< Mathayo 6 >

1 “Angalieni msitende wema wenu mbele ya watu ili wawaone. Kwa maana mkifanya hivyo, hamna thawabu kutoka kwa Baba yenu aliye mbinguni.
“Mulolaghe! Namungavombaghe inofu pamaaso gha vaanhu kuuti vavaghinie. Ulwakuva mungavombe uluo, namungupile uluvonolo kuhuma kwa Nhaata ghwinu juno ali kukyanya.
2 “Hivyo mnapowapa wahitaji, msipige panda mbele yenu kama wafanyavyo wanafiki katika masinagogi na mitaani, ili wasifiwe na watu. Amin nawaambia wao wamekwisha kupokea thawabu yao.
Lino, pano mukuvantanga avakatofu namungakwisyaghe imhola isio ku vaanhu ndavule vivomba avake dusi mu masinagogi na mu sila, kuuti avaanhu vavaghinie. Kyang'haani nikuvavuula, viivi vamalie pikwupila uluhombo lwave.
3 Lakini ninyi mtoapo sadaka, fanyeni kwa siri, hata mkono wako wa kushoto usijue mkono wako wa kuume unachofanya,
Neke uve pano ukuvatanga avakotofu, uvatanhaghe kisyefu kuuti nambe ummanyaani ghwako alekaghe pikagula.
4 ili sadaka yako iwe ni siri. Ndipo Baba yako wa mbinguni, yeye aonaye sirini atakupa thawabu kwa wazi.
Ulutango lwako luvombekaghe kisyefu, ulwakuva uNhaata gwako juno ilola sino sili ku vusyefu, ilikukuhomba
5 “Nanyi msalipo, msiwe kama wanafiki, maana wao hupenda kusali wakiwa wamesimama katika masinagogi na kando ya barabara ili waonekane na watu. Amin nawaambia, wao wamekwisha kupata thawabu yao.
“Pano mukufuunya kwa Nguluve, namungavisaghe ndavule avakedusi, ulwakuva aveene pano vikufuunya vilonda kukwima mu masinagogi na mu silamalekano kukuvonia ku vaanhu. KYang'haani nikuvavuula, avuo vamalile pikwupila uluhombo lwave.
6 Lakini wewe unaposali, ingia chumbani mwako, funga mlango na umwombe Baba yako aliye sirini. Naye Baba yako aonaye sirini atakupa thawabu yako.
Looli uve pano ghukufuunya kwa Nguluve, ghwingilaghe kukate na kudinda umulyango. Pe ghufunyaghe kwa Nhaata ghwako juno naivoneka na maaso. UNhaata ghwako juno ilola sino sivombeka ku vusyefu, ilikukuhomba.” “
7 Nanyi mnaposali msiseme maneno kama wafanyavyo watu wasiomjua Mungu. Kwa maana wao hudhani kwamba watasikiwa kwa sababu ya wingi wa maneno yao.
Kange, pano mukufuunya kwa Nguluve, mulekaghe kukeela kujova amasio aminga amasila muluvo ndavule vivomba vano navikumwitika uNguluve. Ulwakuva aveene visaagha kuuti uNguluve ghwave ikuvapulika vwimila amasio ghaave aminga.
8 Msiwe kama wao, kwa sababu Baba yenu anajua kile mnachohitaji kabla hamjamwomba.
Lino, namungifunyaghe ndavule vivomba aveene, ulwakuva uNhaata ghwinu akaghwile sino mulonda nambe ye mukyale kukunsuuma.
9 “Hivi basi, ndivyo iwapasavyo kuomba: “‘Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe.
Umue pano mukufuunya kwa Nguluve, mutisaghe, 'Gwe Nhaata uve uli kukyanya, ilitavua lyako lyimikwaghe.
10 Ufalme wako uje. Mapenzi yako yafanyike hapa duniani kama huko mbinguni.
Uvutwa vwako vwisaghe. Sino ukeliile sivimbekaghe pa iisi apa, ndavule sivombeka kukyanya ukuo.
11 Utupatie riziki yetu ya kila siku.
Utupelaghe umusyughu ifyakulia fiitu.
