< Nehemia 10 >

1 Wale waliotia muhuri walikuwa: Nehemia mtawala, mwana wa Hakalia. Sedekia,
Hot patetlah lawkkamnae kacaksakkung teh, hetnaw doeh. Hakaliah capa ram ukkung Nehemiah hoi Zedekiah,
2 Seraya, Azaria, Yeremia,
Seraiah, Azariah, Jeremiah,
3 Pashuri, Amaria, Malkiya,
Pashhur, Amariah, Malkhijah
4 Hatushi, Shebania, Maluki,
Hattush, Shebaniah, Malluck,
5 Harimu, Meremothi, Obadia,
Harim, Meremoth, Obadiah
6 Danieli, Ginethoni, Baruku,
Daniel, Ginnethon, Baruk,
7 Meshulamu, Abiya, Miyamini,
Meshullam, Abijah, Mijamin,
8 Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa ndio waliokuwa makuhani.
Maaziah, Bilgai, hoi, Shemaiah hetnaw he vaihmanaw lah ao.
9 Walawi: Yeshua mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli,
Levihnaw: Azaniah capa Joshua, Henadad capanaw thung dawk hoi Binnui hoi Kadmiel.
10 na wenzao: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,
A hmaunawngha, Shebaniah, Hodiah, Kelita, Pelaiah, Hanan,
11 Mika, Rehobu, Hashabia,
Mikha, Rehob, Hashabiah,
12 Zakuri, Sherebia, Shebania,
Zakkur, Sheribiah, Shebaniah,
13 Hodia, Bani na Beninu.
Hodiah, Bani, Beninu,
14 Viongozi wa watu: Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,
Kacuenaw: Parosh, Pahathmoab, Elam, Zattu, Bani,
15 Buni, Azgadi, Bebai,
Bunni, Azgad, Bebai,
16 Adoniya, Bigwai, Adini,
Adonijah, Bigvai, Adin,
17 Ateri, Hezekia, Azuri,
Ater, Hezekiah, Azzur,
18 Hodia, Hashumu, Besai,
Hodiah, Hashum, Bezai,
19 Harifu, Anathothi, Nebai,
Hariph, Anathoth, Nebai
20 Magpiashi, Meshulamu, Heziri,
Magpiash, Meshullam, Hezir,
21 Meshezabeli, Sadoki, Yadua,
Meshezabel, Zadok, Jaddua,
22 Pelatia, Hanani, Anaya,
Pelatiah, Hanan, Anaiah,
23 Hoshea, Hanania, Hashubu,
Hosi, Hananiah, Hasshub,
24 Haloheshi, Pilha, Shobeki,
Hallohesh, Pilha, Shobek,
25 Rehumu, Hashabna, Maaseya,
Rehum, Hashabnah, Maaseiah,
26 Ahiya, Hanani, Anani,
Ahijah, Hanan, Anan,
27 Maluki, Harimu na Baana.
Malluck, Harim, Hoi Baanah tinaw doeh.
28 “Watu wengine wote, wakiwa ni makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji, watumishi wa Hekalu, na wale wote waliojitenga na mataifa jirani kwa ajili ya Sheria ya Mungu, pamoja na wake zao na wana wao na binti zao wote waliokuwa na uwezo wa kufahamu,
Kacawirae vaihmanaw hoi Levihnaw hoi takhang karingnaw, la kasaknaw, Nethinimnaw hoi Cathut e kâlawk tarawi kangainaw teh, Hote ram e taminaw thung dawk hai, aloukcalah kaawmnaw a yu, a capa, a canunaw oang panuek tangcoungnaw ni
29 basi hawa wote wanajiunga na ndugu zao na wakuu wao, na kujifunga kwa laana na kwa kiapo kufuata Sheria ya Mungu iliyotolewa kupitia kwa Mose mtumishi wa Mungu, na kutii kwa uangalifu amri zote, maagizo na sheria za Bwana, Bwana wetu.
a hmaunawngha hoi tami kalentoenaw hah, tha laipalah a kuet awh. Cathut e san Mosi koe poe e kâlawk tarawi han hoi Bawipa, maimae BAWIPA e kâpoelawknaw pueng, lawkcengnaenaw hoi phunglawknaw tarawi hanelah, pâkuem hanelah thoseh,
30 “Tunaahidi kutowaoza binti zetu kwa watu wanaotuzunguka, wala kuwaoza wana wetu binti zao.
hote ram dawk e taminaw ni, canunaw a la hoeh nahanlah capanaw hanlah a canunaw lat pouh laipalah,
31 “Wakati mataifa jirani waletapo bidhaa zao au nafaka kuuza siku ya Sabato, hatutazinunua kutoka kwao siku ya Sabato, wala siku nyingine yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba, tutaacha kuilima ardhi na tutafuta madeni yote.
hote ram dawk e taminaw ni, Sabbath hnin a yo awh e hno thoseh, canei hane phunkuep a yo han a sin e thoseh, Sabbath hnin hai thoseh, yanae hnin hai thoseh, pâtu laipalah, kum sari touh thung law dawk e ka tâcawt e lat laipalah, laibanaw pueng patho laipalah, o hane thoekâbo e hai taket laipalah, lawkkamnae hah a sak awh.
