< Mathayo 25 >
1 “Wakati huo, Ufalme wa Mbinguni utakuwa kama wanawali kumi waliochukua taa zao na kwenda kumlaki bwana arusi.
la liyar kwamaro na bi butobbo kwobbeu wo tu talkire ce la cin yaken naci to nii kibineu
2 Watano wao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.
nung more ce kuletini rila nug more ce yula kabo
3 Wale wapumbavu walichukua taa zao lakini hawakuchukua mafuta ya akiba,
la kambo kuletini bi butobe tutal kire ceu ci tubo nuwango kange cinen dila bi butobo yula nyeu tu nuwanger cero kange calkiretini ceu
4 lakini wale wenye busara walichukua taa zao na mafuta ya akiba kwenye vyombo.
5 Bwana arusi alipokawia kuja wale wanawali wote wakasinzia na kulala.
lakambonii ki bineu tabum bwiyeri ci dugo dumti gwamceri cin darangum dum
6 “Usiku wa manane pakawa na kelele: ‘Tazameni, huyu hapa bwana arusi! Tokeni nje mkamlaki!’
dila kina cii kumeri cin nuwa kwaka diregi to nii bineu ko ceri, nakom co gwam wabkanco,
7 “Ndipo wale wanawali wote wakaamka na kuzitengeneza taa zao.
dila bi butobo co gam kwinangiri la cin ywellangum talkiretini ceu
8 Wale wapumbavu wakawaambia wale wenye busara, ‘Tupatieni mafuta yenu kidogo; taa zetu zinazimika.’
la kule bi butobeu yi nubo yula, kon ne nyinen nuwang kumeko bi duwar wori talkire nyeu lombamti
9 “Lakini wale wenye busara wakawajibu, ‘Sivyo, hayatutoshi sisi na ninyi pia. Afadhali mwende kwa wauzao mkajinunulie mafuta yenu.’
dila buro yula nyeu ciya cinen wori mani a la nyinenti kange kumen ko ya nubo miye tiye nin ko te nu kumeu
10 “Nao walipokuwa wakienda kununua mafuta, bwana arusi akafika. Wale wanawali waliokuwa tayari wakaingia ndani pamoja naye kwenye karamu ya arusi na mlango ukafungwa.
kambo ci yake tiyenkakeri nii ki bineu begen dila nubo ki batiyeu cu tange co fiye nakakonin dila cin nungum nyilogo
11 “Baadaye wale wanawali wengine nao wakaja, wakaita, ‘Bwana! Bwana! Tufungulie mlango!’
kutang bori tangni bi bibutoi, bow la ciki te luwe, teluwe wom nyi nen
12 “Lakini yeye bwana arusi akawajibu, ‘Amin, amin nawaambia, siwajui ninyi!’
dila cin ciya ciki bilenke mi yi komti mi yom kom bo
13 “Kwa hiyo kesheni, kwa sababu hamjui siku wala saa.
nyori ko yi ki bati wori kon yombo diye kaka kwama
14 “Tena, Ufalme wa Mbinguni ni kama mtu aliyetaka kusafiri, naye akawaita watumishi wake na kuweka mali yake kwenye uangalizi wao.
la kino na nii wo darum na yaken mor bitine kange. cin co canga tini ceuri lacin neken dige ci cikeu kanceg
15 Mmoja akampa talantatano, mwingine talanta mbili, na mwingine talanta moja. Kila mmoja alipewa kwa kadiri ya uwezo wake. Kisha yeye akasafiri.
win more ce cin ne talen ti nung, ki kange cine yeuri la ki kange tak cin ne talenti wiin la ci yorang talenti dong ikwan cer yila nii co yaken yamcembo
16 Yule aliyepewa talanta tano akaenda mara moja akafanya nazo biashara akapata talanta nyingine tano zaidi.
la wo yo talenti nungeu yaken cuko win dor ken cii mor nangene lacin fiya mwem talntibo kange nung
17 Yule aliyepewa talanta mbili akafanya vivyo hivyo, akapata nyingine mbili zaidi.
nyo takri wo yo talenti yobeu fiyau bo yob
18 Lakini yule mtumishi aliyekuwa amepokea talanta moja, alikwenda akachimba shimo ardhini na kuificha ile fedha ya bwana wake.
dila canga wo yo talenti win neu cu ya wob buwakko bitineri lacin yurangum kiyeme teluwe cero
19 “Baada ya muda mrefu, yule bwana wa wale watumishi akarudi na kufanya hesabu nao.
