< Mathayo 21 >

1 Walipokaribia Yerusalemu, wakafika Bethfage katika Mlima wa Mizeituni. Ndipo Yesu akawatuma wanafunzi wake wawili,
and when to come near toward Jerusalem and to come/go toward Bethphage (toward *N(k)O*) the/this/who mountain the/this/who Olivet then (the/this/who *ko*) Jesus to send two disciple
2 akawaambia, “Nendeni katika kijiji kilichoko mbele yenu, nanyi mtamkuta punda amefungwa hapo, na mwana-punda pamoja naye. Wafungueni na mniletee.
to say it/s/he (to travel *N(k)O*) toward the/this/who village the/this/who (before *N(k)O*) you and immediately to find/meet donkey to bind and colt with/after it/s/he to loose (to bring *NK(o)*) me
3 Kama mtu yeyote akiwasemesha lolote, mwambieni kwamba Bwana ana haja nao, naye atawaruhusu mwalete mara.”
and if one you to say one to say that/since: that the/this/who lord: God it/s/he need to have/be immediately then (to send *NK(o)*) it/s/he
4 Haya yalitukia ili litimie lile lililonenwa na nabii, akisema:
this/he/she/it then (all *k*) to be in order that/to to fulfill the/this/who to say through/because of the/this/who prophet to say
5 “Mwambieni Binti Sayuni, ‘Tazama, mfalme wako anakuja kwako, ni mnyenyekevu, naye amepanda punda, juu ya mwana-punda, mtoto wa punda.’”
to say the/this/who daughter Zion look! the/this/who king you to come/go you gentle and to mount/board upon/to/against donkey and (upon/to/against *no*) colt son donkey
6 Wale wanafunzi wakaenda, wakafanya kama Yesu alivyokuwa amewaagiza.
to travel then the/this/who disciple and to do/make: do as/just as (to direct *N(k)O*) it/s/he the/this/who Jesus
7 Wakamleta yule punda na mwana-punda, nao wakatandika mavazi yao juu ya hao punda, naye Yesu akaketi juu yake.
to bring the/this/who donkey and the/this/who colt and to put/lay on (upon/to/against *N(k)O*) it/s/he the/this/who clothing (it/s/he *k*) and to sit on above it/s/he
8 Umati mkubwa wa watu ukatandaza mavazi yao barabarani, na wengine wakakata matawi kutoka kwenye miti, wakayatandaza barabarani.
the/this/who then most crowd to spread themself the/this/who clothing in/on/among the/this/who road another then to cut/mourn branch away from the/this/who tree and to spread in/on/among the/this/who road
9 Ule umati wa watu uliomtangulia na ule uliomfuata ukapiga kelele ukisema, “Hosana, Mwana wa Daudi!” “Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Bwana!” “Hosana juu mbinguni!”
the/this/who then crowd the/this/who to go/bring before (it/s/he *no*) and the/this/who to follow to cry to say Hosanna the/this/who son David to praise/bless the/this/who to come/go in/on/among name lord: God Hosanna in/on/among the/this/who Highest
10 Yesu alipoingia Yerusalemu, mji wote ukataharuki, watu wakauliza, “Huyu ni nani?”
and to enter it/s/he toward Jerusalem to shake all the/this/who city to say which? to be this/he/she/it
11 Ule umati wa watu ukajibu, “Huyu ni Yesu, yule nabii kutoka Nazareti katika Galilaya.”
the/this/who then crowd to say this/he/she/it to be the/this/who prophet Jesus the/this/who away from Nazareth the/this/who Galilee
12 Yesu akaingia katika eneo la Hekalu na kuwafukuza wote waliokuwa wakinunua na kuuza vitu Hekaluni. Akazipindua meza za wale waliokuwa wakibadilisha fedha, na pia viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa.
