< Mathayo 24 >

1 Yesu akatoka Hekaluni na alipokuwa akienda zake, wanafunzi wake wakamwendea ili kumwonyesha majengo ya Hekalu.
Yesu ahomili mu lihekalu ni kwibhokhela. Bhanafunzi bha muene bhakandotela ni kundasya majengo gha hekalu.
2 Ndipo Yesu akawauliza, “Je, mnayaona haya yote? Amin, nawaambia, hakuna hata jiwe moja hapa litakalobaki juu ya jingine, bali kila moja litabomolewa.”
Lakini abhajibili ni kubhajobhela, “Je, mukaghabhona lepi mambo ghoha agha? Bhukweli nikabhajobhela, lijhelepi liganda lya lise'ele panani pa l'enge bila kubomolibhwa.”
3 Yesu alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake wakamjia faraghani, wakamuuliza, “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, nayo dalili ya kuja kwako na ya mwisho wa dunia ni gani?” (aiōn g165)
Na bhoatamili pa Kid'onda kya Mizeituni, bhanafunzi bha muene bhakandotela kwa faragha ni kujobha, “Tujobhilayi, mambo agha ghibetakuh'omela ndali? Khenu khelekhu kibetakujha dalili jha kuhida kwa bhebhe ni mwisho ghwa dunia?” (aiōn g165)
4 Yesu akawajibu, “Jihadharini, mtu yeyote asiwadanganye.
Yesu abhajibili ni kubhajobhela, “Mujhelayi mkangamele asihidi munu kubhapotosha.
5 Kwa maana wengi watakuja kwa Jina langu, wakidai, ‘Mimi ndiye Kristo,’nao watawadanganya wengi.
Kwandabha bhingi bhibetakuhida kwa lihina lya nene. Bhibeta kujobha, 'Nene ndo Kristu', na bhibetakubhakofya bhingi.
6 Mtasikia habari za vita na matetesi ya vita. Angalieni msitishike, kwa maana haya hayana budi kutukia. Lakini ule mwisho bado.
Mwibetakupel'eka ngondo ni taarifa sya ngondo. Mulangayi musihidi mkajha ni bhuogha, kwandabha mambo agha ghilondeka lepi kuh'omela; lakini mwisho bhola ghwibetakujha bado.
7 Taifa litainuka dhidi ya taifa, na ufalme dhidi ya ufalme. Kutakuwa na njaa na mitetemeko ya ardhi sehemu mbalimbali.
Kwa kujha taifa libetakujhinuka dhidi jha litaifa l'enge ni bhufalme dhidi jha bhufalme. Kubetakujha ni njala ni matetemeku gha n'dema mu sehemu mbalimbali.
8 Haya yote yatakuwa ndio mwanzo wa utungu.
Lakini mambo agha ghoha ni kubhwandelu tu ghwa bhuchungu bhwa kuhogola.
9 “Ndipo mtasalitiwa, ili mteswe na kuuawa, nanyi mtachukiwa na mataifa yote kwa ajili yangu.
Ndipo bhibetakubhahomesya kwandabha jha malombosi ni kubhakhoma. mwibetakudadibhwa ni mataifa ghoha kwandabha jha lihina lya nene.
10 Wakati huo, wengi wataacha imani yao, nao watasalitiana kila mmoja na mwenzake na kuchukiana.
Ndipo bhingi bhibeta kwikungufula ni kusalitiana ni kudadilana bhene kwa bhene.
11 Watatokea manabii wengi wa uongo, nao watawadanganya watu wengi.
Manabii bhingi bha bhudesi bhibetakuhomela ni kubhakofya bhingi.
12 Kwa sababu ya kuongezeka kwa uovu upendo wa watu wengi utapoa,
Kwandabha bhuovu bhwibetakujhongeseka, luganu lwa bhingi bhwibetakupola.
13 lakini yule atakayevumilia hadi mwisho ataokolewa.
