< Mathayo 5 >
1 Basi Yesu alipoona makutano, alipanda mlimani akaketi chini, nao wanafunzi wake wakamjia.
Ni to gbugbu ndi ba, a hon hi ngblu ri ni kuson ma mrli koh ma baka ye ni wu.
2 Ndipo akaanza kuwafundisha, akisema:
Ka bwu nyu ma nda tsro ba nda tre:
3 “Heri walio maskini wa roho, maana Ufalme wa Mbinguni ni wao.
Lulu ahi u bi ya ni brji didi, ikoh shulu ahi u mba.
4 Heri wale wanaohuzunika, maana hao watafarijiwa.
Lulu ahi u bi yiqu, e ba nno ba sisron.
5 Heri walio wapole, maana hao watairithi nchi.
Bi lulu ba bi wa bana nzu tu na, ba nji meme u ngbugblu.
6 Heri wenye njaa na kiu ya haki, maana hao watatoshelezwa.
Bi lulu ba bi tie yon nda tie hlama zizi, e ba wrji.
7 Heri wenye huruma, maana hao watapata rehema.
Bi lulu ba bi lo sron e ba kpa lo sron me.
8 Heri walio na moyo safi, maana hao watamwona Mungu.
Bi lulu babi wa isron mba a kheklan me e ba toh rji.
9 Heri walio wapatanishi, maana hao wataitwa wana wa Mungu.
Bi lulu ba bi wa ba wa sonsi, e ba yo ba mrli Rji.
10 Heri wanaoteswa kwa sababu ya haki, maana Ufalme wa Mbinguni ni wao.
Bi lulu ba ba wa ba tie ba ya nitu zizi mba, e ikoh shulu ahi u mba.
11 “Heri ninyi watu watakapowashutumu, na kuwatesa na kunena dhidi yenu mabaya ya aina zote kwa uongo kwa ajili yangu.
Bi lulu a biyi wa bati mre yi nda tieyi ya, nda wa meme tre nicece wu yiwu ni tu mu,
12 Furahini na kushangilia kwa maana thawabu yenu ni kubwa mbinguni, kwa kuwa hivyo ndivyo walivyowatesa manabii waliokuwa kabla yenu.
Ngri di briku kpukpome, e bi he ni kickle dii ni shulu, e bati ni anabawa bi sen nakii.
13 “Ninyi ni chumvi ya ulimwengu. Lakini chumvi ikipoteza ladha yake, yawezaje kurudishiwa ladha yake tena? Haifai tena kwa kitu chochote, ila kutupwa nje ikanyagwe na watu.
Bi mah u ngbungblu, u mah nita tie meme u ani la u tie gye garli? Ana la bi utie kpie na, ahi u ka hlega u ndi baka canwu niza.
14 “Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji uliojengwa kilimani hauwezi kufichika.
Bi kpan u ngbungbu. Igbu wa ba mewu ni tu ngblu'a ana riri na.
15 Wala watu hawawashi taa na kuifunika kwa bakuli. Badala yake, huiweka kwenye kinara chake, nayo hutoa mwanga kwa kila mtu aliyemo ndani ya ile nyumba.
U bana yo lu ni fitila nda kayo ni sisen na di ba kauzi tsame nitu kukron ma wani nno kpan ni ndi bi koha wawuu.
16 Vivyo hivyo, nuru yenu iangaze mbele ya watu, ili wapate kuona matendo yenu mema wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.
Ndu kpan me shan tsro ndi, di ndu ba to ibi ndu me nda gbire tieme wa ahe ni shu'a san.
17 “Msidhani kwamba nimekuja kufuta Sheria au Manabii; sikuja kuondoa bali kutimiza.
Na tamre di meye kpa nji tre anabawa ba tie meme na. Mi naye kpa tie meme na, mi ye tie wu tsra.
18 Kwa maana, amin nawaambia, mpaka mbingu na dunia zitakapopita, hakuna hata herufi moja ndogo wala nukta itakayopotea kwa namna yoyote kutoka kwenye Sheria, mpaka kila kitu kiwe kimetimia.
Njanjimu, me hla yiwu, shulu mba ngbungblu ba tana kle na, ikpie riri me ni nji tre'a na joku megyen na, ba ku tsra.