32 “Tunakubali wajibu wa kutimiza amri za kutoa theluthi ya shekeli kila mwaka kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu:
Cathut im thaw tawk nahanelah shekel pung thum pung touh, kum tangkuem poe hanelah phung ka sak awh.
33 Kwa ajili ya mikate ya Wonyesho, kwa ajili ya sadaka za kawaida za nafaka na sadaka za kuteketezwa, kwa ajili ya sadaka za siku za Sabato, Sikukuu za Mwandamo wa Mwezi na sikukuu nyingine zilizoamriwa, kwa ajili ya sadaka takatifu, kwa ajili ya sadaka za dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, na kwa ajili ya kazi zote za nyumba ya Mungu wetu.
Rathap tangcoung e vaiyei hai thoseh, tavai thueng pouh hane hai thoseh, hmaisawi thuengnae pou sak hane thoseh, sabbath hnin hane thoseh, thaparei tueng thoseh, atueng khoe pawinaw han thoseh, kathounge hno hane thoseh, Isarelnaw yontha nahanelah yon thuengnae thoseh, Cathut e im thawnaw pueng hanelah,
34 “Sisi makuhani, Walawi na watu, tumepiga kura kuamua kuwa kila mmoja wa jamaa zetu lazima alete katika nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati maalum kila mwaka mchango wa kuni za kukokea moto katika madhabahu ya Bwana Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika Sheria.
mintoenaw e imthungkhu tangkuem ni kumtangkuem atueng khoe e kâlawk cauk dawk thut e patetlah BAWIPA Cathut thuengnae koe, thing thueng e thing tangoung, Cathut im ka puen hanelah vaihma bawinaw hoi Levihnaw tamimaya hoi cungpam ka rayu awh.
35 “Pia tunachukua wajibu wa kuleta malimbuko ya mazao yetu na matunda ya kwanza ya kila mti wa matunda katika nyumba ya Bwana kila mwaka.
Hahoi kumtangkuem, law dawk e aluepawnaw, thingthai hmaloe kapawnaw, BAWIPA im kâenkhai hanelah,
36 “Kama pia ilivyoandikwa katika Sheria, tutawaleta wazaliwa wetu wa kwanza wa kiume, na wa mifugo yetu, yaani wa ngʼombe wetu na wa makundi yetu ya kondoo na mbuzi, katika nyumba ya Mungu wetu, kwa ajili ya makuhani wanaohudumu huko.
Kâlawk dawk thut tangcoung patetlah capa caminnaw, saring caminnaw hoi maitohu hoi, tuhu thung dawk hmaloe ka khe e naw hai Cathut e im thaw ka tawk vaihma bawinaw koe Cathut im vah ceikhai hane hai,
37 “Zaidi ya hayo, tutaleta katika ghala za nyumba ya Mungu wetu, kwa makuhani, vyakula vya kwanza vya mashamba yetu, sadaka zetu za nafaka, matunda ya miti yetu yote, divai yetu mpya na mafuta. Nasi tutaleta zaka za mazao yetu kwa Walawi, kwa kuwa Walawi ndio ambao hukusanya zaka katika miji yote tunakofanya kazi.
Cathut e imthungkhu vah, vaihmanaw koe tavai thuengnae hmaloe sak e thueng e pueng, thingthai phunkuep misurtui hoi satuinaw hai, law dawk e ka tâcawt pueng hra touh dawk pung touh, Levihnaw koe poe hane phung ka sak awh. Bangkongtetpawiteh, Levihnaw ni law ka sak e naw pueng thung e, pung hra pung touh ouk a la awh.
38 Kuhani atokanaye na uzao wa Aroni atashirikiana na Walawi wakati wanapopokea zaka, nao Walawi itawapasa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu katika ghala za hazina.
Levihnaw ni pung hra pung touh a la navah Aron catoun vaihma bawi teh Levihnaw koe ao hanelah ao. Levihnaw ni pung hra pung touh a la e thung dawk hoi pung hra pung touh teh Cathut im râw pâkuemnae imthungkhu a ta awh han.
39 Watu wa Israeli pamoja na Walawi itawapasa kuleta michango yao ya nafaka, divai mpya na mafuta katika vyumba vya ghala, mahali vifaa vya mahali patakatifu vinapohifadhiwa, na wanapokaa makuhani wanaohudumu, na mabawabu na waimbaji. “Hatutaacha kuijali nyumba ya Mungu wetu.”
Isarel catoun hai Levih catounnaw cakang hoi misur, satui thuengnae pueng hmuen, kathoung, hlaumhlaam hoi thaw katawknaw, vaihma bawi takhang ka ring e la kasakkungnaw onae imthungkhu a ta han. Hot patetlah Cathut im vah pamda hoeh nahane phung ka sak awh.

< Nehemia 10 >