< Mathayo 7 >
1 “Usihukumu ili usije ukahukumiwa.
“Namungavahighaghe avange kuuti jumue muleke kuhighua nu Nguluve,
2 Kwa maana jinsi unavyowahukumu wengine, ndivyo utakavyohukumiwa, na kwa kipimo kile upimiacho, ndicho utakachopimiwa.
ulwakuva vule mukuvahigha avange, na jumue mulihighua vule vule. Ikighelelo kino mughelela avange, kye kino uNguluve ilikuvaghelela na jumue.
3 “Mbona unatazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na wala huoni boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe?
“Kiki ghughimba kukola akameng'enyo aka mbavo kano kali mu liiso ilya n'jaako neke naghulola ikipiki kino kili mu liiso lyake?
4 Au unawezaje kumwambia ndugu yako, ‘Acha nitoe kibanzi kwenye jicho lako,’ wakati kuna boriti kwenye jicho lako mwenyewe?
Kange, lwandaani ukum'buula un'jaako kuuti “Leka nikuvusie akameng'enyo aka mbavo kano kali mu liiso lyako,' pano mu liiso lyako juuve mwekili ikipiki?
5 Ewe mnafiki, ondoa boriti ndani ya jicho lako kwanza, ndipo utaweza kuona dhahiri jinsi ya kuondoa kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako.
Ghwe nkedusi uve! Vusia taasi ikipiki kino kili mu liiso lyako. Apuo pe ukukaagha vunofu na kuvusia amengenyo aka mbavo kano kali mu iliiso lya n'jaako!”
6 “Msiwape mbwa vitu vilivyo vitakatifu; wala msitupie nguruwe lulu zenu. Kama mkifanya hivyo, watazikanyagakanyaga na kisha watawageukia na kuwararua vipande vipande.
“Namungasipelaghe imbua ifiinu ifyimike, ulwakuva ndepoonu sikuvagalukila na kukuvang'enya; nambe kukusijughujila ingube ifiinu ifya ndalama nyinga fino filengadika, ulwakuva ndepoonu sikufinyania mu matope.”
7 “Ombeni nanyi mtapewa; tafuteni nanyi mtapata; bisheni nanyi mtafunguliwa mlango.
“Musumaghe, uNguluvi ikuvapeela; uNguluve ikuvavonekesia; MUhonesyaghe, uNguluve ikuvadindulila.
8 Kwa kuwa kila aombaye hupewa; naye kila atafutaye hupata; na kila abishaye hufunguliwa mlango.
Ulwakuva umuunhu ghweni juno isuuma, ipelua; juno ilonda ikufyagha; ghwope juno idodesia, idindulilua.”
9 “Au ni nani miongoni mwenu ambaye mwanawe akimwomba mkate atampa jiwe?
“Asia, ghwe veene mulyumue, juno umwanaake angansuume unkate, ikumpeela ilivue?
10 Au mwanawe akimwomba samaki atampa nyoka?
Nambbe angansuume isamaki ikumpeela injoka?
11 Ikiwa ninyi basi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri, si zaidi sana Baba yenu aliye mbinguni atawapa vitu vizuri wale wamwombao?
Nave umue, mwe vahosi mukaghwile kukuvapeela avaana viinu ifiinu ifinofu, lino uNhaata ghwinu ughwa kukyanya, nakaivomba vunofu, kukila, kukuvapeela ifiinu ifinofu vano vikunsuuma?”
12 Kwa hiyo chochote mnachotaka mtendewe na watu, ninyi nanyi watendeeni vivyo hivyo. Kwa kuwa hii ndiyo Sheria na Manabii.
“Lino, muvavombelaghe avange ndavule na jumue vule mukeela vavavombelaghe. Ulwakuva isio se ndaghilo sa Moose ni mbulanisio sa vavili.
13 “Ingieni kupitia mlango mwembamba, kwa maana lango ni pana na njia ni pana ielekeayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa kupitia lango hilo.
“Mwingilaghe kukilila umulyango umfinye, ulwakuva umulyango ughwa kwingilila kuvutipulo mweleefu, naji sila ija kulutila ukuo nyeleefu. Kange, avaaanhu vano vikilila ukuo, vinga.
14 Lakini mlango ni mwembamba na njia ni finyu ielekeayo kwenye uzima, nao ni wachache tu waionao.
Looli umulyango ughwa kwingilila ku vwumi mfinye, naji sila jino jiluta ku vwumi finye, kange avaanhu vano vikujaagha, vadebe”.
