< Mathayo 1 >

1 Habari za ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, mwana wa Abrahamu:
Abraham capa David, David capa Jesu Khrih a lawnaak cadil thuihnaak cauk taw vemyihna awm hy.
2 Abrahamu akamzaa Isaki, Isaki akamzaa Yakobo, Yakobo akawazaa Yuda na ndugu zake,
Abraham ing Isaak ca na nawh; Isaak ing Jakob ca na hy; Jakob ing Judah cingnahqui ca na hy.
3 Yuda akawazaa Peresi na Zera, ambao mama yao alikuwa Tamari, Peresi akamzaa Hesroni, Hesroni akamzaa Aramu,
Judah ingkaw Tamar a ven awhkawng Perez ingkaw Zerah cana nawh; Perez ing Herezon cana hy, Herezon ing Qam cana hy.
4 Aramu akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Nashoni, Nashoni akamzaa Salmoni,
Qam ing Amminadab ca na nawh, Aminadab ing Nahshon ca na hy; Nahshon ing Salmon ca na hy.
5 Salmoni akamzaa Boazi, na mama yake Boazi alikuwa Rahabu, Boazi akamzaa Obedi, ambaye mama yake alikuwa Ruthu, Obedi akamzaa Yese,
Salmon ingkaw Rahab a ven awhkawng Boaz ca na hy, Boaz ing Ruth a ven awhkawng Obed ca na hy; Obed ing Jesee ca na hy.
6 Yese akamzaa Daudi ambaye alikuwa mfalme. Daudi akamzaa Solomoni, ambaye mama yake ni yule aliyekuwa mke wa Uria.
Jesee ing David sangpahrang ca na nawh; David sangpahrang ing Uria a zu ven awhkawng solomon ca na hy;
7 Solomoni akamzaa Rehoboamu, Rehoboamu akamzaa Abiya, Abiya akamzaa Asa,
Solomon ing Rehoboam ca na hy; Rehobam ing Abijah ca na hy; Abijah ing Asa ca na hy;
8 Asa akamzaa Yehoshafati, Yehoshafati akamzaa Yoramu, Yoramu akamzaa Uzia,
Asa ing Jehoshaphat ca na hy; Jehoshaphat ing Uzziah ca na hy;
9 Uzia akamzaa Yothamu, Yothamu akamzaa Ahazi, Ahazi akamzaa Hezekia,
Uzziah ing Jotham ca na hy; Jotham ing Ahaz ca na hy; Ahaz ing Hezekiah ca na hy;
10 Hezekia akamzaa Manase, Manase akamzaa Amoni, Amoni akamzaa Yosia,
Hezekiah ing Manasseh ca na hy; Manasseh ing Amon ca na hy; Amon ing Josiah ca na hy;
11 wakati wa uhamisho wa Babeli, Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake.
Babylon khaw awh tamnaa na ami khyn tloek awh, Josiah ing Jekoniah ingkaw a mik cingnakhqi ca na hy;
12 Baada ya uhamisho wa Babeli: Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli akamzaa Zerubabeli,
Babylon awh tamnaa na ami khyn coengawh; Jekoniah ing shealtiel ca na hy; Shealtel ing Zerubbabel ca na hy;
13 Zerubabeli akamzaa Abiudi, Abiudi akamzaa Eliakimu, Eliakimu akamzaa Azori,
Zerubbabel ing Abiud ca na hy; A biud ing Azor ca na hy;
14 Azori akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Akimu, Akimu akamzaa Eliudi,
Azor ing Zadok ca na hy; Akim ing Eliud ca na hy;
15 Eliudi akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Matani, Matani akamzaa Yakobo,
Eliud ing Eleazar ca na hy; Eleazar ing Matthan ca na hy;
16 naye Yakobo akamzaa Yosefu ambaye alikuwa mumewe Maria, mama yake Yesu, aitwaye Kristo.
Jakob ing Meri va Joseph ca na hy; cawhkawng khrih ami ti uh, Jesu ce thang hy.
17 Hivyo, kulikuwepo na jumla ya vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi hadi wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli, na vizazi kumi na vinne tangu wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli hadi Kristo.
Abraham awhkawng David dy khuk hlaihphli law hy; David awhkawng Babylon awh tamnaa na ami khyn dy khuk hlaihphli law hy; Babylon na ami khyn coeng awhkawng Khrih dy khuk hlaihphli law bai hy.
18 Basi Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi: Maria mama yake alikuwa ameposwa na Yosefu, lakini kabla hawajakutana kimwili, Maria alionekana kuwa na mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Jesu Khrih a thangnaak taw ve myihna awm hy: anu Meri ce Joseph ing a zu na kang nawh, kut oet na ani awm haih hlanawh, Meri ing Ciim Myihla ak caming naasen syn hawh hy.
19 Kwa kuwa Yosefu, mwanaume aliyekuwa amemposa alikuwa mtu mwadilifu, hakutaka kumwaibisha Maria hadharani, aliazimu kumwacha kwa siri.
Ava Joseph taw thlak dyng na a awm dawngawh, thlang ing a sim hlanawh, ang hyp na nawn dym aham cai hy.
20 Lakini mara alipoazimu kufanya jambo hili, malaika wa Bwana akamtokea katika ndoto na kusema, “Yosefu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Maria awe mke wako, kwa maana mimba aliyo nayo ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Cemyihna ak poek huili awh, Bawipa ak khan ceityih ce ang mang awh dang pe nawh, a venawh, “David capa Joseph na zu Meri ce lawh aham koeh kqih: a phyihsu taw Ciim Myihla ak caming ni tina hy.
21 Naye atamzaa mwana, nawe utamwita Jina lake Yesu, kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”
Anih ing cakpa ta kawmsaw, ak thlangkhqi ce thawlhnaak khui awhkawng hul aham a awm dawngawh, ang ming taw JESU tinawh sui kawp ti, tina hy.
22 Haya yote yalitukia ili litimie lile Bwana alilokuwa amenena kupitia nabii, akisema:
Bawipa ing a tawngha hawnaak ing anak kqawn ce a soepnaak aham ve myihkhqi boeih ve ana hang awm hy.
23 “Tazama, bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, nao watamwita Jina lake Imanueli”: maana yake, “Mungu pamoja nasi.”
Ngai lah, nulak cym ce phyihsu kawmsaw, cakpa ta kaw, ang ming taw Emmanuel tinawh khy kawm uh, ningnih a venawh Khawsa awm hy tinaak ni”.
24 Yosefu alipoamka kutoka usingizini, akafanya kama vile alivyoagizwa na malaika wa Bwana, akamchukua Maria kuwa mke wake.
Joseph ing ang hqyng law awh Bawipa a ceityih ing awi a peek amyihna, Meri ce zu na hy:
25 Lakini hawakukutana kimwili mpaka Maria alipojifungua mwanawe kifungua mimba akamwita Jina lake Yesu.
a ca a cuun hlan dy taw am heei hy; cekcoengawh a cakcyk ce cuun nawh JESU tinawh ming sui hy.

< Mathayo 1 >