< Mathayo 21 >
1 Walipokaribia Yerusalemu, wakafika Bethfage katika Mlima wa Mizeituni. Ndipo Yesu akawatuma wanafunzi wake wawili,
U Yesu neamanyisigwa akwa ekapika pakupi ne Yelusalemu hange ekalongola sunga kuBethfage, kulugulu nuka mezeituni, hange u Yesu wihaatuma iamanyisigwa abiili.
2 akawaambia, “Nendeni katika kijiji kilichoko mbele yenu, nanyi mtamkuta punda amefungwa hapo, na mwana-punda pamoja naye. Wafungueni na mniletee.
Wikaaila, longoli kukesale nekakunlongeela, sunga mukumiona ndogwe etungilwe palungwanso, nung'wa ndogwa palung'wi nuyo. Itungueli nukuileta kung'waane.
3 Kama mtu yeyote akiwasemesha lolote, mwambieni kwamba Bwana ana haja nao, naye atawaruhusu mwalete mara.”
Anga muntu wihi wamuila kehi kua nelanso, mukulunga, 'Mukulu uitakile,' numuntu nuanso ukukaya kumugimbwa mize palung'wi nizo.
4 Haya yalitukia ili litimie lile lililonenwa na nabii, akisema:
Ikani nelanso inge ilo naelekeiye kuanyahedagu kusinja ligeelekele. Wikaaila.
5 “Mwambieni Binti Sayuni, ‘Tazama, mfalme wako anakuja kwako, ni mnyenyekevu, naye amepanda punda, juu ya mwana-punda, mtoto wa punda.’”
Aeli iana akisungu akasayuni, egoza, umutimi wako upembilye kung'waanyu, mupolo hange unaulie mundogwe, nung'wa ndogwe mugoha, ng'wa ndogwe mudabu.
6 Wale wanafunzi wakaenda, wakafanya kama Yesu alivyokuwa amewaagiza.
Hange iamanyisigwa ekalongola ekituma anga u Yesu naualagiiye.
7 Wakamleta yule punda na mwana-punda, nao wakatandika mavazi yao juu ya hao punda, naye Yesu akaketi juu yake.
Ikamualeta undogwe nu ng'waa ndogwe, nukueka iang'wenda migulyaao, nu Yesu wikikie nung'wanso.
8 Umati mkubwa wa watu ukatandaza mavazi yao barabarani, na wengine wakakata matawi kutoka kwenye miti, wakayatandaza barabarani.
Iidu mumilundo ekaila iangwenda ao munzila niauye ehatema imatambi kupuma mumahota nukaile munzila.
9 Ule umati wa watu uliomtangulia na ule uliomfuata ukapiga kelele ukisema, “Hosana, Mwana wa Daudi!” “Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Bwana!” “Hosana juu mbinguni!”
Iumbi naelemutongee u Yesu nawa naiamulyatile iha hulya mduli, nukulunga, ''Hosana kung'wana wang'wa Daudi! Ukembelilwe uzile kulima lamukulu; Hosana migulwa kukila.
10 Yesu alipoingia Yerusalemu, mji wote ukataharuki, watu wakauliza, “Huyu ni nani?”
U Yesu paekapika kuYelusalemu, kesale kehi kekitumba nukulunga, ''Uyu nyenyu?
11 Ule umati wa watu ukajibu, “Huyu ni Yesu, yule nabii kutoka Nazareti katika Galilaya.”
Iumbe lekalunga, ''Uyu Yesu munyakidagu, kupuma kunazaleti akuGalilaya.
12 Yesu akaingia katika eneo la Hekalu na kuwafukuza wote waliokuwa wakinunua na kuuza vitu Hekaluni. Akazipindua meza za wale waliokuwa wakibadilisha fedha, na pia viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa.
Hange u Yesu wekingela mitekeelo ( ang'wi Tunda. Akaazunsa ehi hunzi naiakugulya nukugula mitekeelo. Wekapeula ga numeza neyaantu nae akukaila impia ne maintu naagulya nkume.
