< Nahumu 3 >

1 Ole wa mji umwagao damu, uliojaa uongo, umejaa nyara, usiokosa kuwa na vitu vya kuteka nyara.
woe! city blood all her lie plunder full not to remove prey
2 Kelele za mijeledi, vishindo vya magurudumu, farasi waendao mbio na mshtuo wa magari ya vita!
voice: sound whip and voice quaking wheel and horse to rush and chariot to skip about
3 Wapanda farasi wanaenda mbio, panga zinameremeta, na mikuki inangʼaa! Majeruhi wengi, malundo ya maiti, idadi kubwa ya miili isiyohesabika, watu wanajikwaa juu ya mizoga:
horseman to ascend: rise and flame sword and lightning spear and abundance slain: killed and heaviness corpse and nothing end to/for body (and to stumble *Q(K)*) in/on/with body their
4 yote haya kwa sababu ya wingi wa tamaa za kahaba, anayeshawishi, bibi wa mambo ya uchawi, anayewatia utumwani mataifa kwa ukahaba wake na pia jamaa za watu kwa ulozi wake.
from abundance fornication to fornicate pleasant favor mistress sorcery [the] to sell nation in/on/with fornication her and family in/on/with sorcery her
5 Bwana Mwenye Nguvu Zote anasema, “Mimi ni kinyume na ninyi. Nitafunika uso wako kwa gauni lako. Nitaonyesha mataifa uchi wako na falme aibu yako.
look! I to(wards) you utterance LORD Hosts and to reveal: uncover hem your upon face your and to see: see nation nakedness your and kingdom dishonor your
6 Nitakutupia uchafu, nitakufanyia dharau na kukufanya kioja.
and to throw upon you abomination and be senseless you and to set: make you like/as sight
7 Wote wanaokuona watakukimbia na kusema, ‘Ninawi ipo katika kuangamia: ni nani atakayeomboleza kwa ajili yake?’ Nitampata wapi yeyote wa kukufariji?”
and to be all to see: see you to wander from you and to say to ruin Nineveh who? to wander to/for her from where? to seek to be sorry: comfort to/for you
8 Je, wewe ni bora kuliko No-Amoni, uliopo katika Mto Naili, uliozungukwa na maji? Mto ulikuwa kinga yake, nayo maji yalikuwa ukuta wake.
be good from Thebes Amon [the] to dwell in/on/with Nile water around to/for her which rampart sea from sea wall her
9 Kushi na Misri walikuwa nguvu zake zisizo na mpaka; Putu na Libia walikuwa miongoni mwa wale walioungana naye.
Cush strength her and Egypt and nothing end Put and Libyan to be in/on/with help your
10 Hata hivyo alichukuliwa mateka na kwenda uhamishoni. Watoto wake wachanga walivunjwa vunjwa vipande kwenye mwanzo wa kila barabara. Kura zilipigwa kwa watu wake wenye heshima, na watu wake wote wakuu walifungwa kwa minyororo.
also he/she/it to/for captivity to go: went in/on/with captivity also infant her to dash in pieces in/on/with head: top all outside and upon to honor: honour her to cast a lot allotted and all great: large her to bind in/on/with fetter
11 Wewe pia utalewa; utakwenda mafichoni na kutafuta kimbilio kutoka kwa adui.
also you(f. s.) be drunk to be to conceal also you(f. s.) to seek security from enemy
12 Ngome zako zote ni kama mitini yenye matunda yake ya kwanza yaliyoiva; wakati inapotikiswa, tini huanguka kwenye kinywa chake alaye.
all fortification your fig with firstfruit if to shake and to fall: fall upon lip to eat
13 Tazama vikosi vyako: wote ni wanawake! Malango ya nchi yako yamekuwa wazi kwa adui zako; moto umeteketeza mapingo yake.
behold people: soldiers your woman in/on/with entrails: among your to/for enemy your to open to open gate land: country/planet your to eat fire bar your
14 Teka maji kwa ajili ya kuzingirwa kwako, imarisha ulinzi wako, Ufanyie udongo wa mfinyanzi kazi, yakanyage matope, karabati tanuru la kuchomea matofali!
water siege to draw to/for you to strengthen: strengthen fortification your to come (in): come in/on/with mud and to trample in/on/with clay to strengthen: hold brick
15 Huko moto utakuteketeza, huko upanga utakuangusha chini na kama vile panzi, watakumaliza. Ongezeka kama panzi, ongezeka kama nzige!
there to eat you fire to cut: cut you sword to eat you like/as locust to honor: many like/as locust to honor: many like/as locust
16 Umeongeza idadi ya wafanyabiashara wako mpaka wamekuwa wengi kuliko nyota za angani, lakini kama nzige wanaacha nchi tupu kisha huruka na kwenda zake.
to multiply to trade your from star [the] heaven locust to strip and to fly
17 Walinzi wako ni kama nzige, maafisa wako ni kama makundi ya nzige watuao kwenye kuta wakati wa siku ya baridi: lakini wakati jua linapotokea wanaruka kwenda zao, na hakuna ajuaye waendako.
prince your like/as locust and official your like/as locust locust [the] to camp in/on/with wall in/on/with day cold sun to rise and to wander and not to know place his where? they
18 Ee mfalme wa Ashuru, wachungaji wako wanasinzia; wakuu wako wanalala chini mavumbini kupumzika. Watu wako wametawanyika juu ya milima bila kuwa na mtu yeyote wa kuwakusanya.
to slumber to pasture your king Assyria to dwell great your to scatter people your upon [the] mountain: mount and nothing to gather
19 Hakuna kitu kinachoweza kuponya jeraha lako; jeraha lako ni la kukuua. Kila anayesikia habari zako, hupiga makofi kwa kuanguka kwako, kwa kuwa ni nani ambaye hajaguswa na ukatili wako usio na mwisho?
nothing easing to/for breaking your be weak: grieved wound your all to hear: hear report your to blow palm upon you for upon who? not to pass distress: evil your continually

< Nahumu 3 >