< Mathayo 21 >
1 Walipokaribia Yerusalemu, wakafika Bethfage katika Mlima wa Mizeituni. Ndipo Yesu akawatuma wanafunzi wake wawili,
Sina Jesu ni barutwana bakwe ha ba chunina Jelusalema ni kwiza kwa Patepaje, he Lundu la Olive, linu Jesu a ba tumini barutwana ba kwe bobele,
2 akawaambia, “Nendeni katika kijiji kilichoko mbele yenu, nanyi mtamkuta punda amefungwa hapo, na mwana-punda pamoja naye. Wafungueni na mniletee.
na ba cho, “Muyende mu munzi wi chilila, mi ka pili ka mu kawane i ndonki i suminwe mwateni, ni kaana kayo. Mu zi sumunune mi mu zi lete kwa ngu.
3 Kama mtu yeyote akiwasemesha lolote, mwambieni kwamba Bwana ana haja nao, naye atawaruhusu mwalete mara.”
Haiba muntu zumwi u wamba chi mwi ka zateni, mute kuti, “Simwine uzi saka; mi zuna mutu ka zitumine nanwe.”
4 Haya yalitukia ili litimie lile lililonenwa na nabii, akisema:
Linu i chi chi ba chiteki kuti icho chi ba wambwa mupolofita chi zuzilizwe.
5 “Mwambieni Binti Sayuni, ‘Tazama, mfalme wako anakuja kwako, ni mnyenyekevu, naye amepanda punda, juu ya mwana-punda, mtoto wa punda.’”
Nati, “wambile mwana wa mukazana wa zione, 'Bone, simwine wako ukezite kwako, Cha kuli booza hansi na tantite he donki, Ni ha kana kayo, ka na mani ke donki.”
6 Wale wanafunzi wakaenda, wakafanya kama Yesu alivyokuwa amewaagiza.
Linu barutwana ba ba yendi ni ku ka tenda bo bulyo mwa ba ba laeleli Jesu.
7 Wakamleta yule punda na mwana-punda, nao wakatandika mavazi yao juu ya hao punda, naye Yesu akaketi juu yake.
Ba ba kaleti i donki ni mwana ni ku bika zizabalo za bo ha zili, mi Jesu a be kali ha zizwato.
8 Umati mkubwa wa watu ukatandaza mavazi yao barabarani, na wengine wakakata matawi kutoka kwenye miti, wakayatandaza barabarani.
Bungi bwa bantu ba bazali zizabalo za bo mu i nzila, ba mwi ba batemi mi tayi ya zisamu ni ku i zala mu inzila.
9 Ule umati wa watu uliomtangulia na ule uliomfuata ukapiga kelele ukisema, “Hosana, Mwana wa Daudi!” “Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Bwana!” “Hosana juu mbinguni!”
Linu ikunga ibayendi Jesu naseni kuyenda ne ikunga ibechilili, na huweleza nati, “Hosana kumwana Daafita! Utonolofezwe ukeza mwinzina lya simwine! Hosana kuwina mwiwulu!”
10 Yesu alipoingia Yerusalemu, mji wote ukataharuki, watu wakauliza, “Huyu ni nani?”
Linu Jesu heti chasika mwa Jelusalema, muleneñi wonse uba nyungani nibati, “Nyeni uzo?”
11 Ule umati wa watu ukajibu, “Huyu ni Yesu, yule nabii kutoka Nazareti katika Galilaya.”
Ibetabi, chiyati, “uzu nji Jesu uzwa mwa Nazaleta ina mwa Galileya.”
12 Yesu akaingia katika eneo la Hekalu na kuwafukuza wote waliokuwa wakinunua na kuuza vitu Hekaluni. Akazipindua meza za wale waliokuwa wakibadilisha fedha, na pia viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa.
Linu Jesu chenjila mwi tempele. Abahindiki babali kuwuzikiza mwi tempele, ni kuzulika intafule zamasheleñi ni zipula zonse zibabauzi hamwina.
13 Akawaambia, “Imeandikwa, ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala,’ lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyangʼanyi.”
