< Nahumu 2 >

1 Mshambuliaji anasogea dhidi yako, Ninawi. Linda ngome, chunga barabara, jitieni nguvu wenyewe, kusanya nguvu zako zote!
Nineveh, ac mweuniyuk kom pa nge! Ku se ma ac ipsrikikomi tuku tari. Akoela mwet loang lom an! Taran inkanek an! Akola in mweun! (
2 Bwana atarudisha fahari ya Yakobo, kama fahari ya Israeli, ingawa waangamizi wamewaacha ukiwa na wameharibu mizabibu yao.
LEUM GOD El akola in folokonak ku ac wolana lun Israel, in oana woiyen acn we meet liki mwet lokoalok elos kunausla.)
3 Ngao za askari wake ni nyekundu, mashujaa wamevaa nguo nyekundu. Chuma kwenye magari ya vita chametameta, katika siku aliyoyaweka tayari, mikuki ya mierezi inametameta.
Mwet lokoalok elos us mwe loeyuk srusra, Ac nukum nuknuk in mweun srusra. Elos akola in mweun! Chariot natulos sarmelik oana e uh! Horse natulos rarala in tari kasrusr!
4 Magari ya vita yanafanya msukosuko barabarani, yakikimbia nyuma na mbele uwanjani. Yanaonekana kama mienge ya moto; yanakwenda kasi kama umeme.
Chariot uh kasrla fin inkanek uh, Sasot sasma in acn mwesas infulwen siti uh. Elos kalmelik oana srokom in e, Ac yuwot yume oana sarom.
5 Anaita vikosi vilivyochaguliwa, lakini bado wanajikwaa njiani. Wanakimbilia haraka kwenye ukuta wa mji, ile ngao ya kuwakinga imetayarishwa.
Leum lun mwet mweun uh solsoleni. Ingyak lalos uh oru elos tukulkul. Mwet lokoalok uh kasryak nu ke kalkal uh, Ac akoela acn in sunya sak in kunausla mutunpot an.
6 Malango ya mto yamefunguliwa wazi, na jumba la kifalme limeanguka.
Mutunpot nu sisken infacl uh mulipwelik ikakla; Ac mwet inkul sin tokosra arulana tuninfongla.
7 Imeagizwa kwamba mji uchukuliwe na upelekwe uhamishoni. Vijakazi wake wanaomboleza kama hua na kupigapiga vifua vyao.
Kasra el sruhu utukla. Mwet kulansap lal elos sasao oana wuleoa Ac puok iniwalos ke asor.
8 Ninawi ni kama dimbwi, nayo maji yake yanakauka. Wanalia, “Simama! Simama!” Lakini hakuna anayegeuka nyuma.
Mwet uh kaingelik liki acn Nineveh, Oana kof ma pisrelik liki dam fokelik se, Pusra lulap se wowoyak ac fahk, “Tui! Tui!” Tusruktu wangin mwet folokla.
9 Chukueni nyara za fedha! Chukueni nyara za dhahabu! Wingi wake hauna mwisho, utajiri kutoka hazina zake zote!
Srukak kewa silver ac gold an! Siti uh sessesla Ke kain in mwe kasrup puspis!
10 Ameharibiwa, ametekwa nyara, ameachwa uchi! Mioyo inayeyuka, magoti yanalegea, miili inatetemeka, na kila uso umebadilika rangi.
Acn Nineveh kunanula, mwet uh kaingelik, ac wangin ma lula we! Insialos kofelik ke sangeng, Intwelos rarrar, mutalos efla, Ac wanginla ku lalos.
11 Liko wapi sasa pango la simba, mahali ambapo waliwalisha watoto wao, ambapo simba dume na simba jike walikwenda na ambapo wana simba walikwenda bila kuogopa chochote?
Pia siti se Ma tuh oana luf in lion ah in pacl inge? Acn ma lion fusr uh tuh tohfla we, Yen lion mukul ac lion mutan uh fahsri, Ac lion fusr natultal mutana in misla?
12 Simba aliua mawindo ya kutosha watoto wake, alinyonga mawindo kwa ajili ya mwenzi wake, akijaza makao yake kwa alivyoua na mapango yake kwa mawindo.
Lion mukul uh ac uniya ma el sruokya nal, Ac eiya in ip srisrik nu sin lion mutan ac lion fusr natul. El nwakla luf sel ke ipin ikwa ma eiyuki.
13 Bwana Mwenye Nguvu Zote anatangaza, “Mimi ni kinyume na ninyi. Magari yenu ya vita nitayateketeza kwa moto, na upanga utakula wana simba wako. Sitawaachia mawindo juu ya nchi. Sauti za wajumbe wako hazitasikika tena.”
LEUM GOD Kulana El fahk, “Nga mwet lokoalok lowos! Nga ac esukak chariot nutuwos an. Mwet mweun lowos ac fah anwuki ke mweun, ac nga fah usla ma nukewa kowos tuh eisla sin mwet saya. Sap ku su mwet utuk kas lowos tuh tafwekowos in fahkak ac fah tia sifil lohngyuk.”

< Nahumu 2 >