< Mathayo 24 >
1 Yesu akatoka Hekaluni na alipokuwa akienda zake, wanafunzi wake wakamwendea ili kumwonyesha majengo ya Hekalu.
Yecu cire bi kurwaber ta nure ce, bibei tomange ce bõ ci, nung cinen muka bi kurwabero ti
2 Ndipo Yesu akawauliza, “Je, mnayaona haya yote? Amin, nawaambia, hakuna hata jiwe moja hapa litakalobaki juu ya jingine, bali kila moja litabomolewa.”
di, kari ciya, kom tõ dige wo gwamma? ke ti, kange ter meni na wo a dorke cer wo mani awertiye.
3 Yesu alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake wakamjia faraghani, wakamuuliza, “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, nayo dalili ya kuja kwako na ya mwisho wa dunia ni gani?” (aiōn )
fiye co yim dor kang zaitun, bi bei tomangece bo cin yuranum yurange, ciki ye a yila yirom boka mwetiye kange dika cwile kale. (aiōn )
4 Yesu akawajibu, “Jihadharini, mtu yeyote asiwadanganye.
Yecu ciya, yi ci kom de kom tiyangum.
5 Kwa maana wengi watakuja kwa Jina langu, wakidai, ‘Mimi ndiye Kristo,’nao watawadanganya wengi.
nobo durce an bõ ki denmir ci yan to ki kimo almacihu, take ciyan dok kangem kila tiya ngum.
6 Mtasikia habari za vita na matetesi ya vita. Angalieni msitishike, kwa maana haya hayana budi kutukia. Lakini ule mwisho bado.
kan nuwa fulen kwerer kang ka dir kwener, kom cubi, okm nuwa tai, tamyo dig buro bwi, dila cwila bwiri,
7 Taifa litainuka dhidi ya taifa, na ufalme dhidi ya ufalme. Kutakuwa na njaa na mitetemeko ya ardhi sehemu mbalimbali.
ber an kwenan kange ber nin ten liyar an kwenang liyar nin ten an ma wura kange mulcaka bitinek fiye kidimen ki dimen.
8 Haya yote yatakuwa ndio mwanzo wa utungu.
di gwam buro kabak buwarum bõ ka koni
9 “Ndipo mtasalitiwa, ili mteswe na kuuawa, nanyi mtachukiwa na mataifa yote kwa ajili yangu.
biko wo, ci an niken kom dotange nin, ci twalum kom gwam bero an kwer kom ki ker denemir
10 Wakati huo, wengi wataacha imani yao, nao watasalitiana kila mmoja na mwenzake na kuchukiana.
fo dang tang kila a kottang tiye, ciyan kwerkom bwiti, ci ko ciya ka bwiti
11 Watatokea manabii wengi wa uongo, nao watawadanganya watu wengi.
no curkebo kila a kwenu tiye ciya dur kali to tiyangum.
12 Kwa sababu ya kuongezeka kwa uovu upendo wa watu wengi utapoa,
timi bi cirin cwika ko kila anyibom.
13 lakini yule atakayevumilia hadi mwisho ataokolewa.
dila wo mwirumum meri an fiya fuloka.
14 Injili ya Ufalme itahubiriwa ulimwenguni kote kuwa ushuhuda kwa mataifa yote. Ndipo mwisho utakapokuja.
an tok fulan diyar dorbitinero gwam, be na yilam warka dor nobo nyombo kwama. nimde cwile bõ
15 “Hivyo mtakapoona lile ‘chukizo la uharibifu’ lililonenwa na nabii Danieli limesimama mahali patakatifu (asomaye na afahamu),
di na kom to dige wo nidurkume Danieltok ker cere, tim fiye wucak ke [ni kiyetiye na nyimi]
16 basi wale walioko Uyahudi wakimbilie milimani.
