< Mathayo 28 >

1 Baada ya Sabato, alfajiri mapema siku ya kwanza ya juma, Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikwenda kulitazama kaburi.
Sabbath käna, amhnüp khyühnak ngawilam, khaw athaih law hlü hnüh üng, Marih Makdalin ja a püi Marih kce mat am, ng’utnak teng khaia cetki xawi.
2 Ghafula, pakawa na tetemeko kubwa la ardhi, kwa sababu malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akaenda penye kaburi, akalivingirisha lile jiwe na kulikalia.
Pamhnama khankhawngsä mat khankhaw üngkhyüh kyum law se, ngkhyü aknuia ngsünki. K’utnak mkawta lungnu mkawt üngka ktawngin lü lunga khana ngawki.
3 Sura ya huyo malaika ilikuwa kama umeme, na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.
A hmai khawmlaiha mäih law lü a suisak pi khuia mäiha bawki.
4 Wale walinzi wa kaburi walimwogopa sana, wakatetemeka hata wakawa kama wafu.
Mkawt mtäte naw khankhawngsä cun hmu u lü kyühei ngen u lü akthi kcea mäiha awmki he.
5 Yule malaika akawaambia wale wanawake, “Msiogope, kwa maana ninajua kuwa mnamtafuta Yesu aliyesulubiwa.
Khankhawngsä naw nghnumie üng, “Käh kyühei ua, kutlamktung üng ami taih Jesuh nami sui hüki ti ka ksingki.
6 Hayupo hapa, kwa kuwa amefufuka, kama vile alivyosema. Njooni mpatazame mahali alipokuwa amelazwa.
“Ani hia am ve; a pyena kba, tho be pängki ni. Hia law lü Bawipaa ngkawhnak teng law ua.
7 Kisha nendeni upesi mkawaambie wanafunzi wake kwamba, ‘Amefufuka kutoka kwa wafu, naye awatangulia kwenda Galilaya. Huko ndiko mtamwona. Sasa nimekwisha kuwaambia.’”
“Akjanga cit u lü, “Jesuh thihnak üngkhyüh tho be lü, nami ma Kalile khawa cet ve, acuia nami hmu khai ni ti” axüisaw he üng jah mtheh ua. Ka ning jah mtheh khawi cen süm be ua,” a ti.
8 Hivyo wale wanawake wakaondoka pale kaburini wakiwa wamejawa na hofu, bali wakiwa na furaha nyingi. Wakaenda mbio kuwaeleza wanafunzi wake habari hizo.
Acunüng kyühnak ja aktäa jenak am, lungdü üngkhyüh cet lü axüisaw he üng jah mtheh khai hea dawngkie.
9 Ghafula, Yesu akakutana nao, akasema, “Salamu!” Wale wanawake wakamkaribia, wakaishika miguu yake, wakamwabudu.
Ahunata Jesuh naw lama jah na khyum lü, “Dimdeihnak am ve ua,” ti se, law u lü, a khawe jah mhjut mtham u lü hjawkhahkie.
10 Ndipo Yesu akawaambia, “Msiogope. Nendeni mkawaambie ndugu zangu waende Galilaya, ndiko watakakoniona.”
Jesuh naw, “Käh kyühei ua. Cet u lü ka benae Kalile khawa ami na ceh vaia jah va mtheh ua, acuia na hmu khaie ni,” a ti.
11 Wakati wale wanawake walikuwa njiani wakienda, baadhi ya wale askari waliokuwa wakilinda kaburi walienda mjini na kuwaeleza viongozi wa makuhani kila kitu kilichokuwa kimetukia.
Nghnumie ami ceh k’um üng, yekap avang mlüh k’uma cet u lü thawnhlawki naküt cun ktaiyü ngvaie üng ami jah mtheh vai.
12 Baada ya viongozi wa makuhani kukutana na wazee na kutunga hila, waliwapa wale askari kiasi kikubwa cha fedha
Ktaiyü ngvaie naw axüe ngvai jah va nghmu u lü, yekape üng ngui khawkän jah pe u lü,
13 wakiwaambia, “Inawapasa mseme, ‘Wanafunzi wake walikuja wakati wa usiku na kumwiba sisi tulipokuwa tumelala.’
“Mthana, kami ih k’um üng axüisaw he naw a yawk ami mpyuk law ni ti lü, nami jah mtheh vai.
14 Kama habari hizi zikimfikia mtawala, sisi tutamwondolea mashaka nanyi hamtapata tatizo lolote.”
Acunüng Khaw Uk naw a ngjak taw üng, nangmia mkhye am ni ti a ksing vaia kami mcäi khaie ni,” ti lü ami pyen.
15 Kwa hiyo wale askari wakazipokea hizo fedha nao wakafanya kama walivyoelekezwa. Habari hii imeenea miongoni mwa Wayahudi mpaka leo.
Yekape naw ngui cun la u lü ami jah mtheha mäiha ami pawh u. Acunakyase ahina ngthu cun tuh vei cäpa Judahea ksunga ngthang hüki.
16 Basi wale wanafunzi kumi na mmoja wakaenda hadi Galilaya kwenye ule mlima ambao Yesu alikuwa amewaagiza.
Axüisawe xaleiate cun Kalile khawa cet lü Jesuh naw a jah mthehnak mcunga kaikie.
17 Walipomwona, wakamwabudu; lakini baadhi yao wakaona shaka.
Jesuh ami hmuh üng hjawkhahkie. Cunüngpi avang cun ami mlung uplatki.
18 Yesu akawajia na kusema, “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
Jesuh naw thäih law lü, “Khawmdek ja khankhawa anaa naküt cun ka kut k’uma pet pänga kyaki.
19 Kwa sababu hii, enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa Jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu,
Acunakyase, cit u lü khyang naküt ka hnukläkea jah pyang u lü, Pa, Capa ja ngmüimkhya ngcima ngming üng baptican jah pe ua.
20 nanyi wafundisheni kuyashika mambo yote niliyowaamuru ninyi. Hakika mimi niko pamoja nanyi siku zote, hadi mwisho wa nyakati.” (aiōn g165)
Ahmäi ka ning jah mthehe ami jah läklam vaia jah mthei ua. Khawmdeka düt vei cäpa nami hlawnga ka ve khai,” a ti. (aiōn g165)

< Mathayo 28 >