kambo kutangeri tee luwe cangetini co yilau naci kiye kemero kange ci
20 Yule mtumishi aliyepokea talanta tano akaja, akaleta nyingine tano zaidi. Akasema, ‘Bwana uliweka kwenye uangalizi wangu talanta tano. Tazama, nimepata faida ya talanta tano zaidi.’
cange wo yo talenti nungeu, bou ki mwem talenti nung tak. ciki te luwe mwi neye talenti nung. to min fiyau mwembo talenti nung tak
21 “Bwana wake akamwambia, ‘Umefanya vizuri sana, mtumishi mwema na mwaminifu! Umekuwa mwaminifu kwa vitu vichache; nami nitakuweka kuwa msimamizi wa vitu vingi. Njoo ushiriki katika furaha ya bwana wako!’
teluwe ce yico ki yori kabo canga ken ki bilenke mwin ma bilnke dor digero bi dobeu matin yo nen dur dor digero duce dogen mor lumor talen mwek canga wo yo talen ti yobeb yau rki,
22 “Yule mwenye talanta mbili naye akaja. Akasema, ‘Bwana, uliweka kwenye uangalizi wangu talanta mbili. Tazama nimepata hapa talanta mbili zaidi.’
teluwe mwin neye talenti bokange yob too min fiyau ten mwemb talent bo kange yob
23 “Bwana wake akajibu, ‘Umefanya vizuri sana, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu kwa vitu vichache; nami nitakuweka kuwa msimamizi wa vitu vingi. Njoo ushiriki katika furaha ya bwana wako!’
teluwe yico ki yori kabo canga ken ki bilenke mwin ma bilenke dor digero biduware matin yo nen dor digentiro duce digen mor luma te luwe mwek
24 “Kisha yule mtumishi aliyepokea talanta moja akaja, akasema, ‘Bwana, nilijua kwamba wewe ni mtu mgumu, unayevuna mahali usipopanda na kukusanya mahali usipotawanya mbegu.
la canga no yo talenti wiineu yau la cin yiki teluwe min nyimom mwin cilongi nye. lamwiki biyem fye mwi fiibe nyori mwiki mwerumnyo fiye wo watangbe
25 Kwa hiyo niliogopa, nikaenda, nikaificha talanta yako ardhini. Tazama, hii hapa ile iliyo mali yako.’
min cuwam tai rila ya min yurangum talenti meu mor bitine to wo digero na meu
26 “Bwana wake akajibu, ‘Wewe mtumishi mwovu na mvivu! Ulijua kwamba ninavuna mahali nisipopanda na kukusanya mahali nisipotawanya mbegu.
dila teluwe ce ciya lanyi co ki mo canga bwir, kange dilime mwin nyumom miki biyem fiye mi fibe take miki mwerum nyofiye me watang be
27 Vyema basi, ingekupasa kuweka fedha yangu kwa watoa riba, ili nirudipo, nichukue ile iliyo yangu na faida yake.
nyeu mokin neken nubo ma nangen ti ben keme, mi yilau na weu miki yom kiyemer miro ki mwem
28 “‘Basi mnyangʼanyeni hiyo talanta, mkampe yule mwenye talanta kumi.
nyori yom talenti cinen di na kom neken canga wo ki talenti kwobbeu
29 Kwa maana kila mtu aliye na kitu atapewa zaidi, naye atakuwa navyo tele. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyangʼanywa.
la gwam niwo cikeri/ atin cobcinen ten la can yilam cuko duco. cike. dila kinii wo manki digereu, digero cimeneu atin tum cinen
30 Nanyi mtupeni huyo mtumishi asiyefaa nje, kwenye giza, mahali ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.’
kom merken canga bwirko kale mor kumta cii fiye ciya ci wiyeti ki kika nunekeu
31 “Mwana wa Adamu atakapokuja katika utukufu wake na malaika wote watakatifu pamoja naye, ndipo atakapoketi juu ya kiti cha enzi cha utukufu wake.
ki kwama bi bwe nii fiye bow mor duktangka ceke kange nob tomangebo kangeceu, dila cin yii dor kutile duktangka
32 Mataifa yote watakusanyika mbele zake, naye atawatenga kama mchungaji anavyotenga kondoo na mbuzi.
ka bumcem an mweru bitinetini gwam,
33 Atawaweka kondoo upande wake wa kuume, na mbuzi upande wake wa kushoto.
ca tin cikangum nubo win nawo nii bicire cokum dekwama mor nibetiniye catai yoken kwameu kamko cattiker, dila nebetini kanga mokke.