Abawambi kubali, “kuñoletwe kuti, 'Inzubo yangu kaisupwe kuti inzubo yetapelo,' kono inwe chimwaisandula chikunganino chabasa.”
14 Vipofu na vilema wakamwendea kule Hekaluni, naye akawaponya.
Linu zihofu ni zihole zibakezi kwali mwi tempele, mi nabahoza.
15 Lakini viongozi wa makuhani na walimu wa sheria walipoona mambo ya ajabu aliyofanya na kuwasikia watoto wakishangilia katika eneo la Hekalu wakisema, “Hosana Mwana wa Daudi,” walikasirika.
Mukulwana wamapulisita ni bañoli bababoni zintu zikomokisa zabantendi, mi singa bazuwa bahwile bahuweleza mwitempele ni bati, “Hosana kumwana a Daafita,” babanjilwa bukali.
16 Wakamuuliza Yesu, “Je, unasikia hayo hawa wanayosema?” Akawajibu, “Naam; kwani hamkusoma, “‘Midomoni mwa watoto wachanga na wanyonyao umeamuru sifa’?”
Babati kwali, “Mane uzuwile zibakwete kuwamba aba bantu?” Jesu chati kubali, “Eni! Kono mane chimubabalite, 'Mutuholo twabachiche ni bapamba kuzwa milumbeko ihitiliza kukuluka'?”
17 Akawaacha, akatoka nje ya mji, akaenda hadi Bethania, akalala huko.
Linu Jesu na basiya ni kuya kumuleneñi wa Bethani mi abakalali kwateni.
18 Asubuhi na mapema, Yesu alipokuwa akirudi mjini, alikuwa na njaa.
Linu kakusasa chabola kumuleneni, aba fwile inzala.
19 Akauona mtini kando ya barabara, naye akaukaribia, lakini hakupata tunda lolote ila majani. Ndipo akauambia, “Wewe usizae matunda tena kamwe!” Papo hapo ule mtini ukanyauka. (aiōn )
Kakubona chisamu chamuchaba kumbali ni nzila, abayendi kuchili mi abawani kuti kakwina chibikitwe kwateñi kunze yamakoba. Abawambi kuchili, “Kuzwa sunu kanzi nikube ni chichalantu kwako hape.” Imi kapilipili chisamu chamuchaba nichazuma. (aiōn )
20 Wanafunzi wake walipoona jambo hili, wakashangaa, wakamuuliza, “Imekuwaje mtini huu kunyauka ghafula?”
Linu balutwana haba boni bulyo ni ba komokwa ni bati, “ku iza bule kuti i samu lwa muchaba hohwaho lizume?”
21 Yesu akawajibu, “Amin, nawaambia, kama mkiwa na imani wala msiwe na shaka, si kwamba mtaweza kufanya tu yale yaliyofanyika kwa huu mtini, bali hata mkiuambia huu mlima, ‘Ngʼoka, ukatupwe baharini,’ litafanyika.
Jesu ne taaba na ba cho, “cho kusa kusima ni kucho, haiba ni mwina i ntumelo mi ka mubi ni mi hupulo yobele, kete mutende fela chiba tendwa kweli isamu lya muchaba. 'Kono ka muole kuwamba kwe chi chi wuulu,' u katulwe mui uulu mi u sohelwe mu iwate,'
22 Yoyote mtakayoyaomba mkisali na mkiamini, mtayapokea.”
Mi mu ku chitahale. Chonse chi u kumbila che ntapelo, cha ku zumina, mo u tambule.”
23 Yesu alipoingia Hekaluni, viongozi wa makuhani na wazee wa watu wakamjia alipokuwa anafundisha na kusema, “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Na ni nani aliyekupa mamlaka hayo?”
Linu Jesu heza mwiitempele, muprisita mukulwana ni bakulwana babantu ni beeza kwali ha bali kuruta mi nacho, “chamaata ani ochita izi zintu? Mi wa akuha a amaata njeni?”
24 Yesu akawajibu, “Nami nitawauliza swali moja. Kama mkinijibu, nami nitawaambia ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.