and to enter (the/this/who *k*) Jesus toward the/this/who temple (the/this/who God *K*) and to expel all the/this/who to sell and to buy in/on/among the/this/who temple and the/this/who table the/this/who moneychanger to overturn and the/this/who seat the/this/who to sell the/this/who dove
13 Akawaambia, “Imeandikwa, ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala,’ lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyangʼanyi.”
and to say it/s/he to write the/this/who house: home me house: home prayer to call: call you then it/s/he (to do/make: do *N(k)O*) cave robber/rebel
14 Vipofu na vilema wakamwendea kule Hekaluni, naye akawaponya.
and to come near/agree it/s/he blind and lame in/on/among the/this/who temple and to serve/heal it/s/he
15 Lakini viongozi wa makuhani na walimu wa sheria walipoona mambo ya ajabu aliyofanya na kuwasikia watoto wakishangilia katika eneo la Hekalu wakisema, “Hosana Mwana wa Daudi,” walikasirika.
to perceive: see then the/this/who high-priest and the/this/who scribe the/this/who marvelous which to do/make: do and the/this/who child (the/this/who *no*) to cry in/on/among the/this/who temple and to say Hosanna the/this/who son David be indignant
16 Wakamuuliza Yesu, “Je, unasikia hayo hawa wanayosema?” Akawajibu, “Naam; kwani hamkusoma, “‘Midomoni mwa watoto wachanga na wanyonyao umeamuru sifa’?”
and to say it/s/he to hear which? this/he/she/it to say the/this/who then Jesus to say it/s/he yes never to read that/since: that out from mouth child and to suckle to complete praise
17 Akawaacha, akatoka nje ya mji, akaenda hadi Bethania, akalala huko.
and to leave behind it/s/he to go out out/outside(r) the/this/who city toward Bethany and to spend the night there
18 Asubuhi na mapema, Yesu alipokuwa akirudi mjini, alikuwa na njaa.
(early *N(k)O*) then (to set off *NK(o)*) toward the/this/who city to hunger
19 Akauona mtini kando ya barabara, naye akaukaribia, lakini hakupata tunda lolote ila majani. Ndipo akauambia, “Wewe usizae matunda tena kamwe!” Papo hapo ule mtini ukanyauka. (aiōn g165)
and to perceive: see fig tree one upon/to/against the/this/who road to come/go upon/to/against it/s/he and none to find/meet in/on/among it/s/he if: not not leaf alone and to say it/s/he (no *o*) never again out from you fruit to be toward the/this/who an age: eternity and to dry instantly the/this/who fig tree (aiōn g165)
20 Wanafunzi wake walipoona jambo hili, wakashangaa, wakamuuliza, “Imekuwaje mtini huu kunyauka ghafula?”
and to perceive: see the/this/who disciple to marvel to say how! instantly to dry the/this/who fig tree
21 Yesu akawajibu, “Amin, nawaambia, kama mkiwa na imani wala msiwe na shaka, si kwamba mtaweza kufanya tu yale yaliyofanyika kwa huu mtini, bali hata mkiuambia huu mlima, ‘Ngʼoka, ukatupwe baharini,’ litafanyika.
to answer then the/this/who Jesus to say it/s/he amen to say you if to have/be faith and not to judge/doubt no alone the/this/who the/this/who fig tree to do/make: do but and if the/this/who mountain this/he/she/it to say to take up and to throw: throw toward the/this/who sea to be
22 Yoyote mtakayoyaomba mkisali na mkiamini, mtayapokea.”
and all just as/how much (if *NK(o)*) to ask in/on/among the/this/who prayer to trust (in) to take
23 Yesu alipoingia Hekaluni, viongozi wa makuhani na wazee wa watu wakamjia alipokuwa anafundisha na kusema, “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Na ni nani aliyekupa mamlaka hayo?”
and (to come/go it/s/he *N(k)O*) toward the/this/who temple to come near/agree it/s/he to teach the/this/who high-priest and the/this/who elder: Elder the/this/who a people to say in/on/among what? authority this/he/she/it to do/make: do and which? you to give the/this/who authority this/he/she/it
24 Yesu akawajibu, “Nami nitawauliza swali moja. Kama mkinijibu, nami nitawaambia ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.