13 Akawaambia, “Imeandikwa, ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala,’ lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyangʼanyi.”
Wikaaila, ''Iandekile, ''Ito lane lekutula ito nelakulompela, kuite unyenye mametenda ikulungu laii.
14 Vipofu na vilema wakamwendea kule Hekaluni, naye akawaponya.
Hange iapulu nea kilele ika miziila mitekeelo, nung'wenso wikaakomya.
15 Lakini viongozi wa makuhani na walimu wa sheria walipoona mambo ya ajabu aliyofanya na kuwasikia watoto wakishangilia katika eneo la Hekalu wakisema, “Hosana Mwana wa Daudi,” walikasirika.
Kuite kumatungo eakulu amakuhani neaandeki naiaine imakula naumiyumi, hange naeigule iang'enya ahuzugalya mitekeelo nukulunga, ''Hosana ng'wana wang'wa Daudi, ''ihaambwa makuo.
16 Wakamuuliza Yesu, “Je, unasikia hayo hawa wanayosema?” Akawajibu, “Naam; kwani hamkusoma, “‘Midomoni mwa watoto wachanga na wanyonyao umeamuru sifa’?”
Ikamuila, ''Wigulene nehe kulambulwa neantu awa? U Yesu wikaaila, ''Ee! kuite muikele kusoma, kupuma mumelomo ang'enya neadabu neakankamukete likimo lupikile.
17 Akawaacha, akatoka nje ya mji, akaenda hadi Bethania, akalala huko.
Hange u Yesu wikaaleka nuikulongola kunzi nakisale mu Bethania nukulala kuko.
18 Asubuhi na mapema, Yesu alipokuwa akirudi mjini, alikuwa na njaa.
Ikedaudau nausukile mukesali, aeukete nzala.
19 Akauona mtini kando ya barabara, naye akaukaribia, lakini hakupata tunda lolote ila majani. Ndipo akauambia, “Wewe usizae matunda tena kamwe!” Papo hapo ule mtini ukanyauka. (aiōn )
Wikaleona ikota mumpelompelo anzila. Wikalehanga, kuite shanga wikalya angakentu, mung'wanso inge ematutu du. Akauele, Itule tile inkali kung'waako lukulu hange. ''Hange itungu lelo imtini wekuma (aiōn )
20 Wanafunzi wake walipoona jambo hili, wakashangaa, wakamuuliza, “Imekuwaje mtini huu kunyauka ghafula?”
Amanyisigwa akwe naiaine, ikakulwa nukulunga, yatuleka ule umtini wuma nkua eng'wi?
21 Yesu akawajibu, “Amin, nawaambia, kama mkiwa na imani wala msiwe na shaka, si kwamba mtaweza kufanya tu yale yaliyofanyika kwa huu mtini, bali hata mkiuambia huu mlima, ‘Ngʼoka, ukatupwe baharini,’ litafanyika.
U Yesu wikasusha nukulunga, ''Tai kumuila, ang'wi mihutula nuuhueli muleke kuailya, shanga mukituma eke nekitumilwe kumtini udu, kuite mukuuila ate ulugulu, uholwe ugung'we mubahali, yukutula.
22 Yoyote mtakayoyaomba mkisali na mkiamini, mtayapokea.”
Kehi nemukulompa kusola, kunu eze muhuie mukusengiilya.
23 Yesu alipoingia Hekaluni, viongozi wa makuhani na wazee wa watu wakamjia alipokuwa anafundisha na kusema, “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Na ni nani aliyekupa mamlaka hayo?”
U Yesu naupikile mutekeelo, akulu amakuhane anyampala antu ekamuhanga imalungo naukumanyisa nukukolya, kuuhumi ke ukituma imakani aya? Hange nyenyu nukupee uhumi uwu?
24 Yesu akawajibu, “Nami nitawauliza swali moja. Kama mkinijibu, nami nitawaambia ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.
