< Mathayo 8 >

1 Yesu aliposhuka kutoka mlimani, makutano makubwa ya watu yakamfuata.
Bhwakati Yesu aselili pasi kuh'oma pa kid'onda, bhumati m'mbaha bhwamfwatili.
2 Mtu mmoja mwenye ukoma akaja na kupiga magoti mbele yake, akasema, “Bwana, kama ukitaka, unaweza kunitakasa.”
Langai, mkoma ahidili ni kusujudu m'b'ele j'ha muene, akajobha, “Bwana, ikaj'hiaghe ujhe tayari ghwibhwesya kunibhomba nj'hiaghe kinofu”.
3 Yesu akanyoosha mkono wake akamgusa yule mtu, akamwambia, “Nataka. Takasika!” Mara yule mtu akatakasika ukoma wake.
Yesu anyosisi kibhoko kya muene ni kun'gusa, akajobha, “Nj'hela tayari. Uj'hiaghe n'safi.” Bahuapu atakasibhu bhukhoma bhuake.
4 Kisha Yesu akamwambia, “Hakikisha humwambii mtu yeyote. Lakini nenda ukajionyeshe kwa kuhani, na utoe sadaka aliyoamuru Mose, ili kuwa ushuhuda kwao.”
Yesu an'jobhili, “Langai kwamba usijobhi kwa munu j'hej'hioha. Kamulai nj'hela j'ha bhebhe, na ghwilasiaghe ghwimuene kwa kuhani na uh'omesiaghe zawadi ambayo Musa alaghisi, kwa ndabha j'ha bhushuhuda bhuakhu”
5 Yesu alipoingia Kapernaumu, jemadari mmoja alimjia, kumwomba msaada,
Bhwakati Yesu afikiri Kapernaumu, Jemedari akahida kwa muene akan'kota
6 akisema, “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani na amepooza, tena ana maumivu makali ya kutisha.”
akajobha, “Bwana, n'tumishi ghuangu agonili kunyumba apoozili na ajhele ni maumivu gha kutisya.” Yesu akan'jobhela,
7 Yesu akamwambia, “Nitakuja na kumponya.”
“Nibetakuhida ni kumponesya”.
8 Lakini yule jemadari akamwambia, “Bwana, mimi sistahili wewe kuingia chini ya dari yangu. Lakini sema neno tu, naye mtumishi wangu atapona.
Jemedari ajibili ni kun'jobhela, “Bwana, nene ghwa thamani lepi hata uhidai ni kuj'hingila mugati mu dari j'ha nene, jobhai lilobhi tu ni n'tumishi ghwangu ibetakupona.
9 Kwa kuwa mimi mwenyewe ni mtu niliyewekwa chini ya mamlaka, nikiwa na askari chini yangu. Nikimwambia huyu, ‘Nenda,’ yeye huenda; na mwingine nikimwambia, ‘Njoo,’ yeye huja. Nikimwambia mtumishi wangu, ‘Fanya hivi,’ yeye hufanya.”
Kwa kujha nene pia ndo munu j'haniyele ni mamlaka, na njele ni askari bhabhajhele pasi pa nene. Nikajobhai kwa oj'ho “Lotai' na ilota, na kwa j'hongi 'Hidajhi' na ihida, ni kwa n'tumishi bhwangu, 'Bhombaghe naha,' nu muene ibhomba naha”
10 Yesu aliposikia maneno haya, alishangaa, akawaambia wale waliomfuata, “Amin, nawaambia, hata katika Israeli sijapata kuona yeyote mwenye imani kubwa namna hii.
Bhwakati Yesu ap'heliki aghu asyangele ni kubhajobhela bhala ambabho bhamfuateghe, “Bhukweli nikabhajobhela. Nibhwajhili lepi kubhona munu mwenye imani kama oj'ho mu Israeli.
11 Ninawaambia kwamba wengi watatoka mashariki na magharibi, nao wataketi karamuni pamoja na Abrahamu, Isaki na Yakobo katika Ufalme wa Mbinguni.