to answer then the/this/who Jesus to say it/s/he to ask you I/we and word one which if to say me I/we and you to say in/on/among what? authority this/he/she/it to do/make: do
25 Ubatizo wa Yohana, ulitoka wapi? Je, ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?” Wakahojiana wao kwa wao na kusema, “Tukisema ulitoka mbinguni atatuuliza, ‘Mbona basi hamkumwamini?’
the/this/who baptism (the/this/who *no*) John whence to be out from heaven or out from a human the/this/who then to discuss (in/on/among *N(k)O*) themself to say if to say out from heaven to say me through/because of which? therefore/then no to trust (in) it/s/he
26 Lakini tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu,’ tunawaogopa hawa watu, maana wote wanamtambua Yohana kuwa ni nabii.”
if then to say out from a human to fear the/this/who crowd all for as/when prophet to have/be the/this/who John
27 Kwa hiyo wakamjibu Yesu, “Sisi hatujui.” Naye akawaambia, “Wala mimi sitawaambia ni kwa mamlaka gani ninatenda mambo haya.”
and to answer the/this/who Jesus to say no to know to assert it/s/he and it/s/he nor I/we to say you in/on/among what? authority this/he/she/it to do/make: do
28 “Lakini mwaonaje? Mtu mmoja alikuwa na wana wawili. Akamwendea yule wa kwanza akamwambia, ‘Mwanangu, nenda ukafanye kazi kwenye shamba la mizabibu leo.’
which? then you to think a human to have/be child two and to come near/agree the/this/who first to say child to go today to work in/on/among the/this/who vineyard (me *k*)
29 “Yule mwanawe akamjibu ‘Mimi sitakwenda.’ Baadaye akabadili mawazo yake akaenda.
the/this/who then to answer to say no to will/desire later then to repent to go away
30 “Kisha yule baba akamwendea yule mwanawe mwingine akamwambia vilevile. Yeye akajibu, ‘Nitakwenda, bwana,’ lakini hakwenda.
(and *k*) to come near/agree (then *no*) the/this/who (other *N(K)O*) to say likewise the/this/who then to answer to say I/we lord: master and no to go away
31 “Ni yupi kati yao hao wawili aliyetimiza kile alichotaka baba yake?” Wakamjibu, “Ni yule wa kwanza.” Yesu akawaambia, “Amin, amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanawatangulia kuingia katika Ufalme wa Mungu.
which? out from the/this/who two to do/make: do the/this/who will/desire the/this/who father to say (it/s/he *k*) the/this/who (first *NK(O)*) to say it/s/he the/this/who Jesus amen to say you that/since: that the/this/who tax collector and the/this/who prostitute to go/bring before you toward the/this/who kingdom the/this/who God
32 Kwa maana Yohana alikuja kwenu kuwaonyesha njia ya haki, lakini hamkumsadiki, lakini watoza ushuru na makahaba wakamsadiki. Nanyi hata mlipoona hayo, baadaye hamkutubu na kumsadiki.
to come/go for John to/with you in/on/among road righteousness and no to trust (in) it/s/he the/this/who then tax collector and the/this/who prostitute to trust (in) it/s/he you then to perceive: see (nor *N(k)O*) to repent later the/this/who to trust (in) it/s/he
33 “Sikilizeni mfano mwingine: Kulikuwa na mtu mmoja mwenye shamba ambaye alipanda shamba la mizabibu. Akajenga ukuta kulizunguka, akatengeneza shinikizo ndani yake na akajenga mnara wa ulinzi. Kisha akalikodisha hilo shamba la mizabibu kwa wakulima fulani, naye akaondoka, akasafiri kwenda nchi nyingine.
