< Mathayo 23 >

1 Kisha Yesu akauambia umati wa watu pamoja na wanafunzi wake:
Kungai a Yeshu gubhaabhalanjilenje bhandunji bhagumbelenje na bhaajiganywa bhabho, bhalinkuti.
2 “Walimu wa sheria na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Mose,
Bhaajiganya bha Shalia na Mapalishayo bhashipegwanga ukulungwa gwa shitengu sha a Musha.
3 hivyo inawapasa kuwatii na kufanya kila kitu wanachowaambia. Lakini msifuate yale wanayotenda, kwa sababu hawatendi yale wanayohubiri.
Kwa nneyo nkamulanje na tenda shoshowe shishibhannugulilanje. Ikabheje nnakaguyanje itendi yabhonji, pabha bhakaatendanga malinga shibhaajiganyanga.
4 Wao hufunga mizigo mikubwa na kuiweka mabegani mwa watu, lakini wao wenyewe hawako radhi hata kuinua kidole ili kuisogeza.
Bhanatabhanga mishigo ja topa nikwaatwikanga bhandunji mmakoyo, ikabheje ashaayenenji bhakapinganga kujangutila nkali kwa lukowe.
5 “Wao hutenda mambo yao yote ili waonekane na watu. Hupanua vikasha vyao vyenye maandiko ya sheria na kurefusha matamvua ya mavazi yao.
Bhanatendanga itendi yabhonji nkupinga bhalolwanje na bhandunji. Bhanawalanga mabhadili gamakulungwa pa shenyi na mmakono gajandikwe Shalia na leupya mbundo ya pai ya nngubho yabhonji.
6 Wanapenda kukalia viti vya heshima katika karamu, na vile viti maalum sana katika masinagogi.
Bhanaapinganga tama mwiitengu ya mmujo nkalamu na mmashinagogi.
7 Hupenda kusalimiwa masokoni na kutaka watu wawaite ‘Rabi.’
Bhanapinganga kukomaywa kwa jogopekwa kushoko na bhanapinganga shemwa na bhandunji, Bhaajiganya.
8 “Lakini ninyi msiitwe ‘Rabi,’ kwa sababu mnaye Bwana mmoja na ninyi nyote ni ndugu.
Ikabheje mmanganyanji nnashemwanje, Bhaajiganya, pabha bhaajiganya bhenunji bhamope, na mmanganya mmowe malinga bhandu bha lutumbo lumo.
9 Nanyi msimwite mtu yeyote ‘Baba,’ hapa duniani, kwa maana mnaye Baba mmoja, naye yuko mbinguni.
Wala nnanshemanje mundu jojowe, Atati, pa shilambolyo, pabha Ainabhenunji bhamope, bhali kunnungu.
10 Wala msiitwe ‘Mwalimu,’ kwa maana mnaye mwalimu mmoja tu, ndiye Kristo.
Wala nnashemwanje, Ashikalongolele, pabha kalongolele jwenunji jumope, ni a Kilishitu.
11 Yeye aliye mkuu kuliko ninyi nyote miongoni mwenu atakuwa mtumishi wenu.
Ali jwankulungwa munkumbi gwenunji anapinjikwa abhe ntumishi jwenunji.
12 Kwa kuwa yeyote anayejikweza atashushwa, na yeyote anayejinyenyekeza atakwezwa.
Jojowe akwiikuya apinga nyegaywa, na akwiinyegaya apinga kuywa.
13 “Lakini ole wenu, walimu wa sheria na Mafarisayo, enyi wanafiki! Kwa maana mnawafungia watu milango ya Ufalme wa Mbinguni. Ninyi wenyewe hamuingii humo, nao wale wanaotaka kuingia mnawazuia. [
Ole gwenunji bhaajiganya bha Shalia na Mapalishayo, mmagulumba! Pabha nnakwaugalilanga bhandunji nnango gwa Upalume gwa Kunnungu, mwaashayenenji nkajinjilanga, na wala bhapinganga jinjila bhala nkakwaalekanga bhajinjilangane.
14 Ole wenu walimu wa sheria na Mafarisayo, enyi wanafiki! Mnakula katika nyumba za wajane, nanyi kwa kujifanya kuwa wema, mnasali sala ndefu. Kwa hiyo hukumu yenu itakuwa kuu zaidi.]
Ole gwenunji mmaajiganya bha Shalia na Mapalishayo bhagulumba! Pabha nnapokonyolanga nyumba ya bhashitenga na nnajuganga Nnungu kwa leupya, nkupinga mmonekananje kubhandu kuti mmambonenji, kwa nneyo shinng'ukumulwanje kupunda bhananji.