19 Kwa hiyo, yeyote atakayevunja mojawapo ya amri ndogo kuliko zote ya amri hizi, naye akawafundisha wengine kufanya hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika Ufalme wa Mbinguni, lakini yeyote azitendaye na kuzifundisha hizi amri ataitwa mkuu katika Ufalme wa Mbinguni.
Indi wa a kunyre ni ri u nklekyen nji tre'a nda tsro ba ni ndi, ani vi nklekyen ma ni ikoh u shulu, u iwa ani hu nda tsro ba, ba yo ndi kiekle ni koh u shulu.
20 Kwa maana nawaambia, haki yenu isipozidi haki ya Mafarisayo na walimu wa sheria, kamwe hamtaingia katika Ufalme wa Mbinguni.
To mesi hla yiwu din, zizi me nita na nna' zizi bi nha ni Farisawa na bi na he nkon u ri ni koh u shulu na.
21 “Mmesikia walivyoambiwa watu wa zamani kwamba, ‘Usiue. Yeyote atakayeua atapaswa hukumu.’
Bi wo ndi ba tre ni ndi bi sen, 'Na wu na, u indi wa a wu-a, ahe ni nyu ya'u shariya.
22 Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote atakayemkasirikia ndugu yake, atapaswa hukumu. Tena, yeyote atakayemwambia ndugu yake, ‘Raka,’atapaswa kujibu kwa Baraza la Wayahudi. Lakini yeyote atakayesema ‘Wewe mpumbavu!’ atapaswa hukumu ya moto wa jehanamu. (Geenna )
Me wa yiwu ndi iwa a tie nfu ni vayi ma hama ni kpie wa anno nfu'a a si gbyen shariya. U indi wa a hla ni vayi ma, 'Racah!' a si gbyen tre ni tuma. Iwa a hla ndi, 'Ruru' asi hi kpentren lu. (Geenna )
23 “Kwa hiyo, kama unatoa sadaka yako madhabahuni, ukakumbuka kuwa ndugu yako ana kitu dhidi yako,
Uti ye' nno kpie ni tra Rji, ndi taka vayi me ahe ni tre ni tu me'a,
24 iache sadaka yako hapo mbele ya madhabahu. Enda kwanza ukapatane na ndugu yako; kisha urudi na ukatoe sadaka yako.
U ka donme ni nno' kpie'a ni tra Rji, ndi hi mla kpambi tie mbi vayi me rli ndi ye nno' kpiea.
25 “Patana na mshtaki wako upesi wakati uwapo njiani pamoja naye kwenda mahakamani, ili mshtaki wako asije akakutia mikononi mwa hakimu, naye hakimu akakutia mikononi mwa askari, nawe ukatupwa gerezani.
Mlatie kpa y'me ni ndi wa a nji wu hi ni bi bla tre gbagbla, Ka'bi he nkon sihi mbi wu ni bla tre'a, ni ndu bana lowu na.
26 Amin, nakuambia, hautatoka humo hadi uwe umelipa senti ya mwisho.
Njanjinmu, me hla yiwu, biti hanwu kle wawuu rliko ka kayi cuwo.
27 “Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Usizini.’
“Biwo' din ba hla ni bi sen, 'una tsi wa lilon ko wa mba tankpan na'.
28 Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.
Mi wa yiwu, indi wa ani kaya wa' ni mew u tohwu ka a kruu ye ni mi sron ma.
29 Jicho lako la kuume likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima ukatupwa jehanamu. (Geenna )
Shishi ko rli anita ni ndu latre, uka krewu rju taga; a bi ndu nhama kpa ri ndu tiw meme niwa ikpa'a wawuu ndu tie memela. (Geenna )
30 Kama mkono wako wa kuume ukikusababisha kutenda dhambi, ukate, uutupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima utupwe jehanamu. (Geenna )
U iwo me koeli nita ni ndu latre, uka sren wurju kpame; abi nna ndu nhama kpa ri ndu tie meme niwa ikpa'a wawuu ndu rii ni lu'. (Geenna )
31 “Pia ilinenwa kwamba, ‘Mtu yeyote amwachaye mkewe sharti ampe hati ya talaka.’
A kru hi me, ba hla di ndi wa a wuugran ni wama'a, ka nno imbe u wu gran a.
32 Lakini mimi nawaambia, yeyote amwachaye mkewe isipokuwa kwa kosa la uasherati, amfanya mkewe kuwa mzinzi. Na yeyote amwoaye yule mwanamke aliyeachwa, anazini.