another parable to hear a human (one *k*) to be householder who/which to plant vineyard and fence it/s/he to put on and to dig in/on/among it/s/he winepress and to build tower and to lease it/s/he farmer and to go abroad
34 Wakati wa mavuno ulipokaribia, akawatuma watumishi wake kwa hao wapangaji ili kukusanya matunda yake.
when then to come near the/this/who time/right time the/this/who fruit to send the/this/who slave it/s/he to/with the/this/who farmer to take the/this/who fruit it/s/he
35 “Wale wapangaji wakawakamata wale watumishi, wakampiga mmoja, wakamuua mwingine, na yule wa tatu wakampiga mawe.
and to take the/this/who farmer the/this/who slave it/s/he which on the other hand to beat up which then to kill which then to stone
36 Kisha akawatuma kwao watumishi wengine, wengi kuliko wale wa kwanza, nao wale wapangaji wakawatendea vilevile.
again to send another slave greater the/this/who first and to do/make: do it/s/he likewise
37 Mwisho wa yote, akamtuma mwanawe kwao, akisema, ‘Watamheshimu mwanangu.’
later then to send to/with it/s/he the/this/who son it/s/he to say to cause shame the/this/who son me
38 “Lakini wale wapangaji walipomwona mwanawe, wakasemezana wao kwa wao, ‘Huyu ndiye mrithi. Njooni tumuue, ili tuchukue urithi wake.’
the/this/who then farmer to perceive: see the/this/who son to say in/on/among themself this/he/she/it to be the/this/who heir come to kill it/s/he and (to have/be *N(k)O*) the/this/who inheritance it/s/he
39 Hivyo wakamchukua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamuua.
and to take it/s/he to expel out/outside(r) the/this/who vineyard and to kill
40 “Kwa hiyo, huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanyia nini hao wakulima?”
when(-ever) therefore/then to come/go the/this/who lord: master the/this/who vineyard which? to do/make: do the/this/who farmer that
41 Wakamjibu, “Kwa huzuni kuu atawaangamiza kabisa hao wadhalimu na kulipangisha shamba lake la mizabibu kwa wakulima wengine ambao watampatia fungu lake la matunda wakati wa mavuno.”
to say it/s/he evil/harm: evil badly to destroy it/s/he and the/this/who vineyard to lease another farmer who/which to pay it/s/he the/this/who fruit in/on/among the/this/who time/right time it/s/he
42 Yesu akawaambia, “Je, hamjasoma katika Maandiko kwamba: “‘Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni. Bwana ndiye alitenda jambo hili, nalo ni la ajabu machoni petu’?
to say it/s/he the/this/who Jesus never to read in/on/among the/this/who a writing stone which to reject the/this/who to build this/he/she/it to be toward head corner from/with/beside lord: God to be this/he/she/it and to be marvellous in/on/among eye me
43 “Kwa hiyo ninawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wengine wawezao kuzaa matunda yake.
through/because of this/he/she/it to say you that/since: that to take up away from you the/this/who kingdom the/this/who God and to give Gentiles to do/make: do the/this/who fruit it/s/he
44 Yeye aangukaye juu ya jiwe hili atavunjika vipande vipande, lakini yule litakayemwangukia atasagwa kabisa.”
and the/this/who to collapse upon/to/against the/this/who stone this/he/she/it to shatter upon/to/against which then if to collapse to crush it/s/he
45 Viongozi wa Makuhani na Mafarisayo waliposikia mifano ya Yesu, walitambua kuwa alikuwa akiwasema wao.
and to hear the/this/who high-priest and the/this/who Pharisee the/this/who parable it/s/he to know that/since: that about it/s/he to say
46 Wakatafuta njia ya kumkamata, lakini wakaogopa umati wa watu, kwa kuwa watu walimwona Yesu kuwa ni nabii.
and to seek it/s/he to grasp/seize to fear the/this/who crowd (since toward *N(k)O*) prophet it/s/he to have/be

< Mathayo 21 >