Jesu chobetaaba mi nabacho, “Ime name munimibuze impuzo imwina. Haiba nimuniwambila, name munimiwambile kuti chamaata nzi anichitisa izi zintu.
25 Ubatizo wa Yohana, ulitoka wapi? Je, ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?” Wakahojiana wao kwa wao na kusema, “Tukisema ulitoka mbinguni atatuuliza, ‘Mbona basi hamkumwamini?’
Inkolobezo ya Joani- ibazwi kuhi? Kuzwiila kwiwulu kamba kubantu?” Babali kuwambola mukati kaabo, ni bati, “Haiba nituti, 'Kuzwa kwiwulu,' mwati kwetu, 'Chizi linu hamusana mubamuzumini?'
26 Lakini tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu,’ tunawaogopa hawa watu, maana wote wanamtambua Yohana kuwa ni nabii.”
Kono haiba nituti, 'Kuzwa kubantu,' tutiya ikunga, kakuli bonse babona Joani kuba mupolofita.”
27 Kwa hiyo wakamjibu Yesu, “Sisi hatujui.” Naye akawaambia, “Wala mimi sitawaambia ni kwa mamlaka gani ninatenda mambo haya.”
Linu babetabi Jesu nibati, “Katwiizi,” Imi naye nabetaba nati, “Nanga ime keti chinimiwambila kuti nji ani maata anichita chawo izi zintu.
28 “Lakini mwaonaje? Mtu mmoja alikuwa na wana wawili. Akamwendea yule wa kwanza akamwambia, ‘Mwanangu, nenda ukafanye kazi kwenye shamba la mizabibu leo.’
Kono iwe uzeza buti? Mukwame abena banaswisu bobele. Abayendi kuwetanzi mi nati, 'Mwanangu, kwiya ukasebeze muluwa lwe veine sunu.'
29 “Yule mwanawe akamjibu ‘Mimi sitakwenda.’ Baadaye akabadili mawazo yake akaenda.
Mwana abetabi nati, 'kani woli,' kono mumasulezana nachincha muhupulo wakwe mi nayenda.
30 “Kisha yule baba akamwendea yule mwanawe mwingine akamwambia vilevile. Yeye akajibu, ‘Nitakwenda, bwana,’ lakini hakwenda.
Imi mukwame nayenda kumwanaa kwe wabubeli mi nawamba chintu chiswana. Mwanaa kwe netaba nati, 'Kaniyende, sha,' kono kanabayendi.
31 “Ni yupi kati yao hao wawili aliyetimiza kile alichotaka baba yake?” Wakamjibu, “Ni yule wa kwanza.” Yesu akawaambia, “Amin, amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanawatangulia kuingia katika Ufalme wa Mungu.
Kubana bobele yabachiti intato yeshabo?” Babati, “Wetanzi” Jesu nabacho, “Chabusakusima ni micho, bateliisi bamali ni mahuule mubakenjile mumubuso we Ireeza inwe nimuseni.
32 Kwa maana Yohana alikuja kwenu kuwaonyesha njia ya haki, lakini hamkumsadiki, lakini watoza ushuru na makahaba wakamsadiki. Nanyi hata mlipoona hayo, baadaye hamkutubu na kumsadiki.
Mukuti Joani abezi kwenu chenzila ilukite, kono kanamubamuzumini, kono bateliisi bamali ni mahuule babamuzumini. Imi inwe, hamubona izo nizitendahala, kana mubabakeli zibe zenu kumamanimani kuti mumuzumine.
33 “Sikilizeni mfano mwingine: Kulikuwa na mtu mmoja mwenye shamba ambaye alipanda shamba la mizabibu. Akajenga ukuta kulizunguka, akatengeneza shinikizo ndani yake na akajenga mnara wa ulinzi. Kisha akalikodisha hilo shamba la mizabibu kwa wakulima fulani, naye akaondoka, akasafiri kwenda nchi nyingine.
