< Mathayo 3 >
1 Siku hizo Yohana Mbatizaji alikuja akihubiri katika nyika ya Uyahudi, akisema,
Kume ni wo Yuwana yu mwem kwamam tiyeu yau ne fulen ker kwama ro ti.
2 “Tubuni, kwa maana Ufalme wa Mbinguni umekaribia.”
Ko yiloten wori, liyar do lo kwama dadom.
3 Huyu ndiye yule aliyenenwa habari zake na nabii Isaya aliposema: “Sauti ya mtu aliaye huko nyikani, ‘Tayarisheni njia kwa ajili ya Bwana, yanyoosheni mapito yake.’”
won co wo nii dukume kaya tok kerce reu, “Dir nii kanger co bi cor ti kii, toki, “ko Yuwel Teluwe nin nureceu, fuwak ceko atim.
4 Basi Yohana alivaa mavazi yaliyotengenezwa kwa singa za ngamia, akiwa na mkanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwitu.
Yuwana merum ki belle yiri teleme, bwam ki dk teak fer cer. Cari ceu, kwake kange yuiti to kiyeu.
5 Watu walikuwa wakimwendea kutoka Yerusalemu, Uyahudi yote na nchi zote za kandokando ya Mto Yordani.
Co rubo Urcalima kange wo Yahudiya gwam, kange bitine tinim bo kong Urduneu, ci bou ti ka bo ka tuje co wiyeu.
6 Nao wakaziungama dhambi zao, akawabatiza katika Mto Yordani.
Na ci yuu cinen mwem kwamam caji Urdun, kambo ci tok bwira kerer ce tiyeu.
7 Lakini alipowaona Mafarisayo na Masadukayo wengi wakija ili kubatizwa, aliwaambia: “Ninyi watoto wa nyoka! Ni nani aliyewaonya kuikimbia ghadhabu inayokuja?
La co to Faricawa kange cadukiyawa kila cirangum ti na co yu'u cinen mwem kwamamedi co ca ciye, “Kom berin nacuwe ki mwan neu, we wer kom ko cuam funero wo au tiye.
8 Basi zaeni matunda yastahiliyo toba.
Ko ne bituti wo a nung yila ka kume ko tiyeu.
9 Wala msidhani mnaweza kusema mioyoni mwenu kuwa, ‘Sisi tunaye Abrahamu, baba yetu.’ Nawaambia kuwa Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu watoto kutoka kwa mawe haya.
Ku kware mor ne kume kom ki Abram te kume! be ma yi kom ti, kwama wi kibi kwan do wo a kung Abram nin bibeiti fo tetendo wuro neneu.
10 Hata sasa shoka limeshawekwa tayari kwenye shina la kila mti, basi kila mti usiozaa matunda mazuri, hukatwa na kutupwa motoni.
Na wonyeu yoti biteye dimer tiniro nan, na cori tiyowo ne bo bituti keneti, an tom co na merken mor kire.
11 “Mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba. Lakini nyuma yangu anakuja yeye aliye na uwezo kuliko mimi, ambaye sistahili hata kuvichukua viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
Ma Yukumen mwem kwamam bo ki mwem, ya ciko yo laka kumekeu. Niwo bouti bui mi yeu layeki dur, woro ta ceu ma labo nan tu'u. co ca yu'u kumen mwem kwamam bo ki yuwa tangbe kwama, kange kira.
12 Pepeto lake liko mkononi mwake, naye atasafisha sakafu yake ya kupuria, na kuikusanya ngano ghalani na kuyateketeza makapi kwa moto usiozimika.”
Kwele yu'u ka ceko tam kang cek, can nyinagum teneu wiyak, na murom bikateceu na yo ken binico.”
13 Kisha Yesu akaja kutoka Galilaya mpaka Mto Yordani ili Yohana ambatize.
La Yecu bou biten Galili, ya caji Urdun fintange Yuwana nen, na yu'u cinen mwem kwamam.
14 Lakini Yohana akajitahidi kumzuia, akimwambia, “Mimi ninahitaji kubatizwa na wewe, nawe waja kwangu nikubatize?”
La Yuwana mani naco kicim co, tok ti ki, mo wo ma cuiti na yu'u mwem kwamam meu, mom bou minen?”.
15 Lakini Yesu akamjibu, “Kubali hivi sasa, kwa maana ndivyo itupasavyo kwa njia hii kuitimiza haki yote.” Hivyo Yohana akakubali.
Yecu yila yi co a ma nyo na dim cak-cakeu gwam. Co Yuwana ciya cinene.
16 Naye Yesu alipokwisha kubatizwa, mara alipotoka ndani ya maji, ghafula mbingu zikafunguka, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua na kutulia juu yake.
Buiko ci yu'u cinen mwem kwamam be di, Yecu cerum can duwo mor mwenge, La dii kwama wo cinen. La co to yuwa tangbe kwamako yirau ti docer na nagumfiye, yira yiti dorcer.
17 Nayo sauti kutoka mbinguni ikasema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa, ambaye ninapendezwa sana naye.”
La diro kange lo kwama ceru toki, wo bi bwemi ma cui cuiyeu, ma nuwa luma cek ti.