15 “Jihadharini na manabii wa uongo, wanaowajia wakiwa wamevaa mavazi ya kondoo, lakini ndani ni mbwa mwitu wakali.
“Muvisaghe maaso na vavili ava vudesi, ulwakuva aveene pano vikwisa kulyume, pa maaso vivonaka hwene ng'holo, neke nkate mu moojo ghaave, ng'hekeeva ng'hali.
16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je, watu huchuma zabibu kwenye miiba, au tini kwenye michongoma?
Avaanhu avuo, mukuvakagula vwimila imbombo saave, Avaanhu navidonola isabibu mu matunguliisa, nambe kudonola amafyulisi mu mavajula.
17 Vivyo hivyo, mti mwema huzaa matunda mazuri, na mti mbaya huzaa matunda mabaya.
Kwekuti, umpiki unnono ghukoma ifipeke ifinono, umpiki um'biivi ghukoma ifipeke ifiivi.
18 Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mbaya hauwezi kuzaa matunda mazuri.
Nakweghule umpiki unnono ghuno ghukoma ifipeke ifiviivi, nambe umpiki um'biivi ghuno ghukoma ifipeke ifinono,
19 Kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni.
Kange, umpiki ghuno naghukoma ifipeke ifinono, ghudumulua na kutaghua pa mwoto.
20 Hivyo, mtawatambua kwa matunda yao.
Lino, avavili avuo ava vudesi, mukuvakagula vwimila imbombo saave.”
21 “Si kila mtu aniambiaye, ‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika Ufalme wa Mbinguni, bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
“Nakwekuti umuunhu ghwenu juno iiti, 'Mutwa, Mutwa,' ilikwingila mu vutwa vwa kukyanya, looli juno ivomba uvughane vwa Nhaata ghwango juno ali kukyanya.
22 Wengi wataniambia siku ile, ‘Bwana, Bwana, hatukutoa unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo wachafu na kufanya miujiza mingi?’
Ikighono ikya vuhighi kiliiva kifikile, vingavilikumbuula viiti, 'Mutwa, Mutwa! Ongo twapulisyagha imhola kuhuma kulyuve na kudaga amapepo amalamafu na kuvomba ifidegho finga mu litavua lyako!'
23 Ndipo nitakapowaambia wazi, ‘Sikuwajua kamwe. Ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!’
Apuo nilikuvavuula kisila kufisa, niliiti, 'Nanivamanyile umue nambe padebe! Vuuka apa, umue mwe vano muvomba uvuhosi!””
24 “Kwa hiyo kila mtu ayasikiaye haya maneno yangu na kuyatenda, ni kama mtu mwenye busara aliyejenga nyumba yake kwenye mwamba.
“LIno, umuunhu juno ipulika amasio ghango agha na kukughavingilila, iiva ndavule umuunhu unya luhala juno alyajengile inyumba jaake pa linhalavu.
25 Mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, na upepo ukavuma ukaipiga hiyo nyumba. Lakini haikuanguka; kwa sababu msingi wake ulikuwa kwenye mwamba.
Ifula jikatoonya, nasi ndenga sikamema. Imhepo imbaha jikagugula na kusukania inyumba jila. Neke inyumba jila najikaghua ulwakuva ulwalo lwake lulyajengilue pa linhalavue.
26 Naye kila anayesikia haya maneno yangu wala asiyatende, ni kama mtu mjinga aliyejenga nyumba yake kwenye mchanga.
Neke umuunhu ghweni juno ipulika amasio ghango agha, neke naikughavingilila, ujuo iiva ndavule umuunhu un'jasu juno alyajengile inyumba jaake pa lihanga.
27 Mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, nao upepo ukavuma ukaipiga hiyo nyumba, nayo ikaanguka kwa kishindo kikubwa.”
Ifula jikatoonya, nasi ndenga sikamema. Imhepo imbaha jikagugula na kusukania inyumba jila, nakalingi jikaghua nu mughindi um'baha!
28 Yesu alipomaliza kusema maneno haya, makutano ya watu wakashangazwa sana na mafundisho yake,
UYesu ye amalike kujova amasio aghuo, ilipugha lila likadegha kyongo vwimila imbulanisio saake,
29 kwa sababu alifundisha kama yeye aliye na mamlaka, wala si kama walimu wao wa sheria.
ulwakuva alyale ivulanisia hwene muunhu nya vutavulilua, naakavulanisiasyagha ndavule avavulanisi vaane ava ndaghilo.