< Mathayo 8 >
1 Yesu aliposhuka kutoka mlimani, makutano makubwa ya watu yakamfuata.
Sa ma tuno ani po, ni ori gwardang ni tarsi me.
2 Mtu mmoja mwenye ukoma akaja na kupiga magoti mbele yake, akasema, “Bwana, kama ukitaka, unaweza kunitakasa.”
Akem uree ukuturu ma e ahira amee ma nonzome, magu, “Ugama sere, inki wa hem u zinu bari kpicom.”
3 Yesu akanyoosha mkono wake akamgusa yule mtu, akamwambia, “Nataka. Takasika!” Mara yule mtu akatakasika ukoma wake.
Yeso ma witi tari madari me, magu, “Mahem u kpicuno.” Ahirame tikuturu tume tuhuma.
4 Kisha Yesu akamwambia, “Hakikisha humwambii mtu yeyote. Lakini nenda ukajionyeshe kwa kuhani, na utoe sadaka aliyoamuru Mose, ili kuwa ushuhuda kwao.”
Yeso magunme, “Tarsa sekee kati ubuki uye iri mum senke uha ahira u nudang mabuku we uwuzi u sadiga barki we warusi, kasi gusi ubuka u musa.
5 Yesu alipoingia Kapernaumu, jemadari mmoja alimjia, kumwomba msaada,
Mazin inu ribe ukafar nahum makem ure vanu ruma ma' aye ahira ame innu pottiko ume tari.
6 akisema, “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani na amepooza, tena ana maumivu makali ya kutisha.”
Magu, “Ugomo Asere, vana um marari akura mawuno anire ni kira mazin nu zitto kan.”
7 Yesu akamwambia, “Nitakuja na kumponya.”
Yeso magun me, “Indi e' in human me”
8 Lakini yule jemadari akamwambia, “Bwana, mimi sistahili wewe kuingia chini ya dari yangu. Lakini sema neno tu, naye mtumishi wangu atapona.
Vanuu ruma magu, “ugomo Asere, mabari u e' akura amba senke ubuki tizze vana um madi huma.
9 Kwa kuwa mimi mwenyewe ni mtu niliyewekwa chini ya mamlaka, nikiwa na askari chini yangu. Nikimwambia huyu, ‘Nenda,’ yeye huenda; na mwingine nikimwambia, ‘Njoo,’ yeye huja. Nikimwambia mtumishi wangu, ‘Fanya hivi,’ yeye hufanya.”
Barki mi cangi inra tari tiuye tini, anani kara nini kono maraa tari tum, senke ingu innu nuginome, 'Hana' amaha uye ingunme 'ayee' a-ma eye, ingu in nu ureree um, wuza ege mum a-ma wuzi.”
10 Yesu aliposikia maneno haya, alishangaa, akawaambia wale waliomfuata, “Amin, nawaambia, hata katika Israeli sijapata kuona yeyote mwenye imani kubwa namna hii.
Sa yeso makunna anime, mabasa abanga magun nanu tarsa ume, inboshi kadure a'a nyimo isaraila cangi daa mu kem usa-sana uka dure kunu ge me ba.
11 Ninawaambia kwamba wengi watatoka mashariki na magharibi, nao wataketi karamuni pamoja na Abrahamu, Isaki na Yakobo katika Ufalme wa Mbinguni.
In boshi, anu wdi e gwardang inna za nan na dizii wa cukuno in nare imummare nan ki Ibrahim, a Ishaku a yakubu Asesere.
12 Lakini warithi wa Ufalme watatupwa katika giza la nje, ambako kutakuwako kilio na kusaga meno.”
Ahana ati gomo adi rekuwe ammareu abinime madi shi marumzi anyoo.
13 Kisha Yesu akamwambia yule jemadari, “Nenda na iwe kwako sawasawa na imani yako.” Naye yule mtumishi akapona saa ile ile.
Yeso magun innu nani kame, “Dusa a ca uhemme sa wa hem ni u cukuno we anime.” Ahira me vana mahuma.
14 Yesu alipoingia nyumbani kwa Petro, alimkuta mama mkwe wa Petro amelala kitandani, akiwa ana homa.
Sa yeso ma ribe akura a Bitrus, ma iri ugiri ubitrus ma rari uye si.
15 Akamgusa mkono wake na homa ikamwacha, naye akainuka na kuanza kumhudumia.
Ma dari me atari, ma humamari jen katuma kame.
16 Jioni ile, wakamletea watu wengi waliopagawa na pepo wachafu, naye akawatoa wale pepo wachafu kwa neno lake, na kuwaponya wagonjwa wote.
U wun joro uwu wa ezzimen nanu agwerge ne gwardang, masu so we in tizee cas, mawu anu zattunu huma wa huma vat.
17 Haya yalifanyika ili litimie lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii Isaya kwamba: “Mwenyewe alitwaa udhaifu wetu na alichukua magonjwa yetu.”