Lakini jhaibetakusindamala mpaka kumwishu, ibetakuokolibhwa.
14 Injili ya Ufalme itahubiriwa ulimwenguni kote kuwa ushuhuda kwa mataifa yote. Ndipo mwisho utakapokuja.
Ejhu Injili jha bhufalme jhibetakuhubiribhwa mu bhulimwengu mzima kama bhushuhuda kwa mataifa ghoha. Na ndipo mwishu bhola bhwibetakufika.
15 “Hivyo mtakapoona lile ‘chukizo la uharibifu’ lililonenwa na nabii Danieli limesimama mahali patakatifu (asomaye na afahamu),
Henu, pamwibetakubhona lichukizo lya bhuharibifu, lyalijobhibhu ni nabii Danieli lijhemili mahali patakatifu [jhaisoma ni jhaimanya],
16 basi wale walioko Uyahudi wakimbilie milimani.
ndipo bhabhajhele Yuda bhajumbilayi kukid'onda.
17 Yeyote aliye juu ya dari ya nyumba asishuke ili kuchukua chochote kutoka ndani ya nyumba.
Ni jhola jha ajhele kunani ku paa lya nyumba asibhwesi kuselela pasi kutola khenu kyokyoha khela kuh'oma mugati mu nyumba jha muene,
18 Aliye shambani asirudi nyumbani kuchukua vazi lake.
nu muene jha ajhele kun'gonda asikerebhuki kutola liguanda lya muene.
19 Ole wao wenye mimba na wale wanaonyonyesha watoto siku hizo!
Lakini ole bhinu ambabho bhabhajhe ni muana ni bhala bhabhijhong'esya mu magono aghu!
20 Ombeni ili kukimbia kwenu kusiwe wakati wa baridi au siku ya Sabato.
Musomayi kujha kujumba kwa muenga kusijhi bhwakati bhwa mepu bhwala ligono lya sabato.
21 Kwa maana wakati huo kutakuwa na dhiki kuu ambayo haijapata kuwako tangu mwanzo wa dunia mpaka sasa: wala haitakuwako tena kamwe.
Kwandabha kubetakujha ni dhiki mbaha ambayo jhibhwahilepi kujha tangia kubhombibhwa kwa bhulimwengu hadi henu, na bhwala jhibetalepi kujha kabhele.
22 Kama siku hizo zisingefupishwa, hakuna hata mtu mmoja ambaye angeokoka. Lakini kwa ajili ya wateule, siku hizo zitafupizwa.
Kama magono aghu ghabelikufupisibhwa, ajhelepi ambajhe ngaookuiki. Lakini kwa ndabha jha bhateule, magono aghu ghibetakufupisibhwa.
23 Wakati huo kama mtu yeyote akiwaambia, ‘Tazama, Kristo huyu hapa!’ Au, ‘Kristo yuko kule,’ msisadiki.
Kisha jhikajhiayi munu jhejhioha ibetakubhajobhela 'Langayi, Kristu ajhele apa! au, 'Kristu ajhele khola' msikieli malobhi aghu.
24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo na manabii wa uongo, nao watafanya ishara kubwa na maajabu mengi ili kuwapotosha, ikiwezekana, hata wale wateule hasa.
Kwa ndabha Makristu gha bhudesi ni manabii bha bhudesi bhibetakuhida ni ishara mbaha ni maajabu, kwa ndabha jha kukofya, kama jhibhwesekana hata ni bhateule.
25 Angalieni, nimekwisha kuwaambia mapema.
Mulangayi, ni bhatahadharishi kabla jha mambo aghu kuho'mela.
26 “Kwa hiyo mtu yeyote akiwaambia, ‘Yule kule nyikani,’ msiende huko. Au akisema, ‘Yuko kwenye chumba,’ msisadiki.
Henu, ikajhiagha bhibetakubhajobhela, “Kristu ajhele kulijangwa,' musiloti okhu ku lijangwa. Au, 'Mulangayi ajhele mugati mu nyumba,' musikieli malobhi aghu.
