< Mathayo 24 >
1 Yesu akatoka Hekaluni na alipokuwa akienda zake, wanafunzi wake wakamwendea ili kumwonyesha majengo ya Hekalu.
Jesuh Temple üngka naw akcea a ceh üng, axüisaw he naw Temple ime mhnuh khai hea a veia lawki he.
2 Ndipo Yesu akawauliza, “Je, mnayaona haya yote? Amin, nawaambia, hakuna hata jiwe moja hapa litakalobaki juu ya jingine, bali kila moja litabomolewa.”
Jesuh naw, “Hin avan nami jah hmuki am niki aw? Akcanga ka ning jah mthehki, lung matca pi, hin üng am ve khaia a pyehnak vaia kcün pha law khai,” a ti.
3 Yesu alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake wakamjia faraghani, wakamuuliza, “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, nayo dalili ya kuja kwako na ya mwisho wa dunia ni gani?” (aiōn )
Olip mcunga khana a ngawh üng axüisaw he ampyua law u lü, “Itüha, acukba thawn law khai ni? Na lawnak vaia akcün ja akpäihnak kcün msingnak vai cun i ni? Jah mtheha” ami ti. (aiōn )
4 Yesu akawajibu, “Jihadharini, mtu yeyote asiwadanganye.
Jesuh naw, “U naw pi käh a ning jah mhleimhlak vaia mceiei ua.
5 Kwa maana wengi watakuja kwa Jina langu, wakidai, ‘Mimi ndiye Kristo,’nao watawadanganya wengi.
“Khyang khawkän ka ngming üng law lü, Keia hana ngsaih lü ‘Kei, Khritaw ni’ ti lü khyang khawhah jah mhlei law khaie.
6 Mtasikia habari za vita na matetesi ya vita. Angalieni msitishike, kwa maana haya hayana budi kutukia. Lakini ule mwisho bado.
“Nami peia ngtuknake kthaie ja athuknaka pi ngtuknaka thange cun nami jah ngja law khai. Cunüngpi käh cäicing kawm uki. Acuna ngkhawe cun thawn law khaie, cunüngpi akcüna päihnak tinak am ni.
7 Taifa litainuka dhidi ya taifa, na ufalme dhidi ya ufalme. Kutakuwa na njaa na mitetemeko ya ardhi sehemu mbalimbali.
“Pee mat ja mat, pungnu mat ja mat, ngtung’at law khaie. Mdek alum üng, khaw jaw khyat pai law khai, ngkhyü ngsün law khai.
8 Haya yote yatakuwa ndio mwanzo wa utungu.
“Ahin he cun na hmi hlüki a huiheia mäiha khuikhanakea cuteinaka kyaki.
9 “Ndipo mtasalitiwa, ili mteswe na kuuawa, nanyi mtachukiwa na mataifa yote kwa ajili yangu.
“Acunüng ning jah man u lü ami ning jah mkhuimkha vai ja ami ning jah hnim vaia khyang hea kut üng ning jah ap khaie. Khyang naküt naw keia phäh ning jah hneng khaie.
10 Wakati huo, wengi wataacha imani yao, nao watasalitiana kila mmoja na mwenzake na kuchukiana.
“Acuna kcün üng khyang khawhah naw ami jumnak hawih u lü mat ja mat nghneng law khaie, hleihlak law khaie.
11 Watatokea manabii wengi wa uongo, nao watawadanganya watu wengi.
“Sahma ksee po law u lü khyang khawhah jah mhleimhlak law khaie.
12 Kwa sababu ya kuongezeka kwa uovu upendo wa watu wengi utapoa,
“Am dawkia khut pawhnak da law lü mhläkphyanak ng’yeng law khai.
13 lakini yule atakayevumilia hadi mwisho ataokolewa.
“Cunsepi, adütnak vei cäpa jumeiki naw küikyannak yah khai.
14 Injili ya Ufalme itahubiriwa ulimwenguni kote kuwa ushuhuda kwa mataifa yote. Ndipo mwisho utakapokuja.
“Khankhaw Pea mawng thangkdaw cun khawmdek van üng sang lü khyang naküta veia saksia mdanga kya khai. Acun käna akcüna päihnak pha law khai.
15 “Hivyo mtakapoona lile ‘chukizo la uharibifu’ lililonenwa na nabii Danieli limesimama mahali patakatifu (asomaye na afahamu),
“Sahma Danjelah naw cangcim üng a pyena kba, ‘Kpyükpye theiki kyükyawkse angcimcaihnak säiha ngdüi se, nami hmu khai.
16 basi wale walioko Uyahudi wakimbilie milimani.
“Acunüng Judaha veki naküt mcungea dawng u se.
17 Yeyote aliye juu ya dari ya nyumba asishuke ili kuchukua chochote kutoka ndani ya nyumba.
“Mkhyung khana veki im k’uma a ka lo khaia käh kyum law se.
