kadmiel,
10 na wenzao: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,
i braća njihova: Šekanija, Hodija, Kelita, Pelaja, Hanan,
11 Mika, Rehobu, Hashabia,
Mika, Rehob, Hašabja,
12 Zakuri, Sherebia, Shebania,
Zakur, Šerebja, Šebanija,
13 Hodia, Bani na Beninu.
Hodija, Bani, Beninu.
14 Viongozi wa watu: Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,
Glavari naroda: Paroš, Pahat Moab, Elam, Zatu, Bani,
15 Buni, Azgadi, Bebai,
Buni, Azgad, Bebaj,
16 Adoniya, Bigwai, Adini,
Adonija, Bigvaj, Adin,
17 Ateri, Hezekia, Azuri,
Ater, Ezekija, Azur,
18 Hodia, Hashumu, Besai,
Hodija, Hašum, Besaj,
19 Harifu, Anathothi, Nebai,
Harif, Anatot, Nebaj,
20 Magpiashi, Meshulamu, Heziri,
Magpijaš, Mešulam, Hazir,
21 Meshezabeli, Sadoki, Yadua,
Mešezabel, Sadok, Jadua,
22 Pelatia, Hanani, Anaya,
Pelatja, Hanan, Anaja,
23 Hoshea, Hanania, Hashubu,
Hošea, Hananija, Hašub,
24 Haloheshi, Pilha, Shobeki,
Haloheš, Pilha, Šobek,
25 Rehumu, Hashabna, Maaseya,
Rehum, Hašabna, Maaseja,
26 Ahiya, Hanani, Anani,
Ahija, Hanan, Anan,
27 Maluki, Harimu na Baana.
Maluk, Harim, Baana.
28 “Watu wengine wote, wakiwa ni makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji, watumishi wa Hekalu, na wale wote waliojitenga na mataifa jirani kwa ajili ya Sheria ya Mungu, pamoja na wake zao na wana wao na binti zao wote waliokuwa na uwezo wa kufahamu,
... ali i ostali narod, svećenici, leviti - vratari, pjevači, netinci - i svi koji su se prema Zakonu Božjem odvojili od zemaljskih naroda, a i njihove žene, sinovi i kćeri, svi koji su bili sposobni da razumiju,
29 basi hawa wote wanajiunga na ndugu zao na wakuu wao, na kujifunga kwa laana na kwa kiapo kufuata Sheria ya Mungu iliyotolewa kupitia kwa Mose mtumishi wa Mungu, na kutii kwa uangalifu amri zote, maagizo na sheria za Bwana, Bwana wetu.
priključili su se svojoj braći i glavarima te su se obvezali prisegom i zakletvom da će stupati prema Zakonu Božjem, koji je dan po rukama Mojsija, sluge Božjega, i da će držati i vršiti sve zapovijedi Jahve, Boga našega, njegove naredbe i zakone.
30 “Tunaahidi kutowaoza binti zetu kwa watu wanaotuzunguka, wala kuwaoza wana wetu binti zao.
I osobito: da nećemo davati svojih kćeri narodima zemaljskim i njihovih kćeri nećemo uzimati svojim sinovima.
31 “Wakati mataifa jirani waletapo bidhaa zao au nafaka kuuza siku ya Sabato, hatutazinunua kutoka kwao siku ya Sabato, wala siku nyingine yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba, tutaacha kuilima ardhi na tutafuta madeni yote.
I ako narodi zemlje donesu na prodaju robu ili kakvo god žito u dan subotnji, mi ništa nećemo od njih kupovati u subotu ni u drugi posvećeni dan. Svake sedme godine ostavljat ćemo zemlju da počine i otpuštati dugove svake ruke.
32 “Tunakubali wajibu wa kutimiza amri za kutoa theluthi ya shekeli kila mwaka kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu:
Uzeli smo kao obavezu: da ćemo svake godine davati trećinu šekela za bogoslužje u Domu Boga svojega:
33 Kwa ajili ya mikate ya Wonyesho, kwa ajili ya sadaka za kawaida za nafaka na sadaka za kuteketezwa, kwa ajili ya sadaka za siku za Sabato, Sikukuu za Mwandamo wa Mwezi na sikukuu nyingine zilizoamriwa, kwa ajili ya sadaka takatifu, kwa ajili ya sadaka za dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, na kwa ajili ya kazi zote za nyumba ya Mungu wetu.
za postavljeni kruh, za trajne prinosnice i za svagdanje paljenice, za žrtve subotnje, mladog mjeseca, blagdanske i za okajnice, da se pomiri Izrael; i za svaku službu u Domu Boga našega.
34 “Sisi makuhani, Walawi na watu, tumepiga kura kuamua kuwa kila mmoja wa jamaa zetu lazima alete katika nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati maalum kila mwaka mchango wa kuni za kukokea moto katika madhabahu ya Bwana Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika Sheria.
Mi svećenici, leviti i narod bacili smo ždrijeb za prinos drva koja treba da određenog dana svake godine prema svojim obiteljima donosimo u Dom Boga našega za vatru na žrtveniku Jahve, Boga našega, kako je zapisano u Zakonu;
35 “Pia tunachukua wajibu wa kuleta malimbuko ya mazao yetu na matunda ya kwanza ya kila mti wa matunda katika nyumba ya Bwana kila mwaka.
da ćemo svake godine donositi u Dom Jahvin prvine od plodova zemlje i prve plodove svakoga drveta
36 “Kama pia ilivyoandikwa katika Sheria, tutawaleta wazaliwa wetu wa kwanza wa kiume, na wa mifugo yetu, yaani wa ngʼombe wetu na wa makundi yetu ya kondoo na mbuzi, katika nyumba ya Mungu wetu, kwa ajili ya makuhani wanaohudumu huko.
i prvorođene sinove i prvine svoje stoke, kako je to pisano u Zakonu - prvine od krupne i sitne stoke neka se odnose u Dom Boga našega, jer su određene svećenicima koji služe u Domu Boga našega.
37 “Zaidi ya hayo, tutaleta katika ghala za nyumba ya Mungu wetu, kwa makuhani, vyakula vya kwanza vya mashamba yetu, sadaka zetu za nafaka, matunda ya miti yetu yote, divai yetu mpya na mafuta. Nasi tutaleta zaka za mazao yetu kwa Walawi, kwa kuwa Walawi ndio ambao hukusanya zaka katika miji yote tunakofanya kazi.
Povrh toga prvine svojih naćava, plodova svakog drveta, novoga vina i ulja nosit ćemo svećenicima u sobe Doma Boga našega; a desetinu od svoje zemlje levitima, jer leviti uzimaju desetinu u svim mjestima gdje radimo.
38 Kuhani atokanaye na uzao wa Aroni atashirikiana na Walawi wakati wanapopokea zaka, nao Walawi itawapasa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu katika ghala za hazina.
Svećenik, sin Aronov, neka prati levite kad skupljaju desetinu. Leviti neka donose desetinu desetine u Dom Boga našega, u sobe riznice,
39 Watu wa Israeli pamoja na Walawi itawapasa kuleta michango yao ya nafaka, divai mpya na mafuta katika vyumba vya ghala, mahali vifaa vya mahali patakatifu vinapohifadhiwa, na wanapokaa makuhani wanaohudumu, na mabawabu na waimbaji. “Hatutaacha kuijali nyumba ya Mungu wetu.”
jer su onamo dužni, Izraelci i leviti donositi prinos od žita, vina i ulja. Ondje se nalaze posude svetišta, svećenici u službi, vratari i pjevači. Nećemo više zanemarivati Doma Boga svojega.

< Nehemia 10 >