27 Kwa maana kama vile umeme utokeavyo mashariki na kuonekana hata magharibi, ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.
Kama vile radi kyajhimuliki kuh'omela mashariki ni kulasya hadi magharibi, naha ndo kyajhibetakujha kuhida kwa Mwana ghwa Adamu.
28 Kwa maana popote ulipo mzoga, huko ndiko wakusanyikapo tai.
Popoha pala pa ujhele ufuili, okhu ndo tai kwa bhikwibhonganiya.
29 “Mara baada ya dhiki ya siku zile, “‘jua litatiwa giza, nao mwezi hautatoa nuru yake; nazo nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu za anga zitatikisika.’
Lakini mara baada jha malombosi mabhaha gha magono ghala, lij'obha libetakujha ni ngisi, muwesi ghwibetalepi kuh'omesya mwanga ghwake, matondo ghibetakubina kuh'omela kunani, ni nghofu sya kumbinguni sibetakuhugunika.
30 “Ndipo itakapotokea ishara ya Mwana wa Adamu angani, na makabila yote ya dunia yataomboleza. Nao watamwona Mwana wa Adamu akija juu ya mawingu ya angani, katika uwezo na utukufu mkuu.
Ndipo ishara jha Muana ghwa Adamu jhibetakubhonekana kunani, ni makabila ghoha gha pa duniani ghibetakuombolesya. Bhibetakumbona Mwana ghwa Adamu ihida mu mabhengu gha kunani kwa nghofu ni bhutukufu mmbaha.
31 Naye atawatuma malaika zake kwa sauti kuu ya tarumbeta, nao watawakusanya wateule wake kutoka pande zote nne za dunia, kutoka mwisho mmoja wa mbingu hadi mwisho mwingine.
Ibetakubhalaghisya malaika bha muene kwa sauti mbaha jha tarumbeta, na bhene bhibetakwibhonganiya pamonga ni bhateule bha muene kuhomela pande mbaha nne sya dunia, kuh'oma mwishu umonga bhwa mbingu hadi bhongi.
32 “Basi jifunzeni somo hili kutokana na mtini: Matawi yake yanapoanza kuchipua na kutoa majani, mnatambua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.
Mwikimanyisiayi lisomo kuh'omela ni libehe mulibehe. Mara tu litafi palibetakumela ni kuh'omesya matondo, mmanyili kujha kiangazi kihegelela.
33 Vivyo hivyo, myaonapo mambo haya yote, mnatambua kwamba wakati u karibu, hata malangoni.
Henu, pia, pamwibetakubhona mambo agha ghoha, mwilondeka kumanya kujha ihegelela, karibila ni kujhingila.
34 Amin, nawaambia, kizazi hiki hakitapita hadi mambo haya yote yawe yametimia.
Bhukweli nikabhajobhela kizazi ekhe kibetalepi kup'heta, hadi mambo ghoha agha ghibetakujhahah'omili.
35 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Mbingu ni nchi sibetakup'heta, lakini malobhi ghangu ghibetalepi kup'heta hata ligono limonga.
36 “Kwa habari ya siku ile na saa, hakuna ajuaye, hata malaika walio mbinguni wala Mwana, ila Baba peke yake.
Lakini kuhusu ligono lela ni saa ajhelepi jha amanyili, hata malaika bha kumbinguni, bhwala Mwana, bali tete muene tu.
37 Kama ilivyokuwa wakati wa Noa, ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.
Kama vile kyaijhele mu ligono lya Nuhu, ndivyo kajhibetakujha kwa Mwana ghwa Adamu.
38 Kwa maana siku zile kabla ya gharika, watu walikuwa wakila na kunywa, wakioa na kuolewa, mpaka siku ile Noa alipoingia katika safina.
