< Mathayo 26 >

1 Yesu alipomaliza kusema hayo yote, akawaambia wanafunzi wake,
Jesuh naw acuna mtheimthangnake a jah pyen päng üng, axüisaw he üng,
2 “Kama mnavyojua, baada ya siku mbili itakuwa Pasaka, naye Mwana wa Adamu atasalitiwa ili asulubiwe.”
“Lätnak Pawi a phanak vai mhnüp nghngih hlü hamki ti nami ksingki, Khyanga Capa kutlamktung üng ami hnim vaia man law khaie,” ti lü a jah mtheh.
3 Basi viongozi wa makuhani na wazee wa watu wakakusanyika katika jumba la utawala la kuhani mkuu, jina lake Kayafa.
Acunüng, ktaiyü ngvaie, thumksinge ja, angvaie cun, ktaiyü ngvai säih Kaiphah ami tia abawi ima ngbum lawki he.
4 Wakafanya shauri ili kumkamata Yesu kwa siri na kumuua.
Jesuh ampyuaa man lü hnim khai hea cengkie.
5 Lakini wakasema, “Isiwe wakati wa Sikukuu, kusitokee ghasia miongoni mwa watu.”
“Acunsepi, lätnak pawi k’um üng ta käh pawh vai, khyang he suksak khaie ni,” ami ti.
6 Yesu alikuwa Bethania nyumbani mwa Simoni aliyekuwa na ukoma,
Jesuh Bethanih mlüh, mnehkse mnehki Sihmona ima veki.
7 naye mwanamke mmoja akamjia akiwa na chupa ya marhamu yenye manukato ya thamani kubwa; akayamimina kichwani mwa Yesu alipokuwa ameketi mezani kula chakula.
Jesuh naw buh a ei k’um üng, nghnumi mat naw aphu küi alabasta ksi ng’ui um mat üng lawpüi lü, a lu khana a buih law.
8 Lakini wanafunzi wake walipoona hayo wakakasirika, wakasema, “Upotevu huu wote ni wa nini?
Axüisawe naw hmuh u lü ami mlung so se, “Ivai ahikba a päihcaihsak ni?
9 Manukato haya yangeuzwa kwa bei kubwa, na fedha hizo wakapewa maskini.”
“Hina ksi ng'ui khawhaha jawi lü, khuikha msih mpyaki he üng jah pet vai sü,” ami ti.
10 Yesu, akijua jambo hili, akawaambia, “Mbona mnamsumbua huyu mwanamke? Yeye amenitendea jambo zuri sana.
Jesuh naw ami pyen ksing lü, “Ivai hina nghnumi nami suksakeikie ni? Ani naw ka khana akdaw säih pawhki ni.
11 Maskini mtakuwa nao siku zote, lakini mimi hamtakuwa nami siku zote.
“Sih mpyaki he cun aläa nami hlawnga ve khaie. Acunsepi, kei cun nami hlawnga aläa am ve hlü nawng.
12 Alipomiminia haya manukato kwenye mwili wangu, amefanya hivyo ili kuniandaa kwa ajili ya maziko yangu.
“Hina ksi ng'ui ka khana a buih hin ka ng'utnak vaia pyangki ni.
13 Amin, nawaambia, mahali popote ulimwenguni ambapo hii Injili itahubiriwa, jambo hili alilolitenda huyu mwanamke litatajwa pia kwa ukumbusho wake.”
“Akcanga ka ning jah mthehki, khawmdek van üng hawia pi, thangkdaw ami sang hü u üng, hina nghnumi naw hikba a pawha mawng pi ani sümnak vaia pyensih khaie” a ti.
14 Kisha mmojawapo wa wale kumi na wawili, aitwaye Yuda Iskariote, alikwenda kwa viongozi wa makuhani
Acunüng, axüisaw he xaleinghngih üngka mat Judah Iskarot naw ktaiyü ngvaiea veia cit lü,
15 na kuuliza, “Mtanipa nini nikimtia Yesu mikononi mwenu?” Wakamlipa vipande thelathini vya fedha.