12 Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tulivyokwisha kuwasamehe wadeni wetu.
Utupyaninilaghe uvuuvuhosi vwitu, ndavule na jusue vule tukuvapyanila vano vatuhokile.
13 Usitutie majaribuni, bali utuokoe kutoka kwa yule mwovu [kwa kuwa Ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amen].’
Nungatulekaghe kuuva mu ngelo, looli utupokaghe kwa mhosi jula. Ulwakuva uvutwa vwako, ingufu saako nu vuvaha vwako vuli fighono fyoni! Amina'
14 Kwa kuwa kama mkiwasamehe watu wengine wanapowakosea, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi pia.
“Ulwakuva nave mukuvyapyanila avange vano vavahokile, ghwope unhaata ghwinu juno ali kukyanya, ikuvapyanila uvuhosi vwinu.
15 Lakini msipowasamehe watu wengine makosa yao, naye Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.
Looli, nave namukuvapyanila vano vavahokile, naju Nhaata ghwinu ughwa kukyanya naikuvapyanila uvuhosi vwinu.
16 “Mnapofunga, msiwe wenye huzuni kama wafanyavyo wanafiki. Maana wao hukunja nyuso zao ili kuwaonyesha wengine kwamba wamefunga. Amin, amin nawaambia wao wamekwisha kupata thawabu yao kamilifu.
“Pano muvuhiila kulia mulwa kufuunya, mulekaghe kusukunala ndavule vivomba avakedusi, ulwakuva aveene visukunala kuvonia avaanhu kuuti vavuhilile kulia mulwa kufuunya. Kyang'haani nikuvavuula, avuo vamalile pikupila uluhombo lwave.
17 Lakini mnapofunga, jipakeni mafuta kichwani na kunawa nyuso zenu
Looli uve nave uvuhimle kulia mulwa kufuunya, ghwoghaghe ku maaso na kupakala amafuta.
18 ili kufunga kwenu kusionekane na watu wengine ila Baba yenu aketiye mahali pa siri; naye Baba yenu aonaye sirini atawapa thawabu yenu kwa wazi.
Kuuti uleke kuvoneka ku vaanhu, looli kwa Nhaata ghwako mwene juno naivoneka na maaso. Ghwope uNhaata juno ikusaagha sino ku vusyefu, ilikukuhomba.”
19 “Msijiwekee hazina duniani, mahali ambapo nondo na kutu huharibu, nao wevi huvunja na kuiba.
“Namungavutaghe ifiinu mu iisi iji, muno umhehe ni ng'husa nafinangania, kange avaahiji navimatula nambe kuhiija.
20 Lakini jiwekeeni hazina mbinguni, mahali ambapo nondo na kutu haviharibu, wala wevi hawavunji na kuiba.
Looli muvataghe ifiinu kukyanya kuno umhehe ni ng'husa nafinangania, kange avahiija navimatula nambe kuhiija
21 Kwa sababu mahali hazina yako ilipo, hapo ndipo pia moyo wako utakapokuwa.
Ulwakuva pano uvutile ifiinu fyako, pepano naghu mwojo ghwako ghuuva bahapuo.
22 “Jicho ni taa ya mwili. Kama jicho lako ni nyofu, mwili wako wote utajaa nuru.
Amaaso ghaako taala ja m'bili ghwako ghwoni ghuuva mu mu lumuli.
23 Lakini kama jicho lako ni ovu, mwili wako wote utajawa na giza. Kwa hiyo basi, kama nuru iliyomo ndani yako ni giza, hilo ni giza kuu namna gani!
Neke nave iliiso lyako libofu, um'bili ghwako ghwoni ghuuva mu ng'hiisi. Lino, nave ikinu kino kiveele kinoghiile kuuva lumuli, nakimulika, pe ing'hiisi iijio jiiva mbaha kyongo!”
24 “Hakuna mtu awezaye kuwatumikia mabwana wawili. Kwa kuwa atamchukia huyu na kumpenda yule mwingine, au atashikamana sana na huyu na kumdharau yule mwingine. Hamwezi kumtumikia Mungu pamoja na Mali.
