< Nahumu 1 >

1 Neno alilosema Mungu kuhusu Ninawi. Kitabu cha maono cha Nahumu, Mwelkoshi.
Breme Niniv. Knjiga videnja Nahuma Elkošána.
2 Bwana ni mwenye wivu na Mungu mlipiza kisasi; Bwana hulipiza kisasi na amejaa ghadhabu. Bwana hulipiza kisasi juu ya watesi wake, naye anadumisha ghadhabu yake dhidi ya adui zake.
Bog je ljubosumen in Gospod maščuje; Gospod maščuje in je razjarjen; Gospod se bo maščeval na svojih nasprotnikih in on prihranja bes za svoje sovražnike.
3 Bwana si mwepesi wa hasira naye ni mwenye nguvu, Bwana hataacha kuadhibu wenye hatia. Njia yake ipo katika kisulisuli na tufani, na mawingu ni vumbi la miguu yake.
Gospod je počasen za jezo in silen v moči in sploh ne bo oprostil tožbe zlobnih. Gospod ima svojo pot v vrtinčastem vetru in v viharju in oblaki so prah njegovih stopal.
4 Anakemea bahari na kuikausha, anafanya mito yote kukauka. Bashani na Karmeli zinanyauka na maua ya Lebanoni hukauka.
Ošteva morje in ga osušuje in suši vse reke. Bašán peša in Karmel in cvet Libanona peša.
5 Milima hutikisika mbele yake na vilima huyeyuka. Nchi hutetemeka mbele yake, dunia na wote waishio ndani yake.
Gore se tresejo ob njem in hribi se topijo in zemlja je sežgana ob njegovi prisotnosti, da, zemeljski [krog] in vsi, ki prebivajo na njem.
6 Ni nani awezaye kuzuia hasira yake yenye uchungu? Nani awezaye kuvumilia hasira yake kali? Ghadhabu yake imemiminwa kama moto, na miamba inapasuka mbele zake.
Kdo lahko obstane pred njegovim ogorčenjem? In kdo lahko prebiva v okrutnosti njegove jeze? Njegova razjarjenost je izlita kakor ogenj in skale so vržene dol po njem.
7 Bwana ni Mwema, kimbilio wakati wa taabu. Huwatunza wale wanaomtegemea,
Gospod je dober, oporišče v dnevu stiske in pozna tiste, ki zaupajo vanj.
8 lakini kwa mafuriko makubwa, ataangamiza Ninawi; atafuatilia adui zake hadi gizani.
Toda s preplavljajočo povodnjijo bo naredil popoln konec njihovemu kraju in tema bo zasledovala njegove sovražnike.
9 Shauri baya lolote wapangalo dhidi ya Bwana yeye atalikomesha; taabu haitatokea mara ya pili.
Kaj si domišljate zoper Gospoda? On bo naredil popoln konec. Stiska se drugič ne bo vzdignila.
10 Watasongwa katikati ya miiba na kulewa kwa mvinyo wao. Watateketezwa kama mabua makavu.
Kajti medtem ko so zviti skupaj kakor trnje in medtem ko so pijani kakor pijanci, bodo požrti kakor popolnoma suho strnišče.
11 Ee Ninawi, kutoka kwako amejitokeza mmoja, ambaye anapanga shauri baya dhidi ya Bwana na kushauri uovu.
Nekdo je izšel iz tebe, ki si je zoper Gospoda domišljal hudobijo, zloben svetovalec.
12 Hili ndilo asemalo Bwana: “Ingawa wana muungano nao ni wengi sana, watakatiliwa mbali na kuangamia. Ingawa nimekutesa wewe, ee Yuda, sitakutesa tena.
Tako govori Gospod: »Čeprav so tihi in prav tako številni, vendar bodo tako posekani, ko bo šel skozi. Čeprav sem te prizadel, te ne bom več prizadel.«
13 Sasa nitavunja nira zao kutoka shingo yako, nami nitazivunjilia mbali pingu zako.”
Kajti sedaj bom zlomil njegov jarem iznad tebe in tvoje vezi razpočil narazen.
14 Hii ndiyo amri Bwana aliyoitoa kukuhusu wewe, Ninawi: “Hutakuwa na wazao watakaoendeleza jina lako. Nitaharibu sanamu za kuchonga na sanamu za kuyeyusha ambazo zipo katika hekalu la miungu yenu. Nitaandaa kaburi lako, kwa maana wewe ni mwovu kabisa.”
Gospod je glede tebe dal zapoved, da se ne bo več sejalo iz tvojega imena. Iz hiše tvojih bogov bom iztrebil izrezljano podobo in ulito podobo. Pripravil ti bom grob; kajti hudoben si.
15 Tazama, huko juu milimani, miguu ya huyo mmoja aletaye habari njema, ambaye anatangaza amani! Ee Yuda, sherehekea sikukuu zako, nawe utimize nadhiri zako. Waovu hawatakuvamia tena; wataangamizwa kabisa.
Poglej na gorah stopala tistega, ki prinaša dobre novice, ki razglaša mir! Oh Juda, ohranjaj svoje slovesne praznike, izpolni svoje zaobljube, kajti zlobni ne bo šel več skozte; popolnoma je uničen.

< Nahumu 1 >