“Ani nami veia ka phyehei üng, i ja nami na pet kawm?” a ti. Ngui thumkip khe ma u lü ami pet.
16 Tangu wakati huo Yuda akawa anatafuta wakati uliofaa wa kumsaliti Yesu.
Acunkäna Judah Isakarot naw Jesuh a phyeheinak vaia lam suiki.
17 Siku ya kwanza ya Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, wanafunzi walimjia Yesu wakamuuliza, “Unataka twende wapi ili tukuandalie mahali pa kula Pasaka?”
Nghngen am ngcawkia buh pawhnaka mhnüp kcük üng, axüisaw he Jesuh veia law u lü, “Hawia ni, Lätnak pawi buh na ei vaia kami pyen vai na ngjak hlü?” ami ti.
18 Akajibu, “Nendeni kwa mtu fulani huko mjini, mkamwambie, ‘Mwalimu asema hivi: Saa yangu imekaribia. Nitaiadhimisha Pasaka pamoja na wanafunzi wangu katika nyumba yako.’”
Jesuh naw, “Ngnam k'uma khyang mata veia cit u lü, ‘Saja naw Ka kcün pha law ve; ka hnükläke ja Kei naw na ima Lätnak pawi buh ei khai, ti ve’ va ti ua” a ti.
19 Hivyo wanafunzi wakafanya kama vile Yesu alivyokuwa amewaelekeza, nao wakaandaa Pasaka.
Jesuh naw a jah mtheha mäiha axüisaw he naw Lätnak pawi buh pyang vaikie.
20 Ilipofika jioni, Yesu alikuwa ameketi mezani pamoja na wale wanafunzi wake kumi na wawili.
Khaw amü law üng, axüisaw xaleinghngihe ja Jesuh ei khaia ngaw yümkie.
21 Nao walipokuwa wakila, Yesu akasema, “Amin, nawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”
Ami ei k’um üng Jesuh naw, “Ka ning jah mthehki, nangmi üngka mat naw na phyehei khai,” a ti.
22 Wakahuzunika sana, wakaanza kumuuliza mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi Bwana?”
Axüisawe amsüma pukse u lü, “Bawipa aw, acun mä kei vai aw?” ti lü mat mat cima ami kthäh u.
23 Yesu akawaambia, “Yule aliyechovya mkono wake katika bakuli pamoja nami ndiye atakayenisaliti.
Jesuh naw, “Kbe mat üng atänga na kpuiheipüiki naw na phyehei khai.
24 Mwana wa Adamu anaenda zake kama vile alivyoandikiwa. Lakini ole wake mtu yule amsalitiye Mwana wa Adamu. Ingekuwa heri kwake mtu huyo kama hangezaliwa!”
“Khyanga Capa cun Cangcim üng a ng'yuka mäiha thi khai. Acunsepi, Khyanga Capa phyehei khaia phäh ihlawk kyühkse khai ni. Acuna khyang hin angtüia käh a ngtüi law xaa ta a phäha daw bawk khai sü,” a ti.
25 Kisha Yuda, yule mwenye kumsaliti, akasema, “Je, ni mimi Rabi?” Yesu akajibu, “Naam, wewe mwenyewe umesema.”
Phyehei khaia khyang Judah naw, “Rabbi, acun mä kei phäi aw?” a ti. Jesuh naw, “Ä, na pyen cang ve,” a ti.
26 Walipokuwa wanakula, Yesu akachukua mkate, akashukuru, akaumega, na kuwapa wanafunzi wake, akisema, “Twaeni, mle; huu ndio mwili wangu.”
Acukba ami ei k’um üng, Jesuh naw muk lo lü ktaiyü ma lü boki naw, axüisaw he üng a jah pet. “Lo u lü, ei ua; hin hin keia mtisa ni,” a ti.
27 Kisha akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, “Nyweni nyote katika kikombe hiki.
Acunüng, Jesuh naw khawt lo lü Pamhnam üng jenak mtheh lü, axüisaw he üng a jah pet. “Nami van naw hin aw ua.
