< Nahumu 1 >
1 Neno alilosema Mungu kuhusu Ninawi. Kitabu cha maono cha Nahumu, Mwelkoshi.
Balofede dunu (Gode Sia: Alofesu dunu) Na: ihame, ea simasia Gode Ea olelei amo ba: i. Goe sia: dedei amo da Ninefe osobo dogone fi ilima sia: sa. Na: ihame da Elegose osobo dogone fi dunu.
2 Bwana ni mwenye wivu na Mungu mlipiza kisasi; Bwana hulipiza kisasi na amejaa ghadhabu. Bwana hulipiza kisasi juu ya watesi wake, naye anadumisha ghadhabu yake dhidi ya adui zake.
Hina Gode da bagadedafa, amola E da eno dunu o liligi ea sogebi lamu hamedei ba: sa. Nowa da Ema gegesea, E da ilima se iaha. E da ougiba: le ilima dabe iaha.
3 Bwana si mwepesi wa hasira naye ni mwenye nguvu, Bwana hataacha kuadhibu wenye hatia. Njia yake ipo katika kisulisuli na tufani, na mawingu ni vumbi la miguu yake.
Hina Gode da hedolodafa hame ougisa, be E da gasa bagadedafa amola Ea da wadela: i hamosu dunuma dafawane se imunu. Hina Gode E habi ahoasea, isu maha amola mu mobi huluane da Ea emoga osa: gi dou heda: be agoai hamosa.
4 Anakemea bahari na kuikausha, anafanya mito yote kukauka. Bashani na Karmeli zinanyauka na maua ya Lebanoni hukauka.
Be Hina Gode Ea sali hano wayabo bagade amoma hale dagoma: ne sia: sea da, amo da hamu amola hano huluane hama: ya Ea sia: sea da hano huluane da hale dagoi ba: mu. Ba: isia: ne ohe fofole nasu soge gisi huluane da biogia: sa. Amola Gamele Goumia, ifa amola gisi da bioiba: le, bunumai ba: sa. Amola Lebanone sogega, mosoi falegai huluane da Ea sia: sea biogia: mu.
5 Milima hutikisika mbele yake na vilima huyeyuka. Nchi hutetemeka mbele yake, dunia na wote waishio ndani yake.
Hina Gode da mabeba: le, goumi huluane da ugugusa amola agolo daea: i agoai ba: sa. Be Hina Gode E masea, osobo da ugugumu amola dunu fi huluane da fofogomu.
6 Ni nani awezaye kuzuia hasira yake yenye uchungu? Nani awezaye kuvumilia hasira yake kali? Ghadhabu yake imemiminwa kama moto, na miamba inapasuka mbele zake.
Ea ougisia da nowa da hahawane esaloma: bela: ? Amola nowa da wadela: lesima: bela: ? Hamedafa! Ea da Ea ougi amo lalu sawa: defele sogadigisa, amola igi huluane da gagoudane osobo dou agoai ba: sa.
7 Bwana ni Mwema, kimbilio wakati wa taabu. Huwatunza wale wanaomtegemea,
Hina Gode Ea hou da noga: idafa. E da bidi hamosu eso amoga Ea fi dunu gaga: sa. Nowa dunu da Ema sinidigisia, E da noga: le gagagulasa.
8 lakini kwa mafuriko makubwa, ataangamiza Ninawi; atafuatilia adui zake hadi gizani.
Ema ha lai dunu E da hano bagade gafululi fugala: i agoane ili dafawane gugunufisa. Amola bogosu hou iaha, nowa dunu da Ea hou fa: no hame bobogesea.
9 Shauri baya lolote wapangalo dhidi ya Bwana yeye atalikomesha; taabu haitatokea mara ya pili.
Dilia da abuliba: le halale Hina Godema ilegesala: ? E da dili gugunufinisimu. Dunu da afae fawane Ema gegesea, bu gegemu da hamedeiwane ba: mu.
10 Watasongwa katikati ya miiba na kulewa kwa mvinyo wao. Watateketezwa kama mabua makavu.
Amola dili adini nabe dunu dili da bibione gagui aya: gaga: nomei amola samaso bioi ulagisi nebe agoai ba: mu.
11 Ee Ninawi, kutoka kwako amejitokeza mmoja, ambaye anapanga shauri baya dhidi ya Bwana na kushauri uovu.
Dunu afae da Ninefe moilai bai bagadega misini, Hina Godema wadela: le hamomusa: ilegelalu.
12 Hili ndilo asemalo Bwana: “Ingawa wana muungano nao ni wengi sana, watakatiliwa mbali na kuangamia. Ingawa nimekutesa wewe, ee Yuda, sitakutesa tena.
Be Hina Gode da Ea dunu Isala: ili fi ilima agoane sia: sa, “Defea! Asilia ili da nimi bagade fi dunu, be amomane, ili da wadela: lesimu amola hamedafa ba: mu. Na dunu! Na da dili se nabalesi be Na agoane da bu hamedafa hamomu.
13 Sasa nitavunja nira zao kutoka shingo yako, nami nitazivunjilia mbali pingu zako.”
Asilia ilia dili gasa bagade ouligi galu, be waha ilia gasa da Na osa: le heda: mu amola ilia da dilima bu hame se imunu.
14 Hii ndiyo amri Bwana aliyoitoa kukuhusu wewe, Ninawi: “Hutakuwa na wazao watakaoendeleza jina lako. Nitaharibu sanamu za kuchonga na sanamu za kuyeyusha ambazo zipo katika hekalu la miungu yenu. Nitaandaa kaburi lako, kwa maana wewe ni mwovu kabisa.”
Hina Gode Ea Asilia fi ilima gasa bagade hou hamomusa: ilegei dagoi. E da agoane sia: sa, “Ilia egaga fi dunu da hame fifi ahoanumu. Na da loboga hahamoi ‘gode’ nodone sia: ne gadosu diasua dialebe, amo mugulumu. Na da Asilia dunu ili dogone salimu uli momagelala. Ilia da wadela: i hou bagadedafa hamobeba: le, bu esalumu da noga: i hame.”
15 Tazama, huko juu milimani, miguu ya huyo mmoja aletaye habari njema, ambaye anatangaza amani! Ee Yuda, sherehekea sikukuu zako, nawe utimize nadhiri zako. Waovu hawatakuvamia tena; wataangamizwa kabisa.
Ba: ma! Dunu afae da goumi dabua gadodili aligila heda: le Gode Ea Sia: Ida: iwane gala olelesa manebe! E da misini, hasalasu hou da doaga: i dagoi sisia: mu. Amaiba: le Yuda dunu fi huluane! Lolo manusa: gilisima! Godema sia: ne gadolaloma, amola liligi dilia Ema imunusa: sia: i amo Ema ima. Amola wadela: i hou hamosu dunu da dilia soge ganodini bu hame golili sa: imu. Bai Gode da amo huluane dafawane gugunufinisi dagoi.