< Mika 1 >

1 Neno la Bwana lilimjia Mika, Mmoreshethi, wakati wa utawala wa Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda; ufunuo aliouona kuhusu Samaria na Yerusalemu.
The word of the Lord, which was maad to `Mychee of Morasti, in the daies of Joathan, Achas, Ezechie, kyngis of Juda; which word he sai on Samarie, and Jerusalem.
2 Sikieni, enyi mataifa, enyi nyote, sikilizeni, ee dunia na wote mliomo ndani yake, ili Bwana Mwenyezi ashuhudie dhidi yenu, Bwana kutoka Hekalu lake takatifu.
Here ye, alle puplis, and the erthe perseyue, and plentee therof, and be the Lord God to you in to a witnesse, the Lord fro his hooli temple.
3 Tazama! Bwana anakuja kutoka mahali pake; anashuka na kukanyaga mahali palipoinuka juu pa dunia.
For lo! the Lord schal go out of his place, and schal come doun, and schal trede on hiy thingis of erthe.
4 Milima inayeyuka chini yake na mabonde yanagawanyika kama nta mbele ya moto, kama maji yatiririkayo kasi kwenye mteremko.
And mounteyns schulen be waastid vndur hym, and valeis schulen be kit, as wex fro the face of fier, as watirs that rennen in to a pit.
5 Yote haya ni kwa sababu ya kosa la Yakobo, ni kwa sababu ya dhambi za nyumba ya Israeli. Kosa la Yakobo ni lipi? Je, sio Samaria? Je, mahali pa juu pa Yuda pa kuabudia miungu ni nini? Je, sio Yerusalemu?
In the grete trespas of Jacob is al this thing, and in the synnes of the hous of Israel. Which is the greet trespas of Jacob? whether not Samarie? and whiche ben the hiy thingis of Juda? whether not Jerusalem?
6 “Kwa hiyo nitaufanya Samaria kuwa lundo la kokoto, mahali pa kuotesha mizabibu. Nitayamwaga mawe yake katika bonde na kuacha wazi misingi yake.
And Y schal put Samarie as an heep of stoonys in the feeld, whanne a vynyerd is plauntid; and Y schal drawe awei the stoonys therof in to a valei, and Y schal schewe the foundementis therof.
7 Sanamu zake zote zitavunjwa vipande vipande; zawadi zake zote za Hekalu zitachomwa kwa moto; nitaharibu vinyago vyake vyote. Kwa kuwa alikusanya zawadi zake kutokana na ujira wa kahaba, nazo zitatumika tena kulipa mishahara ya kahaba.”
And alle `grauun ymagis therof schulen be betun togidere, and alle hiris therof schulen be brent in fier; and Y schal putte alle idols therof in to perdicioun; for of hiris of an hoore tho ben gaderid, and `til to hire of an hoore tho schulen turne ayen.
8 Kwa ajili ya hili nitalia na kuomboleza; nitatembea bila viatu na tena uchi. Nitabweka kama mbweha na kuomboleza kama bundi.
On this thing Y schal weile and yelle, Y schal go spuylid and nakid; Y schal make weilyng of dragouns, and mournyng as of ostrigis.
9 Kwa sababu jeraha lake halitibiki; limekuja Yuda. Limefika hasa kwenye lango la watu wangu, hata Yerusalemu kwenyewe.
For wounde therof is dispeirid; for it cam til to Juda, it touchide the yate of my puple, til to Jerusalem.
10 Usiliseme hili huko Gathi; usilie hata kidogo. Huko Beth-le-Afra gaagaa mavumbini.
In Geth nyle ye telle, bi teeris wepe ye not; in the hous of dust with dust togidere sprynge you.
11 Piteni mkiwa uchi na wenye aibu, ninyi mkaao Shafiri. Wale waishio Saanani hawatatoka nje. Beth-Eseli iko katika maombolezo; kinga yake imeondolewa kwako.
And ye a fair dwellyng passe, which is confoundid with yuel fame; it is not goon out, which dwellith in the goyng out; a niy hous schal take of you weilyng, which stood to it silf.
12 Wale waishio Marothi wanagaagaa kwa maumivu wakingoja msaada, kwa sababu maangamizi yamekuja kutoka kwa Bwana, hata katika lango la Yerusalemu.
For it is maad sijk to good, which dwellith in bitternessis. For yuel cam doun fro the Lord in to the yate of Jerusalem, noise of foure horsid cart,
13 Enyi mkaao Lakishi, fungeni farasi kwenye magari ya vita. Mlikuwa chanzo cha dhambi kwa Binti Sayuni, kwa kuwa makosa ya Israeli yalikutwa kwako.
of drede to the puple dwellynge at Lachis. It is the bigynnyng of synne of the douyter of Sion, for the grete trespassis of Israel ben foundun in thee.
14 Kwa hiyo utaipa Moresheth-Gathi zawadi za kuagana. Mji wa Akzibu utaonyesha wazi udanganyifu kwa wafalme wa Israeli.
Therfor he schal yyue werriours on the eritage of Geth, on housis of leesyng in to deseit to kyngis of Israel.
15 Nitawaleteeni atakayewashinda ninyi mnaoishi Maresha. Yeye aliye utukufu wa Israeli atakuja Adulamu.
Yit Y schal brynge an eir to thee, that dwellist in Maresa; the glorie of Israel schal come til to Odolla.
16 Nyoeni nywele zenu katika kuomboleza kwa ajili ya watoto wenu mnaowafurahia; jifanyieni upara kama tai, kwa kuwa watawaacha na kwenda uhamishoni.
Be thou maad ballid, and be thou clippid on the sones of thi delices; alarge thi ballidnesse as an egle, for thei ben lad caitif fro thee.

< Mika 1 >