Mutekeleze kwinguli imwi. Kubena mukwame, yabali sichibaka, Ababyalite iwa lyamuwoomba, nikubika lukwakwa kuzimbulusa, abashi chilubilo mwateni, abazaki ni ngalani yakubonena kulee, imi abaikalimi kubalimi bakalimite. Linu abayendi kuimwi inkanda.
34 Wakati wa mavuno ulipokaribia, akawatuma watumishi wake kwa hao wapangaji ili kukusanya matunda yake.
Imi inako yenkutulo yazichelantu haichunina, abatumi bahikana balikene kubabyali bamuwoomba kukahinda zichelantu zakwe.
35 “Wale wapangaji wakawakamata wale watumishi, wakampiga mmoja, wakamuua mwingine, na yule wa tatu wakampiga mawe.
Kono bakalimite mawa babahindi bahikana bakwe, kudama umwina, kwihaya zumwi, ni kugoboola zumwi ni mabwe.
36 Kisha akawatuma kwao watumishi wengine, wengi kuliko wale wa kwanza, nao wale wapangaji wakawatendea vilevile.
Imi hape, siluwa abatumi bamwi bahikana, kuhita bamatangilo, kono babyali bamawa bababachiti chenzila iswana.
37 Mwisho wa yote, akamtuma mwanawe kwao, akisema, ‘Watamheshimu mwanangu.’
Kuzwaho, mwine siluwa abatumini mwanaa kwe kubali, nikucho, 'Kabakakuteke mwanangu.'
38 “Lakini wale wapangaji walipomwona mwanawe, wakasemezana wao kwa wao, ‘Huyu ndiye mrithi. Njooni tumuue, ili tuchukue urithi wake.’
Kono balimi bamuwoomba hababona mwana, chibaliwambila kuti, uzu nji swana. 'Mwize, tumwihaye tuyole chifumu.'
39 Hivyo wakamchukua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamuua.
Linu chibamuhinda, chibamusohela hanze yaluwa lwamuwoomba, mi chiva mwihaya.
40 “Kwa hiyo, huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanyia nini hao wakulima?”
Linu siluiwa heti nasike, kachite inzi kubalimi bewa lyamuwoomba?”
41 Wakamjibu, “Kwa huzuni kuu atawaangamiza kabisa hao wadhalimu na kulipangisha shamba lake la mizabibu kwa wakulima wengine ambao watampatia fungu lake la matunda wakati wa mavuno.”
Babawambi kwali nibacho, “Kasinyasinye abo bakwame bafosahele chenzila yachituhu chikando, mi kuzwaho mwakalime mawa amuwoomba kubamwi balimi bamuwoomba, bakwame bawola kuliha mowoomba haubuzwa.”
42 Yesu akawaambia, “Je, hamjasoma katika Maandiko kwamba: “‘Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni. Bwana ndiye alitenda jambo hili, nalo ni la ajabu machoni petu’?
Jesu nabati, “Kana mubeni kubala mumañolo, 'Musumo Ubabakani bazaki Ubatendwa Musumo wamwikona. Ichi chibali kuzwila kwa Simwine, mi chitabisa mumenso etu'?
43 “Kwa hiyo ninawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wengine wawezao kuzaa matunda yake.
Chobulyo nimicho, mubuso we Ireeza kauzwiswe kwenu mi kauhewe kuchisi chilichitila zichelatu icho chine.
44 Yeye aangukaye juu ya jiwe hili atavunjika vipande vipande, lakini yule litakayemwangukia atasagwa kabisa.”
Yense yeti nawile heli ibwe mwachokoke bwemba. Kono iyemwine heti niliwile, kagazubuke.”
45 Viongozi wa Makuhani na Mafarisayo waliposikia mifano ya Yesu, walitambua kuwa alikuwa akiwasema wao.
Bakulwana bavapurista ni vafarisi habazuwa iyi inguli, babalemuhi kuti uwamba abo.
46 Wakatafuta njia ya kumkamata, lakini wakaogopa umati wa watu, kwa kuwa watu walimwona Yesu kuwa ni nabii.
Chakusaka kumusumina, babalikutiya ikunga, mukuti bantu babali kumuhinda kuti mupolofita.