18 Aliye shambani asirudi nyumbani kuchukua vazi lake.
“Loa veki naw pi a suisak loei khaia käh nghlat be se.
19 Ole wao wenye mimba na wale wanaonyonyesha watoto siku hizo!
“Acuna mhnüp üng mpyaikie ja cihtui k’aw naca kpawmeikie ta aktäa khuikha khaie ni.
20 Ombeni ili kukimbia kwenu kusiwe wakati wa baridi au siku ya Sabato.
“Nami dawngnak vaia mhnüp cun khawksik khya ja Sabbath mhnüpa käh a kya vaia Pamhnama veia ktaiyü ua.
21 Kwa maana wakati huo kutakuwa na dhiki kuu ambayo haijapata kuwako tangu mwanzo wa dunia mpaka sasa: wala haitakuwako tena kamwe.
“Khawmdek a ngtüi üngkhyüh am hmuh khawi, malama pi am hmuh be ti vai khuikhatnak kyühkse cun pha law khai.
22 Kama siku hizo zisingefupishwa, hakuna hata mtu mmoja ambaye angeokoka. Lakini kwa ajili ya wateule, siku hizo zitafupizwa.
Khawmhnüpe cun Pamhnam naw a jah tawisak päng ni; am a tawisak vai sü üng, u pi xüng khai am ve. A jah xüa khyang hea phäh Pamhnam naw khawmhnüpe cun jah tawisak khai.
23 Wakati huo kama mtu yeyote akiwaambia, ‘Tazama, Kristo huyu hapa!’ Au, ‘Kristo yuko kule,’ msisadiki.
‘Hia ni Khritaw, cuia ni Khritaw’ tiki a ve üng, käh nami kcangnak vai.
24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo na manabii wa uongo, nao watafanya ishara kubwa na maajabu mengi ili kuwapotosha, ikiwezekana, hata wale wateule hasa.
“Isetiüng ta, Khritaw kcang am nikie ja sahma ksee po law khaie. Pamhnama jah xü khyang he pi a thawn theia ta, ami jah mhleinak vaia müncanksee pi jah pawh law khaie.
25 Angalieni, nimekwisha kuwaambia mapema.
“Ngai ua, akcün am a pha law ham üng ma lü ka ning jah mtheh päng ni.
26 “Kwa hiyo mtu yeyote akiwaambia, ‘Yule kule nyikani,’ msiende huko. Au akisema, ‘Yuko kwenye chumba,’ msisadiki.
“Acunakyase, ‘Mesijah cun khawmkyanga ni’ ami ti üng käh nami ceh vai! Ani cun ‘Angthupnaka ve ve’ ami ti üng pi käh jah kcang na ua.
27 Kwa maana kama vile umeme utokeavyo mashariki na kuonekana hata magharibi, ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.
“Nghngilaw da mlaih se khawkyak cäpa khaw a vaia kba, Khyanga Capa cun law be khai.
28 Kwa maana popote ulipo mzoga, huko ndiko wakusanyikapo tai.
“Ahawia pi akthia venaka, langktahe ngcun khaie ni.
29 “Mara baada ya dhiki ya siku zile, “‘jua litatiwa giza, nao mwezi hautatoa nuru yake; nazo nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu za anga zitatikisika.’
“Acuna, khuikhatnaka mhnüpe käna, khaw nghmüp law khai. Khyalawn pi am vai law ti. Aisie khankhaw üngkhyüh kya law khaie, khankhaw khyaihbahnake pi ami venak üngka naw jah ksät khai.
30 “Ndipo itakapotokea ishara ya Mwana wa Adamu angani, na makabila yote ya dunia yataomboleza. Nao watamwona Mwana wa Adamu akija juu ya mawingu ya angani, katika uwezo na utukufu mkuu.
“Acunüng khyanga Capa msingnak cun khana ngdang law khai. Khawmdek khyang naküt Khyanga Capa hlüngtai kyäpsawknak am khana khawngmei ngcum lü law be se, hmu u lü kyap khaie.
31 Naye atawatuma malaika zake kwa sauti kuu ya tarumbeta, nao watawakusanya wateule wake kutoka pande zote nne za dunia, kutoka mwisho mmoja wa mbingu hadi mwisho mwingine.
“Pungnu tum lü a khankhawngsä he naw a xüe cun khawmdek avan üng jah mkhäm hü be khai hea jah tüih law khai.
32 “Basi jifunzeni somo hili kutokana na mtini: Matawi yake yanapoanza kuchipua na kutoa majani, mnatambua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.
“Hina Fikdung üngka naw ngtheingthang ua. A kpyange tawi law u lü a hnah a hlip law üng, khawkhye cäh lawki ti, nami ksingki he.
