< Mathayo 1 >
1 Habari za ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, mwana wa Abrahamu:
Uwu e mulongo wa bamashali bakulukulu ba Yesu, mushukulu wa Dafeti, uyo walikuba mushukulu wa Abulahamu.
2 Abrahamu akamzaa Isaki, Isaki akamzaa Yakobo, Yakobo akawazaa Yuda na ndugu zake,
Abulahamu walasema Isake, nendi Isake walasema Yakobo, Nendi Yakobo walasema Yuda ne bakwabo,
3 Yuda akawazaa Peresi na Zera, ambao mama yao alikuwa Tamari, Peresi akamzaa Hesroni, Hesroni akamzaa Aramu,
Yuda walasema Pelesi ne Sela muli Tamala, Pelesi walasema Hesiloni, Nendi Hesiloni walasema Lamu,
4 Aramu akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Nashoni, Nashoni akamzaa Salmoni,
Lamu walasema Aminadabu, nendi Aminadabu walasema Nasoni, nendi Nasoni walasema Salumoni,
5 Salmoni akamzaa Boazi, na mama yake Boazi alikuwa Rahabu, Boazi akamzaa Obedi, ambaye mama yake alikuwa Ruthu, Obedi akamzaa Yese,
Salumoni walasema Bowasi muli Lahabi, nendi Bowasi walasema Obedi muli Lute, nendi Obedi walasema Jesi,
6 Yese akamzaa Daudi ambaye alikuwa mfalme. Daudi akamzaa Solomoni, ambaye mama yake ni yule aliyekuwa mke wa Uria.
Jesi walasema Mwami Dafeti, nendi Dafeti walasema Solomoni mu mukashi walikuba wa Uliya.
7 Solomoni akamzaa Rehoboamu, Rehoboamu akamzaa Abiya, Abiya akamzaa Asa,
Solomoni walasema Lehabyamu, nendi Lehabyamu walasema Abiya, nendi Abiya walasema Asa,
8 Asa akamzaa Yehoshafati, Yehoshafati akamzaa Yoramu, Yoramu akamzaa Uzia,
nendi Asa walasema Yehosafati, nendi Yehosafati walasema Yolamu, nendi Yolamu walasema Usiya,
9 Uzia akamzaa Yothamu, Yothamu akamzaa Ahazi, Ahazi akamzaa Hezekia,
Usiya walasema Yotamu, Nendi Yotamu walasema Ahazi, Nendi Ahazi walasema Hezekiya,
10 Hezekia akamzaa Manase, Manase akamzaa Amoni, Amoni akamzaa Yosia,
nendi Hezekiya walasema Manase, nendi Manase walasema Amoni, nendi Amoni walasema Yosiya,
11 wakati wa uhamisho wa Babeli, Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake.
Yosiya walasema Yekoniya ne bakwabo pacindi bana Baisilayeli mpobalikumantwa busha ku Babulo.
12 Baada ya uhamisho wa Babeli: Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli akamzaa Zerubabeli,
Baisilayeli mpobalamantwa busha ku Babulo, Yekoniya walasema Salatiyele nendi Salatiyele walasema Zelubabele,
13 Zerubabeli akamzaa Abiudi, Abiudi akamzaa Eliakimu, Eliakimu akamzaa Azori,
nendi Zelubabele walasema Abiyudi, Abiyudi walasema Eliyakimu nendi Eliyakimu walasema Asolo,
14 Azori akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Akimu, Akimu akamzaa Eliudi,
Asolo walasema Sadoki, nendi Sadoki walasema Akimu, nendi Akimu walasema Eliyudi,
15 Eliudi akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Matani, Matani akamzaa Yakobo,
Nendi Eliyudi walasema Eliyasala, nendi Eliyasala walasema Matani, Matani walasema Yakobo,
16 naye Yakobo akamzaa Yosefu ambaye alikuwa mumewe Maria, mama yake Yesu, aitwaye Kristo.
Nendi Yakobo walasema Yosefe ibendi Maliya, uyu Maliya e walasema Yesu lakwiwangeti Klistu Mupulushi Walaiwa usa.
17 Hivyo, kulikuwepo na jumla ya vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi hadi wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli, na vizazi kumi na vinne tangu wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli hadi Kristo.
Neco, kufuma pali Abulahamu kushika pali Mwami Dafeti, palikuba misemano likumi ne ina, kayi kufuma pali Mwami Dafeti kushika pacindi bana ba Isilayeli mpobalamantwa busha kuya ku Babulo, napo palikuba misemano likumi ne ina, kayi kufuma pacindi ca kumantwa busha ku Babulo kushika pacindi ca Klistu, napo palikuba misemano likumi ne ina.
18 Basi Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi: Maria mama yake alikuwa ameposwa na Yosefu, lakini kabla hawajakutana kimwili, Maria alionekana kuwa na mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Lino kusemwa kwa Yesu Klistu kwalenshika munshila iyi. Pacindi Maliya banyina Yesu mpobalikuba bamamikilwa kuli Yosefe. Nomba kabatana baya kumalili, Maliya walacanika ne libunda kupitila mu ngofu ya Mushimu Uswepa.
19 Kwa kuwa Yosefu, mwanaume aliyekuwa amemposa alikuwa mtu mwadilifu, hakutaka kumwaibisha Maria hadharani, aliazimu kumwacha kwa siri.
Yosefe walikuba muntu walulama, nkalayanda kumusebanya pantangalala, walayeya kupwisha bubambo bwa cikwati kwakubula kwishiba bantu.
20 Lakini mara alipoazimu kufanya jambo hili, malaika wa Bwana akamtokea katika ndoto na kusema, “Yosefu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Maria awe mke wako, kwa maana mimba aliyo nayo ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Kaciyeya cakwinsa mungelo wa Mwami Lesa walamubonekela muciloto ne kumwambileti, “Yosefe mwanendi Dafeti kotatina kumumanta Maliya kuba mukashobe, ili libunda ndyakute ni ngofu ya Mushimu Uswepa.
21 Naye atamzaa mwana, nawe utamwita Jina lake Yesu, kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”
Nakatumbuke mwana mutuloba uyo ngoshi mukatumbe lina eti Yesu, pakwinga nakapulushe bantu bakendi ku bwipishi bwabo.”
22 Haya yote yalitukia ili litimie lile Bwana alilokuwa amenena kupitia nabii, akisema:
Ibi byalenshika kwalikuba kukwanilisha ncalamba Mwami kumushinshimi kwambeti
23 “Tazama, bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, nao watamwita Jina lake Imanueli”: maana yake, “Mungu pamoja nasi.”
“Mulindu nakabe ne libunda ne kutumbuka mwana mutuloba uyo eti akakwiweti Emanuele, uku ekwambeti ‘Lesa uli nenjafwe’”
24 Yosefu alipoamka kutoka usingizini, akafanya kama vile alivyoagizwa na malaika wa Bwana, akamchukua Maria kuwa mke wake.
Yosefe mpwalapunduka walensa ncalamwambila mungelo wa Mwami Lesa, walamumanta Maliya kuba mukashendi.
25 Lakini hawakukutana kimwili mpaka Maria alipojifungua mwanawe kifungua mimba akamwita Jina lake Yesu.
Nomba nikukabeco uliya kuya nendi kumalili sobwe mpaka panyuma pakutumbuka mwana mutuloba. Yosefe walamupa Lina eti Yesu.