buro yahudiya ciya cukken dor, bangnge,
17 Yeyote aliye juu ya dari ya nyumba asishuke ili kuchukua chochote kutoka ndani ya nyumba.
wuro dor luwe diye ca yirare na co to kange diye mor luwece
18 Aliye shambani asirudi nyumbani kuchukua vazi lake.
niwo take ca yilau de lo bõ na co tũbeke ce dur ko
19 Ole wao wenye mimba na wale wanaonyonyesha watoto siku hizo!
kwan nobo tom ki bi bi bei kange nobo nẽ yir tiye fo kumeni wo
20 Ombeni ili kukimbia kwenu kusiwe wakati wa baridi au siku ya Sabato.
kom kwob dila cwaki kume ko a yilare yuko bau kange bi diye kume fobka [acabaci]
21 Kwa maana wakati huo kutakuwa na dhiki kuu ambayo haijapata kuwako tangu mwanzo wa dunia mpaka sasa: wala haitakuwako tena kamwe.
an ma dotange tẽnan tenange wo mambo wi ka cik fwelka kale wo yau ciko dwen. o-on mana wuro ti tak.
22 Kama siku hizo zisingefupishwa, hakuna hata mtu mmoja ambaye angeokoka. Lakini kwa ajili ya wateule, siku hizo zitafupizwa.
na kebowo ci mwatum kumeri na kange nii man bũũtiye, ker nobo wo ci cukange, ci mwatum kume.
23 Wakati huo kama mtu yeyote akiwaambia, ‘Tazama, Kristo huyu hapa!’ Au, ‘Kristo yuko kule,’ msisadiki.
tano kange yiki tõ almacihu wo kaka almacihu wuren, wo kom nere bilenkẽ
24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo na manabii wa uongo, nao watafanya ishara kubwa na maajabu mengi ili kuwapotosha, ikiwezekana, hata wale wateule hasa.
wob curkebo kange almacian curke ci an bõ ci nung yirom kange deger nyomamka, an ci bol
25 Angalieni, nimekwisha kuwaambia mapema.
nubo kila yana kangi tana anmam di kange wo cukange. kom towa, mam yim kom tiya an bou.
26 “Kwa hiyo mtu yeyote akiwaambia, ‘Yule kule nyikani,’ msiende huko. Au akisema, ‘Yuko kwenye chumba,’ msisadiki.
nyona cuwo, naci yi kom wuren kii kaka wuren yurangum kũũkom nere bilenka
27 Kwa maana kama vile umeme utokeavyo mashariki na kuonekana hata magharibi, ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.
na wo mulankako tibati twar yaken cuko mẽ, nyo boko bi bwe nifiri a yila tiye
28 Kwa maana popote ulipo mzoga, huko ndiko wakusanyikapo tai.
fiye nange buyan buya wiye co fiye bicabuni ki mwer kande.
29 “Mara baada ya dhiki ya siku zile, “‘jua litatiwa giza, nao mwezi hautatoa nuru yake; nazo nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu za anga zitatikisika.’
di can cando wo bwiko kumeni dotange wo, kakuko an fin kumta cili, cwakko mani a nẽ filancekoti, bitirendo an yarangu firen dii kwama, bikwan wo nii kwama cin muka,
30 “Ndipo itakapotokea ishara ya Mwana wa Adamu angani, na makabila yote ya dunia yataomboleza. Nao watamwona Mwana wa Adamu akija juu ya mawingu ya angani, katika uwezo na utukufu mkuu.
nimde yerom bibwe nii firo an cirkangu for dii kwama, gwam nobo kalewo ciyan ma fir neret. cia to bi bwe nifire a bõmor bilore kibi kwan kange duktangka wo dwi nyeu
31 Naye atawatuma malaika zake kwa sauti kuu ya tarumbeta, nao watawakusanya wateule wake kutoka pande zote nne za dunia, kutoka mwisho mmoja wa mbingu hadi mwisho mwingine.
an tom bibei tomange ce wo wucakke ki dir cumer kwamkwame, nobo co kwabe mor culangko na'ar tati wile dii kwama yaken coki wine nin
32 “Basi jifunzeni somo hili kutokana na mtini: Matawi yake yanapoanza kuchipua na kutoa majani, mnatambua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.