Agino me barki amyincikina ubuka u ishaya agi, inni cenu me ma inta u zatu uni huma niru, ma zika ti koni tiru.”
18 Yesu alipoona makutano mengi wamemzunguka, aliwaamuru wanafunzi wake wavuke mpaka ngʼambo ya ziwa.
Sa yeso ma ira ni ori na kateme gwardang madusa mabu ki akuri u huru gino.
19 Kisha mwalimu mmoja wa sheria akamjia Yesu na kumwambia, “Mwalimu, nitakufuata kokote uendako.”
Ure unu dungara attaut ma e magun me, “Yeso indi tars a we vat ahira sa hana.”
20 Naye Yesu akamjibu, “Mbweha wana mapango, nao ndege wa angani wana viota, lakini Mwana wa Adamu hana mahali pa kulaza kichwa chake.”
Yeso magun me, ikukkure izin tuna tuwe i nyingin ma suu ma we vana unu ma zoo in kura ba.
21 Mwanafunzi mwingine akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza nikamzike baba yangu.”
Uye anyimo anu tarsa ume ma gunme, “Ugomo Asere da cekum inha inka vati ucokro um.”
22 Lakini Yesu akamwambia, “Nifuate, uwaache wafu wawazike wafu wao.”
Yeso ma gunme, “Tarsa ceki ande sa wa tawe Asere ba wa vatii anu u we sa tawe tize ta sere ba”.
23 Naye alipoingia kwenye mashua, wanafunzi wake wakamfuata.
Sa ma ribe ujirigi, anu tarsa u yeso wa tarsi me.
24 Ghafula, kukainuka dhoruba kali baharini hata mashua ikaanza kufunikwa na mawimbi, lakini Yesu alikuwa amelala usingizi.
Upebu uhiri uraba udandang e barka imei hiri itonno itubi u mensi uzirgime, amen moroo.
25 Wanafunzi wake wakamwendea na kumwamsha, wakisema, “Bwana, tuokoe! Tunazama!”
Anu arsa umeme wa hirza me wagu, “Ugomo Asere buran duru tidi wi!”
26 Naye Yesu akawaambia, “Kwa nini mnaogopa, enyi wa imani haba?” Kisha akaamka na kukemea dhoruba na mawimbi, nako kukawa shwari kabisa.
Magun we, “Barki nyani ya kuna iyau ani me, anu hem u cin?” madiku hiri ma gwarika upebu nan meime, ahirame vat attonno dang.
27 Wale watu wakashangaa, wakisema, “Ni mtu wa namna gani huyu? Hata upepo na mawimbi vinamtii!”
Anu wa kunna biyau wagun, “Uyaa nu ma u dandang makunna me?”
28 Walipofika ngʼambo katika nchi ya Wagerasi, watu wawili waliopagawa na pepo wachafu walitoka makaburini nao wakakutana naye. Watu hawa walikuwa wakali mno kiasi kwamba hakuna mtu aliyeweza kupita njia ile.
Sama bi uhuru u ma nyanga ma garasiyawa, are ana ware in na gderigene wasuri anyimo anu cau waguri me, in wa in wa irawe imum ibi ya bini, ada tarsa me uname ba.
29 Wakapiga kelele, “Una nini nasi, Mwana wa Mungu? Umekuja hapa kututesa kabla ya wakati ulioamriwa?”
Wa'wu hunu wagun, “Nyani mei ma weni nan haru hu vana Asere? wa e ani barki uyumukon duru uganiya u daa?”
30 Mbali kidogo kutoka pale walipokuwa, kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe wakilisha.
Ma haha cin ma iri nigo a nimaladu in nu kase.
31 Wale pepo wachafu wakamsihi Yesu, “Ukitutoa humu, turuhusu twende kwenye lile kundi la nguruwe.”
Agdergene aburu wagu, “Inka wasuson duru utuburu kon duru ani go nimaladu.”
32 Akawaambia, “Nendeni!” Hivyo wakatoka na kuwaingia wale nguruwe, nalo kundi lote likateremka gengeni kwa kasi, likaingia katika ziwa na kufa ndani ya maji.
Magun we, “Hananii” bawa suri waribe amaladu wadusa nigome ukatino u raba udang waka rizzo amei wantiji.”
33 Wale watu waliokuwa wakiwachunga hao nguruwe wakakimbia wakaingia mjini, wakaeleza yote kuhusu yale yaliyowatokea wale waliokuwa wamepagawa na pepo wachafu.
Anu kasen in maladu me wa sumi, wa ribe anipin wameki ukise imum be sa ya kem ana gberigene me.
34 Kisha watu wote wa mji huo wakatoka kwenda kukutana na Yesu. Nao walipomwona wakamsihi aondoke kwenye nchi yao.
Akem anani pinme wasuro wa gunna yeso, sa wa irame wa nyarme ma ce kuwe manyanga me.