28 Hii ndiyo damu yangu ya Agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.
Hin hin ka thisen, Pamhnama khyütamnak kthai, khyang khawhah mkhyekatnak mhlätnak vaia lawngki ka thisen ni.
29 Lakini ninawaambia, tangu sasa sitakunywa tena katika uzao huu wa mzabibu, hadi siku ile nitakapounywa mpya pamoja nanyi katika Ufalme wa Baba yangu.”
Ka ning jah mthehki, ka paa Uknaka Khawa nangmi am ahina capyittui kthai am mi awk be yüm vei cäpa, hina capyittui kthai am ka aw be ti khai ni,” a ti.
30 Walipokwisha kuimba wimbo, wakatoka wakaenda Mlima wa Mizeituni.
Acunüng, ng’äi mat ami mcuh käna, Olip mcung da citkie.
31 Kisha Yesu akawaambia, “Usiku huu, ninyi nyote mtaniacha, kwa maana imeandikwa: “‘Nitampiga mchungaji, nao kondoo wa hilo kundi watatawanyika.’
“Tuh mthan, kei na hawih hüt u lü nami cen päih khaie. Cangcim üng a ng’yuka kba, ‘Pamhnam naw toksäm hnim se, toe cun ngpyangtaiei hü päih khaie’
32 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.”
Acunsepi, ka thawh be käna Kalile khawa nami maa ka na cit khai,” ti lü Jesuh naw a pyen.
33 Petro akajibu, “Hata kama wote watakuacha, kamwe mimi sitakuacha.”
Pita naw msang lü, “Ami van naw ning cen ta päih u sepi, kei naw ta isüm am ning cen ta ngü,” a ti.
34 Yesu akamjibu, “Amin, nakuambia, usiku huu, kabla jogoo hajawika, utanikana mara tatu.”
Jesuh naw, “Ka ning mthehki, tuh mthan ai am khawng ham se, nang naw kthum vei am na na ksing vaia na pyen khai,” a ti.
35 Lakini Petro akasisitiza, “Hata kama itabidi kufa pamoja nawe, sitakukana kamwe.” Nao wanafunzi wale wengine wote wakasema vivyo hivyo.
Pita naw, “Na thihnaka thih hnga vai ngü sepi acukba ta am ka pyen khai ni,” a ti. Acukba bäa axüisaw he ami van naw ti law hngakie.
36 Kisha Yesu akaenda pamoja na wanafunzi wake mpaka kwenye bustani iitwayo Gethsemane, akawaambia, “Kaeni hapa, nami niende kule nikaombe.”
Acunüng, Jesuh axüisaw he am alanga, Ketaseman ami tinaka hnün mat ami pha law üng, axüisaw he üng, “Caia ka va ktaiyü k’um üng, hin üng a na ngaw ua,” a ti.
37 Akamchukua Petro pamoja na wale wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuhuzunika na kufadhaika.
Pita ja Zebedea capa xawi jah ngkhahpüi lü, a mlung na leng lengki.
38 Kisha Yesu akawaambia, “Moyo wangu umejawa na huzuni kiasi cha kufa. Kaeni hapa na mkeshe pamoja nami.”
Acunüng Jesuh naw jah mtheh lü, “Thi hlü awnga ka mlung khuikha ve. Ahin üng ve lü na ngängpüi ua,” ti lü a cehpüi kthum üng a jah mtheh.
39 Akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akaomba akisema, “Baba yangu, kama inawezekana, kikombe hiki na kiniondokee. Lakini si kama nipendavyo mimi, bali kama upendavyo wewe.”
Jesuh cun va cetca lü, mdeka a hmai bun lü, “Aw, ka pa aw, a thawn thei üng ta, hina khuikhatnak khawt hin ka vei üngka naw loina. Cunüngpi, keia ngjakhlüa käh thawn lü, na ngjakhlüa thawn se,” ti lü ktaiyüki.
