< Nahumu 1 >

1 Neno alilosema Mungu kuhusu Ninawi. Kitabu cha maono cha Nahumu, Mwelkoshi.
Elkosh tami Nahum ni, Nineveh kho hoi ka kâkuenlah a coe e Cathut lawk teh,
2 Bwana ni mwenye wivu na Mungu mlipiza kisasi; Bwana hulipiza kisasi na amejaa ghadhabu. Bwana hulipiza kisasi juu ya watesi wake, naye anadumisha ghadhabu yake dhidi ya adui zake.
Cathut teh na yon telah tang kayuem ni teh ka rek e lah ao. Lungkhuek laihoi a rek. Bawipa ka taran e taminaw hah a rek teh, a tarannaw hah sut a tareng.
3 Bwana si mwepesi wa hasira naye ni mwenye nguvu, Bwana hataacha kuadhibu wenye hatia. Njia yake ipo katika kisulisuli na tufani, na mawingu ni vumbi la miguu yake.
Bawipa teh lung a pâcawn, a bahu hai ao. Hatei tamikayonnaw e yontha pouh hoeh. Bawipa teh bongparui hoi cakho kahlî dawk hai a cei, tâmainaw teh a khok rahim e vaiphu patetlah doeh ao awh.
4 Anakemea bahari na kuikausha, anafanya mito yote kukauka. Bashani na Karmeli zinanyauka na maua ya Lebanoni hukauka.
Tuipui hah a yue teh khik a hak sak. Sawkca pueng rem aphui sak, Bashan mon hoi karmel monnaw teh a kamyai awh, Lebanon pei hai a kamyai.
5 Milima hutikisika mbele yake na vilima huyeyuka. Nchi hutetemeka mbele yake, dunia na wote waishio ndani yake.
Bawipa e hmalah monnaw a kâhuet, monruinaw tui lah a kamyawt teh, a hmalah talai dawk kawm e pueng koehoi talai tami pueng teh a kampuen awh.
6 Ni nani awezaye kuzuia hasira yake yenye uchungu? Nani awezaye kuvumilia hasira yake kali? Ghadhabu yake imemiminwa kama moto, na miamba inapasuka mbele zake.
A lungkhueknae hmalah apimaw kangdout thai han. A lungkhueknae a hue apinine a ngang thai han. Hmai ka kang e patetlah a lungkhuek teh talungnaw a tip awh.
7 Bwana ni Mwema, kimbilio wakati wa taabu. Huwatunza wale wanaomtegemea,
Bawipa teh ahawi, runae a tho nah rapanim lah ao. Ama ka kângue e naw hah a khetyawt.
8 lakini kwa mafuriko makubwa, ataangamiza Ninawi; atafuatilia adui zake hadi gizani.
Tarannaw e kho hah tui hoi muen a khu teh, tarannaw teh hmonae ni a pâlei han.
9 Shauri baya lolote wapangalo dhidi ya Bwana yeye atalikomesha; taabu haitatokea mara ya pili.
BAWIPA hah taran hanelah, bangtelamaw na kâcai awh vaw. Sapingkacailah a rawk sak han, bout tuk han kawi lah awm mahoeh toe.
10 Watasongwa katikati ya miiba na kulewa kwa mvinyo wao. Watateketezwa kama mabua makavu.
Ahnimanaw teh pâkhing patetlah a kâvoun teh, Yamuhrinaw a parui e patetlah ao awh teh, remke e songnawng patetlah hmai a kak awh han.
11 Ee Ninawi, kutoka kwako amejitokeza mmoja, ambaye anapanga shauri baya dhidi ya Bwana na kushauri uovu.
Cathut koe pouknae kahawihoehe ka tawn e tami teh nangmouh dawk hoi a tâco toe.
12 Hili ndilo asemalo Bwana: “Ingawa wana muungano nao ni wengi sana, watakatiliwa mbali na kuangamia. Ingawa nimekutesa wewe, ee Yuda, sitakutesa tena.
Cathut ni a dei e teh, nangmouh teh na kuepcing awh, a misa na pap awh eiteh, rawknae dawk na pha awh vaiteh koung na kahma awh han. Kai ni nang ouk na rektap eiteh bout na rektap mahoeh toe.
13 Sasa nitavunja nira zao kutoka shingo yako, nami nitazivunjilia mbali pingu zako.”
Atu nang koe na phu sak e hno hai ka takhoe vaiteh na kateknae tangronnaw hai ka rathap han.
14 Hii ndiyo amri Bwana aliyoitoa kukuhusu wewe, Ninawi: “Hutakuwa na wazao watakaoendeleza jina lako. Nitaharibu sanamu za kuchonga na sanamu za kuyeyusha ambazo zipo katika hekalu la miungu yenu. Nitaandaa kaburi lako, kwa maana wewe ni mwovu kabisa.”
Nang koe Cathut ni hno a sak hane teh, na miphunnaw hoi kâkuen hanh. Meikaphawk cathutnaw hah nange bawkim dawk hoi koung ka raphoe han. Nang teh na hawihoeh dawkvah na tangkom hah na tai pouh han.
15 Tazama, huko juu milimani, miguu ya huyo mmoja aletaye habari njema, ambaye anatangaza amani! Ee Yuda, sherehekea sikukuu zako, nawe utimize nadhiri zako. Waovu hawatakuvamia tena; wataangamizwa kabisa.
Roumnae lunghawinae kamthang kahawi ka dei e a khoknaw teh monsom vah khenhaw. Oe Judahnaw, nange bawknae pawi hah sak awh haw. Lawkkamnae teh kuep sak awh haw. Tami kahawihoehnaw teh koung raphoe lah ao toung dawkvah nangmouh bout na tapuet awh mahoeh toe.

< Nahumu 1 >