U Yesu wihasusha nukuaila, nunene hange kumukolya ikolyo nen'wi. Ang'wi mukumbila, nunene uu kumuila kuuhumi ke nekituma imakani aya.
25 Ubatizo wa Yohana, ulitoka wapi? Je, ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?” Wakahojiana wao kwa wao na kusema, “Tukisema ulitoka mbinguni atatuuliza, ‘Mbona basi hamkumwamini?’
Ubadisigwa nuang'wa Yohana aeupumile pee, kulumdane ang'wi kuantu? Ikiholya ienso, akalunga, anga kulunge, aeupumile kilunde ukuuila, nehe mukahita kuhuila?
26 Lakini tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu,’ tunawaogopa hawa watu, maana wote wanamtambua Yohana kuwa ni nabii.”
Kuite anga kulunge, aeupumile kuantu, ''kogopile imaumbie, kunsoko ehi aine uYohana kena munyakedagu.''
27 Kwa hiyo wakamjibu Yesu, “Sisi hatujui.” Naye akawaambia, “Wala mimi sitawaambia ni kwa mamlaka gani ninatenda mambo haya.”
Hange ekasusha kung'wa Yesu nukulunga, ''Shakuine'' Nung'wenso wikaaila gwa, ''Nunene singa kumuila kuushumi he kituma emakani aya.
28 “Lakini mwaonaje? Mtu mmoja alikuwa na wana wawili. Akamwendea yule wa kwanza akamwambia, ‘Mwanangu, nenda ukafanye kazi kwenye shamba la mizabibu leo.’
Kuite mukusinga ntuni? Umuntu nukete iama abiili Wikenda kung'wi nukumuila, Ng'waane, longola witume umulemo mumugunda nuamezabebu.
29 “Yule mwanawe akamjibu ‘Mimi sitakwenda.’ Baadaye akabadili mawazo yake akaenda.
Lelo, ''Ung'wana wikasusha nukulunga, shaninzuu, kuite panyambele wikakaila imasigo akwe nukulongola.
30 “Kisha yule baba akamwendea yule mwanawe mwingine akamwambia vilevile. Yeye akajibu, ‘Nitakwenda, bwana,’ lakini hakwenda.
Nu muntu nuanso wikalongola kung'wana nuanso akasusha nukulunga ninzuu, Mukulu, huite shanga wekenda.
31 “Ni yupi kati yao hao wawili aliyetimiza kile alichotaka baba yake?” Wakamjibu, “Ni yule wa kwanza.” Yesu akawaambia, “Amin, amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanawatangulia kuingia katika Ufalme wa Mungu.
Nuule kuawa neabiili nuilumile anga nuTata wakwe nauloilwe? Ikalunga, ''Ng'wana nuangwandyo'' U Yesu wikaaila, ''Itai kumuila, iamanangwa neakosi ahingela muutemi wang'wi Tunda kuleka hanza unyenye hingela.
32 Kwa maana Yohana alikuja kwenu kuwaonyesha njia ya haki, lakini hamkumsadiki, lakini watoza ushuru na makahaba wakamsadiki. Nanyi hata mlipoona hayo, baadaye hamkutubu na kumsadiki.
Kundogoilyo u Yohana auzile kitalanyu kunzila nenguloku, kuite singa meka muhuela, mutungo ia manangwa nea kosi akamuhuela. Nu nyenye naimuine nelanso lekole, shanga mekaungana nsoko mieka mumuluile.
33 “Sikilizeni mfano mwingine: Kulikuwa na mtu mmoja mwenye shamba ambaye alipanda shamba la mizabibu. Akajenga ukuta kulizunguka, akatengeneza shinikizo ndani yake na akajenga mnara wa ulinzi. Kisha akalikodisha hilo shamba la mizabibu kwa wakulima fulani, naye akaondoka, akasafiri kwenda nchi nyingine.
Tegeeli ikilingasiilo nekiuya, aukule muntu, umuntu aukele ieneo ikulu nelihi. Auteme imizabibu, unkakitiila, wikazipya nihiseme nekakukamula imagai, akazenga numuhala nualindi nukuliliha kuagaza zabibu. Hange wekenda kehengiza.