40 Kisha akarudi kwa wanafunzi wake, akawakuta wamelala. Akamuuliza Petro, “Je, ninyi hamkuweza kukesha pamoja nami hata kwa saa moja?
Acunüng law be lü, a hnükläk kthum cun a na ipei u se jah hmuh lü Pita üng, “Naji matca pi ami na na k’äihpüi khawhki aw?
41 Kesheni na mwombe, msije mkaingia majaribuni. Roho iko radhi, lakini mwili ni mdhaifu.”
Hlawhlepnak üng nami lut msawk khai ni, ngäng lü ktaiyü ua. Mlungmthin ta yäng kyawki mtisa naw am lüi ve,” ti lü a mtheh.
42 Akaenda tena mara ya pili na kuomba, “Baba yangu, kama haiwezekani kikombe hiki kiniepuke nisikinywe, basi mapenzi yako yafanyike.”
Anghngihnaka va cit lü, “Aw ka pa aw, kei naw hina khuikhatnak khawt hin am aw ngü se am a thawn thei üng ta, na ngjakhlüa kya se,” ti lü ktaiyü betüki.
43 Aliporudi, akawakuta tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa mazito.
Ami veia a law be üng a axüisaw he a na ip betü u lü am mdei khaw u se a jah hmuh.
44 Hivyo akawaacha akaenda zake tena mara ya tatu na kuomba akisema maneno yale yale.
Jah hawih hüt lü akthumnaka acukba bä pyen lü va ktaiyü betüki.
45 Kisha akarudi kwa wanafunzi wake, akawaambia, “Bado mmelala na kupumzika? Tazameni, saa imefika ambapo Mwana wa Adamu anasalitiwa na kutiwa mikononi mwa wenye dhambi.
Acunüng, axüisaw hea veia cit be lü, “Atuh vei cäpa ip lü nami hüieikie aw? Teng ua, Khyanga Capa cun khyangkaea kut üng msum vaia kcün pha law ve.
46 Inukeni, twende zetu! Tazameni, msaliti wangu yuaja!”
“Tho law ua, mi cit vai. Teng ua, na phyeheikia khyang law ve,” a ti.
47 Alipokuwa bado anazungumza, Yuda, mmoja wa wale Kumi na Wawili, akafika. Alikuwa amefuatana na umati mkubwa wa watu wenye panga na marungu, waliokuwa wametumwa na viongozi wa makuhani na wazee wa watu.
Acukba, a na ngthuhei k'um üng, axüisaw he üngka Judah law lü, ktaiyü ngvaie, thumksinge ja axü ngvaie naw ami jah tüih law khyangpänu li kcim jah kpawmeikie a jah lawpüi.
48 Basi msaliti alikuwa amewapa hao watu ishara, kwamba: “Yule nitakayembusu ndiye. Mkamateni.”
Phyeheiki naw msingnak jah pe lü, “Ka mhnama khyang cun na ngjakhlüa khyanga kya khai, ani nami man vai,” a ti.
49 Mara Yuda akamjia Yesu na kumsalimu, “Salamu, Rabi!” Akambusu.
Judah cun Jesuh veia cit lü, “Rabbi, dimdeihnak ve se,” ti lü a mhnam.
50 Yesu akamwambia, “Rafiki, fanya kile ulichokuja kufanya hapa.” Kisha wale watu wakasogea mbele, wakamkamata Yesu.
Jesuh naw, “Ka püi aw, ise na lawki ni?” a ti. Acun ja lawsih lü ami man u.
51 Ghafula mmoja wa wale waliokuwa na Yesu alipoona hivyo, akaushika upanga wake, akauchomoa na kumpiga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio.
Jesuha a ngkhahpüi he üngka mat naw kcim ksetei lü ktaiyü ngvai säiha mpyaa hngakawi a ksawm pit.
52 Ndipo Yesu akamwambia, “Rudisha upanga wako mahali pake, kwa maana wote watumiao upanga watakufa kwa upanga.
Jesuh naw, “Na kcim a venak üng ta bea, kcim xatnakie cun kcim am ni ami thih kawm.