Nikabhajobhela, bhingi bhibetakuhida kuh'omela mashariki ni magharibi, bhibetakutama mu meza pamonga ni Abrahamu, Isaka, ni Yakobo mu bhufalme bhwa mbinguni.
12 Lakini warithi wa Ufalme watatupwa katika giza la nje, ambako kutakuwako kilio na kusaga meno.”
Lakini bhana bha ufalme bhibeta kutaghibhwa mu ngisi lya kubhala, ambapo kwibekujha ni khilelu ni kusiagha minu.”
13 Kisha Yesu akamwambia yule jemadari, “Nenda na iwe kwako sawasawa na imani yako.” Naye yule mtumishi akapona saa ile ile.
Yesu akabhajobhela Jemedari, “Lotaghe! Kama kyaumalili kukiera, na j'hibhombekaghe naha kwa bhebhe.” Ni n'tumishi aponyisibhu mu lisaa lelue'lu.
14 Yesu alipoingia nyumbani kwa Petro, alimkuta mama mkwe wa Petro amelala kitandani, akiwa ana homa.
Bhwakati Yesu afikiri pa nyuma j'ha Petro, ambwene nkwibhi ghwa Petro agonili akaj'ha n'tamu ghwa homa.
15 Akamgusa mkono wake na homa ikamwacha, naye akainuka na kuanza kumhudumia.
Yesu ankamuili kibhoko kya muene, ni homa j'ha muene j'hikan'ndeka. Kisha akaj'humuka akaj'handa kun'hudumila
16 Jioni ile, wakamletea watu wengi waliopagawa na pepo wachafu, naye akawatoa wale pepo wachafu kwa neno lake, na kuwaponya wagonjwa wote.
Na bhoj'hifikiri kimihi, bhanu bhakandetela Yesu bhingi bhabhatawalibhu ni pepo. Akabh'enga mapepo ni bhala bhabhaj'he bhabhine abhaponisi.
17 Haya yalifanyika ili litimie lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii Isaya kwamba: “Mwenyewe alitwaa udhaifu wetu na alichukua magonjwa yetu.”
Kwa jinsi ej'he ghatimili ghala ghaghamali kujobhibhwa ni Isaya nabii, “Muene atolili bhubhine bhwetu na ap'hendili maradhi ghitu”
18 Yesu alipoona makutano mengi wamemzunguka, aliwaamuru wanafunzi wake wavuke mpaka ngʼambo ya ziwa.
Kisha Yesu bho alibhwene likusanyiku lya bhanu lin'syonguikhi, apisili maelekezo gha kulota lubhafu longi mwa Bahari j'ha Galilaya.
19 Kisha mwalimu mmoja wa sheria akamjia Yesu na kumwambia, “Mwalimu, nitakufuata kokote uendako.”
Kisha mwandishi ahidili kwa muene ni kun'jobhela, “Mwalimu, nibetakufuata popoa pala paghwibeta kul'ota.”
20 Naye Yesu akamjibu, “Mbweha wana mapango, nao ndege wa angani wana viota, lakini Mwana wa Adamu hana mahali pa kulaza kichwa chake.”
Yesu an'jhobhili, “Mbweha bhana mal'ende ni fidege fya angani bhaj'he ni fiota, lakini mwana ghwa Adamu aj'helepi ni sehemu j'ha kugoneka mutu bhwakhe.”
21 Mwanafunzi mwingine akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza nikamzike baba yangu.”
Mwanafunzi j'hongi an'jobhili, “Bwana, niruhusiaghe oti nilotaghe kun'siela tata ghwangu.”
22 Lakini Yesu akamwambia, “Nifuate, uwaache wafu wawazike wafu wao.”
Lakini Yesu an'jobhili, “Un'kesiaghe, na ubhalekai bhafu bhasyelayi bhafu bha j'hinu.”
23 Naye alipoingia kwenye mashua, wanafunzi wake wakamfuata.
Yesu bho aj'hingili mu bhuatu, bhanafunzi bhakankesya mu bhuatu.
24 Ghafula, kukainuka dhoruba kali baharini hata mashua ikaanza kufunikwa na mawimbi, lakini Yesu alikuwa amelala usingizi.