To, mi hla yiwu di indi wa wu gran wamaa, wana he ni tu tie tankpan na, to a yo wu ni latre tie tankpan, u ndi wa a gran wa bi wa ki a latre u kru tankpan.
33 “Tena mmesikia walivyoambiwa watu wa zamani kwamba, ‘Usiape kwa uongo, bali timiza kiapo kile ulichofanya kwa Bwana.’
“Ganli, biwo ikpie wa ba hla ni ndi bi sen a, 'Bi na' shi' rji' uce na, ndu tre mbi ta he u Rji'.
34 Lakini mimi nawaambia, msiape kabisa: iwe kwa mbingu, kwa kuwa ni kiti cha enzi cha Mungu;
Mi hla yiwu, na shi rji memle muna ko ni shulu iki ahi ruron (kpanci) u Rji;
35 au kwa dunia, kwa kuwa ndipo mahali pake pa kuwekea miguu; au kwa Yerusalemu, kwa kuwa ndio mji wa Mfalme Mkuu.
Ko ni meme, iki ahe ni ndaza ma; ko ni Urushalima, wa ahi kiekle gbu u Ichu rligra.
36 Nanyi msiape kwa vichwa vyenu, kwa kuwa hamwezi kuufanya hata unywele mmoja kuwa mweupe au mweusi.
Ko Bina shi'rji' ni tuh' mbi na, e na to tie nfu tuh mbi ndu kinklan ko shinji na.
37 ‘Ndiyo’ yenu iwe ‘Ndiyo,’ na ‘Hapana’ yenu iwe ‘Hapana.’ Lolote zaidi ya hili latoka kwa yule mwovu.
Ndu 'e mbi ndu'e u a'an mbi ndu a'an ani ta zan towa, ka hi u brji.
38 “Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’
Bi wo wa ba hla shishi ni rjuhla shishi u ba rjula inyren ni nyren.
39 Lakini mimi nawaambia, msishindane na mtu mwovu. Lakini kama mtu akikupiga kwenye shavu la kuume, mgeuzie na la pili pia.
To, mi hla yiwu na gbi sron ni meme ndi na to ba tana wruu ni nhma korli, uka kma irima nno ngame.
40 Kama mtu akitaka kukushtaki na kuchukua joho lako, mwachie achukue na koti pia.
Iri mbi ni ta ni son mrlen yi nda kpa klon mbi ri, mbi ka nno wu ri nhatia.
41 Kama mtu akikulazimisha kwenda maili moja, nenda naye maili mbili.
U indi wa a vuyi ndu yi zren mili rii mbi ka zren hu tie mir harli.
42 Mpe yeye akuombaye, wala usimgeuzie kisogo yeye atakaye kukukopa.
Nno biwa ba mye yia, u waa mye yi hlaa mbi ka na ka ngon tie wu na.
43 “Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Mpende jirani yako na umchukie adui yako.’
Biwo wa ba' hla, 'U son vayi me ndi kame ni wa a kranwu'.
44 Lakini ninawaambia: Wapendeni adui zenu na waombeeni wanaowatesa ninyi,
To me hla yiwu, son bi kran yi, tie lulu ni bi wa ba tie nyu yiwu a tie zizi ni bi wa ba fu' sron niyi a, din bre Rji ni bi wa ba tie yi meme ni ya'.
45 ili mpate kuwa watoto wa Baba yenu aliye mbinguni. Kwa maana yeye huwaangazia jua lake watu waovu na watu wema, naye huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.
Di ndu yi he mrli tie mbi wa he shu a: waa ani ndu rji ma kpan ni meme ndi mba indi didi, nda ndu ilu kuh ni ndi wa a to Rji ni wa ama to Rjia na.
46 Kama mkiwapenda tu wale wanaowapenda, mtapata thawabu gani? Je, hata watoza ushuru hawafanyi hivyo?
To, uti son bi sonwu, a ngye didi utie? Bi kpa ban bana tie toki me na?
47 Nanyi kama mkiwasalimu ndugu zenu tu, je, mnafanya nini zaidi ya wengine? Je, hata watu wasiomjua Mungu, hawafanyi hivyo?
U bita ci mrli vayi mbi me gyen, u bi tie ngyeri wa a nna u ba ri a? Bi kpa ban bana tie toki me na?
48 Kwa hiyo kuweni wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.
Naayi, bi he tsartsar me na tie mbi u shulu wa a tsartsar me a.