53 Je, unadhani siwezi kumwomba Baba yangu naye mara moja akaniletea zaidi ya majeshi kumi na mawili ya malaika?
Tukbäih ka pa veia ktaiyü ngü se, ani naw khankhawngsä he xaleinghngih khläih na tüih law pe khawhki ti, am nami ksingki aw?
54 Lakini je, yale Maandiko yanayotabiri kwamba ni lazima itendeke hivi yatatimiaje?”
Ka ktaiyü üng, ihawkba Cangcim naw ahikba thawn law khai a ti, kümbe law khai ni?” a ti.
55 Wakati huo, Yesu akawaambia ule umati wa watu, “Je, mmekuja na panga na marungu kunikamata kana kwamba mimi ni mnyangʼanyi? Siku kwa siku niliketi Hekaluni nikifundisha, mbona hamkunikamata?
Acunkäna Jesuh naw, “Li kcime jah kawtei u lü Kei na man khaia nami lawki he aw? Kei hin khyang kse aw? Amhnüp tä, nami hlawnga ngaw lü templea jah mthei ngü se, am nami na manki.
56 Lakini haya yote yametukia ili maandiko ya manabii yapate kutimia.” Ndipo wanafunzi wake wote wakamwacha na kukimbia.
Acunsepi, ahin avan cun sahma hea pyen akümnak vaia kyaki ni,” a ti. Acunüng axüisaw he ami van naw hawih lü ami dawng tak.
57 Wale waliokuwa wamemkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa, kuhani mkuu, mahali ambapo walimu wa sheria pamoja na wazee walikuwa wamekusanyika.
Jesuh mankia khyang he naw ktaiyü ngvai säih Kaiphah ima, thumksinge ja axü ngvaiea ngcunnaka ami cehpüi.
58 Lakini Petro akamfuata kwa mbali hadi uani kwa kuhani mkuu. Akaingia ndani, akaketi pamoja na walinzi ili aone litakalotukia.
Pita athuknak üngka naw ktaiyü ngvaia ngvawng cäpa läk hngaki. Lut hnga lü i a thawn law teng khaia, yekapa am ngaw yümkie.
59 Viongozi wa makuhani na Baraza la Wayahudi lote wakatafuta ushahidi wa uongo dhidi ya Yesu ili wapate kumuua.
Ktaiyü ngvaie ja Kawngci üngka ami van naw Jesuh ami hnimnak vaia am cangkia saksi suikie.
60 Lakini hawakupata jambo lolote, ingawa mashahidi wengi wa uongo walijitokeza. Hatimaye wakajitokeza mashahidi wawili wa uongo
Cunüngpi, khyang khawkän naw maa law u lü Jesuh mhleieikie kyaw, cunsepi i am hmuh u. Akpäihnaka khyang nghngih law ni lü,
61 na kusema, “Huyu mtu alisema, ‘Ninaweza kulivunja Hekalu la Mungu na kulijenga tena kwa siku tatu.’”
“Hina khyang naw, ‘Kei naw Pamhnama temple kpye lü amhnüp kthum üng ka sa be khawh khai’ tiki,” ti lü ani pyen law.
62 Kisha kuhani mkuu akasimama na kumwambia Yesu, “Je, wewe hutajibu? Ni ushahidi gani hawa watu wanauleta dhidi yako?”
Ktaiyü ngvai säih naw tho law lü, “Ami ning mkatei na jah msangnak vai am na ksingeiki aw?” a ti.
63 Lakini Yesu akakaa kimya. Ndipo kuhani mkuu akamwambia, “Nakuapisha mbele za Mungu aliye hai. Tuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu.”
Acunsepi, Jesuh am khihkheh. Ktaiyü ngvai säih naw msang lü, “Xüngseikia Pamhnama ngming be lü ka ning kthähki: Pamhnama Capa, Khritaw Mesijaha na kya üng jah mtheha,” a ti.