Kwa kujha mu magono aghu kabla jha gharika bhanu bhajhele bhilya ni kunywa, bhigega ni kugegikibhwa hadi ligono lela ambalyo Nuhu ajhingili mu safina,
39 Nao hawakujua lolote mpaka gharika ilipokuja ikawakumba wote. Hivyo ndivyo itakavyokuwa atakapokuja Mwana wa Adamu.
na bhamanyili lepi khenu kyokyoha, khela hadi ghatika bho jhihidili ni kubhap'hendana bhoha - ndivyo kyajhibetakujha kuhida kwa Mwana ghwa Adamu.
40 Watu wawili watakuwa shambani, naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa.
Ndipo bhanu bhabhele bhibetakujha kun'gonda- mmonga ibetakulibhwa ni mmonga ibetakulekibhwa kunyuma.
41 Wanawake wawili watakuwa wanasaga pamoja, naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa.
Bhadala bhabhele bhibetakujha bhisiagha pamonga- mmonga ibetakutolibhwa, ni mmonga ibetakubakila.
42 “Basi kesheni, kwa sababu hamjui ni siku gani atakapokuja Bwana wenu.
Henu, mujhiayi mihu kwa ndabha mmanyilepi ligono bhwala lisaa lelekhu ambalyo ibetakuhida Bwana bhinu.
43 Lakini fahamuni jambo hili: Kama mwenye nyumba angejua ni wakati gani wa usiku ambao mwizi atakuja, angekesha na hangekubali nyumba yake kuvunjwa.
Lakini mmanyayi kujha, ikajhelayi bwana n'kolo nyumba ngaamanyi ni lisaa lelekhu mmeji ngaahidili, ngaakeshili ni kutokuruhusu nyumba jha muene kuvamibhwa.
44 Kwa hiyo ninyi pia hamna budi kuwa tayari, kwa sababu Mwana wa Adamu atakuja saa msiyotazamia.
Henu, pia mwilondeka kujha tayari, kwa kujha Mwana ghwa Adamu ibetakuhida mu lisaa lyamtarajili lepi.
45 “Ni nani basi aliye mtumishi mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake amemweka kusimamia watumishi wengine katika nyumba yake, ili awape chakula chao kwa wakati unaofaa?
Henu niani jhaajhele n'kamilifu, n'tumwa jha ajhe ni luhala, ambajhe bwana ghwa muene ampelili madaraka gha panani kwa bhabhajhele panyumba jha muene ili abhapelayi kyakula kwa bhwakati bhwa bhwilondeka?
46 Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.
Abarikibhu n'tumishi ojhu, ambajhe bwana ghwa muene ibetakun'kolela ibhomba aghu bhwakati bhwabhwihida.
47 Amin, nawaambia, atamweka mtumishi huyo kuwa msimamizi wa mali yake yote.
Bhukweli nikabhabhola kujha bwana ibetakumbeka panani pa khila khenu kya muene.
48 Lakini kama huyo mtumishi ni mwovu, naye akasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu atakawia muda mrefu,’
Lakini kama n'tumwa muovu akajobhayi mun'teema bhwa muene, 'Bwana ghwangu akabhili,'
49 kisha akaanza kuwapiga watumishi wenzake, na kula na kunywa pamoja na walevi.
na akajhanda kubhatobha bhatumishi bha muene, na akalya ni kugala fileo,
50 Basi bwana wa mtumishi huyo atakuja siku asiyodhani na saa asiyoijua.
Bwana ghwa n'tumwa ojhu ibetakuhida mu magono ambagho ghaghitarajila lepi, ni lisaa ambalyo alimanyililepi.
51 Atamkata vipande vipande na kumweka katika sehemu moja pamoja na wanafiki, mahali ambako kutakuwa ni kulia na kusaga meno.
Bwana ghwa muene ibetakun'dumula fipandi fibhele ni kumbekha mu nafasi jhimonga sawa ni bhanafiki, ambako kubetakujha ni khilelu ni kusiagha minu.

< Mathayo 24 >