34 “Ndipo Mfalme atawaambia wale walioko upande wake wa kuume, ‘Njooni, ninyi mliobarikiwa na Baba yangu; urithini Ufalme ulioandaliwa kwa ajili yenu tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
dila liyau an yi burowo kango cattiyer ceu ko bou wo ko fiyer temi nineu, ca kwali liyarreko ci ywel kumen ki kwama wo ci yo kwar kalereweu
35 Kwa maana nilikuwa na njaa mkanipa chakula, nilikuwa na kiu mkaninywesha, nilikuwa mgeni mkanikaribisha,
wori min nuwa wura la kom neyi cari, min nuwa dilomwe la kom neye noka, min bow fabe la kom doken ki mo mor
36 nilikuwa uchi mkanivika, nilikuwa mgonjwa mkanitunza, nami nilikuwa kifungoni mkaja kunitembelea.’
min ya kwancer la kom dumen kwileni min nuwa bo lumauri kom cib ye mi lofucina kom ya mini
37 “Ndipo wale wenye haki watakapomjibu, ‘Bwana, ni lini tulikuona ukiwa na njaa tukakulisha, au ukiwa na kiu tukakunywesha?
dila nubo cak -cakkeu an ciya ciki teluwe, fiyang we tonen ki wura la nyi camkimwe? kaka mwi nuwa dilo mwe tiri nyi nenen noka?
38 Lini tulikuona ukiwa mgeni tukakukaribisha, au ukiwa uchi tukakuvika?
fiyang nyi tonen faberi nyi cib nene? kaka mwi kwancer di nyi du mwilene?
39 Tena ni lini tulikuona ukiwa mgonjwa tukakutunza, au ukiwa kifungoni tukakutembelea?’
fiyang nyi to wi nuwa bo lumari kaka lofucinari nyi bou mwinene?
40 “Naye Mfalme atawajibu, ‘Amin nawaambia, kwa jinsi mlivyomtendea mmojawapo wa hawa ndugu zangu walio wadogo, mlinitendea mimi.’
la liyau atin ciya na yiciki bilenke mi yi komti dige wo kom ma wii mor-mor kebmibo bidu war tininbo wuro ninu, ko man ki mo
41 “Kisha atawaambia wale walio upande wake wa kushoto, ‘Ondokeni kwangu, ninyi mliolaaniwa, nendeni kwenye moto wa milele ulioandaliwa kwa ajili ya ibilisi na malaika zake. (aiōnios )
la can yi buro kanko mor cekkeu, ko kubom min, kom wo ciikau ko yaken mor kire wo manki dikako ci ywel bwe kelkelenin kange nob bwangkab cekeu, (aiōnios )
42 Kwa maana nilikuwa na njaa hamkunipa chakula, nilikuwa na kiu hamkuninywesha,
worimin nuwa wura dila kom neye bo cari, min nuwa dilo mwe, dila komneye bo noka,
43 nilikuwa mgeni nanyi hamkunikaribisha, nilikuwa uchi hamkunivika, nilikuwa mgonjwa hamkunitunza, na nilikuwa gerezani nanyi hamkuja kunitembelea.’
min ya fabe, dila kom dobo kimo mor luwe, kwancer, dilakom dumen bo kulen, dam twirem kange lo fucina dila kom cib yebo
44 “Ndipo wao pia watajibu, ‘Bwana ni lini tulikuona ukiwa na njaa au kiu, au ukiwa mgeni au uchi, au ukiwa mgonjwa na kifungoni na hatukukuhudumia?’
la ciyan ciyaken ki teluwe, fyang nyi to ki wuro kaka ki dilomwe, kaka fabe, kwancer, kaka nuwabo luma, kaka focina rila nyi mwen bo nangenne?
45 “Naye atawajibu, ‘Amin nawaambia, kwa jinsi ambavyo hamkumtendea mmojawapo wa hawa ndugu zangu walio wadogo, hamkunitendea mimi.’
la can ciya cinen ciki, bilenke mi yikom, diger wo ko mabo kange nin wii mor bi duwar tininbo weri, kom ma membo
46 “Ndipo hawa watakapoingia kwenye adhabu ya milele, lakini wale wenye haki wataingia katika uzima wa milele.” (aiōnios )
buro atin go gen mor mwe kako manki dige dila nubo cak -caeu mor dume manki dika. (aiōnios )