34 Wakati wa mavuno ulipokaribia, akawatuma watumishi wake kwa hao wapangaji ili kukusanya matunda yake.
Imatungu amaogola amizabibu naeuhugee, wikaatuma atuungwa ang'wi, Umuya ekamubulega, nu muya ung'wi ikamukua namagwe.
35 “Wale wapangaji wakawakamata wale watumishi, wakampiga mmoja, wakamuua mwingine, na yule wa tatu wakampiga mawe.
Kuite awe neelima izabibu ikazihola eihimi akwe, ihamuhua ung'wi, Umuiye eka mubalaga, nu muya ung'wi ikamukua namagwe.
36 Kisha akawatuma kwao watumishi wengine, wengi kuliko wale wa kwanza, nao wale wapangaji wakawatendea vilevile.
Kumkua nengiza, umugole wikaatuma atungwi angiza, eeelu kukila awa neangwandyo, huite awa neelima akaaleda hange wudu.
37 Mwisho wa yote, akamtuma mwanawe kwao, akisema, ‘Watamheshimu mwanangu.’
Nai akahila nanso umuhulu nuanso akamutuma latalao uug'waalawe nukulunga, ahumukulyaumngwane.
38 “Lakini wale wapangaji walipomwona mwanawe, wakasemezana wao kwa wao, ‘Huyu ndiye mrithi. Njooni tumuue, ili tuchukue urithi wake.’
Kuite awa neelma emezabibu naeamwine umuhumba nuanso, Akiela, Uyu musali, Nzii, kumbulage nukuhola uusali.
39 Hivyo wakamchukua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamuua.
Uu ekamuhola, ekamugume kunzi na mugunda nua mizabibu nukumubulaga.
40 “Kwa hiyo, huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanyia nini hao wakulima?”
Itee umukola mugunda nua mizabibu nuzile, utenda uli ialemi amezabibu?
41 Wakamjibu, “Kwa huzuni kuu atawaangamiza kabisa hao wadhalimu na kulipangisha shamba lake la mizabibu kwa wakulima wengine ambao watampatia fungu lake la matunda wakati wa mavuno.”
Ikamuila, ''Ukuabipya iantu nuanso abi kunzila aulaki kukila, ne hange ukusalisha umugunda nua mizabibu kulumiangeza, iantu neahuli pa kunzila amezabibu neakahonda''.
42 Yesu akawaambia, “Je, hamjasoma katika Maandiko kwamba: “‘Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni. Bwana ndiye alitenda jambo hili, nalo ni la ajabu machoni petu’?
U Yesu wikaaila '' Shamusomilene numaandeko,' Igwe nealatulile iaashi naina igwa ikulu nelaukundeki, Ile lepumile kumukulu, hange ukuleta ikuilwa kumiho iluu?
43 “Kwa hiyo ninawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wengine wawezao kuzaa matunda yake.
Uu kumuila, Utemi wang'wi Tunda ukuholwa kupuma kitalanyu nukupegwa ihe nekee inkali yalawe.
44 Yeye aangukaye juu ya jiwe hili atavunjika vipande vipande, lakini yule litakayemwangukia atasagwa kabisa.”
Wehi nuekagwa nugwe nelanso ukubungwa ninoo. Kuite kuehi nelelumugwila, lekumusia.
45 Viongozi wa Makuhani na Mafarisayo waliposikia mifano ya Yesu, walitambua kuwa alikuwa akiwasema wao.
Ikulu amakuhani nea mafalisayo naeakija ilingasilyo yakwe, ikaona kena akulambulwa enso.
46 Wakatafuta njia ya kumkamata, lakini wakaogopa umati wa watu, kwa kuwa watu walimwona Yesu kuwa ni nabii.
Kuite kela naealoilwe kugoola mikono migulya lakwe, akagopa umilundo, kunsoko iantu aeamugozile anga munyakidagu.