< Mathayo 1 >
1 Habari za ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, mwana wa Abrahamu:
Kitabu kya lukholo lwa Yesu Kristu mwana ghwa Daudi, mwana ghwa Ibrahimu.
2 Abrahamu akamzaa Isaki, Isaki akamzaa Yakobo, Yakobo akawazaa Yuda na ndugu zake,
Ibrahimu aj'hele tata ghwa Isaka, ni Isaka aj'hele tata ghwa Yakobo, ni Yakobo tata ghwa Yuda ni bhalongomunu.
3 Yuda akawazaa Peresi na Zera, ambao mama yao alikuwa Tamari, Peresi akamzaa Hesroni, Hesroni akamzaa Aramu,
Yuda aj'hele tata ghwa Peresi ni Sera kwa Tamari, Peresi tata ghwa Hezeroni, ni Hezeroni tata ghwa Ramu.
4 Aramu akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Nashoni, Nashoni akamzaa Salmoni,
Ramu ajhele tata ghwa Aminadabu, Aminadabu tata ghwa Nashoni, ni Nashoni tata ghwa Salimoni.
5 Salmoni akamzaa Boazi, na mama yake Boazi alikuwa Rahabu, Boazi akamzaa Obedi, ambaye mama yake alikuwa Ruthu, Obedi akamzaa Yese,
Salimoni ajhele tata ghwa Boazi kwa Rahabu, Boazi tata ghwa Obedi kwa Ruth, Obedi tata ghwa Yese,
6 Yese akamzaa Daudi ambaye alikuwa mfalme. Daudi akamzaa Solomoni, ambaye mama yake ni yule aliyekuwa mke wa Uria.
Yese ajhele tata ghwa mfalme Daudi. Daudi ajhele tata ghwa Sulemani kwa n'dala ghwa Uria.
7 Solomoni akamzaa Rehoboamu, Rehoboamu akamzaa Abiya, Abiya akamzaa Asa,
Sulemani ajhele tata ghwa Rehoboamu, Rehoboamu tata ghwa Abiya, Abiya tata ghwa Asa.
8 Asa akamzaa Yehoshafati, Yehoshafati akamzaa Yoramu, Yoramu akamzaa Uzia,
Asa ajhele tata ghwa Yehoshafati, Yehoshafati tata ghwa Yoramu, ni Yoramu tata ghwa Uzia.
9 Uzia akamzaa Yothamu, Yothamu akamzaa Ahazi, Ahazi akamzaa Hezekia,
Uzia ajhele tata ghwa Yothamu, Yothamu tata ghwa Ahazi, Ahazi tata ghwa Hezekia.
10 Hezekia akamzaa Manase, Manase akamzaa Amoni, Amoni akamzaa Yosia,
Hezekia ajhele tata ghwa Manase, Manase tata ghwa Amoni ni Amoni tata ghwa Yosia.
11 wakati wa uhamisho wa Babeli, Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake.
Yosia ajhele tata ghwa Yekonia ni bhalongomunu bhwakati bhwa kutolibhwa kulota Babeli.
12 Baada ya uhamisho wa Babeli: Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli akamzaa Zerubabeli,
Ni baada jha kutolibhwa kul'ota Babeli, Yekonia ajhele tata ghwa Shatieli, Shatieli ajhele kokho munu ni Zerubabeli.
13 Zerubabeli akamzaa Abiudi, Abiudi akamzaa Eliakimu, Eliakimu akamzaa Azori,
Zerubabeli ajhele tata ghwa Abiudi, Abiudi tata ghwa Eliakimu, ni Eliakimu tata ghwa Azori.
14 Azori akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Akimu, Akimu akamzaa Eliudi,
Azori ajhele tata ghwa Zadoki, Zadoki tata ghwa Akimu, Akimu tata ghwa Eliudi.
15 Eliudi akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Matani, Matani akamzaa Yakobo,
Eliudi ajhele tata ghwa Elieza, Elieza tata ghwa Matani ni Matani tata ghwa Yakobo.
16 naye Yakobo akamzaa Yosefu ambaye alikuwa mumewe Maria, mama yake Yesu, aitwaye Kristo.
Yakobo ajhele tata ghwa Yusufu n'gosi ghwa Mariamu, ambajhe kwa muene Yesu ahogoliki, j'haikutibhwa Kristu.
17 Hivyo, kulikuwepo na jumla ya vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi hadi wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli, na vizazi kumi na vinne tangu wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli hadi Kristo.
Fizazi fyoha kuh'omela Ibrahimu hadi Daudi fyaj'hele fizazi kumi na nne, kuh'omela Daudi hadi kutolibhwa kulota Babeli fizazi kumi na nne, ni kuhomela kutolibhwa kulota Babeli hadi Kristu fizazi kumi na nne.
18 Basi Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi: Maria mama yake alikuwa ameposwa na Yosefu, lakini kabla hawajakutana kimwili, Maria alionekana kuwa na mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Kuhogoleka kwa Yesu Kristu kwajhele namna e'j'he. Ndebhuake, Mariamu, achumbilibhu ni Yusufu, lakini kabla bhakhona kubhonana, abhonekene kujha nu luleme kwa ngofo sya Roho Mtakatifu.
19 Kwa kuwa Yosefu, mwanaume aliyekuwa amemposa alikuwa mtu mwadilifu, hakutaka kumwaibisha Maria hadharani, aliazimu kumwacha kwa siri.
Ngwanamunu Yusufu, aj'hele munu mwenye haki alondeghe lepi kun'haibisya hadharani. Aamuili kuleka uchumba bhwake kwa siri.
20 Lakini mara alipoazimu kufanya jambo hili, malaika wa Bwana akamtokea katika ndoto na kusema, “Yosefu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Maria awe mke wako, kwa maana mimba aliyo nayo ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Bho ifikirira juu j'ha mambo agha, Malaika ghwa Bwana an'hidili mu ndoto, ajobhili, “Yusufu muana ghwa Daudi, usilili kun'tola Mariamu kama n'dalabhu, kwa ndabha luleme lwaaj'henabhu ni kwa bhuweza bhwa Roho Mtakatifu.
21 Naye atamzaa mwana, nawe utamwita Jina lake Yesu, kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”
Ibetakuhogola mwana ghwa n'gosi ni ghwibeta kun'kuta lihina lyake Yesu, kwa ndabha ibetakubhaokola bhanu bhake ni dhambi syabhene.”
22 Haya yote yalitukia ili litimie lile Bwana alilokuwa amenena kupitia nabii, akisema:
Ghoha agha ghahomili kutimisibhwa k'hela kyaka nenebhu ni Bwana kwa nj'hela j'ha nabiii ajobhili,
23 “Tazama, bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, nao watamwita Jina lake Imanueli”: maana yake, “Mungu pamoja nasi.”
“Langai, bikira ibetakukabha luleme ni kuhogola muana n'gosi, na bhibetakun'kuta lihina lyake Imanueli”— maana ghiake, “K'yara pamonga natu.”
24 Yosefu alipoamka kutoka usingizini, akafanya kama vile alivyoagizwa na malaika wa Bwana, akamchukua Maria kuwa mke wake.
Yusufu aj'humuiki kuh'omela mulugono ni kubhomba kama malaika ghwa Bwana kyaan'jobhili na an'tolili kama n'dala.
25 Lakini hawakukutana kimwili mpaka Maria alipojifungua mwanawe kifungua mimba akamwita Jina lake Yesu.
Hata nahu agonililepi naku mpaka bho akifunguili muana n'gosi ni kunkuta lihina lyake Yesu