< Mika 7 >
1 Taabu gani hii niliyo nayo! Nimefanana na yule akusanyaye matunda ya kiangazi, aokotaye masazo baada ya kuvunwa shamba la mizabibu; hakuna kishada chenye matunda ya kula, hakuna hata ile tini ya mwanzoni ninayoitamani.
Na da da: i dioi bagadedafa! Na da ha: i bagade dunu amo da ifa dulu ganabeyale amola waini fage ganabeyale hogole ba: sea, hame ba: sea, da: i diosu agoai galebe. Waini fage amola figi fage hedai nasu huluane da enoga fai dagoi.
2 Wanaomcha Mungu wameondolewa kutoka nchi; hakuna mtu mnyofu hata mmoja aliyebaki. Watu wote wanavizia kumwaga damu, kila mmoja anamwinda ndugu yake kwa wavu.
Isala: ili soge amo ganodini da moloidafa dunu afae hame gala. Amola Godema noga: le madelagi dunu afae hame gala. Dunu huluanedafa da medole legemusa: logo hogosa. Dunu huluanedafa da hina: fidafa dunu fane legemusa: desega ahoa.
3 Mikono yote miwili ni hodari katika kufanya ubaya, mtawala anadai zawadi, hakimu anapokea rushwa, wenye nguvu wanaamuru wanachotaka: wote wanafanya shauri baya pamoja.
Ilia huluane da wadela: i hou obenanewane hamonanumusa: dawa: Eagene ouligisu dunu amola fofada: su ouligisu dunu huluane da hano suligili adole ba: sa. Mimogo dunu da ilia hanai ilima adosa. Amaiba: le, ilia huluane da gilisili wadela: le ilegele sia: daha.
4 Aliye mwema kupita wote kati yao ni kama mchongoma, anayeonekana mnyofu zaidi miongoni mwao ni mbaya kuliko uzio wa miiba. Siku ya walinzi wako imewadia, siku atakayokutembelea Mungu. Sasa ni wakati wao wa kuchanganyikiwa.
Amo wadela: i hamosu dunu gilisisu ganodini dunu afae afae da fonobahadi noga: i. Be ilia amola da wadela: i aya: gaga: nomei gisi defele, wadela: idafa. Gode da musa: ilia sosodo aligisu dunu ilia lafidili ilima dawa: digima: ne sisasu. Be ilia da hame nabi. Amaiba: le, eso da misi amoga E da ilima se imunu. Wali ilia da gagaoududala.
5 Usimtumaini jirani; usiweke matumaini kwa rafiki. Hata kwa yule alalaye kifuani mwako uwe mwangalifu kwa maneno yako.
Dia na: iyado amola dia sama ilia sia: amo dafawaneyale mae dawa: ma! Digoama amola diaudama, ilia da di hohonosa: besa: le, dawa: iwane sia: ma!
6 Kwa kuwa mwana humdharau baba yake, naye binti huinuka dhidi ya mama yake, mkwe kuwa kinyume na mama mkwe wake: adui wa mtu ni wale wa nyumbani mwake hasa.
Wali eso amoga, dunu mano ilia da ilia eda gagaoui dunu agoai ba: sa. Uda mano ilia da emema hagale besia: sa. Uda a: fini da egoamema sia: ga gegesa. Amola dia sosogo fidafa da dima ha lai dagoi.
7 Lakini mimi, namtazama Bwana kwa matumaini, namngoja Mungu Mwokozi wangu; Mungu wangu atanisikia mimi.
Be na da Hina Gode na fidila misa: ne, oulelumu. Na da Hina Gode na gaga: ma: ne, na da denesini gebewane ouesalumu. Na Gode da na wele sia: be nabimu.
8 Usifurahie msiba wangu, ee adui yangu! Ingawa nimeanguka, nitainuka. Japo ninaketi gizani, Bwana atakuwa nuru yangu.
Ninima ha lai dunu da ninima da: da: lole sia: mu da bai hame gala. Nini da dafai dagoi be bu wa: legadomu. Ninia da wali gasi ganodini esala. Be Hina Gode da ninima hadigi imunu galebe.
9 Kwa sababu nimetenda dhambi dhidi yake, nitabeba ghadhabu ya Bwana, mpaka atakaponitetea shauri langu na kuithibitisha haki yangu. Atanileta nje kwenye mwanga, nami nitaiona haki yake.
Ninia da Hina Godema wadela: le hamoi. Amaiba: le, ninia da Ea ougi hou wahamusu ba: sa esalumu. Be fa: no dagomusa: , E da nini gaga: mu. Amola ninima wadela: le hamosu dunu amo ilima fofada: ne, ninia moloidafa hou mimogoa heda: mu. E da nini hadigi amoga oule misunu. Ninia da mae bogole esaleawane, Ea gaga: su ba: mu.
10 Kisha adui yangu ataliona naye atafunikwa na aibu, yule aliyeniambia, “Yu wapi Bwana Mungu wako?” Macho yangu yataona kuanguka kwake, hata sasa atakanyagwa chini ya mguu kama tope barabarani.