“nakwale umuunhu juno iiva m' banda ghwa vatwa vavili. Ulwakuva pano ikumughana na kukum'bombela vunofu untwa uju, pepano ikukalalila na kukum'beda utwa ujunge. Ikyuma kingakutema nungam'bombele uNguluve!
25 “Kwa hiyo nawaambia, msisumbukie maisha yenu kwamba mtakula nini au mtakunywa nini; au msumbukie miili yenu kwamba mtavaa nini. Je, maisha si zaidi ya chakula, na mwili zaidi ya mavazi?
“Lino nikuvavuula niiti, mulekaghe kuhangaika vwimila uvwumi vwinu kuuti kyande mulia kiki, nambe mufwala kiki. Asia, uvwumi navwe vuvaha kukila ikyakulia? Naghu m'bili naghwe m'baha kukila amenda?
26 Waangalieni ndege wa angani; wao hawapandi wala hawavuni au kuweka ghalani, lakini Baba yenu wa mbinguni huwalisha. Je, ninyi si wa thamani zaidi kuliko hao ndege?
Mulolaghe injuni Nasivyala, nasipeta nambe kuvuta mu kihenge, neke uNhaata ghwinu ughwa kukyanya, ikusiswila. Asi, umue namunoghiile kukila injuni isio
27 Ni nani miongoni mwenu ambaye kwa kujitaabisha kwake anaweza kujiongezea hata saa moja zaidi katika maisha yake?
Ghwe veeni mulyumue juno ndepoonu ihangajika, kuuti ongelesie uvwumi vwake nambe akavaliko kamo? “kiki musaagha vwimila ifya kufwala?
28 “Nanyi kwa nini mnajitaabisha kwa ajili ya mavazi? Fikirini maua ya shambani yameavyo. Hayafanyi kazi wala hayafumi.
Lolagha amaluva ndavule ghikula, naghivomba imbombo nambe kuhona amenda ghaake agha kufwala.
29 Lakini nawaambia, hata Solomoni katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo ya hayo maua.
Neke nikuvavuula kuuti, nambe uSolomoni mu vuvaha vwake vwoni, naalyaghelile kufwalilila neke anoghele ndavule ililuva limonga!
30 Basi ikiwa Mungu huyavika hivi majani ya shambani, ambayo leo yapo na kesho yanatupwa motoni, je, hatawavika ninyi vizuri zaidi, enyi wa imani haba?
Nave uNguluve ikughafwasia enendiiki amamele agha mu lihaka ghano ghinofia unsiki n'debe vuvule neke nakalinga ghijoghotoka na kutaghua pa mwoto, lino nakyaikuvafwasia umue na kukila, umue mwe vavya lwitiko ludebe?
31 Kwa hiyo msiwe na wasiwasi, mkisema, ‘Tutakula nini?’ au ‘Tutakunywa nini?’ au ‘Tutavaa nini?’
“Lino, mulekaghe kutungumala kuuti, “Tulia kiki, tunyua kiki, nambe tufwala kiki,'
32 Watu wasiomjua Mungu ndio wanaoshindania hayo, lakini Baba yenu wa mbinguni anafahamu kuwa mnahitaji haya yote.
ulwakuva ifio fyoni vihangajikila vano navammanyile uNguluve. UNhaata ghwinu juno ali kukyanya akaghwile vunofu kuuti mulonda sooni isio.
33 Lakini utafuteni kwanza Ufalme wa Mungu na haki yake, na haya yote atawapa pia.
Looli mulondaghe taasi uvutwa vwa Nguluve na kuvomba sino ikeela umwene, neke ifio fyoni ikuvongelesia”.
34 Kwa hiyo msiwe na wasiwasi kuhusu kesho, kwa sababu kesho itajitaabikia yenyewe. Yatosha kwa siku masumbufu yake.
“Lino, namungasaghaghe vwimila ifya pakilaavo, ulwakuva ifya pakilaavo pwefili vwimila ikighono ikio. Kila kighono kili na mahangaiko ghaake.

< Mathayo 6 >