< Mathayo 1 >

1 Habari za ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, mwana wa Abrahamu:
Ibbuku lyabansiku ba Jesu Kkilisito, mwana wakwe Devidi, mwana wakwe Abbulahamu.
2 Abrahamu akamzaa Isaki, Isaki akamzaa Yakobo, Yakobo akawazaa Yuda na ndugu zake,
Abbulahamu wakali wisi wa Ayizeki, alakwe Ayizeki wisi wa Jakobu, alakwe Jakobo wisi wa Juda abakulana bakwe.
3 Yuda akawazaa Peresi na Zera, ambao mama yao alikuwa Tamari, Peresi akamzaa Hesroni, Hesroni akamzaa Aramu,
Juda wakali wisi wa Pelezi a Zela kuli Tamala, Pelezi wisi Hezelani alakwe Hezelani wisi wa Lamu.
4 Aramu akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Nashoni, Nashoni akamzaa Salmoni,
Lamu wakali wisi wa Aminadabbu, Aminadabbu wisi wa Nasoni, alakwe Nasoni wisi wa Salumoni.
5 Salmoni akamzaa Boazi, na mama yake Boazi alikuwa Rahabu, Boazi akamzaa Obedi, ambaye mama yake alikuwa Ruthu, Obedi akamzaa Yese,
Salumoni wakali wisi wa Bbowazi kuli Lahabbu, Bbowazi wisi wa Obbedi kuli Lute, Obbedi wisi wa Jese.
6 Yese akamzaa Daudi ambaye alikuwa mfalme. Daudi akamzaa Solomoni, ambaye mama yake ni yule aliyekuwa mke wa Uria.
Jese wakali wisi wa Mwami Devidi Mwami, Devidi wisi wa Solomoni kuli muka Uliya.
7 Solomoni akamzaa Rehoboamu, Rehoboamu akamzaa Abiya, Abiya akamzaa Asa,
Solomoni wakali wisi wa Lehobbowamu, Lehobbowamu wisi wa Abbija, Abbija wisi wa Asa.
8 Asa akamzaa Yehoshafati, Yehoshafati akamzaa Yoramu, Yoramu akamzaa Uzia,
Asa wakali wisi wa Jehosiafati, Jehosiafati wisi wa Jolamu, alakwe Jolamu ngusikale wa Uziya.
9 Uzia akamzaa Yothamu, Yothamu akamzaa Ahazi, Ahazi akamzaa Hezekia,
Uziya wakali wisi wa Jotamu, Jotamu wisi wa Ahazi, Ahazi wisi wa Hezekkiya.
10 Hezekia akamzaa Manase, Manase akamzaa Amoni, Amoni akamzaa Yosia,
Hezekkiya wakali wisi wa Manase, Manase wisi wa Amoni, alakwe Amoni wisi wa Josiya.
11 wakati wa uhamisho wa Babeli, Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake.
Josiya wakali sikale wa Jekoniya antomwe abakulana bakwe kuchindi chakutolwa kubuzike ku Bbabbiloni.
12 Baada ya uhamisho wa Babeli: Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli akamzaa Zerubabeli,
Musule lyakulonzegwa kutolwa ku Bbabbiloni, Jekoniya wakali wisi wa Sialitiyeli, Sialitiyeli wakali sikale wa Zelubbabbeli.
13 Zerubabeli akamzaa Abiudi, Abiudi akamzaa Eliakimu, Eliakimu akamzaa Azori,
Zelubbabbeli wakali wisi wa Abbiyudi, Abbiyudi wisi wa Eliyakkimu, alakwe Eliyakkimu wisi wa Azola.
14 Azori akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Akimu, Akimu akamzaa Eliudi,
Azola wakali wisi wa Zadoki, Zadoki wisi wa Akkimu, alakwe Akkimu wisi wa Eliyudi.