Langai, lyaj'handili linyegha libhaa panani pa bahari, kiasi kwamba bhuatu bhwafunikibhu ni manyegha. Lakini Yesu agonili lugono.
25 Wanafunzi wake wakamwendea na kumwamsha, wakisema, “Bwana, tuokoe! Tunazama!”
Bhanafunzi bhakahida kwa muene ni kunjumusya bhakaj'ha bhijobha, “Bwana, tuokolayi tete, twilota kufwa!”
26 Naye Yesu akawaambia, “Kwa nini mnaogopa, enyi wa imani haba?” Kisha akaamka na kukemea dhoruba na mawimbi, nako kukawa shwari kabisa.
Yesu akabhajobhela, kwa ndabha j'ha kiki mwitila, muenga j'ha muj'he ni imani idusu?” Ndipo akaj'humuka ni kubhubesya mp'ongo ni bahari. Kisha kukabhwa ni bhutulivu m'mbaha,
27 Wale watu wakashangaa, wakisema, “Ni mtu wa namna gani huyu? Hata upepo na mawimbi vinamtii!”
bhagosi bhakamuliki ni mshangao m'baha bhakajobha, “Oj'ho ghwa namna gani, kwamba hata mp'ongo ni bahari figudeme kwa muene?”
28 Walipofika ngʼambo katika nchi ya Wagerasi, watu wawili waliopagawa na pepo wachafu walitoka makaburini nao wakakutana naye. Watu hawa walikuwa wakali mno kiasi kwamba hakuna mtu aliyeweza kupita njia ile.
Bhwakati Yesu ahidili lubhafu longilwa nchi j'ha Magadala, bhagosi bhabhele bha bhatawalibhu ni pepo bhabhonene naku. Bhakaj'ha bhihomela kumakaburi na bhakaj'ha bhibhomba vurugu sana, kiasi kwamba aj'he lepi msafiri ghwa kubhwesya kup'heta nj'hela j'hela.
29 Wakapiga kelele, “Una nini nasi, Mwana wa Mungu? Umekuja hapa kututesa kabla ya wakati ulioamriwa?”
Langaghe, bhakwesili sauti ni kujobha, “Tuj'he ni kiki kya kubhomba kwa bhebhe, mwana ghwa K'yara? Uhidili apa kututesya kabla j'ha bhwakati kufika?”
30 Mbali kidogo kutoka pale walipokuwa, kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe wakilisha.
Henu likundi libhaha lya maghorobhi aj'hele likidima, paj'helelepi patali ni pabhaj'hele,
31 Wale pepo wachafu wakamsihi Yesu, “Ukitutoa humu, turuhusu twende kwenye lile kundi la nguruwe.”
pepo bhaj'handelili kulalamika kwa Yesu ni kujobha, “Ikaj'hiaghe wibetakutuamuru kubhoka, tulongosiaghe mu likundi lya maghorobhi.”
32 Akawaambia, “Nendeni!” Hivyo wakatoka na kuwaingia wale nguruwe, nalo kundi lote likateremka gengeni kwa kasi, likaingia katika ziwa na kufa ndani ya maji.
Yesu akabhajobhela, “Mlotaghe!” Pepo bhakabhoka ni kubanga kwa maghorobhi. Na langaghe, likundi lyoha lyaselili kuhomela kukid'onda kuserelela ku bahari na lyoha lyafwelili mu masi.
33 Wale watu waliokuwa wakiwachunga hao nguruwe wakakimbia wakaingia mjini, wakaeleza yote kuhusu yale yaliyowatokea wale waliokuwa wamepagawa na pepo wachafu.
Bhagosi bhabhaj'hele bhidima maghorobhi bhajumbili. Na bho bhalotili kumjini bhakaj'helesya khila khenu, hususani kyakyatokili kwa bhagosi bhabhatawalibhu ni mapepo.
34 Kisha watu wote wa mji huo wakatoka kwenda kukutana na Yesu. Nao walipomwona wakamsihi aondoke kwenye nchi yao.
Langaghe, mji bhuoha ukahida kubhonana ni Yesu. Bho bhabhuene, bhakan'sihi abhokai mu mkoa ghwa bhene.

< Mathayo 8 >