kom tu merangka tii nyingcin do nin tana kan ceko yoten fuka, ter neka laluweko, kan nyomon tirakkon dadom
33 Vivyo hivyo, myaonapo mambo haya yote, mnatambua kwamba wakati u karibu, hata malangoni.
nyo tano kom to dige wo gwam ko nyomom dadom, kino nyilok
34 Amin, nawaambia, kizazi hiki hakitapita hadi mambo haya yote yawe yametimia.
mayi kom bilenketi, kaldowo mani a cuti, dige wo gwam an bwi
35 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
dii kwama kange bitine an cum, dii ker miro mani a cuti
36 “Kwa habari ya siku ile na saa, hakuna ajuaye, hata malaika walio mbinguni wala Mwana, ila Baba peke yake.
di la ker diye do ni mani wo nyome, nob tomange bo wucak dii kwama, kange bwe, kan Tẽẽ win
37 Kama ilivyokuwa wakati wa Noa, ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.
nawo kume ni nuhu, ayila tiye ki boka bi bwe nifire
38 Kwa maana siku zile kabla ya gharika, watu walikuwa wakila na kunywa, wakioa na kuolewa, mpaka siku ile Noa alipoingia katika safina.
kume ni wureno, nimde mwem cufana bau, nobo ti cai noi, citi nai, ci nakenti, diye nuhu doken nabire mweme
39 Nao hawakujua lolote mpaka gharika ilipokuja ikawakumba wote. Hivyo ndivyo itakavyokuwa atakapokuja Mwana wa Adamu.
cin nyombo kange diker, la mwembo, bo cam ci, nyo boka bi bwe nifire a yila tiye
40 Watu wawili watakuwa shambani, naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa.
nobo you tim take, an tom win dobti win bwi
41 Wanawake wawili watakuwa wanasaga pamoja, naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa.
natubo yob kwa nirti dor kannya an tom win dobti yim baim, wori kom yombo dige teluwe kume a botiye
42 “Basi kesheni, kwa sababu hamjui ni siku gani atakapokuja Bwana wenu.
kom nyomom wuro, na nii kuwe nyomom fiyang nii kuye a boutiyeri na kin yi ki bati, mani a dob loceti, ci wuri ci doken.
43 Lakini fahamuni jambo hili: Kama mwenye nyumba angejua ni wakati gani wa usiku ambao mwizi atakuja, angekesha na hangekubali nyumba yake kuvunjwa.
kom yiki bati, bi bwe nii an bõ fiye kom man ki nyomka
44 Kwa hiyo ninyi pia hamna budi kuwa tayari, kwa sababu Mwana wa Adamu atakuja saa msiyotazamia.
we canga ken wo ki yilen ne, wo luweti, na neci cariti kambo datenni? nibi bwiyere canga, teluwece bo a fiya coti
45 “Ni nani basi aliye mtumishi mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake amemweka kusimamia watumishi wengine katika nyumba yake, ili awape chakula chao kwa wakati unaofaa?
we canga ken wo ki yilen ne wo teluwe ce yo na to cinen luwe anneci, cariti kambo daten ne?
46 Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.
nibibwiyere canga, teluwece bo a fiya coti
47 Amin, nawaambia, atamweka mtumishi huyo kuwa msimamizi wa mali yake yote.
mayi okm bilenketi teluwe ce an yoti co dor dige co cike gwam
48 Lakini kama huyo mtumishi ni mwovu, naye akasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu atakawia muda mrefu,’
tana canga bwirko yi mor nerece, teluweme tabum bwi
49 kisha akaanza kuwapiga watumishi wenzake, na kula na kunywa pamoja na walevi.
coter bukka tannum cangabo, co cati coti noi, kange tangnum nob nukabo
50 Basi bwana wa mtumishi huyo atakuja siku asiyodhani na saa asiyoijua.
Teluwe canga wo an yilau kakuko canga wo manki bati, fiya cuwo co nyombo
51 Atamkata vipande vipande na kumweka katika sehemu moja pamoja na wanafiki, mahali ambako kutakuwa ni kulia na kusaga meno.
teluwece an torangum co yob, cwile ce an yilam dong dong kange nii bwir tinim a yoco fiye cin wiye ti ka kuka nuneke.