33 Vivyo hivyo, myaonapo mambo haya yote, mnatambua kwamba wakati u karibu, hata malangoni.
“Acuna kba ni, nangmi naw ahin he nami jah hmuh üng, akcün cäh law lü mkawt pei pha lawki ti ksing ua.
34 Amin, nawaambia, kizazi hiki hakitapita hadi mambo haya yote yawe yametimia.
“Akcanga ka ning jah mthehki, tukbäih ksawn üng khyang he am ami thi päih ham üng acun he avan cun kümcei law khaie ti süm ua.
35 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
“Khawmdek ja khankhaw khyük ni sepi, ka khyü nglung matca pi a kümcei kaa käh khyük yah khai.
36 “Kwa habari ya siku ile na saa, hakuna ajuaye, hata malaika walio mbinguni wala Mwana, ila Baba peke yake.
“Acuna mhnüp ja akcün cun iti üng pha law khai ti, u naw pi am ksing. Khankhawngsäe naw pi am ksing u. Capanaw pi am ksing. Ka pa däk naw ni a ksing.
37 Kama ilivyokuwa wakati wa Noa, ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.
“Khyanga Capa a law be vai cun Nawea kcün üngkaa mäiha kya law khai.
38 Kwa maana siku zile kabla ya gharika, watu walikuwa wakila na kunywa, wakioa na kuolewa, mpaka siku ile Noa alipoingia katika safina.
“Mlikpitui am a phu law hama kcüne üngka naw Nawe mlawng k’uma a luh vei cäp, khyang he cun ei awkie, nghnumi ja kpami ngkhyunglakie;
39 Nao hawakujua lolote mpaka gharika ilipokuja ikawakumba wote. Hivyo ndivyo itakavyokuwa atakapokuja Mwana wa Adamu.
“Mlikpitui phu law lü khyang avan a jah cehin vei cäpa i käh sim lü awmki he. Acun üng ami vea mäiha, Khyanga Capa a law be vai üng pi acukba kya law khai.
40 Watu wawili watakuwa shambani, naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa.
“Loa ve yümki xawi üng mat jäk lü mat hawih hüt khai.
41 Wanawake wawili watakuwa wanasaga pamoja, naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa.
“Ksum su yümki nghnumi nghngih üng mat jäk lü mat hawih hüt khai.
42 “Basi kesheni, kwa sababu hamjui ni siku gani atakapokuja Bwana wenu.
“Nami Bawipa a lawnak vaia akcün am nami ksingkia kya se, a na ngäng ua.
43 Lakini fahamuni jambo hili: Kama mwenye nyumba angejua ni wakati gani wa usiku ambao mwizi atakuja, angekesha na hangekubali nyumba yake kuvunjwa.
“Im mah naw mpyukei a law vaia kcün a ksing vai sü ta, a im mpyukei naw käh a kpye vaia mtät kyet khai ti nami ksingki.
44 Kwa hiyo ninyi pia hamna budi kuwa tayari, kwa sababu Mwana wa Adamu atakuja saa msiyotazamia.
“Acuna mäiha, nangmi pi a na ngcüngcei ua. Isetiüng ta, Khyanga Capa cun am nami sümhmuha kcün üng law be khai.
45 “Ni nani basi aliye mtumishi mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake amemweka kusimamia watumishi wengine katika nyumba yake, ili awape chakula chao kwa wakati unaofaa?
“Im mahpa naw, a imbunga eiawk akcün phäh phäh üng jah pyangmtham pawhmsah khaia a mcawn themngvai lü cingcaikia mpya cen u ni?
46 Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.
“Acun he jah na pawhmsah se a mahpa naw ima a law be üng, a hmuh lawa mpya ta a josen ve.
47 Amin, nawaambia, atamweka mtumishi huyo kuwa msimamizi wa mali yake yote.
“Akcanga ka ning jah mthehki, amahpa naw acuna mpya üng a khawh naküt ap khai.
48 Lakini kama huyo mtumishi ni mwovu, naye akasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu atakawia muda mrefu,’
“Cunsepi, mpya kse ania üng ta, ‘ka mahpa a law be vai hjo ham khai ni’ ti lü ngaihnipki.
49 kisha akaanza kuwapiga watumishi wenzake, na kula na kunywa pamoja na walevi.
“A püi mpyae jah kpai lü ju awk ktai k’eiea hlawnga a na eiawk hü hngaki.
50 Basi bwana wa mtumishi huyo atakuja siku asiyodhani na saa asiyoijua.
“Am a ngaihhmuh ja am a na ksinga kcün mhnüp mat üng, acuna mpyaa mahpa law be khai.
51 Atamkata vipande vipande na kumweka katika sehemu moja pamoja na wanafiki, mahali ambako kutakuwa ni kulia na kusaga meno.
“A mahpa naw a mtemtea mawilü hypocritea venaka vesak hnga se, acuia kyahnak ja, mnicui hakyetnak am khuikhatnak khamei khai.