Amasea, ninima ha lai dunu da amo hou ba: sea, ilia da gogosiamu. Amo ha lai dunu da musa: ninima amane dodona: gini sia: su, “Dilia Hina Gode da habila: ?” Ninia da ili hasalasi dagoi ba: mu. Ilia da logoba: le ahoana, fafu ososa: gi agoai ba: mu.
11 Siku ya kujenga kuta zako itawadia, siku ya kupanua mipaka yako.
Yelusaleme fi dunu, dilia! Dilia moilai bai bagade gagoi bu gagomu eso da mana. Amo esoha, dilia soge alalo da ga gasigamu.
12 Siku hiyo watu watakuja kwako kutoka Ashuru na miji ya Misri, hata kutoka Misri hadi Frati na kutoka bahari hadi bahari na kutoka mlima hadi mlima.
Dilia fi dunu soge enodini esafulu, da dilima gagadola misunu. Ilia da Asilia (gusudili soge) amola Idibidi (ga [south] soge) amola Iufala: idisi Hano soge amola hano wayabo bagade soge badiliadafa gala amola goumi soge badiliadafa gala, amo sogeganini ilia da dilima gagadola misunu.
13 Dunia itakuwa ukiwa kwa sababu ya wakazi wake, kwa sababu ya matunda ya matendo yao.
Be dunu fi amo da osobo bagadega esala, ilia da baligili wadela: le hamonanebeba: le, osobo bagade da bu hafoga: i wadela: idafa soge agoane hamomu.
14 Wachunge watu wako kwa fimbo yako, kundi la urithi wako, ambalo linaishi peke yake msituni, katika nchi ya malisho yenye rutuba. Waache walishe katika Bashani na Gileadi kama ilivyokuwa siku za kale.
Hina Gode! Dia fi dunu amo Di da ilegei, amo ilima sibi ouligisu defele ouligima! Ilia da wadela: i hafoga: i soge amo ganodini esala. Be ili sisiga: le da nasegagi soge noga: i diala. Ilia da musa: hamoi defele, Ba: isia: ne amola Gilia: de nasegagi gisi soge amoga ha: i na masa: ne, logo doasima.
15 “Kama siku zile mlipotoka Misri, nitawaonyesha maajabu yangu.”
Hina Gode! Di da nini Idibidi sogega fisili masa: ne oule ahoanoba, nini fidima: ne, musa: hame ba: su gasa bagade hou hamosu. Amo defele, nini fidima: ne bu hamoma!
16 Mataifa yataona na kuaibika, waliondolewa nguvu zao zote. Wataweka mikono yao kwenye vinywa vyao na masikio yao yatakuwa na uziwi.
Fifi asi gala eno da gasa bagade gala. Be ilia da Dia gasa bagade musa: hame ba: su hou ba: sea, ilia hamomu logo ga: iba: le, gogosiamu. Ilia da beda: iba: le, lafi gaduli fimu, amola ge ga: le esalumu.
17 Wataramba mavumbi kama nyoka, kama viumbe vitambaavyo juu ya ardhi. Watatoka nje ya mapango yao wakitetemeka; watamgeukia Bwana Mungu wetu kwa hofu nao watakuogopa.
Ilia da sania agoane gulu da: iya sugi masunu. Ilia da ilia gagili sali moilai amo fisili, beda: ga yagugusa misunu. Ilia da beda: iba: le, ninia Hina Godema sinidigimu.
18 Ni nani Mungu kama wewe, ambaye anaachilia dhambi na kusamehe makosa ya mabaki ya urithi wake? Wewe huwi na hasira milele, bali unafurahia kuonyesha rehema.
Hina Gode! Di agoai eno ‘gode’ da hamedafa gala. Di da Dia fi dunu hame bogoi esalebe, ilia wadela: i hou gogolema: ne olofosa. Di da ougisa, be gebewane ougi hame diala. Be Di da Dia mae fisili asigidafa hou amo ninima hahawane olelelala.
19 Utatuhurumia tena, utazikanyaga dhambi zetu chini ya nyayo zako, na kutupa maovu yetu yote katika vilindi vya bahari.
Di da ninima bu olofole asigidafa hou hamonanumu. Di da fedege agoane, ninia wadela: i hou Dia emoga ososa: gilalu, hano wayabo bagade osoga gududafa sanasimu!
20 Utakuwa wa kweli kwa Yakobo, nawe utamwonyesha Abrahamu rehema, kama ulivyowaahidi kwa kiapo baba zetu siku za kale.
Dia fi dunu da A: ibalaha: me amola Ya: igobe elagaga fifi misi esala. Di da ninia aowalali amo ilima mae fisili asigidafa hou hamoma: ne ilegele sia: i. Ninia dawa: Di da amo mae fisili asigidafa hou ninima hamonanumu. Sia: ama dagoi