< Nahumu 2 >
1 Mshambuliaji anasogea dhidi yako, Ninawi. Linda ngome, chunga barabara, jitieni nguvu wenyewe, kusanya nguvu zako zote!
Izaðe zatiraè na te, èuvaj grad, pazi na put, utvrdi bedra, ukrijepi se dobro.
2 Bwana atarudisha fahari ya Yakobo, kama fahari ya Israeli, ingawa waangamizi wamewaacha ukiwa na wameharibu mizabibu yao.
Jer Gospod povrati slavu Jakovljevu kao slavu Izrailjevu, jer ih pustošnici opustošiše i loze im potrše.
3 Ngao za askari wake ni nyekundu, mashujaa wamevaa nguo nyekundu. Chuma kwenye magari ya vita chametameta, katika siku aliyoyaweka tayari, mikuki ya mierezi inametameta.
Štit je junaka njegovijeh crven, vojnici su u skerletu; kola æe mu biti kao zapaljeni luèevi na dan kad se uvrsta, i jele æe se ljuljati strašno.
4 Magari ya vita yanafanya msukosuko barabarani, yakikimbia nyuma na mbele uwanjani. Yanaonekana kama mienge ya moto; yanakwenda kasi kama umeme.
Kola æe praskati po ulicama i udarati jedna o druga po putovima, biæe kao luèevi, i trèaæe kao munje.
5 Anaita vikosi vilivyochaguliwa, lakini bado wanajikwaa njiani. Wanakimbilia haraka kwenye ukuta wa mji, ile ngao ya kuwakinga imetayarishwa.
Pominjaæe junake svoje, a oni æe padati iduæi, pohitjeæe k zidovima njegovijem, i zaklon æe biti gotov.
6 Malango ya mto yamefunguliwa wazi, na jumba la kifalme limeanguka.
Vrata æe se rijekama otvoriti, i dvor æe se razvaliti.
7 Imeagizwa kwamba mji uchukuliwe na upelekwe uhamishoni. Vijakazi wake wanaomboleza kama hua na kupigapiga vifua vyao.
I koja stoji, zarobiæe se i odvešæe se, djevojke njezine pratiæe je uzdišuæi kao golubice, bijuæi se u prsi.
8 Ninawi ni kama dimbwi, nayo maji yake yanakauka. Wanalia, “Simama! Simama!” Lakini hakuna anayegeuka nyuma.
Ninevija bijaše kao jezero vodeno otkako je; ali bježe. Stanite, stanite. Ali se niko ne obzire.
9 Chukueni nyara za fedha! Chukueni nyara za dhahabu! Wingi wake hauna mwisho, utajiri kutoka hazina zake zote!
Grabite srebro, grabite zlato; blagu nema kraja, mnoštvo je svakojakih dragih zaklada.
10 Ameharibiwa, ametekwa nyara, ameachwa uchi! Mioyo inayeyuka, magoti yanalegea, miili inatetemeka, na kila uso umebadilika rangi.
Isprazni se, i ogolje, i opustje; i srce se rastopi, koljena udaraju jedno o drugo, i bol je u svijem bedrima, i lica su svjema pocrnjela.
11 Liko wapi sasa pango la simba, mahali ambapo waliwalisha watoto wao, ambapo simba dume na simba jike walikwenda na ambapo wana simba walikwenda bila kuogopa chochote?
Gdje je loža lavovima i pasište laviæima, kuda iðaše lav i lavica i laviæ, i nikoga ne bješe da plaši?
12 Simba aliua mawindo ya kutosha watoto wake, alinyonga mawindo kwa ajili ya mwenzi wake, akijaza makao yake kwa alivyoua na mapango yake kwa mawindo.
Lav lovljaše svojim laviæima dosta, i davljaše lavicama svojim, i punjaše peæine svoje lova i lože svoje grabeža.
13 Bwana Mwenye Nguvu Zote anatangaza, “Mimi ni kinyume na ninyi. Magari yenu ya vita nitayateketeza kwa moto, na upanga utakula wana simba wako. Sitawaachia mawindo juu ya nchi. Sauti za wajumbe wako hazitasikika tena.”
Evo me na te, govori Gospod nad vojskama, i popaliæu kola tvoja u dim, i maè æe proždrijeti laviæe tvoje, i istrijebiæu sa zemlje grabež tvoj, i neæe se èuti glas poslanika tvojih.