15 “Ole wenu walimu wa sheria na Mafarisayo, enyi wanafiki! Ninyi mnasafiri baharini na nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja mwongofu, lakini baada ya kumpata, mnamfanya mwana wa jehanamu mara mbili kuliko ninyi! (Geenna g1067)
Ole gwenunji bhaajiganya bha Shalia na Mapalishayo, mmagulumba! Nnaowanga mmashi na pa litaka nkupinga mumpatanje mundu shakagule dini jenunji. Mumpatangaga, nnakuntendanga mwana jwa ku Jeanamu pabhili kupunda mwaashayenenji. (Geenna g1067)
16 “Ole wenu, viongozi vipofu! Ninyi mwasema, ‘Mtu akiapa kwa Hekalu, kiapo hicho si kitu; lakini mtu akiapa kwa dhahabu ya Hekalu, amefungwa kwa kiapo chake.’
Ole gwenunji ashikalongolele nangalole! Mmanganya nkutinji mundu alumbilaga kwa lina lya liekalu, kwene kulumbilako nngabha shindu, ikabheje alumbilaga kwa shaabhu ili nniekalu, kwene lumbilako kunakuntabha.
17 Ninyi vipofu wapumbavu! Ni kipi kilicho kikuu zaidi: ni ile dhahabu, au ni lile Hekalu linaloifanya hiyo dhahabu kuwa takatifu?
Mmanganya ashikalongolele bhangumba! Shei shipundile, shaabhu eu liekalu litenda jene shaabhujo jibhe ja ukonjelo?
18 Pia mnasema, ‘Mtu akiapa kwa madhabahu, si kitu; lakini mtu akiapa kwa sadaka iliyo juu ya madhabahu, amefungwa kwa kiapo chake’
Kabhili nnkutinji kuti mundu alumbilaga kwa shitala nngabha shindu, ikabheje alumbilaga kwa mbepei ibhishilwe pa shitala, kwene lumbilako kunakuntabha.
19 Ninyi vipofu! Ni kipi kikuu zaidi: ni sadaka, au ni madhabahu yanayoifanya hiyo sadaka kuwa takatifu?
Mmanganya ashinangalole! Shei shipundile, upo ila, eu shitala shitenda mbepeiyo ibhe ya ukonjelo?
20 Kwa hiyo, mtu aapaye kwa madhabahu, huapa kwa hayo madhabahu na vitu vyote vilivyo juu yake.
Alumbila kwa shitala analumbila kwa shitala, na kwa indu yowe ili pa shitala.
21 Naye mtu aapaye kwa Hekalu, huapa kwa hilo Hekalu na kwa huyo akaaye ndani yake.
Na alumbila ku liekalu ashilumbila ku liekalu na kwa bhatama nkati bhala.
22 Naye aapaye kwa mbingu, huapa kwa kiti cha enzi cha Mungu na kwa yeye aketiye juu ya kiti hicho.
Na alumbila kunnungu ashilumbila ku shitengu sha Upalume gwa a Nnungu, na bhaatama panani jakwe.
23 “Ole wenu walimu wa sheria na Mafarisayo, ninyi wanafiki! Kwa maana mnatoa zaka ya mnanaa, bizari na jira, lakini mmeacha mambo makuu zaidi ya sheria, yaani haki, huruma na uaminifu. Iliwapasa kufanya haya makuu ya sheria bila kupuuza hayo matoleo.
Ole gwenunji bhaajiganya bha Shalia na Mapalishayo, mmagulumba! Nnashoyanga lipungu lya kumi, nkali maamba ga mmboga, bhishali na tindi, akuno nnilekanga indu ya mana ya Shalia malinga, aki na shiya na ngulupai. Genega gumpinjilwenje kugabhika mmitima gwangali kulibhala gana.
24 Ninyi viongozi vipofu, mnachuja kiroboto lakini mnameza ngamia!
Ashikalongolele nangalole! Nnashoyanga libhembe, ikabheje nimila ngamia, nnyama jwankulungwa.
25 “Ole wenu, walimu wa sheria na Mafarisayo, ninyi wanafiki! Kwa maana mnasafisha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani mmejaa unyangʼanyi na kutokuwa na kiasi.
“Ole gwenunji bhaajiganya bha Shalia na Mapalishayo, mmagulumba! Mmanganya nninginji malinga mundu aukanga ikombe na bhakuli kua, ikabheje nkati mugumbele indu impatilenje kwa pokonyola na shojo.
26 Ewe Farisayo kipofu! Safisha ndani ya kikombe na sahani kwanza, ndipo nje itakuwa safi pia.
Mmwe a Palishayo nangalole! Nng'ukanje oti shikombe nkati na kua shikukonje.
27 “Ole wenu, walimu wa sheria na Mafarisayo, ninyi wanafiki! Mnafanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, ambayo yanapendeza kwa nje, lakini ndani yamejaa mifupa ya wafu na kila aina ya uchafu.