64 Yesu akajibu, “Wewe umenena. Lakini ninawaambia nyote: Siku za baadaye, mtamwona Mwana wa Adamu akiwa ameketi mkono wa kuume wa Mwenye Nguvu, na akija juu ya mawingu ya mbinguni.”
Jesuh naw, “Na pyen cang ve. Acunsepi, tuha Khyanga Capa cun a Johitmah säih khet da ngaw lü, ngmei üng kyum law se nami hmuh khai,” a ti.
65 Ndipo kuhani mkuu akararua mavazi yake na kusema, “Amekufuru! Tuna haja gani tena ya mashahidi zaidi? Tazama, sasa ninyi mmesikia hayo makufuru.
Acunüng, ktaiyü ngvai säih naw a suisake jah ktekin lü, “Hin naw Pamhnam pyenksenaka ngthu pyen ve! Ahina thea ia saksi am hlü ti? Tuh kung Pamhnam a pyetsenak nami ngjaki.
66 Uamuzi wenu ni gani?” Wakajibu, “Anastahili kufa.”
Ihawkba nami ngaikie ja?” a ti. Amimi naw, “Ani mkhyekatki, thih kung khaia ngkawih ve,” ami ti.
67 Kisha wakamtemea mate usoni na wengine wakampiga ngumi. Wengine wakampiga makofi
Acunüng, a hmai üng msawh lü thäkie. Avang naw ami mja am kbei u lü,
68 na kusema, “Tutabirie, wewe Kristo! Ni nani aliyekupiga?”
“Nang Khritaw! Na nghmaki. U ja ni kbeiki? jah mtheha” ami ti.
69 Wakati huu Petro alikuwa amekaa nje uani. Mtumishi mmoja wa kike akamjia na kumwambia, “Wewe pia ulikuwa pamoja na Yesu wa Galilaya.”
Pita ngvawnga kpunga ngaw se, ktaiyü ngvaia mpya nghnumi mat naw a veia law lü, “Nang pi Kalile khyang Jesuh am nani ve yümki,” a ti.
70 Lakini Petro akakana mbele yao wote akisema, “Sijui hilo usemalo.”
Cunsepi, Pita naw ami vana maa ngcim lü, “I na pyenki, am ksing nawng,” a ti.
71 Alipotoka nje kufika kwenye lango, mtumishi mwingine wa kike alimwona, akawaambia watu waliokuwepo, “Huyu mtu alikuwa pamoja na Yesu, Mnazareti.”
Acunüng, akce mkawt da cit se, acuia mpya akce nghnumi naw hmuh lü, “Hina khyang pi, Nazaret Jesuh am ve yümki va ni kbak,” ti lü acuia awmki he üng a jah mtheh.
72 Akakana tena kwa kiapo akisema, “Mimi simjui huyo!”
Pita naw, “Ka ng’yünki, acuna khyang kei am ksing nawng” ti lü ngcim betüki.
73 Baada ya muda mfupi, wale waliokuwa wamesimama pale wakamwendea Petro, wakamwambia, “Hakika wewe ni mmoja wao, kwa maana usemi wako ni kama wao.”
Ivei am ngsawk se acuia ngdüikie naw law u lü, “Akcanga nang pi acun he üngka mata na kyaki ni, na ngthuhei üng ngsingei ve,” ami ti.
74 Ndipo Petro akaanza kujilaani na kuwaapia, “Mimi simjui mtu huyo!” Papo hapo jogoo akawika.
Acunüng Pita naw, “Ka ng’yünki, akcang ni ka pyen. Ka hlei ka pyen üng Pamhnam naw na hmuh se. Acuna khyang am ksing nawng” a ti. Acukba a ngcim betü ja ainghlüi khawngki.
75 Ndipo Petro akakumbuka lile neno Yesu alilokuwa amesema: “Kabla jogoo hajawika, utanikana mara tatu.” Naye akaenda nje, akalia kwa majonzi.
Jesuh naw, “Ainghlüi am khawng ham se kthum vei ngcim lü na na ma khai,” a ti cen Pita naw süm law be lü kpunga cit lü aknuia kyapki.

< Mathayo 26 >