< Mika 2 >
1 Ole kwa wale wapangao uovu, kwa wale wafanyao shauri la hila vitandani mwao! Kunapopambazuka wanalitimiza kwa sababu uko katika uwezo wao kutekeleza.
Amo mae golale sidagane esala wadela: i hou hamomusa: ilegelalebe dunu ilia da se bagade nabimu! Soge da hadigila dasea, ilia da hamomu dibi ba: sea, ilia da ili wadela: i hou hamomusa: ilegei amo defele hamosa.
2 Wanatamani mashamba na kuyakamata, pia nyumba na kuzichukua. Wanamlaghai mwanaume nyumba yake, mwanadamu mwenzake urithi wake.
Ilia da soge lamusa: dawa: sea, ilia da amo soge ilia suguli lasa. Ilia da diasu lamusa: dawa: sea, ilia da amo diasu lasa. Dunu afae ea sosogo amola liligi da noga: le dialebe da hamedafa ba: sa.
3 Kwa hiyo, Bwana asema: “Ninapanga maangamizi dhidi ya watu hawa, ambayo hamwezi kujiokoa wenyewe. Hamtatembea tena kwa majivuno, kwa kuwa utakuwa ni wakati wa maafa.
Amaiba: le Hina Gode da amane sia: sa, “Na da dilima gugunufinisisu hou dilima imunusa: ilegelala, amasea dilia da amoga hobeale masunu logo hamedafa ba: mu. Dilia da dilisu fawane bidi hamosu ganodini esalebe ba: mu, amasea dilia da hahawane hidala ahoasu amo bu hame hamomu.
4 Siku hiyo watu watawadhihaki, watawafanyia mzaha kwa wimbo huu wa maombolezo: ‘Tumeangamizwa kabisa; mali ya watu wangu imegawanywa. Ameninyangʼanya! Ametoa mashamba yetu kwa wasaliti.’”
Amo esoha da doaga: sea, dunu ilia da gugunufinisisu hou dilima doaga: i, dunu eno gugunufinisisu hou dawa: digima: ne ilima adodolalumu, amola ilia dilima hamoi amo dadawa: lu, heawini goe gesami hea: mu; “Nini da dafawanedafa wadela: lesi dagoi. Hina Gode da ninia soge amo lale fasi. Amalu amo soge, bu ninima hohonosu dunu amo iligili iasi dagoi.”
5 Kwa hiyo hutakuwa na yeyote katika kusanyiko la Bwana wa kugawanya mashamba kwa kura.
Amaiba: le, soge amo da bu Hina Gode Ea fidafa dunu ilima bu imunu esoha doaga: sea, dunu afae diliga da amo soge amoga afae hame lamu.
6 Manabii wao husema, “Usitabiri. Usitabiri kuhusu vitu hivi; aibu haitatupata.”
Dunu ilia da nama olelelala, agoane sia: sa, “Ninima mae olelema! Amo huluane mae olelema! Gode da nini gogosiama: ne hame hamomu!
7 Je, ingesemwa, ee nyumba ya Yakobo: “Je, Roho wa Bwana amekasirika? Je, yeye hufanya vitu kama hivyo?” “Je, maneno yangu hayamfanyii mema yeye ambaye njia zake ni nyofu?
Dilia dawa: lobada, Isala: ili fi dunu da aligima: ne gagabui amoha esalabala? Hina Gode Ea asaboi hou amo da yolebela: ? E da dafawane amo se iasu liligi hahamoma: bela: ? E da moloidafa hamobe dunu ilima asigili hame sia: nanabela: ?”
8 Siku hizi watu wangu wameinuka kama adui. Unawavua joho la kitajiri wale wanaopita pasipo kujali, kama watu warudio kutoka vitani.
Hina Gode da dabe sia: sa, “Dilia da Na dunuma ha lai agoane doagala: sa! Dunu ilia da gegenanu ili diasuga buhagibiba: le ilia da gaga: i dagoi amane dadawa: dudala, be amoga dilia da ilia anegagi abula amo ilia baligidu wamolamusa: oulelefula.
9 Unawahamisha wanawake wa watu wangu kutoka kwenye nyumba zao za kupendeza. Unaondoa baraka yangu kwa watoto wao milele.
Dilia da na fi dunu ilia uda amo huluane ili hanai soge amoga esalu, amo oule sese ahoa, amola dilia da Na eso huluane hahawane fidisu hou amo Na da ilia manoma hamoi, amo lale fasi dagoi.
10 Inuka, nenda zako! Kwa maana hapa sio mahali pako pa kupumzikia, kwa sababu pametiwa unajisi, pameharibiwa, wala hapatengenezeki tena.
Wa: legadole masa! Goeguda: da gaga: su hamedafa gala! Dilia da wadela: le hamobeba: le, Na da amo soge gugunufinisimusa: ilegei dagoi!
11 Ikiwa mwongo na mdanganyifu atakuja na kusema, ‘Nitawatabiria divai na pombe kwa wingi,’ angekuwa ndiye nabii anayekubalika na watu hawa!
Amo dunu ilia da ogogole olelesu balofede dunu hanai gala. Agoai balofede da agoane ba: lala, “Na ba: laloba amo waini hano da dilia moma: ne, hano agoane ai masunu.
12 “Hakika nitawakusanya ninyi nyote, ee Yakobo, Hakika nitawaleta pamoja mabaki ya Israeli. Nitawaleta pamoja kama kondoo ndani ya zizi, kama kundi kwenye malisho yake, mahali hapa patakuwa na msongamano wa watu.
Be Na fi dunu! Na da dili Isala: ili hame bogoi esalebe dunu amo dili gilisilisimu. Sibi da ilia gagoiga buhagibi, amo defele Na da dili gagadole, dilia sogega bu oule masunu. Sibi da gisi noga: i sogebi amogai gilisibi defele, dilia soge da dunu bagohamedafa amoga nabai ba: mu.”
13 Yeye afunguaye njia atawatangulia; watapita kwenye lango na kutoka nje. Mfalme wao atawatangulia, Bwana atakuwa kiongozi.”
Gode da Ea fidafa ilia buhagima: ne logo doasimu. Ilia mugululi asi amo fisili, Gode Hi da ilima bisili gadili oule masunu. Ilia da moilai logo holei fili asili, hahawane udigili masunu. Ilia Hina Bagade, Hina Gode Hisu, da ili bisili gadili oule masunu.