< Mika 5 >

1 Panga majeshi yako, ee mji wa majeshi, kwa kuwa kuzingirwa kumepangwa dhidi yetu. Watampiga mtawala wa Israeli shavuni kwa fimbo.
Maintenant tu seras ravagée, ville de voleurs; ils ont mis le siège devant nous; avec la verge ils frapperont la joue du juge d’Israël.
2 “Lakini wewe, Bethlehemu Efrathi, ingawa u mdogo miongoni mwa koo za Yuda, kutoka kwako atatokea kwa ajili yangu yeye atakayekuwa mtawala katika Israeli, ambaye asili yake ni kutoka zamani, kutoka milele.”
Et toi, Bethléem Ephrata, tu es très petit entre les mille de Juda; de toi sortira pour moi celui qui doit être le dominateur en Israël, et sa génération est du commencement, des jours de l’éternité.
3 Kwa hiyo Israeli utaachwa mpaka wakati mwanamke aliye na utungu atakapozaa na ndugu zake wengine warudi kujiunga na Waisraeli.
À cause de cela, il les livrera jusqu’au jour où celle qui doit enfanter enfantera, et les restes de ses frères se tourneront vers les fils d’Israël.
4 Atasimama na kulichunga kundi lake katika nguvu ya Bwana, katika utukufu wa jina la Bwana Mungu wake. Nao wataishi kwa usalama, kwa kuwa wakati huo ukuu wake utaenea hadi miisho ya dunia.
Et il demeurera ferme, et il paîtra son troupeau dans la force du Seigneur, dans la sublimité du nom du Seigneur son Dieu; et ils se convertiront, parce qu’alors il sera glorifié jusqu’aux extrémités de la terre.
5 Naye atakuwa amani yao. Wakati Mwashuru atakapovamia nchi yetu na kupita katika ngome zetu, tutawainua wachungaji saba dhidi yake, hata viongozi wanane wa watu.
Et celui-ci sera la paix: lorsque l’Assyrien sera venu dans notre terre, et qu’il aura foulé aux pieds le pavé de nos maisons, nous susciterons contre lui sept pasteurs et huit hommes du premier rang.
6 Wataitawala nchi ya Ashuru kwa upanga, nchi ya Nimrodi kwa upanga. Atatuokoa kutoka kwa Mwashuru atakapoivamia nchi yetu na kuingia katika mipaka yetu.
Et ils gouverneront la terre d’Assur avec le glaive, et la terre de Nemrod avec ses propres lances; et il nous délivrera de l’Assyrien, lorsqu’il sera venu dans notre terre, et qu’il aura foulé aux pieds le sol de nos confins.
7 Mabaki ya Yakobo yatakuwa katikati ya mataifa mengi kama umande kutoka kwa Bwana, kama manyunyu juu ya majani, ambayo hayamngoji mtu wala kukawia kwa mwanadamu.
Et les restes de Jacob seront au milieu de beaucoup de peuples comme la rosée du Seigneur, comme des gouttes sur l’herbe, qui n’attend pas un homme, et n’espère pas dans les fils des hommes.
8 Mabaki ya Yakobo yatakuwa miongoni mwa mataifa, katikati ya mataifa mengi, kama simba miongoni mwa wanyama wa msituni, kama mwana simba miongoni mwa makundi ya kondoo, ambaye anaumiza vibaya na kuwararua kila anapopita katikati yao, wala hakuna awezaye kuokoa.
Et les restes de Jacob seront parmi les nations, et au milieu de beaucoup de peuples, comme un lion parmi les bêtes des forêts, comme le petit d’un lion parmi les troupes de menu bétail; lorsqu’il a traversé un troupeau, et foulé aux pieds, et ravi sa proie, il n’y a personne qui la lui arrache.
9 Mkono wako utainuliwa juu kwa ushindi juu ya watesi wako, nao adui zako wote wataangamizwa.
Ta main s’élèvera sur ceux qui te combattent, et tous tes ennemis périront.
10 “Katika siku ile,” asema Bwana, “nitaangamiza farasi zenu katikati yenu na kubomoa magari yenu ya vita.
Et il arrivera en ce jour-là, dit le Seigneur, j’enlèverai tes chevaux du milieu de toi, et je briserai tes quadriges.
11 Nitaiangamiza miji ya nchi yenu na kuziangusha chini ngome zenu zote.
Et je ruinerai les cités de ton pays, et je détruirai toutes tes fortifications; j’enlèverai les maléfices de ta main, et il n’y aura plus de divinations dans toi.
12 Nitaangamiza uchawi wenu na hamtapiga tena ramli.
Et je ferai périr tes images taillées au ciseau et les statues du milieu de toi, et tu n’adoreras plus les ouvrages de tes mains.
13 Nitaangamiza vinyago vyenu vya kuchonga na mawe yenu ya ibada yatoke katikati yenu; hamtasujudia tena kazi ya mikono yenu.
Et j’arracherai tes bocages du milieu de toi, et je briserai tes cités.
14 Nitangʼoa nguzo za Ashera katikati yenu na kubomoa miji yenu.
Et j’exercerai dans ma fureur et dans mon indignation la vengeance sur toutes les nations qui ne m’ont pas écouté.
15 Nitalipiza kisasi kwa hasira na ghadhabu juu ya mataifa ambayo hayajanitii.”

< Mika 5 >