“Ole gwenunji bhaajiganya bha Shalia na Mapalishayo, mmagulumba! Puninginji mbuti likabhuli lipashilwe shokaa, kwa palanga linabhoneka kukonja, ikabheje nkati kushigumbala maupa ga bhawilenje na ikoko yaigwinji.
28 Vivyo hivyo, kwa nje ninyi mnaonekana kwa watu kuwa wenye haki, lakini kwa ndani mmejaa unafiki na uovu.
Nneyo peyo mmanganya nnabhonekanga na bhandunji mbuti nkwetenje aki, ikabheje nkati nshigumbalanga ugulumba na ungamanyika.
29 “Ole wenu, walimu wa sheria na Mafarisayo, ninyi wanafiki! Mnajenga makaburi ya manabii na kuyapamba makaburi ya wenye haki.
“Ole gwenunji bhaajiganya bha Shalia na Mapalishayo, mmagulumba! Nnashenjelanga makabhuli ga ashinkulondola bha a Nnungu na konjeleya makabhuli ga bhandunji bhakwetenje aki.
30 Nanyi mwasema, ‘Kama tungaliishi wakati wa baba zetu, tusingalikuwa tumeshiriki katika kumwaga damu ya manabii!’
Nnikutinji, ‘Monaga uwe tukapali bhukala ja ashinakulu bhetu, tukanakunde kwaabhulaganga ashinkulondola bha a Nnungu!’
31 Hivyo mnajishuhudia wenyewe kwamba ninyi ni wana wa wale waliowaua manabii.
Kwa nneyo, nnakong'ondelanga mwaashayenenji kuti mmanganya bha ulongo gwa bhaabhulegenje ashinkulondola bha a Nnungu.
32 Haya basi, kijazeni kipimo cha dhambi ya baba zenu!
Bhai, mmaliyanje liengo libhatandubhenje bhanyikala bhenunji lila.
33 “Ninyi nyoka, ninyi uzao wa nyoka wenye sumu! Mtaiepukaje hukumu ya jehanamu? (Geenna g1067)
Mmanganya nninginji malinga majoka, bhana bha majoka! Shinnjikubhutukanje bhuli ukumu ja ku Jeanamu? (Geenna g1067)
34 Kwa sababu hii, tazameni, natuma kwenu manabii na wenye hekima na walimu. Baadhi yao mtawaua na kuwasulubisha, na wengine wao mtawapiga mijeledi katika masinagogi yenu na kuwafuatia kutoka mji mmoja hadi mji mwingine.
Pabha nnolanje, nne ngunakumpeleshelanga ashinkulondola bha a Nnungu, bhandunji bhakwetenje lunda na bhaajiganya bha Shalia. Bhananji nkupinga kwaabhulaganga na kwaakomelanga munshalabha bhananji, shimwaakomanje ibhoko mmashinagogi genunji na kwaabhinganga shilambo kwa shilambo.
35 Hivyo ile damu ya wenye haki wote iliyomwagwa hapa duniani, tangu damu ya Abeli, ambaye alikuwa hana hatia, hadi damu ya Zekaria mwana wa Barakia, mliyemuua kati ya patakatifu na madhabahu, itawajia juu yenu.
Kwa nneyo kugambwa kowe shikung'ishilanje kwa ligongo lya minyai ja bhandunji bhakwetenje aki jijitishile pa litaka. Elo, tandubhila kubhulagwa kwa a Abheli bhaaliji bhanguja, mpaka kubhulagwa kwa a Shakalia bhanabhabho a Bhalakiya, bhumwaabhulegenje ku liekalu pakati shitala na liekalu.
36 Amin, nawaambia, haya yote yatakuja juu ya kizazi hiki.
Kweli ngunakummalanjilanga, lwene lubhelekolu lupinga ukumulwa kwa ligongo lya genego.
37 “Ee Yerusalemu, Yerusalemu, uwauaye manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwako! Mara ngapi nimetamani kuwakusanya watoto wako pamoja, kama vile kuku akusanyavyo vifaranga wake chini ya mabawa yake, lakini hukutaka!
“Ugwe Yelushalemu, Ugwe Yelushalemu! Ukwaabhulaganga ashinkulondola bha a Nnungu, na kwaakomanga maganga mpaka kuwa bhatumilwenje kunngwako bhala. Palingwa njilinga kwaakundikanyanga ashibhanago, malinga nanunu jwa nnguku shakuti kwiigutamila yana yakwe, ikabheje gwaangapinga.
38 Tazama nyumba yenu imeachwa ukiwa.
Bhai nnoje, nyumba jako shijibhe liame na ushubha.
39 Kwa maana nawaambia, hamtaniona tena tangu sasa mpaka mtakaposema, ‘Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Bwana.’”
Pabha, nkamonanga kabhili mpaka pushimmeleketanje, ‘Apegwe mboka jwene akwiya kwa lina lya Bhakulungwa.’”

< Mathayo 23 >