15 Eliudi akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Matani, Matani akamzaa Yakobo,
Eliyudi wakali wisi wa Eliyazali wisi wa Matani, alakwe Matani wisi wa Jakobo.
16 naye Yakobo akamzaa Yosefu ambaye alikuwa mumewe Maria, mama yake Yesu, aitwaye Kristo.
Jakobo wakali wisi wa Josefa mulumi wa Meli, oyo wakazyala Jesu ooyo utegwa Kkilisito.
17 Hivyo, kulikuwepo na jumla ya vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi hadi wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli, na vizazi kumi na vinne tangu wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli hadi Kristo.
Woonse mazyalani kuzwa kuli Abbulahamu kusika kuli Devidi akali mazyalane ali ikkumi aane, kuzwa kuli Devidi kusika kukulonzegwa kwabo kutolwa ku Bbabiloni mazyalane ali ikkumi aane, alimwi kuzwa kukulonzegwa kutolwa ku Bbabbiloni kusikila kuli Kkilisito mazyalane ali kkumi aane.
18 Basi Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi: Maria mama yake alikuwa ameposwa na Yosefu, lakini kabla hawajakutana kimwili, Maria alionekana kuwa na mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Kuzyalwa kwa Jesu Kkilisito kwaka chitika munzila itobela. Banyina, Meli bakatangilwakuti bakwatwe a Jozefu, pesi kabatana kuswanana, wakajanika kuti wakali mintide kumuuya uusalala.
19 Kwa kuwa Yosefu, mwanaume aliyekuwa amemposa alikuwa mtu mwadilifu, hakutaka kumwaibisha Maria hadharani, aliazimu kumwacha kwa siri.
Pesi Jozefu, mulumi wakwe, wakali mwalumi ululeme alimwi tewakayanda kumufwisya bweeme pe chaantanganana, aboobo wakayeya kumuleka chuumunizi akusiya chizuminano chabo.
20 Lakini mara alipoazimu kufanya jambo hili, malaika wa Bwana akamtokea katika ndoto na kusema, “Yosefu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Maria awe mke wako, kwa maana mimba aliyo nayo ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Awo mpakali kuyeeya ezi zintu, mungelo wa Mwami wakaboneka kulinguwe muchiloto, waamba kuti, “Jozefu mwana wa Devidi, utayowi pe kubweza Meli kuti abe mwanakazi wako, nkambo oyo umintidwe mulinguwe umintidwe a Muuya Uusalala.
21 Naye atamzaa mwana, nawe utamwita Jina lake Yesu, kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”
Uyozyala mwana mulombe, alimwi uyomuzika izina lyakuti ngu Jesu, nkambo uyofutula bantu bakwe kuzwa kuzibi zyabo.”
22 Haya yote yalitukia ili litimie lile Bwana alilokuwa amenena kupitia nabii, akisema:
Zyonseezi zyakachitika kuzuzikizya zyakaambwa a Mwami kwinda kubasinsiimi, wamba wati,
23 “Tazama, bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, nao watamwita Jina lake Imanueli”: maana yake, “Mungu pamoja nasi.”
“Amubone, ooyo musimbi uzominta uzotumbuka mwana mulombe, mpawo izina lyakwe bazomuzika kuti ngu Imanuwele” - elyo lipandululwa kutegwa, “Leza ulandiswe.
24 Yosefu alipoamka kutoka usingizini, akafanya kama vile alivyoagizwa na malaika wa Bwana, akamchukua Maria kuwa mke wake.
Jozefu wakabuka kuzwa kukoona kwakwe wachita mbuli mungelo wa Mwami mbakamulayilila, mpawo wakamubweza waba mwanakazi wakwe.
25 Lakini hawakukutana kimwili mpaka Maria alipojifungua mwanawe kifungua mimba akamwita Jina lake Yesu.
Pesi takwepe nakamuziba kusika watumbuka mwana mulombe. Elyo wakamuzika izina kuti ngu Jesu.

< Mathayo 1 >